Annoint Amani - Kiboko yake ni usingizi (Official Music Video )
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #kibokoyakeniusingizi#annointamani#
mtu anaweza kuwa mkorofi,
mwenye kiburi au mwenye nafasi ya kubwa katika jamii,
hivyo vitu vikamfanya kuona anaweza kila kitu hakuna kinachoweza kumdhibiti,
lakini Mungu ni niwa ajabu sana,ameweka Usingizi dunian,ili kila kiumbe hai kiweze kulala mda wake ukifika ,
Usingizi ndo kitu pekee ambacho kimemuweza kila mtu na kila kiumbe,
Je,ikiwa Usingizi unaweza kutudhibiti ,vipi kwa Mungu alieumba huo Usingizi ?
Mungu mwenyezi Muumba mbingu na vyote vinavyo onekana na visivyo onekana 🙏Aheshimiwe,anyenyekewe na pewe sifa na utukufu kwa ukuu wake 🙏
kiboko yake ni Usingizi ni wimbo uliobeba Album ya sita,Vol 6,imeandikwa na kuimbwa na Mtumishi wa Mungu Annoint Amani
👇
Tiktok,Annoint Amani tz.
wharsapp & call +255767240181 = +255755099942
instagram ,Annoint Amani tz.
Video,Directed ny kheri one
Audio,A.E.A Tones studio prod by Meddy
Dar es Salaam Tanziania ) - Видеоклипы
Nyimbo nzuri brother frm kenya
Nimeweka tik kw hii ngoma tamu kw mara y kwanza wenzangu 💯❤️❤️👌👌✅✅🔥🔥
❤napenda unavyo tutia moyo
❤ wow nice work kwanza ile mungu wenu ni nani naipenda sana God bless u
Hongera sana mtumishi anointing....all the way from Kenya tunakupenda kazi yako ni njema
Ndugu ubarikiwe sana nyimbo zako nazipenda sana
Amen 🙏🙏🙏
Amani, Amani, Amani nimekuita mara 3, unahubiri sana kwa nyimbo, Mungu akutunze mwanangu
Balikiwa Sana mtu wa Mungu nyimbo zako zinamafunuo makubwa Sana balikiwa Sana 🙏
I love your songs ,, may god bless work of your Hands ❤️🙏🙏🙏🙏, am from Kenya 🇰🇪🇰🇪😊
Amen 🙏🙏🙏 Hakika MUNGU Halali
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah mungu akubariki sana
Safi sana mtumishi napenda nyimbo zako
Amen barikiwa sana na bwana baba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
so powerful...ujumbe Mzurii Sana
Emeen 🎉🎉🎉 Amani mtumishi WA MUNGU
Nice song wonderful
Niheli tutafute uso wabwana kila wakati wanao tutishia ipo siku yao watatulia munngu azidi kukuinua kongore from Kenya 🇰🇪
Good song congratulations🎉🎉🎉 man of GOD
Anoint your songs are blessing me hear in Kenya...so anointed.
Kaka nyimbo zako zinabariki sana hongera sana
Walai apo umewesa man listening from Turkana Kenya 🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana mtumishi
Kazi Safi Mtumishi 👏👏👏👏
Nabarikiwa na nyimbo zako kutoka kenya 🇰🇪 barikiwa sana bro❤❤❤
Be blessed Annoint God is taking u far
Mimi kama mkenya nyimbo zako zadumu kwenye maisha yangu ❤❤
Mungu tu pekee halali❤ so powerful song mtumishi.
Aisee Kari sana
Analala. Jameni😂 mbabe. Analala 🎉kibokoni usigisi🤣🤣🤣🤣💫💫💫
Kazi nzuri nyimbo zako uwa inanibariki sana
song with great revelation God bless you
Amen this song has a strong messange🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Nice songs bro God bless you
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli
Mungu mwema kazi zako zote ni bora
More grace from God 🙏🙏🙏
Amen kwa mungu 🙏🙏🙏🙏🇰🇪
Wow, so torching
👏👏🔥🙏🙏🙏kwakweli
Ameh
Love your song as Kenyan and they blessed me and has a lot of message to us
Waoooooo! Gd mtumixh
This is a great message with deep meaning to us Christian. Stay blessed
Amen good song❤❤
i like your creativity
Ubarikiwe sana, huu wimbo imenitoa mahali,
Aki napenda nyimbo zako kweli, Amen from Kenya
Wow.
Love from Kenya 🎉🎉🎉
Kazi nzuri mtumishi wa Mungu
Your listener from kenya
Am here also
@@wkjshsxbbsbs6392 napenda
Wow amazing song your songs always warm my heart blessings brother
Mungu akupe nguvu 🎉🎉🇨🇩
Amen 🙏🙏 good song
Hao ni wanadamu tu , ata wachawi wanalala!!
I always love your songs,, i pray one day i will be like you in mighty name of Jesus🙏🙏🙏
Mungu akubariki
Good business you 🙏💕🙏💕🙏💕🙏💕🙏
AAA
Mina sana
Très beau
Amina. Habari nzuri mtumishi
Kijana upo vizuri
Kbs kaka balikia sana
Love your songs. Praying for more grace from God.
Kweli
Nyimbo zako nzuri sana
Barikiwa sana mpendwa
Amen Amen 🙏
Nice. Song. Brooo
Wow
Nice song ❤❤❤❤❤
Barikiwa
Amen 🙏 🙏
Ubarikiwe mnoo
Ubarikiwe Kaka
🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥
🔥🔥
Tamu sana
Nakukubali bro amani from bbt tz
❤❤
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Good vibes song ningependa ni pate number yako ili tuimbe sotee
Mbona mimi naskia ujumbe mzito zaidi ya ule unaoimbwa?
Hata kama ni raisi wete wa kenya kupenda kuongeza vitu Kama petrol tena naye analala
Kweli usingizi ni kiboko😂😂😂😂
mbabe amefanya nini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣nice one
Great🔥🔥🔥,pitia kwa yangu pia
🔥🔥