Nimeota nyama ilochinjwa buchani ila ina damu naishangaa ile nyama kama ya binadamu mala kichwa chake na taya lake kiujumla ni mnyama nikastuka usingizi na kuomba allahu sw 🤲🤲kama ya shari aiepushe
amefanya dhambi huyo nduguye maana hii ndoto lakwanza katika maana zake ni hii Allaah taalka amemsema قُتِلَ الْلِإنْسَانُ مَا أَكْفَرَ amelaaniwa mtu pale alipokufuru (ameuwawa mtu pale alipopinga) maana hii ya kwenye mabano inazingatia nje udhahiri wa mameno hivyo hapo unapata hilo , lakini inaweza ikajulisha kwamba huyu hajaongozeka ni mpotovu
Mtu akiota swala anachinjwa ila baada ya kukatwa kichwa na kukimbia kuelekea katikati ya watu waliokuwa kwenye sherehe kisha kutaka kuwaambia habari ya maadui zao ila kabla hajazungumza mtu anatokea nyuma na kumchinja, inamaanisha nn?
Nimeota mkewangu kapakiwa kwenye bodaboda walifika njiapanda wakasimama nikatokea mm ghafla yulekijana mmoja alikua na panga nika mpora panga na nika wachinja wote watatu nika ondoka na mkewang
Mtu akiota anaogelea kwenye kitanda katika hoteli ya kitalii na watu mbalimbali walikuwepo wakiogelea ila anayeogelea nae akiweza kufika mwisho wa maji na kurudi juu, pia mtu huyo katika ndoto akiwa ni mchumba wake; nn tafsiri yake?
MIMI NIMEOTA WATU WATATU WAMEKUFA NDANI YA CHUMBA NILICHO PANGA MMOJA MPANGAJI MWENZANGU MWINGINE NI BABU YANGU MMOJA SIMJUI ILA NILIKUWA NA BABA YANGU NDO NAMWAMBIA FURANI NA FURANI WAMEKUFA ILA KIUWALISIA UYO BABA YANGU AKAI HUMU NAPOISHI MIMI AKAJA KUWATAZAMA IZO MAITI CHA AJABU MAITI ZENYEWE AZINA VIWILI WILI KIPO KICHWA AWAKWA ANACHUKUWA KICHWA KIMOJA KIMOJA KUTAMBUA WAKINA NANI WALOKUFA! JE NDOTO INAMANISHA NN?
As Salam wa rahmatulah shehe naomba unitafsirie ndoto ya kuchinja kondoo
Nimeota nyama ilochinjwa buchani ila ina damu naishangaa ile nyama kama ya binadamu mala kichwa chake na taya lake kiujumla ni mnyama nikastuka usingizi na kuomba allahu sw 🤲🤲kama ya shari aiepushe
Shekhe Asamaleykum mi nimeota mume wangu kachinjwa polini na hii inajirudi rudio sana
Allah taala aepushe isiwe kama ulivyoona, ndoto hujulisha maranyingi juu ya kuwa atadhulumiwa.
@@MTAVASSYTv asante sana
As salamu alaikumu wa rahmatulah kwa kweli una itaji ulinzi wa Allah, barkalah fika
Allaahumma aamiyn
Ki ulutwe nini?
Jee ukiota unachinjwa wewe mwenyewe tapsiri yake niipi
@@irhadiddi94utadhulumiwa au wewe urafanya dhambi Allah akuepushe na yote hayo
@@irhadiddi94utadhulumiwa au utafanya dhambi Allah akulinde na yote hayo
Mimi nimeota Kuna mbuzi inachinjwa harafu damu ikamwagikia mm
Asante Sana shehe.
Mimi nimeota kuku amechinjwa ila sikujua nani amemchinja.
Nikapewa namimi nianze kumkatakata nyama,
Shehe hi ndoto in maana gani?
Jamani kila siku sijibiwi comment zangu.nimeona niko nacuna kuku nyumbani.ndoto zangu sijibiwag 😭
Ishara ya kupata riki kidogo au itajulisha kuwa wewe haumjibu msoma adhana
Asalam alykum mi mara nyingi huota kuku wengi wakubwa na wadogo wengine mara wamekufa na huota mume wangu anachija kuku
Me nimeota nashuudia mauwaji mwanamke anachinja mwanaume 😢
Nimeota nipo na mke wangu Kisha tukakutana na kundi la ng'ombe,Kisha nikamchinja ng'ombe mmoja na nyam kuziwek ktk ndoo
Inshallah utapata neema, lakini kuna matatizo ya ndoto hizi kwani hujulisha kuwa muonaji ni dhalimu mara nyingine 🤔🤔🤔🤔
A,alykumu, Mimi nimeota malehemu mume wangu kachinja mnyama alafu Mimi nikamchuna maana yake nini.
Muombee dua tu kwasababu ya hii ndoto inakupa ukumbusho tu mama
Mimi nimeota nimemchinja nyoka
utamshinda adui yako au utamuingilia mwenza wako
Nimeota ndoto ndugu yangu kachijwa kichwa naomba unitafusirie
amefanya dhambi huyo nduguye maana hii ndoto lakwanza katika maana zake ni hii Allaah taalka amemsema قُتِلَ الْلِإنْسَانُ مَا أَكْفَرَ amelaaniwa mtu pale alipokufuru (ameuwawa mtu pale alipopinga) maana hii ya kwenye mabano inazingatia nje udhahiri wa mameno hivyo hapo unapata hilo , lakini inaweza ikajulisha kwamba huyu hajaongozeka ni mpotovu
Ninaota ndoto mume wang anachinja mbwa alf anauza mapande yake nn maana yake
Salamu sheh, nimeota nachinja 🐔 mweupe, naweka damu yake kwenye beseni na manyoya yake naweka umo umo naoga, du! Nini maana yake, nisaidie sheh.🙏
Nimeota ndugu ya babangu akichinjwa ila mchinjaji sikumjua maana n nini
Naomba shehe unipe tafsili ya ndoto naota nagombana na ba mdogo tunatumia mapanga lkn kanikata uson damu zkawa znamwagika nyingi nn maana yake
Asww sheh niunge kwenye Group lako
+255656606014
Bas mkitoa tafsir toni direct msizunguke mno
Uelewa wa watu hutofautiana hivyo njia hii husaidia ila inshaallaah tutalifanyia kazzi
Sasa kameluti ndio nini sasa wewe tumia kiswahili kiarabu na sisi wapi na wapi
Nimeota shemeg yang kawachinja kuku wa 2 jogoo wa rangi mchanganyiko,nini maana yake
huyo haswali mhusieni aswali, au laa basi kuna dhulma anafanya.
@@MTAVASSYTv inshaaAllah, ahsante
Mtu akiota swala anachinjwa ila baada ya kukatwa kichwa na kukimbia kuelekea katikati ya watu waliokuwa kwenye sherehe kisha kutaka kuwaambia habari ya maadui zao ila kabla hajazungumza mtu anatokea nyuma na kumchinja, inamaanisha nn?
Nimeota mkewangu kapakiwa kwenye bodaboda walifika njiapanda wakasimama nikatokea mm ghafla yulekijana mmoja alikua na panga nika mpora panga na nika wachinja wote watatu nika ondoka na mkewang
acha dhulma utafanya dhulma na kukimbia, kama pia yaweza sema lingine ni kuwashinda maadui au maradhi inshaallaaah
Asww Sheh naoba uniuge kwenye grup lako niliibiwa simu namba 25761208962 ni mimi mariam
Mimi naomba nisaidie nimetoa namchinja mtu. Maana yake nini?
Nmeota nmkimbiza jogoo akat nmkamata kulikua na mayai mawil tukapika na wali tafsir yke nn shekh
Nimeota nagawa nyama ilio chinjwa Ila Sijui Nani kachinja nini maana yake
Umemuingilia mwanamke usiyejua hata nani kambikiri ( na pia yaweza kujulisha kuwa unafanya jambo au upo na mwanamke hujui historia yake)
Mtu akiota anaogelea kwenye kitanda katika hoteli ya kitalii na watu mbalimbali walikuwepo wakiogelea ila anayeogelea nae akiweza kufika mwisho wa maji na kurudi juu, pia mtu huyo katika ndoto akiwa ni mchumba wake; nn tafsiri yake?
Samahn nimeota nimekatwa kichwa Nini maana yake
Sophiamarwa4067 umeota umekatwa kichwa inamaana umekatwa unatumika kichwa chako kwenye biashara omba Sana au uangaike
Nimeota mtu anamchinja ngombe
MIMI NIMEOTA WATU WATATU WAMEKUFA NDANI YA CHUMBA NILICHO PANGA MMOJA
MPANGAJI MWENZANGU MWINGINE NI BABU YANGU MMOJA SIMJUI ILA NILIKUWA
NA BABA YANGU NDO NAMWAMBIA FURANI NA FURANI WAMEKUFA ILA KIUWALISIA UYO
BABA YANGU AKAI HUMU NAPOISHI MIMI AKAJA KUWATAZAMA IZO MAITI CHA AJABU
MAITI ZENYEWE AZINA VIWILI WILI KIPO KICHWA AWAKWA ANACHUKUWA KICHWA
KIMOJA KIMOJA KUTAMBUA WAKINA NANI WALOKUFA! JE NDOTO INAMANISHA NN?