Annoint Amani - Poleni adui zangu ( Sina Mashaka official video )
HTML-код
- Опубликовано: 2 янв 2023
- #swahiligospel#sinamashaka#poleni#
Maadam umemjua Yesu, bas maadui zako waniandae kushindwa kwa kila baya juu yako,
Annoint Amani
Song,Poleni adui zangu ( Sina Mashaka )
Album,Kiboko yake ni Usingizi Album Vol 6.
Language Swahili)
Annoint Amani For booking
Instagram Annoint Amanitz
Tiktok Annoint Amani tz, +255767240181=+255755099942)
VIDEO, Directed by Meddy ( A.E.A)
AUDIO,A.E.A Tones studio producer by Meddy
Dar Es salaam Tanzania ) - Видеоклипы
Nipeni likes za Kenya 🔥🔥🔥
Yesu fimbo yangu natembelea... likes za waKenya jamani
Second to comment.. wapi Likes zangu nifike 200
Kazi nzuri Annoith Amani
Mungu yupo Katika Maisha yako,Huu Ni mwaka wako🥰🥰🥰🥰
Hakika Yesu Ni fimbo yangu😍
Pongezi sana anoint ambao maduui wote wasikie
Kweli Sina mashaka yesu ni fimbo yangu.
Hallelujah
Amen. Yesu ni fimbo yangu🙌
MUNGU akuinuwe zaidi Baba YANGU Annoint Amani kwapamoja ƙwakweli BABA
Mwili umoja Na roho Moja
Tumaini Moja la wito wetu
BWANA umoja imani Moja
Ubatizo Moja Na MUNGU mumoja
Hongera.sana kwa nyimbo nzuri mtumishi
Yesu ni fimbo,sina mashaka njian hakika
🔥🔥🔥👏🥰yesu ni fimbo yangu sitakuwa na mashaka kamwe
Wape mtumishi pole kabisa tena ile kubwa
Hakika Yesu ni fimbo poa yakutembelea
Amen Amen 🙏
Haleluya!asnte mtu wa Jehova sitakuwa na mashaka yeyote.
Woow emen and emen Wimbo muzuri sana yesu nifimbo yangu natembeleya kabisa 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌🏻🙌🏻
Wimbo tamu saana,barikiwa mchungaji
Amen hallelujah 🥰 hongera kaka yangu hebu naomba tuwe marafiki napenda uimbaji wako sana
Amen🙏🙏🙏🙏. To all my enemies 😈 am so sorry all ur plans are in vain God is my sheld and I passed am in 2023. Thanks mtumishi ur my hero. 🙏🙏🙌🙌.
Barikiwa sana brother kwa kanzi nzuri .
Amen Amen Amen Amen Amen 🙏
Aminaaaaaaa Mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Wimbo muzuri sana kakangu mungu hakusidishie neema🙏
Tena samaani sana enyi adui
Amen. What a wonderful song, adui zangu i give u sorry Mungu tu nami. Being blessed with them from Kenya
That's great keep it up my brother
Wow
Wow what a inspiring song
Barikiwa Sana ndugu waneda mbali kwa utumishi wako.
Nawapa pole adui zangu juu Sina mashaka njiani Yesu yu fimbo yangu.
Dady hongera sana na Mungu akuinue viwango ya juuu sana mmi wako Gordon, Peter nakuoenda sana karibu pia kenya
juu juu juu jitu la mbinguni, Mungu ni usalama wako nenda nenda Mungu yupo mbele yako!
Ongera
Hallelujah 🙌 tunawapa pole 🤪adui zetu
Woow Nice one keep going son of God watching you from south Africa awesome
Good one
Amen 🙏🙏🙏
Amen l love u song Sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen!🙏
From eldoret kenya 🇰🇪 amen 🙏
ubarikiw
Good work 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ata sai nasikiza ,nimesikiza 10 times
Wooow,sujawa,yesu
Mutuwa,mungu
Safisana
Amen, Amen, Amen Hallelujah
It so touching may God bless you
God bless you my brother nyimbo zako zanibariki sana
🔥🔥🔥
💃💃💃💃💃💃💃💃
Ameeeen 🙏🙏🙏💞💘
Nikisikia nyimbo zako I feel lyk Niko kwa baba ,plz niombeeni nami pia niokoke kweli nani fate njia za Mungu kikamilifu
Nani alikudaganya kuimba nikuokoka? Unaeza kuwa mtuzi na mjuzi mkubwa wa nyimbo bt it has nothg to do with wokovu
Amen dada Mary. Paulo anasema katika Warumi 10:13 yeyote atakayeliitia Jina la Yesu ataokolewa. Uamini moyoni Yesu ni mwana wa Mungu alizifia dhambi zetu na ukiri kwa mdomo wako. Hivi omba maombi haya umpokee Yesu.
Sema
Bwana Yesu, nimekuamini ulishuka duniani kuniokoa. Naamini ulikufa msalabani kuniokoa na dhambi zangu. Nisamehe ninakiri zote. Nioshe kwa damu yako takatifu. Leo nimeokoka. Amina"
AMEN ubarikiwe AMANI
Good,job brother Amani
Haki huyu kijana si amebarikiwa. Ufunuo alio nao ni wa hali ya juu sana
Nabarikiwa sana kwakelii....tuendelee kuwapa poleereee😍
unanibariki sana na nyimbo zako,, niobee kwa Mungu siku moja nifike ulipo
Nimeona mungu akiwa fimbo yangu katika maisha yangu indeed God is soooo good.may God bless you my brother your songs are a blessing to many people including me may God bless you.
Kazi nzuri kaka.....itabdi tufanye kolabo😊
Sjampata kuona kijijini kwetu ngoma zako Zina trend Hadi za zamani hazichuji kazi nzuri na hii nitawa tumia
Yesu ni fimbo yangu mwaka huu Sina mashaka njiani,🙏🙏🙏🙏amen amen amen 🙏 Amen hallelujah
Yani watasubir sana kunipata
@@afrikaone9609 amen
KAZI nzuri sana kaka🙏🙏🙏
Nakusikia sana annoint.mie uliyekaa kwangu kihuduma.Nafurahi sana
🎉🎉🎷🌹🌹🌹🌹🌹🌹
yaani hapa,du,saluti
Amen 🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana mtumishi.yesu ni fimbo yangu.
Wow wimbo mzuri kapisa yesu ni fimbo Yangu natembelea kila wakati Nawapa pole adui zangu
Jaman we kaka mungu akuweke tu 🙏🙏🙏
Glory be to God hallelujah hosanna powerful powerful message mungu akuinue zaidi 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
oh hallelujah Good work papa
Kaka upewe zawadi yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mungu akuinue zaidi
Amen
Ameen ,barikiwa sana
Good song praise the living God Amen 🙏
Halleluya
Amen, powerful song
Woow a lovely song
Annoint, unaimba mwanangu. Nakuombea sana shetani asikurudishe nyuma
Hallelujah yesu ni fimbo yangu natembelea ananilinda kila wakati🙏🙏
Always you normally bless me let bless you more and more
Amen🙏🙏
Amen 🙏,,Yesu ni fimbo yangu kweli.
Ubarikiwe sana
Aminaaaa
Poleni adui zangu nimepona
Walai.Ftom Uganda,i love your s
#Wouwoooooooh
Yesu ni fimbo yangu mwaka huu Sina mashaka njiani,🙏🙏🙏🙏amen amen amen 🙏 Amen hallelujah. Barikiwaaa kaka
Natembelea Sina mashaka kabisa
Amen mtumishi wa Mungu
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 mungu akubariki
God is real using you,man of God,be bless 🙏
🎉🎉🎉🎉Aliiiiiiiii nakupata vizuriii Debora Tesha nikiwa Nairobi Kenya
More grace servant of God
Thanks Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nice one 🙏👍
NYC song
Bwana yesu asifiwe? Aki nyimbo zako zanifariji sana
Woow well done I love your songs may God give you more insight and keep up 🙏🙌
Lovely song
🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️🎸🎸🎸🎸
Wimbo huu unanbariki sana,sifa zimurudie Bwana,Amen.
Amen napenda sana nyimbo zako mungu akubariki sana
Your songs are so powerful 🙏🙏I like beats,I like everything in your songs, God bless you Anoint