Annoint Amani = Yesu njoo Nisaidie (Vita ya familia Official music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2021
  • #yesunjoonisaidiebyannointamani#
    Huwezi kulazimisha watu wapende au wakubari kile unacho wapa kutoka kwa Mungu,
    Maadam umeitwa na Mungu muache Mungu mwenyewe kwa wakati wake akutambulishe,
    Maana kama wakati bado,
    Utatumia nguvu sana kujitambulisha lakini wakati wa Mungu ukifika anajibu maswali yoote wanayojiuliza juu yako,Tena Mungu anajibu kwa ukubwa ambao hautaacha kiulizo chochote kwao,
    Ushauri,
    enderea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana ulio Hodari, tulia hapohapo alipokuweka Mungu, hapo ndipo pana mwanzo wako mkubwa utakao ishangaza Dunia na jamii inayo kuzunguka,
    Unaweza kuzaliwa na wazaz lakini wakawa hawajui wewe ninani katika dunia,hata ndugu au marafiki,
    hivyo shetani kwavile anajua una waamini watu wa karbu anaweza kuwa tumia ili uliache kusudi la Mungu ,
    Mtafute Mungu sana sana,
    Acha kuongea sana na watu kuhusu mambo yako,
    Gfra utashangaa Mungu atakavyo kutumia kwa namna ya ajabu mpaka dunia ita Muogopa Mungu unae mtumikia)
    Atrtist,Annoint Amani
    Song,Yesu njoo nisaidie
    Album, MIMI NDIE MUNGU PEKEE
    (Lamguage Swahili)
    for Bookngs
    instagram Annointamani
    +255767240181
    +255755099942 Dar es salaam Tanzania)
    Studio A,E,A Tones prod by Meddy
    Video,DIRECTED BY MEDDY
    +25786849123)
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 327

  • @kennedywanjala1875
    @kennedywanjala1875 Год назад +2

    Napenda izoo nyimbo sana naomba mungu anipe kibali namii nimtukuzee sana

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa 2 года назад +21

    Nimekuwa nikipitia jaribu langu kidogo leo. Huu wimbo umenipeleka miguuni pa Mungu 🙏🏿🙏🏿😭😭😭😭.Ushindi ni kwa ajili yetu

    • @meryagustini4933
      @meryagustini4933 2 года назад +1

      God bless you

    • @dianawayela7433
      @dianawayela7433 Год назад +2

      Pia wewe nakuombea kipaji chako kiendeleee maana KAZI safi

    • @AdonisSifa
      @AdonisSifa 10 месяцев назад

      ​@@dianawayela7433Amen🙏🏿🙏🏿

    • @redemtormwende2251
      @redemtormwende2251 10 месяцев назад

      Mungu. Akumbaliki. Ulikua. Ukunda. Redemt. Jootena
      Utubariki

    • @babyrasta9685
      @babyrasta9685 10 месяцев назад

      AMEN , Haleluyaaa

  • @user-qi5uv9gi2t
    @user-qi5uv9gi2t 3 месяца назад

    Mungu nimwema ametimiza ahadi zake kwetu atafanya jmbo namini atatenda nakwangu amen

  • @emmashariff6622
    @emmashariff6622 2 года назад +5

    Ameen barkiwa sana ujumbe umenigusa naomba niokoe afya yangu njoo niokoe

  • @user-ph5rk6pz5s
    @user-ph5rk6pz5s 3 месяца назад

    Mungu akitie nguvu mtumishi majaribu ni ya muda nakukuvukisha daraja❤❤❤❤

  • @user-lq8sy4lx9g
    @user-lq8sy4lx9g 3 месяца назад

    Nabarikiwa sana nyimbo zak nyimbo zako zinanigusa sana

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +1

    Amen UTUKUFU kwa Bwana

  • @MikaMaganga
    @MikaMaganga Год назад

    Nyimbo nzuri sana ruhusu basi tuzilody Mungu awenawe daima

  • @kelvin-yv8rt
    @kelvin-yv8rt 10 месяцев назад

    Hii nyimbo imenitoa bali sana Mungu akuweke myumishi wa mungu

  • @maggienancy3315
    @maggienancy3315 2 месяца назад

    😢😢😭😭😭😭 ii wimbo imenitoa machozi it's just powerful inaedana na situation ygu 😭😭😭

  • @safy2225
    @safy2225 2 года назад +3

    Ameeen ameeen ameen mungu akubariki sana sana mtumishi wa mungu annoint uinuliwe uzidi kuitangaza injili ya Bwana Mpk mataifa yote yajue mungu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu

  • @AliceLokure
    @AliceLokure 3 месяца назад

    Wimbo huu umenigusa sana,naomba ukumbukwe milele

  • @user-en1sr1mp7x
    @user-en1sr1mp7x 2 месяца назад

    Nyimbo zako nizakutia moyo ubarikiwe sana Amina

  • @JaneGacheri-jb9xh
    @JaneGacheri-jb9xh Год назад

    Bwana yesu nisaidie vita yangu ni Kali wanaonipiga vita niwatumishi wezangu..bwana nipiganie

  • @suleshmacs1286
    @suleshmacs1286 2 года назад +2

    Barikiwa zaidi kaka kw nyimbo nzuri za kuguza mioyo

  • @MusyokiJosephine
    @MusyokiJosephine 10 месяцев назад

    Ameen...yesu akiwa upande wetu hakuna kushindwa barikiwa zaidi

  • @solangerechol6881
    @solangerechol6881 2 года назад +1

    Ndiyo kabisa wanaokugo mbanisha ni watuwakowa karibu jamani oooh my God ubarikiwe sana mutumishi wamungu

  • @stephanolalika
    @stephanolalika Год назад +1

    ameniiiiiiiiii ubarikiwe.....

  • @user-vz3go1fo6o
    @user-vz3go1fo6o 7 месяцев назад

    Asante wimbo huu umenifanya nijisikie vizuri Sana na kuto kuogopa majalibu umenifundisha neno kaka innont

  • @user-eb5ug5um3v
    @user-eb5ug5um3v 5 месяцев назад

    Unafanya roho yangu kuwa karibu na yesu,; nakupenda sanaa

  • @jacksonjonas3232
    @jacksonjonas3232 8 месяцев назад

    Kaka nyimbo zako zanibariki sana Huwa najikuta kukata tamaa lkn nyimbo zako zanibariki mungu akutie nguv

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 2 года назад +1

    Kazi safy sana

  • @getrudeongachi111
    @getrudeongachi111 2 года назад

    Hallellujah you bless my heart oooh God nifundishe kunyamaza nisije jibu nikakuosea

  • @kelvin-yv8rt
    @kelvin-yv8rt Год назад

    Iyo nyimbo yesu atashuka kweli ama atumane juu imenigusa sana

  • @christinejumwa7501
    @christinejumwa7501 2 года назад +15

    Ameeeen 🙏🙏 barikiwa Sana Mungu akuinue katika level ingine

  • @AnnointMediaStudios4941
    @AnnointMediaStudios4941 2 года назад +1

    Unanibariki Sana barikiwa

  • @aggiefavoured4439
    @aggiefavoured4439 2 года назад

    Amen amen bwana nisaidie nishike mkono twende wote pamoja

  • @antonywachira6102
    @antonywachira6102 2 года назад

    Mungu sio mwanadamu Imani 'isife moyo wewe muombe mwenyezi kila siku Naye atakuinua zaidi watakuwa ashame'i love you songs saul

  • @JaneMmbone-fd9jb
    @JaneMmbone-fd9jb 7 месяцев назад

    gossipers hudhani wanajua kilakitu,,,lakini mungu kamfichia mwanadamu rizki yakee!!!! asantee ndugu kwaizo nyumba zakujengaa!!!!

  • @Mwendwaelizabeth477
    @Mwendwaelizabeth477 2 года назад

    Amen kweli iko hivyo kupigwa twapigwa na watumishi wezetu......but God will not leave you I love your songs alot

  • @elizabethotieno8875
    @elizabethotieno8875 2 года назад +19

    God is watching you.....don't give up much love from Kenya 🇰🇪

  • @dorcasanthon4143
    @dorcasanthon4143 2 года назад

    Dhuuu kumbe na epi upooooo sijakuona miaka mingi

  • @hellengithiaka8886
    @hellengithiaka8886 2 года назад +10

    Wow Hallelujah… Annoint Yesu yukaribu Sana na wewe, usiogope…. Anapigana vita viako. Ni muaminifu. Shikilia Yesu tu pekee. Ni rafiki wa kweli. Shalom Shalom

  • @shabanmwaisame8735
    @shabanmwaisame8735 2 года назад +3

    Nyimbo nzur yenye hisia MUNGU azid kukuinua

  • @mercymaina7246
    @mercymaina7246 2 года назад +2

    Nimepeda kabisa

  • @Hakizimanakilosa-pc6un
    @Hakizimanakilosa-pc6un 8 месяцев назад

    Kaka ubarikiwe sana nyimbo zako hua zina nibariki sana

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 2 года назад

    Siwezi hata kunyamaza natoa chozii tuh bwana yesu njooo nisaidie nimalize mwendo salama

  • @bryankelvin7078
    @bryankelvin7078 2 года назад +1

    Uyu kijana anaweza fanya bonge moja tu la colabo na malkia Rose tunataka kuona mbingu zimeisha

  • @joycekeruboongaga4703
    @joycekeruboongaga4703 2 года назад

    Amen Amen my brother unanipa ngufu asante saana

  • @johnmuasya6460
    @johnmuasya6460 2 года назад +5

    mungu wa elijah kuja uthimbitishe hallelujah

  • @josephmayoka3899
    @josephmayoka3899 2 года назад

    Saut unayo ila kunabaadh ya nyimbo unaimba hatuelew et una pampaz kwel.. Nice song annoit

  • @mburumwangi3210
    @mburumwangi3210 2 года назад +3

    Dan namuona hapo...wimbo mu zuri

  • @rinahkwamboka573
    @rinahkwamboka573 3 месяца назад

    Much blessed 😢😢 huu wimbo umenitoa machozi

  • @maureenmakokha2469
    @maureenmakokha2469 2 года назад +5

    Amen 🙏 mungu n mwaminifu kwa Kila Jambo be blessed 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @elishalameck-hj1qo
    @elishalameck-hj1qo Год назад

    Mungu akuinue annoint me mwenyewe nimetoa machozi

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda7868 2 месяца назад

    Barikiwa Anoint.kazi yako ni njema

  • @esaumoiseselias-gs4py
    @esaumoiseselias-gs4py Год назад

    Kweli kaka,Umenikubucha ni lazima tumuhite yesu_hivyo ndo tutakuwa salama Mungu hawabaliki sana Mpendwa!

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 2 года назад +2

    Nabarikiwa pia aseee

  • @celestinemutindimutua9299
    @celestinemutindimutua9299 Год назад

    Wimbo unatia nguvu sana barikiwa sana

  • @RestutaDaniel
    @RestutaDaniel 11 месяцев назад

    Amen kila binadamu anapitia magumu mengne ya kukatisha tamaaa lkn tumtegemee yeye MUNGU

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 Год назад

    Pole ni vikwazo tuuu ... simama kwenye mstari wako

  • @paskalinathomas5973
    @paskalinathomas5973 Год назад

    Bro ukiimbaaaa huwa nabarikiwaaa Mungu Akutie nguvu uwezee kujua zaidi kuimba

  • @fearful254
    @fearful254 2 года назад +1

    Bwana anisaidie kweli atusaidie

  • @goodluckjohnathan9312
    @goodluckjohnathan9312 2 года назад +11

    Amen glory be to God how made us, umenibariki sana na huu wimbo kaka yangu

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 Год назад +1

    Hakika pekee yangu siwezi

  • @mercykache4235
    @mercykache4235 Год назад

    Amen amen Mungu akumbariki sana Tena sana 🙌🙌🙌

  • @carolbernard6930
    @carolbernard6930 Год назад

    nikiona hii nyumba namukumbuka kanumba ubarikiwe annoint

  • @everlineeva594
    @everlineeva594 2 года назад +5

    Glory be to GOD very powerful song ,,natamani nimalize mwendo salama

  • @laluubajuta6213
    @laluubajuta6213 2 года назад

    Good 🙏mungu akuiniwe zaid mtumishi 😭🙏🙏🙏

  • @marybaitwa5994
    @marybaitwa5994 2 года назад

    Mwenyezi mungu akubariki kwa wimbo mzuri

  • @LydiaAloyce
    @LydiaAloyce 2 месяца назад

    Amen ❤umetupea tumaini

  • @denniskagema2745
    @denniskagema2745 Год назад

    Amani I really ❤❤ ur songs kwnza Ile y (mama)following from Kenya nkuombea mungu akusongeshe kw viwango vya juu mtumishi

  • @meryyohana7323
    @meryyohana7323 2 года назад

    Safi Sana hongera Sana anoniti amani

  • @estheraruba2569
    @estheraruba2569 2 года назад

    Nyimbo nzuri hii annoint mungu akuinue milele

  • @annab9243
    @annab9243 2 года назад

    Ombi langu Bwana. Njoo nisaidie.

  • @Nyandieka-gj5lv
    @Nyandieka-gj5lv 3 месяца назад

    I love you songs kwanza hii Mungu akubariki bro❤❤❤

  • @tegemeorwabuhaya4864
    @tegemeorwabuhaya4864 2 года назад

    Amen kaka uko vzr Sana unaweza kuliko unavojijua

  • @danielk.g.official7361
    @danielk.g.official7361 2 года назад

    Amen.. nimebarikiwa sana .. kazi nzuri sana.. Mungu akubariki kaka

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 Год назад

    MUNGU yupo pamoja nawe, usiogope eeee shujaaa.

  • @user-xm4uu7he9c
    @user-xm4uu7he9c Год назад

    From kenya hiyo wimbo imeniguza sana😢😢

  • @beckysalma9983
    @beckysalma9983 2 года назад +2

    Kenyans loves you alot❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏asante kwa nyimbo nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-dr2bs4rj5k
    @user-dr2bs4rj5k 8 месяцев назад

    Ubarikiwe ndugu yangu Annoint

  • @fulgencengwira5073
    @fulgencengwira5073 10 месяцев назад

    "MAJARIBU NI MTAJI WA KUONGEZA IMANI"

  • @elishasungura-kf2mz
    @elishasungura-kf2mz 10 месяцев назад

    Wimbo huu unaupako kweli kweli

  • @aneshaderrickoneko572
    @aneshaderrickoneko572 2 года назад +1

    amina barikiwa bro

  • @stellambilinyi5402
    @stellambilinyi5402 2 года назад

    Hakika nimebarikiwa atukuzwe Mungu aliye kupa maarifa yaujumbe kwadunia mzima

  • @BathisebaSumbi-zn5fs
    @BathisebaSumbi-zn5fs Год назад

    Huu wimbo umenibariki sana leo

  • @gadielsingaru3228
    @gadielsingaru3228 Год назад

    Your fun from kenya unaenda mbali anoit ilove your tunes💪💪

  • @theophilusmoki566
    @theophilusmoki566 2 года назад +1

    Amani, i really love your songs, am from 🇰🇪huu wimbo umenigusa ila unaisha nikiwa bado sijaridhika...how i wish ungeurefusha kidogo jameniii...kwa kweli uliitwa na mungu zidi kubarikiwa mtumishi wa mungu!!!

  • @toshhlewis6742
    @toshhlewis6742 2 года назад

    😭nimebarikiwa.MOLA akuzidishie baraka

  • @abdulazizali7701
    @abdulazizali7701 2 года назад

    Uenuliwe na BWANA...umeugusa moyo wangu....ni kiwa Dubai

  • @JudithAman-hd3pd
    @JudithAman-hd3pd 5 месяцев назад

    Mung akutienguvu anoinnt amani

  • @janengunguru4710
    @janengunguru4710 2 года назад

    Wimbo mzur jaman nataman kuwa hivyo acha tu

  • @bikemwayowele
    @bikemwayowele 2 года назад

    inaliza jamani yooooooooo bwana yesu njo nishindiye

  • @micracyrbukulu8141
    @micracyrbukulu8141 2 года назад

    Barikiwa sana MTUMISHI WA MUNGU

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 2 года назад

    Kazi nzr nakupenda bure❤❤

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa 2 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Nakuhitaji na Leo 😭😭 Njoo babangu nishike mkono. nmechoka 😭💔

  • @joycemwenga3036
    @joycemwenga3036 2 года назад +1

    Barikiwa Sana KAKA, mung azid kukutumia Kwa viwango vingine

  • @kevinopiyo9792
    @kevinopiyo9792 Год назад +3

    Baba njoo😢🙏ombi langu 🙏 thank you so much man of God,,

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever Год назад

    ❤❤❤ siwezi kueleza. Love you so much mam of God

  • @amaniapoul7374
    @amaniapoul7374 2 года назад +3

    This is My, thanks to the lod

  • @priscillamusembi7250
    @priscillamusembi7250 2 года назад +11

    Your songs are always a blessing. Listen to your God and not people.

  • @fatmabalai1071
    @fatmabalai1071 Год назад

    Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu

  • @jynkim
    @jynkim 2 года назад +5

    Yesu njoo nisaidie😭😭😭save me Lord🙏
    The appointed God's time,the mostly needed 🙏 🙏🙏🙏🙏come to my rescue Lord

  • @user-ne8bg5ig7p
    @user-ne8bg5ig7p Год назад

    Lazima kudharauliwa lakini wewe nyamaza na mtazamie mungu tu

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele 2 года назад +1

    Pole sana baba yangu
    Usiliye nawale
    Wale ni wale
    Watumishi wanzake ao mtu awaye yeyote asikutenganishe Na Mungu wako

  • @josephinebanchiriowili5903
    @josephinebanchiriowili5903 Год назад

    Congrats bro nice song imenipariki

  • @dorothhokororo5301
    @dorothhokororo5301 9 месяцев назад

    Nabarikiwa sana kwa song hii 🔥

  • @getrineshuma32
    @getrineshuma32 2 года назад +2

    Mutumishi unzidi kuinuliwa sana

  • @magrete483
    @magrete483 5 месяцев назад

    😭😭😭😭😭😭😭 Mungu atusikie Kwa uruma🙆🙆😭😭😭😭😭