Wanaomubeza Professor Kabudi hawazichambui kwa kina hoja zake. Nikuwa samehe bila gharama. Kwa kifupi ni vyema uwekeze ili upate pesa yakufanya shughuli singing za maendeleo kwa uendelevu.( Sustainability).
Makundi yote makuu ya Ligha Duniani wapo hapa Tanzania. Wabantu Wakoisan Wakushi Wanilotick Afro-asiatic - Wairaque na Wambugu Huu ni utajiri. Tujadili:
Wanaomubeza Professor Kabudi hawazichambui kwa kina hoja zake. Nikuwa samehe bila gharama. Kwa kifupi ni vyema uwekeze ili upate pesa yakufanya shughuli singing za maendeleo kwa uendelevu.( Sustainability).
Wagerumani lazima wawajibike
Waziri wa Utamaduni ?
Hakika wewe ni professor
Makundi yote makuu ya Ligha Duniani wapo hapa Tanzania.
Wabantu
Wakoisan
Wakushi
Wanilotick
Afro-asiatic - Wairaque na Wambugu
Huu ni utajiri. Tujadili:
Huyu kabudi na usomi wake anazungumza pumba inasikitisha kwa ubaguzi wake watu hawana maji ya kunywa anataka sprinkler za maua