BILA KUFICHA: PATRICK KANUMBA 'AFICHUA KUHUSU KUMTAMANI JENIFA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #CHENIUPDATE #EXCLUSIVE

Комментарии • 437

  • @queenkhalimaqueenkhalima3174
    @queenkhalimaqueenkhalima3174 5 лет назад +599

    Jumon like zake Patrick hapa kama bado unamkubali maana ni mtaratibu sana kwakweli 👏👏👏👏.😘

  • @eliamanimbise2307
    @eliamanimbise2307 5 лет назад +125

    upo vizuri mdogo wangu watu tunakuwa jamani gonga like km unampenda patrick

  • @febisalameck6507
    @febisalameck6507 5 лет назад +533

    Kama unaamn patrck n hb na unampenda gonga like❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @leilahassan5047
    @leilahassan5047 5 лет назад +144

    wew p ni HB sana Ila usilinge kuwa na heshima hivyo hivyo

  • @hamedmohammedjafari6114
    @hamedmohammedjafari6114 5 лет назад +39

    Anaeuliza maswali yuko vizuri na patrick nae anajibu vizuri..........big up sana patrick Allah akujaalie kila LAKHERI

  • @aminambonamasabo1741
    @aminambonamasabo1741 5 лет назад +131

    Safi sana ,unajua kujielezea vzr na una heshima pia, mungu akunze...

  • @sophienico4736
    @sophienico4736 5 лет назад +160

    Wamama wasimualibu mtoto jmn kama kweli,mtt mwenye akili anaonekana kuongea tuu🙏

  • @penvyl0tieno200
    @penvyl0tieno200 5 лет назад +43

    I like how Patrick is talkink ana ujasiri na hekma sana i like the boy he is like a bother to me like u big up bro

  • @barekesteve2422
    @barekesteve2422 5 лет назад +16

    he is very confident about what's he's saying wow big up bro wazai wako wamejaliiwa na mtoto mwenye upole naustarabu

  • @rahmamgoo6146
    @rahmamgoo6146 5 лет назад +3

    Jamani Patrick Mungu akuongoze akuepushe na vishawishi 😘😘😘😘

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад +106

    MTANGAZAJI UNAJUA KUULIZA MASWALI SANA NA PATRICK UNAJIBU MASWALI SAFI SANA BIG UP.🇰🇪

    • @muhammadzafar4069
      @muhammadzafar4069 4 года назад

      IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. I'm not sure

  • @florawilliam5785
    @florawilliam5785 5 лет назад +97

    Usibadilike Patrick unapendeza zaid ukiwa hiv mpole mstaarabu kusoma cjui hata kuona con mmmh mekupenda bure

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 лет назад +15

    Safi Sana Dogo Langu komaa Mungu ata kupigania kjana

  • @mercymoshi3666
    @mercymoshi3666 5 лет назад +141

    mnaendana na Jenifa, mkioana mtanoga sana😘

    • @zuwenachionda4062
      @zuwenachionda4062 5 лет назад

      Ndio unachokiwaza

    • @ameenaameena3324
      @ameenaameena3324 5 лет назад

      @@zuwenachionda4062 😁😁😁😁😁😁

    • @genvhehenuue4216
      @genvhehenuue4216 4 года назад +2

      Binadam bana tuna mapungufu ety wanaendana waozeshe bas tukusifu

    • @tausimbelwa6364
      @tausimbelwa6364 4 года назад +1

      @@genvhehenuue4216 huo ni upofu wa kufikiri, kwann kusiwe na msstizo wa kuendlea kuheshimian, kupendn, kusaidian pia, bali mijitu inawaza kuwaozesha tu hawa Watoto.

    • @superwomankulwa620
      @superwomankulwa620 4 года назад

      Watanzani shida tupu yani munawaza kukwichi kwichi jaman mbona ata kaka na dada inapendeza sana

  • @imtiazabdul3347
    @imtiazabdul3347 5 лет назад +26

    Mashaallah mama njaidi kakuza usilewe usitaa mtoto mzuriee

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      saaaana halafu kama umegundua wengi humu hawajui kama ni mtoto wa Hidaya Njaidi.

  • @fatimakassim4220
    @fatimakassim4220 5 лет назад +17

    Big up to Sanaa Kaka, Napenda ulivyovyaa ila ilikosekana Kofia but usijali Mwenyezi Mungu akuezeshe ili kutimiza ndoto zako... In sha Allah Mungu ukulinde na akuhifadhi kwa Lilat bayaa

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +5

    Hivi Hidaya njaidi anajisikiaje kuona mtoto wake kakua hivi,mashallah Mungu aendelee kukulinda.

  • @barakachares1957
    @barakachares1957 5 лет назад +35

    Dogo amekuwa aisee hadii nimemkumbuka Bro kanumba

  • @dianarobert5640
    @dianarobert5640 5 лет назад +56

    Party me nimshabiki wako no1,, nakushauri usibadilike mdogo wangu kuwa heshima kazin na nje ya kazi

  • @juliananemes766
    @juliananemes766 5 лет назад +8

    Umekuwa mashaallah,bonge la handsome...hongera mama njaidi

  • @valeriageorge9097
    @valeriageorge9097 5 лет назад +13

    Patrick umekuwa handxme aseee😍

  • @mwanahamisnsillah6163
    @mwanahamisnsillah6163 4 года назад +3

    Jamn like hapa kama unamkubali Patrick kanumba twende sawa

  • @sarahrushingwa8963
    @sarahrushingwa8963 5 лет назад +8

    congratulations to you Patrick. much love ❤❤

  • @noelankumbi4971
    @noelankumbi4971 5 лет назад +25

    Woooh Patrick nakukubaki sana!!

  • @sarachaula7081
    @sarachaula7081 5 лет назад +5

    Hongera sana Patrick umekua sana Mungu azidi kukufanikisha ktk maisha yako

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 5 лет назад +6

    Patrick mzuri kwa kweli, mungu akupe kilicho chema kakaangu

  • @joycematonya1241
    @joycematonya1241 5 лет назад +10

    HONGER KWA HILO PATRICK MUNGU AKUBARIKI

  • @aishamashaallamashaallawat4755
    @aishamashaallamashaallawat4755 5 лет назад +2

    Mashaallah umependza kweli mpole umekosa kofiaa tuu Allah akubarik

  • @olgacaleb2790
    @olgacaleb2790 4 года назад +1

    Nitafurai sana one day nikisikia Patrick &Jenipha wakiwa kwenye mausiano adi kuoana wakaishi milele nawapenda awa watoto adi nashindwa kujizuia

  • @ameenaameena3324
    @ameenaameena3324 5 лет назад +1

    Yooh PATRICK kumbe wewe muislam Maasha Allah Allah akuzidiahie kila la kheri

  • @deborahisimail6698
    @deborahisimail6698 5 лет назад +6

    Yuko vizuri mungu amlinde na kmpigania

  • @abdulqareemabdala2772
    @abdulqareemabdala2772 5 лет назад +8

    Patrick mpole sanaa mpaka raha shee wa ukweli kaza buti maisha marefu bado

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 5 лет назад +11

    Uko vzr sana Patrick kwenye kujibu maswali.

  • @hamismusa7314
    @hamismusa7314 5 лет назад +17

    Huyu jamaa ni mtaratibu sana tokea alivyokuwa mdogo.

  • @selekidebe4385
    @selekidebe4385 5 лет назад +23

    Upo vizur San umekua Patrick

  • @brilliannangila3328
    @brilliannangila3328 5 лет назад +4

    Umekua mkubwa Patrick juzi to umekua mdogo am proud of u guy

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 3 года назад

    Mashaallah othaman mungu akuzidishie kipaji chako na ndoto zako zitatimia♥️♥️♥️

  • @shefaashefaa1930
    @shefaashefaa1930 5 лет назад +15

    Dongo uko vizuri kweli

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 5 лет назад +27

    nimekupenda bure othumani unajibu vizuri mashallah arafu umzuri pia hile midevu juzi lnsta picha uliedit

    • @sadaaboss19
      @sadaaboss19 5 лет назад

      Masha Allah Allah akuondoshee husda yarabiy

  • @mzikiwetulyricsofficiall5003
    @mzikiwetulyricsofficiall5003 5 лет назад +51

    Kwa wale wenzangu wa mikoan wanaemkubal hijamaa ndugu yetu kijana mwenzetu Patrick gonga like zenu hapa......😋

  • @louvinvich1917
    @louvinvich1917 5 лет назад +2

    Wow cool unasema kweli!!

  • @nasryathabit6863
    @nasryathabit6863 5 лет назад +14

    mashallah kawa mkubwa mshunuuu

  • @mwanatumukombo3519
    @mwanatumukombo3519 4 года назад

    MashaAllah Allah akujalie na kipaje chako na ueshimu dini yk Patrick

  • @asifiwembwilo9321
    @asifiwembwilo9321 5 лет назад +13

    Umenikosha apo et ni wemwenyewe ndo bado huyo alitaka ujichanganye watu wakuchukie una akili sana Mungu akutunze young wetu

  • @janetvenance5487
    @janetvenance5487 5 лет назад +4

    Nakukubali sana mdog wangu

  • @lindajohn2156
    @lindajohn2156 5 лет назад +8

    Nakupenda buree mdogo wangu una msimamo hatari

  • @subirachrispin9209
    @subirachrispin9209 4 года назад +1

    Hongera sana Patrick

  • @eunicegodfray8317
    @eunicegodfray8317 5 лет назад +6

    Kaaa umekua li handsome hatariiii mdg wangu

  • @joycepatric8567
    @joycepatric8567 5 лет назад +11

    Jomon Umenoga sana Patric 😀

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 5 лет назад +14

    Nakupenda bure sana 😘😘😘natamani tupige Kazi pamoja na. Wew. Jomoni

  • @qobercostant8238
    @qobercostant8238 5 лет назад +3

    Oyaaaaa Patrck wew ni mbayaaa Sana kwnye kujbu maswal ya kzushi umetisha mnooooo nmekubali Sana ulvymjbu huy bro

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 5 лет назад +17

    DAMMNNN dude yo kno how to kill interview....SHOUT OUT

  • @dorah5756
    @dorah5756 5 лет назад +2

    Wow!ur so handsome Othman gd bless you

  • @lindaemmanuel5215
    @lindaemmanuel5215 5 лет назад +13

    Upole wako nautulivu wako dar nakupenda sana mdogo wangu

  • @mussaomaryomary6712
    @mussaomaryomary6712 4 года назад +3

    Patrick you are so handsome guy love you so much

    • @angelinanicholaus6670
      @angelinanicholaus6670 4 года назад

      Patriki ww nzuri nakupenda ww na jenifa nawakubari sana zaidi yasana

  • @gracenathanael1817
    @gracenathanael1817 5 лет назад +5

    yuko vizuri aendelee vivyohivyo

  • @francoisetembere4217
    @francoisetembere4217 5 лет назад +9

    Uhm ka komeya kweli🇨🇩🇨🇩

  • @jovinapaschal1315
    @jovinapaschal1315 5 лет назад +7

    Unaongea kama king kiba😍

  • @evachriss5906
    @evachriss5906 5 лет назад +131

    Ila mtoto mzur jmn kaaah

  • @bahatistrongwoman
    @bahatistrongwoman 5 лет назад +65

    Napenda anavyo ongea kanikumbusha Uncle jj jomoni.

  • @marrystephen182
    @marrystephen182 5 лет назад +3

    nice Patrick love you

  • @khadijaamani5574
    @khadijaamani5574 5 лет назад +1

    Othman Allah Akuongoze katika kazi zako.

  • @ngemabohero2853
    @ngemabohero2853 5 лет назад +9

    mashallah patric umekua.

  • @ctcajackson5641
    @ctcajackson5641 5 лет назад +8

    I like u Patrick's ur looked wise an Bright

  • @boboyann3435
    @boboyann3435 4 года назад +4

    Ati watoto wakike wanamajina funny funny hivi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂... U funny too dude

  • @adriennebalenba117
    @adriennebalenba117 5 лет назад +5

    Hata umenikumbusha kanumba sana.patrick umekua sasa kijana.Mwenye MUNGU aendeleye kukuongoza wewe na dada yako Jennifer pia kwa kazi zenu namaisha yenu

  • @faridamumbe5363
    @faridamumbe5363 4 года назад

    MashaAllah Patrick umezidi kuwa mzuri🥰🥰

  • @marposakenia2229
    @marposakenia2229 4 года назад +3

    Woow amekua

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 лет назад +14

    Patrick amekuw Mansha Allah unaoneka uko na busara

  • @fanilaakimana6653
    @fanilaakimana6653 5 лет назад +5

    Manshallah nakupenda bule😗

  • @chelseajohn9813
    @chelseajohn9813 5 лет назад +1

    Patrick Uwiiiii yeweeh he is very handsome very wisdom ubaki hivyo hivyo.... Don't change bhana Tafadhali

  • @challabeel578
    @challabeel578 5 лет назад +27

    Shukraan Chen Tv" Nilimmiss

  • @aishayahya7687
    @aishayahya7687 5 лет назад +7

    Mzur jaman

  • @emmanueliemmanueli7600
    @emmanueliemmanueli7600 4 года назад +2

    Vizur Patrick wa kanumba na Jennifer wako

  • @hyppamjoxeph99
    @hyppamjoxeph99 5 лет назад +3

    Nakupenda bur💝

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 5 лет назад +11

    mashaallah patiliki umekywa baba

  • @saidkinganuarykingazi2012
    @saidkinganuarykingazi2012 5 лет назад +3

    umeongea point nzuri

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 5 лет назад +61

    yaani aka katoto mashallah kazidi kuendeleza usanii kama wakati wa marehemu kanumba

    • @agnessgabriel8283
      @agnessgabriel8283 4 года назад +1

      Ani patrick we ni mzuli sana ukiwa na jenif inakua poa sana

  • @rhamlaally2318
    @rhamlaally2318 5 лет назад +2

    Aiiiih mzuri jmn mungu wang

  • @mankakweka3460
    @mankakweka3460 5 лет назад +2

    Kama mmeona coment za kumsifia patrck hb n nying mnooooo gonga like😂😂maana s kwa udhuli huo pia patrick angalia wasikuue wamama wameungua na ukimwi mdogo angu da nataman kanumba angeinuka akuone jins ulivyokua dah

  • @billylovebilly9418
    @billylovebilly9418 5 лет назад +2

    Patrick kakuwa mashaa Allah

  • @musyokimutua6592
    @musyokimutua6592 5 лет назад +3

    Waaw apo sawa isie kua in mawe

  • @hassanissa4792
    @hassanissa4792 5 лет назад +8

    I like me mwenyewe

  • @raymondmashaka8824
    @raymondmashaka8824 5 лет назад +3

    Jaman Patrick

  • @verominja3266
    @verominja3266 5 лет назад +7

    duh Patrick umekua mkaka handsome LA ukwee😂😂

  • @misslittleabbubakary6966
    @misslittleabbubakary6966 5 лет назад +3

    mashaallah

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 лет назад +14

    Ana saut Kama k2ga

  • @johncharles6503
    @johncharles6503 5 лет назад +1

    hongera sana patrick umekuwa mkaka sasa

  • @vivianmbonamnawekavipandev6114
    @vivianmbonamnawekavipandev6114 5 лет назад +1

    Nakukubali sana p

  • @omarisalum3699
    @omarisalum3699 5 лет назад +10

    Patrick maktaba primary ,jenifa upanga primary

  • @zershmohammed1450
    @zershmohammed1450 5 лет назад +4

    good boy

  • @shombyhamic9582
    @shombyhamic9582 5 лет назад +1

    Hidaya njaidi kazaaa mtoto mzur mashallah mmmmh hb balaa

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija6212 5 лет назад +29

    Patriki HB wanawake wanagonga tyu hapo 😂😂😂mung anajua kuumb wallah

  • @fatumaramadhani9077
    @fatumaramadhani9077 5 лет назад +20

    Amekuwa mkaka mzuri

  • @RahmaRamadhan-hs2md
    @RahmaRamadhan-hs2md 5 лет назад +34

    Dahhh kawa mkaka sasa

  • @godfreywilliam9368
    @godfreywilliam9368 4 года назад +1

    Good speech

  • @anifajumajuma2681
    @anifajumajuma2681 5 лет назад +9

    Umekuwa jamani pia unajua kujibu maswali eti mimi mwenyewe😂😂

    • @seciliakasambala9140
      @seciliakasambala9140 5 лет назад +1

      Anifa juma juma uko vizuri sana bro Tanzania tunavipaji fufueni na wengine jamaniii,,,!!

    • @naomichali9175
      @naomichali9175 5 лет назад

      Mungu akulinde kaka upo vizuri

  • @rosecandysymon7293
    @rosecandysymon7293 5 лет назад +4

    Umekuwa hb Sana

  • @subirachrispin9209
    @subirachrispin9209 4 года назад

    Umekuwa sana mdogo wangu hongera yako endelea kuwa na busara yako hivyo hivyo

  • @agathamross9478
    @agathamross9478 5 лет назад +6

    Big up san patrick