USIYOYAJUA UNAPOOTA KATIKA NDOTO YAKO MBUZI MNYAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 21

  • @hassanramadhan2794
    @hassanramadhan2794 Год назад

    Asalam alykum warahmatullah wabarakat ndotoyangu nimechinja mbuzi nini mana??

  • @ashamwalimu2783
    @ashamwalimu2783 2 года назад

    Habari... Nini maana yake ukiota umemwona mtu chini mnyama na juu ni mtu

  • @twizerimanaabdoul389
    @twizerimanaabdoul389 2 года назад +2

    Mimi nimeota nikielekea kumcinja binadam akageuka mbuzi nini maana

  • @cynthiamathias7913
    @cynthiamathias7913 Год назад

    Mimi nimeota mbuzi lakini akakatwa shingo kidogo na dungu yetu ambaye so mzuri kwa family YANGU lakini akamshona tena alivyo ona nimemuona

  • @ShemsaNtahimana
    @ShemsaNtahimana 4 месяца назад

    Nimeota mbuzi km inatak kunisek nikashtuk hiyi inamaanagani?

  • @lawrencefelix2986
    @lawrencefelix2986 Год назад

    Niliota napaa angani Kwa gizaa ,,,kisha nikatamka JINA la yesu nikaendelea Tu juu juu

  • @MajiDawa-sl1wy
    @MajiDawa-sl1wy Год назад

    Mimi nimeota ng'ombe 3 mweupe mweusi na mwekundu, Kisha aliambatana na mbuzi mwekundu walikua wanaa afya ya kawaida

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад

    Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakaatuh
    Mimi nikiota ndoto maranyingi nasahau nini tatizo

  • @twizerimanaabdoul389
    @twizerimanaabdoul389 2 года назад

    Nimekuwa na binadam nikielekea kumcinja pale nimepitiana nawatu akageuka mbuzi nini maana

  • @kenyagati5594
    @kenyagati5594 2 года назад

    Urofa nini??

    • @kondeboy6155
      @kondeboy6155 Год назад

      ni umaskini au hali ngumu ya kimaisha

  • @MiriamNgirimu
    @MiriamNgirimu Год назад

    Asate mukimu juu ya tafsiri zako nilionta najinja buzi na ninaingea maneno ya kukenea case

  • @mwanajunior1844
    @mwanajunior1844 Год назад

    Habar nin maana yake ukiota mbuzi anakukimbiza

  • @rajabmwayama9257
    @rajabmwayama9257 Год назад

    Na pia ukiota unapika mayai ya kuku inamaana gani

  • @nahlahaljahlan9014
    @nahlahaljahlan9014 2 года назад

    Nmeota mbuzi wanakula mahindi shamban akatoka mdigo wangu w kiume akawafukuza ina maanish nn

  • @rajabmwayama9257
    @rajabmwayama9257 Год назад

    Ukiota unapika kichwa Cha mbuzi

  • @nahiyahamdan5281
    @nahiyahamdan5281 Год назад

    Jee kama kaota mwanmke indio kaota

  • @Hashimar002
    @Hashimar002 2 года назад

    Niliota napigana na mbuzi

  • @nurdinmuhtwara2622
    @nurdinmuhtwara2622 3 года назад

    Nini maana ya kumuota kondoo shekhe

  • @saudagama4359
    @saudagama4359 2 года назад

    ndoapo maneno mengi chamana amna ghorofa ndo nn xx

    • @eunicewambui3738
      @eunicewambui3738 Год назад

      Nliota kondoo yangu imeibiwa na ikashinjwa nkaashiwa ngozi la juu .alafu nkaota wameiba kuku wakaasha vivaranga.