LISSU AKABIDHIWA RASMI GARI LAKE, ATOA KAULI NZITO KWA JESHI LA POLISI
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Sote tutakufa pengine waliofanya hiv wengine wameshatangulia mbele ya haki
Wote mjomba wameshalamba mchanga,usicheze namungu
Haki ya Mtu hapoitei hata ingiingia kwenye mikono ya adui Yako Kama ni haki Yako itarudi mikononi mwako .
Pole sana kamanda wetu wee sio binadam wakawaida ila umeletwa namungu huku duniani .
Haki ya Mtu haizami Mungu Mkubwa Iko siku waliofanya unyama wa kumpiga Lisu na wao watalipwa Kwa walichokifanya hapa hapa duniani Mungu halali
Walikuwa majambazi upelelezi aujakamilika
Pole sana
Daaaaaaaah hii dunia kweli tunapitaa usimfanyie ubaya mwenzio
Wangelitengeneza kabla..you are too strong😢
Mungu aendelee kukuimarisha upone
Ama kweli gold lazima ipite kwenye moto
Polic wapo vzr sasaivi jamni wanawasikiliza watu vzr mungu awabariki
Wasengetu anae ongea nimkubwa kuliko wao laxima watulie
Pole mheshimiwa🙏
Tupo vizuri kwa ulinzi wa raia
😢😢
Lisu aliumizwa mno,,Mungu amkumbuke🎉
Tundu lisu mungu akulipe heri amiin
MI NADHANI NI VYEMA LISITENGENEZWE KAMA NI LA KUMBUKUMBU KAMA KUNA WATU WA KUSAIDIA BASI WACHANGE WANUNUE JIPYA .
Ya Mungu mengi wanyaturu w mezeee wembe mnyampaa wa singida, c wanyuturu ww fumbo, Atraghunkie avaa,vatiudahaa, Allah pekee,wa meze wembe kikowp,
Polisi polisi police wanafk sana
Kaisha lipwa stahiki zake zote, hvyo tunahtaji aman tu tz, maana wanasiasa huleta machafuko afu wao na familia zao wanakimbia nje ya nchi,
Wanaoumia ni watu na familia maskini,
Hvyo tuweni makini tujitahd kumuomba mungu na kutumia hakiri zetu ktk maelekezo tunayopewa na viongoz wetu
Ushauri wangu hilo gari lisitengenezwe lipelekwe makumbusho na wewe ununuliwe nyengine km hio
Kwa makumbusho sawa kabisa
Tatizo matusi nyinyi
Very dark moment in the history of Tanzania
Lissu kaka yangu unajua kufikiri sana, plate no ya gari umeshajua ipo mjini na inadaiwa!
Uhai wa MTU UKO mikononi mwa mwenyezi Mungu.
Halafu tunaambiwa Tanzania Nchi ya Amani
Sana nchi ya amani
Kutaka kuliwa uyu sio Useme Tanzania sio nchi ya Amani Ushaona vita toka kidogo njee ya Tz jibu Utajipa mwenyewe wacha kuongea no sense man
@@kilogreekachananawatuwasio4054Acha kuongea pumbavu pia
C Lazima Vita ss haya Maswala ya kupigana Risasi na Ujambazi Amani hiyo ipo wp amka kjn maana Naona Umelala
@@user-xy4kt8wk6l kupigana risasi popote watu wanapigana ata ivyo kalindwa na gari lake tumemlindia tatizo liko wapi apo muacheni mamayetu kipenzi achape kazi mambo ya lisu ilikuwa baati mbaya lisu tunampenda sana
Dunia mapito kila mtu hatapita
Magufuli was a bad man
Auhuru kamili bado sana
Hiyo gari iwekee kuwa kumbukumbu siku ukombozi utakapotokea
Tumwachie mungu atakulipa
Mimi nashauri Sana kwamba, tupitishe Mchango wa Kununua Gari lingine la kutumia Mheshimiwa Tundu, na hili la Tundu Lisu lililoharibiwa liwekwe kwenye makumbusho sasa
Watotowako wamekulaa?
Tundu antipasi lisu wewe ndio Raisi wa Tanzania 2025 na Mungu akubariki kabisa
Ampe nani vibaraka wakubwa
Duniani tunapita
Kariweke liwe kumbukumbu nje ya jengo la makao makuu
MUNGU ANANGUVU SANA
Hivi.huyundoanakaa.anajaribu.kabs.kumtukana.mama.kweli.lghaasani.yotehiyoakikufanyia.bado.shukraniyako.ndo.unamlipakumtukana.kwelibora.magufuli.angebaki.mpaka.leo.tungeona.mambomazuri.cnaaaaaa
Hawana shabaha walofyatua risasi risasi nyingi hazijapiga ktk kioo
Hapana ndugu,sioshabaha,ni mungu hakuruhusu
Hongera sana kwa jeshi la polisi Tanzania mmefanya jambo la busara sana kukabidhi Mali halali ya lisu
Akili huna unapongeza waaliifu 😮😮
hongera ya nn sasa apo ndg tufafanulie
@@deniccgabriel6153ualifu gani
@@TheGoldmanTzkwakumuidazia vizuri
Anae tumia plate number hiyo ni mhusika namba 2
Mtukanaji ni nani sema msema ukweri kaja ajawainizo ni akili zako za kimasikini na kutokua na erimu Yani wewe kichwa ni mzigo kwa shongo
UNAMZAMIRIA KUMU_UWA MWENZIO KUMTIA KILEMA. UNASAHAU KMA NA WWE IPO SIKU NAMOJA UTAKUFA NAUTAKWEND KKUTANA NALIE KU_UMBA HAPO NDIPO UTAKAPO JUTA NAKULIA ILA WAPI 😭😭😭 TUBIA KABLA HAUJA KUFIKIA UMAUTI ALLAH NIMWING WAKUPOKEA TOBA
WAWE LISSU NDIO UMEFANYA MIPANGO NA WAZUNGU KUTUONDOLEA MPENDWA WATU MAKUFULI KABLA KUFA ULIKUA UNATANGAZA KIFO BOLA RISASI ZINGEKUUA TU MTUMWA WA MANYANGAU WEWE
Mkunduthe hii. Kwani makifuru hakujaribu kumuua?
Hili gari usilitengeneze mkuu liweke makumbusho
Sio mbaya mpe kibunda atafanya Hivyo 😏😏😏
Jeshi la police 🚔 linazingatia wananchi wake ndio mahana tumekuifazia vizuri tupo pamoja na wananchi wetu
Duuuuuuh Kuna namna anazitaja hizo risasi unaweza sema ni manati aiseee marisasi na marisasi ila Yuko hai
huyu mwamba ni Mtumishi wa Mungu
Aisee ule utawala ule dadaki😂 usingerudi TZ milele ndugu.
Leo tena unamtuka mama? Kweli ww ni tundu
Mtukanaji kapewa gali lake
Shida yetu Sisi Waafrica hatutaki kuambiwa ukweli na huwa tukiambiwa ukweli tunaugeza kuwa ni matusi;Mbona unakimbilia kuyaona matusi huoni alivyogeuzwa kilema?
Matayo ya Bibi Yako
Mjinga weee
tumia akili na nyakati usipende kuongea ujinga
Chunga kauli zako.
Ipereke makunbusho kaka itakuwa inakuingizia pesa kaka lisu usiitengeze Bora iweke makunbusho itakuwa kumbukumbuu