@@genvhehenuue4216 huo ni upofu wa kufikiri, kwann kusiwe na msstizo wa kuendlea kuheshimian, kupendn, kusaidian pia, bali mijitu inawaza kuwaozesha tu hawa Watoto.
Big up to Sanaa Kaka, Napenda ulivyovyaa ila ilikosekana Kofia but usijali Mwenyezi Mungu akuezeshe ili kutimiza ndoto zako... In sha Allah Mungu ukulinde na akuhifadhi kwa Lilat bayaa
Hata umenikumbusha kanumba sana.patrick umekua sasa kijana.Mwenye MUNGU aendeleye kukuongoza wewe na dada yako Jennifer pia kwa kazi zenu namaisha yenu
Kama mmeona coment za kumsifia patrck hb n nying mnooooo gonga like😂😂maana s kwa udhuli huo pia patrick angalia wasikuue wamama wameungua na ukimwi mdogo angu da nataman kanumba angeinuka akuone jins ulivyokua dah
Jumon like zake Patrick hapa kama bado unamkubali maana ni mtaratibu sana kwakweli 👏👏👏👏.😘
Nice Patrick kanumba 😘😘😘
Hahaha had ww
Jen umekua mzuri sn kwa kweli
Kweli kabisa
Mitindo
upo vizuri mdogo wangu watu tunakuwa jamani gonga like km unampenda patrick
Eliamani Mbise oyee
Upo pow
Kama unaamn patrck n hb na unampenda gonga like❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaani kamekua tunakaaona lakini sahivi mate yanakimbizana🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Febisa Lameck nkbl
kwakwel yupo vzr
🧡
Febisa Lameck
wew p ni HB sana Ila usilinge kuwa na heshima hivyo hivyo
kwl ila
Anaeuliza maswali yuko vizuri na patrick nae anajibu vizuri..........big up sana patrick Allah akujaalie kila LAKHERI
We ni hb
True
Safi sana ,unajua kujielezea vzr na una heshima pia, mungu akunze...
1aaaaaaa
Big up San bro Athuman
uko vizur dogo komaa
Wamama wasimualibu mtoto jmn kama kweli,mtt mwenye akili anaonekana kuongea tuu🙏
Mdg Wang uko vizur sana
nakukubal san patrik kanumb
Kabisa dada
I like how Patrick is talkink ana ujasiri na hekma sana i like the boy he is like a bother to me like u big up bro
he is very confident about what's he's saying wow big up bro wazai wako wamejaliiwa na mtoto mwenye upole naustarabu
Jamani Patrick Mungu akuongoze akuepushe na vishawishi 😘😘😘😘
MTANGAZAJI UNAJUA KUULIZA MASWALI SANA NA PATRICK UNAJIBU MASWALI SAFI SANA BIG UP.🇰🇪
IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. I'm not sure
Usibadilike Patrick unapendeza zaid ukiwa hiv mpole mstaarabu kusoma cjui hata kuona con mmmh mekupenda bure
Malaya ww
Flora William n
mbn unasema malaya vipi kulikoni
Safi Sana Dogo Langu komaa Mungu ata kupigania kjana
mnaendana na Jenifa, mkioana mtanoga sana😘
Ndio unachokiwaza
@@zuwenachionda4062 😁😁😁😁😁😁
Binadam bana tuna mapungufu ety wanaendana waozeshe bas tukusifu
@@genvhehenuue4216 huo ni upofu wa kufikiri, kwann kusiwe na msstizo wa kuendlea kuheshimian, kupendn, kusaidian pia, bali mijitu inawaza kuwaozesha tu hawa Watoto.
Watanzani shida tupu yani munawaza kukwichi kwichi jaman mbona ata kaka na dada inapendeza sana
Mashaallah mama njaidi kakuza usilewe usitaa mtoto mzuriee
saaaana halafu kama umegundua wengi humu hawajui kama ni mtoto wa Hidaya Njaidi.
Big up to Sanaa Kaka, Napenda ulivyovyaa ila ilikosekana Kofia but usijali Mwenyezi Mungu akuezeshe ili kutimiza ndoto zako... In sha Allah Mungu ukulinde na akuhifadhi kwa Lilat bayaa
Nice sana
Umenog San kaka kikubw kujitahid
Hivi Hidaya njaidi anajisikiaje kuona mtoto wake kakua hivi,mashallah Mungu aendelee kukulinda.
Dogo amekuwa aisee hadii nimemkumbuka Bro kanumba
Party me nimshabiki wako no1,, nakushauri usibadilike mdogo wangu kuwa heshima kazin na nje ya kazi
Umekuwa mashaallah,bonge la handsome...hongera mama njaidi
Patrick umekuwa handxme aseee😍
Jamn like hapa kama unamkubali Patrick kanumba twende sawa
congratulations to you Patrick. much love ❤❤
Woooh Patrick nakukubaki sana!!
Ongera dogo love u
Vizury Patrick nakubali akuna wa kukupinga Kaka yangu
Hongera sana Patrick umekua sana Mungu azidi kukufanikisha ktk maisha yako
Patrick mzuri kwa kweli, mungu akupe kilicho chema kakaangu
HONGER KWA HILO PATRICK MUNGU AKUBARIKI
Mashaallah umependza kweli mpole umekosa kofiaa tuu Allah akubarik
Nitafurai sana one day nikisikia Patrick &Jenipha wakiwa kwenye mausiano adi kuoana wakaishi milele nawapenda awa watoto adi nashindwa kujizuia
Yooh PATRICK kumbe wewe muislam Maasha Allah Allah akuzidiahie kila la kheri
Yuko vizuri mungu amlinde na kmpigania
Patrick mpole sanaa mpaka raha shee wa ukweli kaza buti maisha marefu bado
Uko vzr sana Patrick kwenye kujibu maswali.
Huyu jamaa ni mtaratibu sana tokea alivyokuwa mdogo.
Upo vizur San umekua Patrick
Umekua mkubwa Patrick juzi to umekua mdogo am proud of u guy
Mashaallah othaman mungu akuzidishie kipaji chako na ndoto zako zitatimia♥️♥️♥️
Dongo uko vizuri kweli
nimekupenda bure othumani unajibu vizuri mashallah arafu umzuri pia hile midevu juzi lnsta picha uliedit
Masha Allah Allah akuondoshee husda yarabiy
Kwa wale wenzangu wa mikoan wanaemkubal hijamaa ndugu yetu kijana mwenzetu Patrick gonga like zenu hapa......😋
TEAM PASUA KICHWA Jimmy video onlin
Patrick we ni mtaratibu na we ni binge LA hnsm
Wow cool unasema kweli!!
mashallah kawa mkubwa mshunuuu
MashaAllah Allah akujalie na kipaje chako na ueshimu dini yk Patrick
Umenikosha apo et ni wemwenyewe ndo bado huyo alitaka ujichanganye watu wakuchukie una akili sana Mungu akutunze young wetu
Nakukubali sana mdog wangu
Nakupenda buree mdogo wangu una msimamo hatari
Hongera sana Patrick
Kaaa umekua li handsome hatariiii mdg wangu
Jomon Umenoga sana Patric 😀
Nakupenda bure sana 😘😘😘natamani tupige Kazi pamoja na. Wew. Jomoni
Love youuu
Oyaaaaa Patrck wew ni mbayaaa Sana kwnye kujbu maswal ya kzushi umetisha mnooooo nmekubali Sana ulvymjbu huy bro
Ubarikiwe
DAMMNNN dude yo kno how to kill interview....SHOUT OUT
Wow!ur so handsome Othman gd bless you
Upole wako nautulivu wako dar nakupenda sana mdogo wangu
Patrick you are so handsome guy love you so much
Patriki ww nzuri nakupenda ww na jenifa nawakubari sana zaidi yasana
yuko vizuri aendelee vivyohivyo
Uhm ka komeya kweli🇨🇩🇨🇩
Unaongea kama king kiba😍
Ila mtoto mzur jmn kaaah
Eva umeona maono hhhh
Yan mpaka rahaa
Wewe eva
@@davidngonyani4923 nambie
@@catherinejohn2067 hahahaaaa weeeh acha tu yn duuuh kawa mtam adi anakela yn
Napenda anavyo ongea kanikumbusha Uncle jj jomoni.
Nakubal sanaq patrick
☺
☺
nice Patrick love you
Othman Allah Akuongoze katika kazi zako.
mashallah patric umekua.
I like u Patrick's ur looked wise an Bright
Ati watoto wakike wanamajina funny funny hivi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂... U funny too dude
Hata umenikumbusha kanumba sana.patrick umekua sasa kijana.Mwenye MUNGU aendeleye kukuongoza wewe na dada yako Jennifer pia kwa kazi zenu namaisha yenu
MashaAllah Patrick umezidi kuwa mzuri🥰🥰
Woow amekua
Patrick amekuw Mansha Allah unaoneka uko na busara
Manshallah nakupenda bule😗
wacha akulipe
Patrick Uwiiiii yeweeh he is very handsome very wisdom ubaki hivyo hivyo.... Don't change bhana Tafadhali
Shukraan Chen Tv" Nilimmiss
Pamoja Sana mpendwa
Live masela vp mbona hamumsupport mwana
Mzur jaman
Vizur Patrick wa kanumba na Jennifer wako
Nakupenda bur💝
mashaallah patiliki umekywa baba
umeongea point nzuri
yaani aka katoto mashallah kazidi kuendeleza usanii kama wakati wa marehemu kanumba
Ani patrick we ni mzuli sana ukiwa na jenif inakua poa sana
Aiiiih mzuri jmn mungu wang
Kama mmeona coment za kumsifia patrck hb n nying mnooooo gonga like😂😂maana s kwa udhuli huo pia patrick angalia wasikuue wamama wameungua na ukimwi mdogo angu da nataman kanumba angeinuka akuone jins ulivyokua dah
Patrick kakuwa mashaa Allah
Waaw apo sawa isie kua in mawe
I like me mwenyewe
Jaman Patrick
duh Patrick umekua mkaka handsome LA ukwee😂😂
mashaallah
Ana saut Kama k2ga
hongera sana patrick umekuwa mkaka sasa
Nakukubali sana p
Patrick maktaba primary ,jenifa upanga primary
good boy
Hidaya njaidi kazaaa mtoto mzur mashallah mmmmh hb balaa
Shomby Hamic kumbe ni mtoto wake ? Inanifuraisha sana
Patriki HB wanawake wanagonga tyu hapo 😂😂😂mung anajua kuumb wallah
Hahahahaha umeonaeeeeee
@@ghatiwambura2514 yaan we acha tu kijan Hb sanaa daah
Umenoga
Amekuwa mkaka mzuri
Dahhh kawa mkaka sasa
Kweli kakuwa kweli
Good speech
Umekuwa jamani pia unajua kujibu maswali eti mimi mwenyewe😂😂
Anifa juma juma uko vizuri sana bro Tanzania tunavipaji fufueni na wengine jamaniii,,,!!
Mungu akulinde kaka upo vizuri
Umekuwa hb Sana
Umekuwa sana mdogo wangu hongera yako endelea kuwa na busara yako hivyo hivyo
Big up san patrick
Mapishi