Annoint Amani = Yesu njoo Nisaidie (Vita ya familia Official music Video )
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2021
- #yesunjoonisaidiebyannointamani#
Huwezi kulazimisha watu wapende au wakubari kile unacho wapa kutoka kwa Mungu,
Maadam umeitwa na Mungu muache Mungu mwenyewe kwa wakati wake akutambulishe,
Maana kama wakati bado,
Utatumia nguvu sana kujitambulisha lakini wakati wa Mungu ukifika anajibu maswali yoote wanayojiuliza juu yako,Tena Mungu anajibu kwa ukubwa ambao hautaacha kiulizo chochote kwao,
Ushauri,
enderea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana ulio Hodari, tulia hapohapo alipokuweka Mungu, hapo ndipo pana mwanzo wako mkubwa utakao ishangaza Dunia na jamii inayo kuzunguka,
Unaweza kuzaliwa na wazaz lakini wakawa hawajui wewe ninani katika dunia,hata ndugu au marafiki,
hivyo shetani kwavile anajua una waamini watu wa karbu anaweza kuwa tumia ili uliache kusudi la Mungu ,
Mtafute Mungu sana sana,
Acha kuongea sana na watu kuhusu mambo yako,
Gfra utashangaa Mungu atakavyo kutumia kwa namna ya ajabu mpaka dunia ita Muogopa Mungu unae mtumikia)
Atrtist,Annoint Amani
Song,Yesu njoo nisaidie
Album, MIMI NDIE MUNGU PEKEE
(Lamguage Swahili)
for Bookngs
instagram Annointamani
+255767240181
+255755099942 Dar es salaam Tanzania)
Studio A,E,A Tones prod by Meddy
Video,DIRECTED BY MEDDY
+25786849123) Видеоклипы
Napenda izoo nyimbo sana naomba mungu anipe kibali namii nimtukuzee sana
Nimekuwa nikipitia jaribu langu kidogo leo. Huu wimbo umenipeleka miguuni pa Mungu 🙏🏿🙏🏿😭😭😭😭.Ushindi ni kwa ajili yetu
God bless you
Pia wewe nakuombea kipaji chako kiendeleee maana KAZI safi
@@dianawayela7433Amen🙏🏿🙏🏿
Mungu. Akumbaliki. Ulikua. Ukunda. Redemt. Jootena
Utubariki
AMEN , Haleluyaaa
Mungu nimwema ametimiza ahadi zake kwetu atafanya jmbo namini atatenda nakwangu amen
Ameen barkiwa sana ujumbe umenigusa naomba niokoe afya yangu njoo niokoe
Mungu akitie nguvu mtumishi majaribu ni ya muda nakukuvukisha daraja❤❤❤❤
Nabarikiwa sana nyimbo zak nyimbo zako zinanigusa sana
Amen UTUKUFU kwa Bwana
Nyimbo nzuri sana ruhusu basi tuzilody Mungu awenawe daima
Hii nyimbo imenitoa bali sana Mungu akuweke myumishi wa mungu
😢😢😭😭😭😭 ii wimbo imenitoa machozi it's just powerful inaedana na situation ygu 😭😭😭
Ameeen ameeen ameen mungu akubariki sana sana mtumishi wa mungu annoint uinuliwe uzidi kuitangaza injili ya Bwana Mpk mataifa yote yajue mungu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu
Wimbo huu umenigusa sana,naomba ukumbukwe milele
Nyimbo zako nizakutia moyo ubarikiwe sana Amina
Bwana yesu nisaidie vita yangu ni Kali wanaonipiga vita niwatumishi wezangu..bwana nipiganie
Barikiwa zaidi kaka kw nyimbo nzuri za kuguza mioyo
Ameen...yesu akiwa upande wetu hakuna kushindwa barikiwa zaidi
Ndiyo kabisa wanaokugo mbanisha ni watuwakowa karibu jamani oooh my God ubarikiwe sana mutumishi wamungu
ameniiiiiiiiii ubarikiwe.....
Asante wimbo huu umenifanya nijisikie vizuri Sana na kuto kuogopa majalibu umenifundisha neno kaka innont
Unafanya roho yangu kuwa karibu na yesu,; nakupenda sanaa
Kaka nyimbo zako zanibariki sana Huwa najikuta kukata tamaa lkn nyimbo zako zanibariki mungu akutie nguv
Kazi safy sana
Hallellujah you bless my heart oooh God nifundishe kunyamaza nisije jibu nikakuosea
Iyo nyimbo yesu atashuka kweli ama atumane juu imenigusa sana
Ameeeen 🙏🙏 barikiwa Sana Mungu akuinue katika level ingine
Amen 🙏 🙏 🙏
Unanibariki Sana barikiwa
Amen amen bwana nisaidie nishike mkono twende wote pamoja
Mungu sio mwanadamu Imani 'isife moyo wewe muombe mwenyezi kila siku Naye atakuinua zaidi watakuwa ashame'i love you songs saul
gossipers hudhani wanajua kilakitu,,,lakini mungu kamfichia mwanadamu rizki yakee!!!! asantee ndugu kwaizo nyumba zakujengaa!!!!
Amen kweli iko hivyo kupigwa twapigwa na watumishi wezetu......but God will not leave you I love your songs alot
God is watching you.....don't give up much love from Kenya 🇰🇪
Dhuuu kumbe na epi upooooo sijakuona miaka mingi
Wow Hallelujah… Annoint Yesu yukaribu Sana na wewe, usiogope…. Anapigana vita viako. Ni muaminifu. Shikilia Yesu tu pekee. Ni rafiki wa kweli. Shalom Shalom
Nyimbo nzur yenye hisia MUNGU azid kukuinua
Nimepeda kabisa
Kaka ubarikiwe sana nyimbo zako hua zina nibariki sana
Siwezi hata kunyamaza natoa chozii tuh bwana yesu njooo nisaidie nimalize mwendo salama
Uyu kijana anaweza fanya bonge moja tu la colabo na malkia Rose tunataka kuona mbingu zimeisha
Amen Amen my brother unanipa ngufu asante saana
mungu wa elijah kuja uthimbitishe hallelujah
Saut unayo ila kunabaadh ya nyimbo unaimba hatuelew et una pampaz kwel.. Nice song annoit
Dan namuona hapo...wimbo mu zuri
Much blessed 😢😢 huu wimbo umenitoa machozi
Amen 🙏 mungu n mwaminifu kwa Kila Jambo be blessed 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akuinue annoint me mwenyewe nimetoa machozi
Barikiwa Anoint.kazi yako ni njema
Kweli kaka,Umenikubucha ni lazima tumuhite yesu_hivyo ndo tutakuwa salama Mungu hawabaliki sana Mpendwa!
Nabarikiwa pia aseee
Wimbo unatia nguvu sana barikiwa sana
Amen kila binadamu anapitia magumu mengne ya kukatisha tamaaa lkn tumtegemee yeye MUNGU
Pole ni vikwazo tuuu ... simama kwenye mstari wako
Bro ukiimbaaaa huwa nabarikiwaaa Mungu Akutie nguvu uwezee kujua zaidi kuimba
Bwana anisaidie kweli atusaidie
Amen glory be to God how made us, umenibariki sana na huu wimbo kaka yangu
Hi goodluck
Hakika pekee yangu siwezi
Amen amen Mungu akumbariki sana Tena sana 🙌🙌🙌
nikiona hii nyumba namukumbuka kanumba ubarikiwe annoint
Glory be to GOD very powerful song ,,natamani nimalize mwendo salama
Good 🙏mungu akuiniwe zaid mtumishi 😭🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu akubariki kwa wimbo mzuri
Amen ❤umetupea tumaini
Amani I really ❤❤ ur songs kwnza Ile y (mama)following from Kenya nkuombea mungu akusongeshe kw viwango vya juu mtumishi
Safi Sana hongera Sana anoniti amani
Nyimbo nzuri hii annoint mungu akuinue milele
Ombi langu Bwana. Njoo nisaidie.
I love you songs kwanza hii Mungu akubariki bro❤❤❤
Amen kaka uko vzr Sana unaweza kuliko unavojijua
Amen.. nimebarikiwa sana .. kazi nzuri sana.. Mungu akubariki kaka
MUNGU yupo pamoja nawe, usiogope eeee shujaaa.
From kenya hiyo wimbo imeniguza sana😢😢
Kenyans loves you alot❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏asante kwa nyimbo nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe ndugu yangu Annoint
"MAJARIBU NI MTAJI WA KUONGEZA IMANI"
Wimbo huu unaupako kweli kweli
amina barikiwa bro
Hakika nimebarikiwa atukuzwe Mungu aliye kupa maarifa yaujumbe kwadunia mzima
Huu wimbo umenibariki sana leo
Your fun from kenya unaenda mbali anoit ilove your tunes💪💪
Amani, i really love your songs, am from 🇰🇪huu wimbo umenigusa ila unaisha nikiwa bado sijaridhika...how i wish ungeurefusha kidogo jameniii...kwa kweli uliitwa na mungu zidi kubarikiwa mtumishi wa mungu!!!
😭nimebarikiwa.MOLA akuzidishie baraka
Uenuliwe na BWANA...umeugusa moyo wangu....ni kiwa Dubai
Mung akutienguvu anoinnt amani
Wimbo mzur jaman nataman kuwa hivyo acha tu
inaliza jamani yooooooooo bwana yesu njo nishindiye
Barikiwa sana MTUMISHI WA MUNGU
Kazi nzr nakupenda bure❤❤
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Nakuhitaji na Leo 😭😭 Njoo babangu nishike mkono. nmechoka 😭💔
Barikiwa Sana KAKA, mung azid kukutumia Kwa viwango vingine
Baba njoo😢🙏ombi langu 🙏 thank you so much man of God,,
❤❤❤ siwezi kueleza. Love you so much mam of God
This is My, thanks to the lod
Your songs are always a blessing. Listen to your God and not people.
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu
Yesu njoo nisaidie😭😭😭save me Lord🙏
The appointed God's time,the mostly needed 🙏 🙏🙏🙏🙏come to my rescue Lord
Lazima kudharauliwa lakini wewe nyamaza na mtazamie mungu tu
Pole sana baba yangu
Usiliye nawale
Wale ni wale
Watumishi wanzake ao mtu awaye yeyote asikutenganishe Na Mungu wako
Congrats bro nice song imenipariki
Nabarikiwa sana kwa song hii 🔥
Mutumishi unzidi kuinuliwa sana
😭😭😭😭😭😭😭 Mungu atusikie Kwa uruma🙆🙆😭😭😭😭😭