Historia Kanisa Maswali na Majibu: Kwenye Biblia mbona hatuwaoni Makabayo.?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Swali: Kuanzia mitume wa Yesu kuanzia Musa hadi Ufunuo mbona hatuwaoni Makabayo.?
    Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

Комментарии • 1