Annoint Amani - Ulichagua Kunichukia (official music Vdeo )
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2022
- #UlichaguaKunichukia#annointamani#
Kuchukiwa bila sababu ya Msingi,Ni matokeo ya kushindwa kuudhibiti wivu wa maendereo ya mtu mwengine,
kwa mwadamu yoyote anae pambambana kwaajili yake na watu wengine,
kuleta badiriko lenye faida kwa kila mtu,
Ni lazma achukiwe ,maana huwez kufanya Jambo la kuwafurahisha watu wote,
Pia chochote kinacho pigwa vita ujue kina madhara kwa wanaokichukia,
Hivyo usiogope vita ya maneno au kuumiza kwa namna yeyote ile,
Ujue wewe sio wa kawaida ndo maana unakutana na mambo yasiyo ya kawaida💪Songa mbele wewe ni shujaa
Annoint Amani
Song,Ulichagua kunichukia
Album,Kiboko yake ni Usingizi Album Vol 6.
Language Swahili)
Annoint Amani For booking
Instagram Annoint Amanitz
Tiktok Annoint Amani tz, +255767240181=+255755099942)
VIDEO, Directed by Meddy ( A.E.A)
AUDIO,A.E.A Tones studio producer by Meddy
Dar Es salaam Tanzania ) - Видеоклипы
Ninamjua alieniita kuwa Ni Mungu mkuu,ameutangaza Mwisho wangu kabra ya Mwanzo,
Kesho yangu inamtisha sana sana Shetan na Wafwasi wake,
Lakin hawezi kamwe maana ndo asili yake kushindwa,
Watashindana lakin hawatatushinda 🙏🙏💪💪
Ooo yes 😭😭😭May God protect you from all dangers for us, because we love you very much❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Nitakuwa nasimama na wewe kwa maombi annoint..hatawakuona kwa Nina LA Yesu Kristo
Mungu akutie nguvu
Mungu akubali nakupenda bule
Shalom mtu wa Mungu naomba sana kukusapot kwa kutuma sadaka yangu
Ooh jamaniii kazi nzuri sana
🎉❤❤❤❤
Big ups mtoto wa mama Rose. Blesses from Kenya
Kali Sana. Nimesikia wa kwanza... Mungu azidi kubariki Annoint. More blessings from Kenya...🇰🇪🇰🇪
Wow..
I love you 💓 song
Wewe Ni Muubil wa kuimba ujumbe Umefka kikamil wasio na Wenye masikio watazba kuto kuelezea uzul wa huu wimbo
kwa sababu wamechagua kuichukia injil ..
Mtumish wewe nimuubil wa kuimba Mungu anakupaga mawazo yaajabu Sana. Uimbaj huu
Mithal 23:7
Ndivyo Ulivyo moyo mwako
Mungu akutuze Sana chombo chake
Sawaa
very impressive massage i need our enemy heat us but God will not leave us 🙏🏻 be blessed 🙏🏻 ❤
Ata wakuchukie bado uko juu kamanda
Wow,,,I like it kbxa
Blessings, blessings
Mungu Kachagua kunipenda😊😊💪🏿😌Wajipange buana. Mungu asikizangi maoni ya watu
Hongera kwa kazi ya Mungu uko vinzur wema wa Bwana udumu kuwa nawe
Mungu akuzidishie inshaallah
Tunaisubiri.....
Nyimbo mhimu Sana sana Sana
Nakupenda Kaka hata wa toto wangu wanakupenda sanaaa
Amina mtumishi ubarikiwe kwa nyimbo nzuri watashangaa bado tuko na mungu hallelujah hallelujah amina
Mungu akubariki
Napenda nyimbo zako sana aki mpaka nimezimedownload kwa simu mpaka nikienda kulala nazi watch may God Continue nlessing you from kenya
Mwana wetu nimebarikiwa na wimbo huu
Napenda nyimbo zako baba
True
🇿🇦🇿🇦🇿🇦Wafikishie ujumbe Bwana Essau
Hiii naongojea sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 napenda wimbo zako sana hadi simu yangu imejaa aki
Pia mimi nimejaza nyimbo zake nampenda bure...haki wimbo zake hunibariki sana
Hongera kwa kazi ya mungu nakupenda bure hakika nyimbo zako zinanibarik bure
@Steven Odhiambo hiyo inakuimia wapi kaka..sikia message achana na video na sigara🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Mimi pia
Tuko wengi kenya
Mashimo uwa wanajichimbia wenyewe
Wenye wanasikia wasikie👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏
Keep up bro Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko pamoja
💃💃💃💃💃💃💃💃 clear may God forgive us all amen🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Nyimbo zko ndugu zanifariji moyo wangu keep going🥰🥰🥰🥰
Ukweli kabisaa
Wow.. indeed you are talented 🙏🙏🙏I bet uko na mashabiki wengi Kenya kuliko TZ , God bless you 🙏
Wakenya mko wapi 👌🏾❤️pige I like huku dugu yetu ameleta ingine Moto kama pasi
Napenda nyimbo zako sana hadi huwa zinanichaza sana na inanifanya nisimame wima
Moyo wakubhobha,Ujumbe umefika ndg songa mbele ukihubiri injili njema ya mwokoz wetu
May God up lift u high with good job l like the song
Kaka barikiwa Sana na mungu azidi kukuinua
❤️❤️🥰🔥🔥🇰🇪
Kaka nyimbo nzuri Sana mungu akubaliki
Areruya kwa mungu wewe ni jobo bora kwa yezu🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waoo,huo ndiyo ukweli kabisa,unacheka naye kumbe joka.
Mungu ako nawewe
I love your songs Annoint Amani peleka injili mbele
Umenipariki sana ,nyimpo zako zimeniinua juu sana, God bless you, and give you long life
Nyimbo zako nzuri barikiwa
Mpeni kaka annoint likes jameni,barikiweni
Hongera Sana kwa kazi ya bwaba
Mungu akuinue kweny viwango vya juu kaka
Keep it up congratulations
Ninapenda nyimbo zake
Mungu azidi kukutunza Mtumishi wa Mungu nazipenda sana nyimbo zako barikiwa
Ujumbe umefika ndugu watu niwangumu kweli.. Wivu naye ndo imezidi. Umebarikiwa ndugu yangu 🔥🔥
Wow 🤗🤗🤗🤗🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Nimependa hii melordy Annoint
Jaman ninzur hii nyimbo jaman tuisapoti ifike mbali zaidi 👋
Kiukweli brother unaimba jilasi dauni
Wooooowe, , , , ❤🔥🔥🔥🔥
Ujube,kwemaduwi watu mungu apoye,woooooii
Safisana,jamani ni,majungu💪🤝👏👏👏
Nice one amani
Barikiwa san mtumishi ww mungu❤❤
Mungu wa amani akupe nguvu kwa uvuli wako batikiwa sana
Annoint mungu akubariki kwa mawimbo zako mzuri
The congolese annoint amani😅😅😅🔥🔥GOD BLESS YOU
A Kenyan loves your songs most continue preaching the word of God be blessed
mtumishiiiiii humeninguza moyo wangu sasa naumwa sana 😭😭😭😭😭😭😭😭 asante mtumishi wa wangu Mungu hakubariki sana Mungu hazidi kukubriki 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭
Ongera sana I love 💕 it so much hii wimbo endelea brother
😂😂😂😂Sawa ❤
Mtumishi wa MUNGU kazi ya MUNGU iendelee tumwone MUNGU kupitia ww
Mungu azidi kubariki kazi yako, na chuki zao Mungu azizanye pamoja zikageuzwe kuwa baraka zaidi amen 🙏 ♥️🇰🇪
Wimbo mzuri sana mungu azidi kukuinua
am sey very nice 👍
Nakukubali sana mtumishi wa mungu 🙏
Good one bro keep it up my God bless you
Kabisa dunia inamambo
Tunangoja 254
What happened with my brother watching you from south Africa only God knows
Ongera KUBWA ƙwakweli Baba YANGU Annoint Amani
MUNGU akuinuwe zaidi Baba
Love from Kenya 💖💖💖
Mungu akubariki Sana sana
Keep going up🙏🙏🙏
This how gospel sound like be blessed tz on top always
Nikweli wapo watu wanamna iyo
Níce one song very powerful for showerly ❤❤❤❤
Kaka annoint sisi kama wakenya hatuchelewi,pongezi zetu kutoka Mombasa. Mungu anakupenda
Barikiwa Sana broo
Wenye wifu wasikie napenda nyimbo zako
Annoit ongelasana uuwimboumewagusaweng munguaendeleekukupamwanga naakuepushienamabaya maanaakunaanaependamaendeleo
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hii imenigusa sanaa Annoint,,,barikiwa sana ndugu ,,,,wabariki mamangu na nyimbo zako
Kaka ogera uko nasauti MUNGU akubariki Sana
Hongera San kak
Mungu ako pamoja nasi ni sehemu ya maisha yetu
nyimbo zako nzuri sana bro...be blessed
Mungu akubrki mtumish
Big up my young brother, love your compositions.Almighty God be with you.
Mungu akubaliki kak a
Be blessed my brother
Nice song
Great song
❤