Asalaam aleikhum sheikh,,mimi nimeota nikosehem ya starehe na familia akatokea mtu akanichoma kisu kichwani nikatoka damu sana nikapelekwa hospitali baada ya kutibiwa nikakaa kidogo alafu nikafa lakini baada ya kufa nikajiona tena naishi...tafadhali nijibu sheikh
Asaalam alykum.waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah sheikh mm nimeota LEO tumevamiwa na majambazi wakatupiga RISASI. Lakini aliwauwa watu wawili na mm nilikuwa wa watatu. Akunipiga risasi ilikuwa imekwisha
Asalam waalekum sheh mimi nipo safarin sheh nimeota kwanza na nakimbizwa sana na na mtalaka wangu tena alikua ana jazba sana sana bas naomba misada kwa watu bs lkn nikamshinda hakufanikiwa kunipata sasa mwanang mmoja nilozaa nae yy aliniona akamwambia bana mama huyu apa nikamwambia unataka mimi baba yako aniuwe nikaanza kukimbia ten gafla nikajikuta nipo ndan mimi na wenzang mmoja akawa ana kisu tunavutiana sasa mimi namwita mvulana pemben nisaidie damu zina chururika mikonon mwang yule mvulan alonisaidia akawa na yy akamrejeshea yule ambae aloninjinja nashuta saa kum dakika 6 sik ya ijumaa
Mimi niliota nipo na mume wangu anakunywa maji kwenye glass lakini mimi nikiitizama ile glass naona kuwa yale sio maji ni damu,anataka kunywa nikamzuiwiya asinywe nikamuambia hiyo ni damu.
Mimi niliota nimeshikwa kichwani damu nyingi zikatoka baadae yule alonishika kichwani akaniambia maradhi yako yote yaliyokuwa yanakusumbua yamepona je shekhe inamaana gani nilivyoota iyo ndoto jioni mvua ikaninyeshea sana maana nipo kikazi nje
Nmeota rafik angu anatoka machoz ya damu + jasho ladamu lnamtililika nkashtuka sana akat namsindikiza hospital tukapata ajal lakin hatukuumia lakin mbele yetu gari likaanguka na kuuwa watu wa 5 lakin nmelia sana kama waliokufa ni watu wangu wa karibu. nini maana yake
Nimeota kuna mtu anafanyiwa operation alikuwa anaumwa..wakati tumemzunguka alivyopasuliwa tuu damu zikanirukia kuanzia usoni na mwilini...na baada ya operation mtu huyo akapona.
Asalam alaikum ustadh,,nlijipumuzisha mchana nkaota damu zanitoka puani,,nlipoamka sina nguvu kicha chaniuma ,,hasi waleo sihisi vzr
Mimi pia niliota hivohivo
Asalam aleykum shekhe mm niliota ninatoka damu zamwezi naimejirudia
Asalaam aleikhum sheikh,,mimi nimeota nikosehem ya starehe na familia akatokea mtu akanichoma kisu kichwani nikatoka damu sana nikapelekwa hospitali baada ya kutibiwa nikakaa kidogo alafu nikafa lakini baada ya kufa nikajiona tena naishi...tafadhali nijibu sheikh
Ukitapika damu macna yake Nini sheikh
Mazito tafuta haraka na upewe na tiba pia
Sheik jalbu kwenda streat on point cz kisa cha na bii yusufu tunakijua
Asaalam alykum.waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah sheikh mm nimeota LEO tumevamiwa na majambazi wakatupiga RISASI. Lakini aliwauwa watu wawili na mm nilikuwa wa watatu. Akunipiga risasi ilikuwa imekwisha
shukuran
Ukiota unajikata kidole damu inamwagika alf mtu mwingine kuona ivyo anakusaudia kukufunika ili damu iaache kumwagika inamaana gani
Asalam waalekum sheh mimi nipo safarin sheh nimeota kwanza na nakimbizwa sana na na mtalaka wangu tena alikua ana jazba sana sana bas naomba misada kwa watu bs lkn nikamshinda hakufanikiwa kunipata sasa mwanang mmoja nilozaa nae yy aliniona akamwambia bana mama huyu apa nikamwambia unataka mimi baba yako aniuwe nikaanza kukimbia ten gafla nikajikuta nipo ndan mimi na wenzang mmoja akawa ana kisu tunavutiana sasa mimi namwita mvulana pemben nisaidie damu zina chururika mikonon mwang yule mvulan alonisaidia akawa na yy akamrejeshea yule ambae aloninjinja nashuta saa kum dakika 6 sik ya ijumaa
Mimi niliota nipo na mume wangu anakunywa maji kwenye glass lakini mimi nikiitizama ile glass naona kuwa yale sio maji ni damu,anataka kunywa nikamzuiwiya asinywe nikamuambia hiyo ni damu.
Anatafutwa kishirikina ila ataokolewa
Aslmwalkum mm nimeota wananikata nakiwembe
A alykm Mimi watu wanauana mauaji alafu mm nikaenda kukalia damu
Tafadhali na mtu akiota anaosha damu ina maana gani na ni damu yangu ya period yangu ndio nlikua naosha
Shekh nisaidie.mm.naota nipo.natapikA.mara.nipo.naudumia watu.wawili.vijana.niko.mjamzito.naogopa
Me nimeota nakohoa damu nini maana yake
Assalam alaikum nimeota natapika vipande vyeusi na damu
Hakika
Asalam aleykum shekhe mimi niliota jicho langu la kulia linatoa damu nina miaka mitatu sasa mpaka niote tangu siku hiyo jicho linanisumbua sana
Mimi niliota nimeshikwa kichwani damu nyingi zikatoka baadae yule alonishika kichwani akaniambia maradhi yako yote yaliyokuwa yanakusumbua yamepona je shekhe inamaana gani nilivyoota iyo ndoto jioni mvua ikaninyeshea sana maana nipo kikazi nje
Asalamu aleykum sheikh mm nimeota natema mate ya damu
Me nimeota nimeona damu nyingi barabarani zimetapakaaa na watu wapo pemben wanashangaa na mm pia nikiwemo nashangaa ina maana gan?
Mimi nimeota natoka damu puani
Na ukiota upasuaji uliopasuliwa ukijifungua ukiwa umepasuka Tena na kutoa damu mingi?
Nmeota nakula damu ya hedhi nini tafsiri😢
Asalaam walykum mimi nimeota nimesimama nikajiona naishiwa nguvu mara naona natoka damu puani
000
Ostadh mi nimeota naambiwa ninywe maziwa yaliyo changanywa na damu namba nipe tafsiri yake
A aleykum Mm nmeota natokwa na damu kwenye tupu la nyuma
Mm nimeota natokwa na damu puani
Ukiota je unatapika damu na usaha hali yakuwa ni mgonjwa
Nmeota rafik angu anatoka machoz ya damu + jasho ladamu lnamtililika nkashtuka sana akat namsindikiza hospital tukapata ajal lakin hatukuumia lakin mbele yetu gari likaanguka na kuuwa watu wa 5 lakin nmelia sana kama waliokufa ni watu wangu wa karibu. nini maana yake
Mimi liota mnyama amekatwa makalio anatoka damu
Niliota miguu yangu hinatoka damu nikaona babangu ananipangusia hiyo kina maanisha nini
Ivi mkiuliza maswali mnajibiwa kwel
Hahahaha
Nimeota kuna mtu anafanyiwa operation alikuwa anaumwa..wakati tumemzunguka alivyopasuliwa tuu damu zikanirukia kuanzia usoni na mwilini...na baada ya operation mtu huyo akapona.
Nimeota damu iko kwenye ndoo nyeupe
Asalaam aleykum ukimuotea ndugu yako wa kiume amefungwa kamba ananyweshwa damu nini maana yake sheikh
Nimeota nakidonda kikubwa mguun nn maana yake nisaidie