Annoint Amani - Kusemwa Raha (Official music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 3 ноя 2022
- #kusemwaraha#Annointamani#
Maneno haya muuwi mtu,ukiona unasemwa basi kuna sababu, Usihangaike kuwajibu wewe endelea kuimalisha uchumi wako ,Ni vizuri kama kazi zako zikitoa majibu kuliko wewe mwenyewe kuwajibu,
Maana kusemwa ni raha sana,Una fanyiwa promo ya bure na unakuwa salama popote, maana hao hao wanaokusema ndio hugeuka walinzi wako popote ulipo)
Artist,Annoint Amani
Song,Kusemwa Raha
Album,Kiboko yake ni Usingizi Album Vol 6.
Language Swahili)
Annoint Amani For booking
Instagram Annoint Amani,
Tiktok Annoint Amani tz, +255767240181=+255755099942)
Directed by Kheri one Brand Hanscana ( +255693 354 566 Tz)
Audio,A.E.A Tones studio producer by Meddy
Dar Es salaam Tanzania ) Видеоклипы
Team yangu ya tiktok piga like
Napenda nyimbo zako sana,ikiisha narudia tena,Barikiwa Baba
Kweli mm ninani nisisemwe km yesu mwenyewe alisemwa ww ninani🇰🇪 Amen
La, dogo. Wewe ni mkari yesu kristo akutumie zaidi nafurahia nyimbo zako
weweeee😂😂😂💪🏿💪🏿.Inapendeza. na inamafunzo☺️❤️❤️❤️
Ukweli nimeona yesu yupo mungu akubaliki uendelee kutufundisha
Wimbo huu ni mzuri sana ina ujumbe mzuri sana ukisikisa visuri
Tafadhali mtu aniunganishe na huyu mtu nimpeee back up for free tamu sana Kali sana💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🥰🥰🥰🥰🥰
Kiukweli nimeupenda sana wimbo huu sasa naaza kubadilisha mtazamo wangu katika kusemwa
Bigger up sana mtumishi wangu kweli kusemwa Raha . I'm tanzanian
Kabisa kabisa hii sawa sana Bishop Stephen embwaga kutoka kenya waaa unaneema kubwa ndugu
Hakika kusemwa raha bila kusemwa huwezi kupiga hatua hasa ukiwa na kitu lazima kusemwa bigap sanaa mkuu wangu
Enyewe kusemwa raha ndo uwa Mungu anakuinua....barikiwa amani
Anaekusema nae anasemwa wanaomsema nao wanasemwa . Hii kweli raha. Hongera sana
Huo wimbo nausikiliza saana wanipa moyo wakati nasemwa jamani Yani haniumi popote barikiwa sana ndugu
Jamani kusemwa raha be blessed pamoja kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Amen kusemwa raha
Changanya from nairobi kweli kabisa kusemwa raha
❤❤❤❤i love the song sijui nimeirudia mara ngapi
Kweli kabisa bro Ameeeeeeen hallelujah ❤🇸🇦👏🙏
😂😂😂madui kusemwa laha nice song my brother
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Plomo bila Malipo
Kusemwa raha jamani mungu akurinde na maraika wakuzekire🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Laha jamani ni kweli my brother❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongera Sana annoint napenda sana wimbo zako 😊❤
Mi naskia raha 😊
Kaka nyimbo zako ni nzuri ❤❤❤❤
Japo yanauma Ila nasogezwa mbele. Endeleeni kusema
Mimi m🇹🇿 naitwa labu lekina from tk ,mkoa ni arusha ,wilaya ngorongoro ,tarafa ya sale, Kata ya engaresero binafsi kusema kweli amekuwa wa kwanza mtumishi wa mungu annoint, nimeipenda nyimbo zake na si kwamba siwapendi wengine kama rose,bukuku ,mgendi,William,bony +sifaeli wote nimewakubali but nimelemewa na mtu wa mungu rafiki yangu ,"ANNOINT AMANI " mungu akutunze natamani siku mmoja nikuone!!!!
Ooohoo Hallelujah jamani umenifanya nimuogopa Mungu🙏🏼,
Asante sana kwa upendo rafiki yangu Mungu akupe neema ya kufanikiwa kwa kila jambo jema unalofanya 🙏🏼💪
@@annointamani3285 natamani Sana nikuone hata niimbe na wewe japokuwa Mimi si muimbaji but najisikia tu kuingia video yako tu basi utabarikiwa
Broo barikiwa sana hapa umegusa penye we kweli mimi ninani nisisemwe ,anayenisema nae anasemwa nawanaomsema nawanasemwa kusemwa rahaaaaaaa kweli
😢😮😢😢😢 😢😢😮😮 0:55 😢😢 😢😢😢😢😢😢😢😢 1:05 😢 😮 1:17 ❤🎉❤😮😮
@@annointamani3285ameen 🙏
Jamani Kaka napenda nyimbo zako from béni drc
Kwakweli hadi laaah kweli na kukubal San mwamba
Mhhhh umenibariki Sana mwanangu huo wimbo
This man is blessed,mnasema maovu ila huyu ni mtumishi WA mungu,mungu aibariki kazi Yako,umewabariki wengi,
Jamani Kaka napenda nyimbo zako from béni drc😮Mml
❤ love the way you think about it how to change my life and others ❤ keep up
Hii wimbo iko na mafunzo asante sana brother
Ni Raha kusemwa sana. I love the strong 💪 message you have in your songs amani. I am a Kenyan an I love Tanzania artist so much. Continue spreading the word of God. Taji utapata ndugu yangu
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah
Love from Canada 🇨🇦 ❤️ ♥️. Omg kweri kusemwa raha kubwa. Nimesaidiwa na nyimbo hii sana kutoka tiktok mpaka nmekuja hapa juu ya utamu na nguvu inazo. Nmesemwa mabaya kwa mwiezi miwiri sasa lakini hii imeniinuwa juu. Hallelujah 🙌 Mtumishi Mungu akuongezee nguvu🙏🙏🙏🥰❤️
Canada montreal tuko pamoja kaka kusemwa raha
❤️❤️❤️kusemwa Raha kama usemwi jua hakuna kitu unafanya
ALAFU KUNA MTU ATASEMA UYU SIO MFALME WA NYIMBO ZA INJILI ANNOINT AMANI KAPEWA KILA AINA YA UIMBAJI 💯💯
Huyo mseee Ako phity saaaaana💪💪
MUNGU AZIDI KUKUINUA MWANANGU NABARIKIWA NA WEWE SANA
kielelezi kamili cha utumishi wa mbinguni,Hongera Amani
I can't get enough with this song .....ndio nimejuwa mm Ni Wa Maana Sasa...
nyimbo nzur ukishazam haipatikan mm nawapa maon tyu
I almost gave up but niliposikia this song wooow naomba wasengenyaji ongeza zaidi.am.3.steps ahead sai promo ya Burr🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝
Wao 💕 den yani mimi naskia lahaa
Wimbo mtamu kweli,umenituma kununua home theater!much love from🇰🇪barikiwa bro
Yani watasema watapata Nini Kwa kunisema Mimi,mshahara wao watakucha kupikana wenyewe tu,god bless you brother wanao kuonea wivu washindwe Kwa Jina la yeah,Mimi napenda kazi yako kaka annoith endelea kujapa ya mungu
Be blessed bro keep going 🙏🙏🙏🙏 am watching from KENYA. Your songs are more 🔥 🔥🔥🔥
Yes. Kusemwa Raha ukipata watu wanakuongelea bure na huwajui ama ushughuliki nao indeed you are special it like they are promoting your identity. God matters than their words.nice song.🙏🙏
Dah nyimbo nzuri Sana 👌
Najiskia sana na huo wimbo
Nice song,watching from kenya may god continue to bless you
Jamani nafurahia ujumbe kweli
Amen,ni Raha sana kusemwa
Tz gospel singers nyinyi ni Hatari sana kwa ujumbe katika nyimbo zenu,Amani na @Bonny Mwaitegi Mungu azidi kuwatumia.
Huyu jamaa anajua mpaka anahalibu
Wallah i love this song nairudia even 10× aday
Kawaida sana toka nipo tumboni mwa MAMA yangu.
Ukweli kabisa kaka,love you for free
Hongera Sana kusemwa raha
Nasikia raha kwakwel "kusemwa raha "
Hii song jamen ❤Weee huku Kenya tunakupenda kaka
Hii wimbo n national anthem kwa nyumba yangu...watu wa plot n masengenyo Leo mtanitambua♥️♥️
😂😂😂😂😂😂😂
Niuweee😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nimependa sana
Teaching song Yani kushemwa Raha Amen baraka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏😁😁 Raha
From Rdcongo 🇨🇩🇨🇩 Π ubarikiwe kijana mwezangu.. ❤ vas de l'avant.. Ni chanson ya muzuri kumbe kusemwa raha kiasi hicho kumbe acha niwe na furahiya akinisema kwenye chuo 🥰
Kusemwa raha umetupa moyo Barikiwa Anoint
Congratulations good song ❤️🎉🙏🙏🙏
Atoucheable song watch from gulf blessed bro❤
Good song bro ni raha sana
KUSEMWA RAHA indeed
That man in white shirt walai 😂😂😂😂anafanya niskize hii song kila saa 😅Kenya we love you kaka Annoint Amani
Wow,,nmepeda sauti
Kutoka TikTok Hadi utube🔥
That voice my brother ahaaaaaa, it's really goodooooo
❤❤nice song yani imenitia nguvu,kumbe kusemwa raha aaah
The bu dance and message is great
Amazing song...I like all your songs
❤❤❤ hongera sana annoint
Jani kusemwa raha
Wow so nice song ,I usually love your songs 🥰🥰🥰much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Jaman kusemwe lahasana
Jamani kusemwa raha
Good song pray for my family man of God 🙏
Woow ufunuo
Kusemwa raha ahahahaaa wanasema afu hawalipw mshahara🤣😂😃😃😃
Uyu jamaa anajuaaa sana
Ailililililili on 🔥🎉
Fan kutoka Kenya 🇰🇪. Kusemwa raha.Amen
Kweli
Yes nisemen jameniiiiiiiiiiijjjjj
Raha I love it 🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙏🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Woow am blessed
Napendaga jumbe zako tu Amen amen ameeen.
Aki walai kusemwa ni rahaa,Amina 👏👏👏
Much love from Kenya 🇰🇪 yaani naskia raha kuskiza nyimbo huu
Wow much love from 🇰🇪💞💞 kusemwa Raha amen
Nabarikiwa sana na nyimbo zako mungu akuinue zaidi viwango Hadi viwango na utukufu Hadi utukufu
kusemwa raha kumbe💕🔥🔥💫💫🔥 Kenya fan
😄😄😄🙏🙏🙌 amazing song thank you Holy spirit 🙏
Habari ndio hiyo toka South Africa 🇿🇦