Majibu sahihi kuhusu nyama ya NGURUWE kwa WAKATOLIKI/Padre kutengwa na kanisa/kufukiza Ubani Nk.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Mhasham Askofu Method kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo katoliki la Bukoba na Mtaalamu wa historia ya kanisa Katoliki, akijibu maswali tata ya wasikilizaji wa kipindi cha Historia ya kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.
    #MaswalinaMajibu #HistoriayaKanisa #kanisakatoliki

Комментарии • 194

  • @aloysiusrugejuna2804
    @aloysiusrugejuna2804 Год назад +3

    Katika majibu yako nimependa jibu la Jumapili. Asante sana baab askofu

  • @Grace-rx5xy
    @Grace-rx5xy 6 месяцев назад +1

    Asante sana baba askofu kwa majibu sanifu

  • @mazemlejr9832
    @mazemlejr9832 Год назад +6

    Iyo Mathayo 15:17-20..hamjui bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni na kutupwa chooni? 18. Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. 19. Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano. 20. Hayo ndio yamtiayo mtu unajisi; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mtu unajisi.
    Hapo waweza elewa kutokana na swali mtumishi,, unajisi unaosemewa apo na Yesu si unajisi wa CHAKULA,, ni unajisi wa moyoni,, na umefafanuliwa vizuri mafungu ya 18 to 20.

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Год назад +3

    Sanam kuiabudu hapana aisee , yawezekana ktk kueleza kakosea kidogo !!!

  • @graceladislaus1176
    @graceladislaus1176 Год назад +1

    Mhhhh,huku tunakoelekea tunaangamia 😭😭😭😭zaidi tumuombe Mungu atusaidie kulewa maandiko.

  • @leonidaskwigize1853
    @leonidaskwigize1853 Год назад +2

    Hongera sana waumini mtafutao kujua mambo yale tuyaaminio

  • @danielnyabungi693
    @danielnyabungi693 10 месяцев назад +1

    Hii ni sawa na kulisha watu upepo

  • @nyirefami19471947
    @nyirefami19471947 Год назад +1

    Asante sana Baba Askofu kwa majibu sanifu

  • @kilianmruma297
    @kilianmruma297 7 месяцев назад +3

    Waamini wa kristu hawafungwi na agano la kale.

  • @kiookimolo
    @kiookimolo 6 месяцев назад +3

    Yesu alisema hakuna kilicho nje ya mwili kikiingia chaweza kuutia unajisi bali yamtokayo mtu moyoni mwake kama mawazo mabaya ,uzinzi ,na dhabi zote,,maana yake dhambi ndizo zinazo tutia unajis sio chakula

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      @@kiookimolo hayo ni ya Paulo soma. Walawi ba Marko nyinyi sijui mna matatizo gani.Sijui hamuelewi hamsomi au mnadanganyana tu

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +2

    Ukisoma kitabu Cha Isaya 66:16-17 inataja watu watakaoangamizwa kwa moto siku ya mwisho ikiwa ni pamoja na wale wanaokula nyama ya nguruwe Sasa ngoja mdanganywe hapo

  • @KWAYAYAWATAKATIFUMASHAIDIWAUGA
    @KWAYAYAWATAKATIFUMASHAIDIWAUGA 7 месяцев назад +1

    Mambo mazuri kweli haya

  • @hemmysaleh3521
    @hemmysaleh3521 Год назад +5

    Hajui kabisa Biblia inasemaje ,Yesu kasema hakuja kuvunja Sheria ya Musa Bali kiutimiza ,hakuna agano la kale Wala jipya ,Kwa hio kula chochote ni halali basi hata kumla yeye askofu nyama yake halali ,,asipotoshe UKWELI MUNGU AMEPIGA VITA NGURUWE

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  Год назад

      Mbona umekasirika?

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 месяцев назад +1

      Hata Mimi kuna kitabu nimesoma kimeandikwa Yesu alikataza baadhi ya vitu lakini Paulo akaja kubadilisha na kutoa mafunzo kinyume na mafunzo ya Yesu na wanafunzi wake kumi na,wawili

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 месяца назад

      Kwani umelazimishwa kula? Chakula ni ibada...mimi nakula,baki na imani yako

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 Месяц назад +1

      Utakuwa una shida miaka zaidi ya hamsini amekuwa akisoma biblia wewe umezaliwa juzi utamshinda kujua, Tena amesomea iliko andikwa hiyo biblia

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад

      @@erasmusaloyce4398 waache hao watu wa mihemko..mitume na manabii

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 Год назад +4

    Asante Baba Askofu endelea kutufundisha

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +1

    Mwana wa adam atarudi
    Sawa askofu nimekuelwa vzr

  • @charlesbulayi4095
    @charlesbulayi4095 Год назад +1

    Ni mafundisho mazuri sana

  • @godfreymbuya5632
    @godfreymbuya5632 Год назад +1

    Mwamba ngozi huvutia kwake.Imeisha iyo

    • @PAULMALAGILA-x2l
      @PAULMALAGILA-x2l Год назад

      Mungu tusaidiee baba mtakatifu n mungu tu akna mtu duniani wakuitwa baba mtakatifu

  • @kingmsanya3524
    @kingmsanya3524 Год назад +1

    Safi kbsa

  • @jacksonkisabala8687
    @jacksonkisabala8687 Год назад +4

    Mnasoma sana uchumi mzee majibu yako rahisi sana alafu Roman Catholic walifanya biashara ya utumwa kuna dini .Vatican ina serikali pia dini gani inakuwa na serikali na mabalozi kila nchi hakuna dini mzee usitudanganye

  • @mansuetusmwoleka8732
    @mansuetusmwoleka8732 Год назад +1

    Ahsante sana Baba Askofu kwa kutulisha na tunazidi kuimarika zaidi kiimani binafsi na kupenda sana hasa kila nikikusikiliza huwa nabarikiwa,napenda sanaa Baba Kilaini kukusikiliza,endelea kuimalisha kondoo wako!

  • @dorrymaduhu331
    @dorrymaduhu331 Год назад +2

    Mnakosea sana bible inasema usiabudu miungu mingne ila mm

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  Год назад

      Acha hasiraa

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Год назад +1

      MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO =MUNGU MMOJA

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 2 месяца назад

      Sasa sisi mbona tunamuabudu Mungu? Na hata siku Moja kanisa halifundishi kuabudu sanamu.

  • @mazemlejr9832
    @mazemlejr9832 Год назад +1

    Mmmmmhh mtumishi iyo injili ya mathayo soma... mafungu yote uelewe mkitadha wa fundisho hilo na usikomee fungu moja tafadhali mtumishi..

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Год назад +3

    YESU MWENYEWE ALI ITUNZA SABATO YANI JUMAMOSI PIA TAURATI ALI HESHIMU

    • @Simonirafael-wt4lc
      @Simonirafael-wt4lc 7 месяцев назад +1

      Weweee ujuavyo sarihivyohivyo maana hata biblia mmechakachua so wewe abudu tu hiyounayojua

  • @jumannemtawa4535
    @jumannemtawa4535 Год назад +3

    Soma Kumbukumbu 14:8 na Mathayo 5:17 Nguruwe sio halali.Na kuhusu Mathayo 15 Yesu hakuzungumzia kuhusu vyakula bali alizungumzia kula bila kunawa na sio vyakula anza kusoma kuanzia Mathayo 15:1-19

    • @saidiissa4673
      @saidiissa4673 Год назад

      Good

    • @saidiissa4673
      @saidiissa4673 Год назад

      Good, yesu alizungumzia kula bila kunawa

    • @gaudencechanga3170
      @gaudencechanga3170 Год назад

      Unaikumbuka ndoto ya Petro ambayo aliletewa vyakula vyote kwenye sinia na akaambiwa ale na yeye akasema ni najisi, Je unakumbuka alijibiwa nini?.. 'Usikiite kilichoumbwa na Mungu ni najisi'.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 месяцев назад

      @@gaudencechanga3170 Yesu kuna mambo aliyakataza. Na Paulo alikuja kuyahalalisha Yesu alitahiriwa nacalipenda wengine watahiriwe na mengine ikiwemo ulaji wa nguruwe na kibudu

  • @alexraymond1623
    @alexraymond1623 Год назад +5

    Askofu anajua Kila kitu maana biblia Iko wazi ila mambo ya walawi 11 sura nzima inatoa maagizo yote ya Nini kiliwe na Nini kisiliwe na uzuri askofu amesema agano jipya linakamilisha agano la kale Kwa hiyo hakuna kilichobadilika labda kafara tu ya wanyama ndo iliyoondolewa na yesu mwenyewe baada ya kufa msalabani akizibeba dhambi za ulimwengu

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      hawa wanajua kila kitu ila ulafi tu. 😅

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад +2

    Uko vizuri muno padiri

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Год назад +3

    Unawona yesu akirudi maandiko yanasema mwana. Wa adam siyo mwana wa mungu

  • @mwesi527
    @mwesi527 10 месяцев назад +1

    Injili ya mathayo duh hii mpya

  • @complex7582
    @complex7582 Год назад +4

    "Kula chochote ilimradi kinalika" mkipewa nyama ya paka mnalalamika

  • @shadymulu1568
    @shadymulu1568 8 месяцев назад +2

    Wapi maandiko yasema kwamba alibariki siku ya Sunday baada ya kufufuka kwake masihi.....???

  • @danielnyabungi693
    @danielnyabungi693 10 месяцев назад +1

    Padre hatugombani mungu anakupenda sana lakini unapotosha ukweli wa neno la mungu

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 2 месяца назад

      Hawezi kupotosha mana yupo chini ya kanisa lenye watu billion 2 duniani, nawe huwezi kuwazidi ukweli hao watu, wewe ndio umepotoka na sio yeye.

  • @BuruanHussein
    @BuruanHussein 6 месяцев назад

    Amina

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Год назад +4

    This man is really Bright....

    • @mohamedzambo1511
      @mohamedzambo1511 Год назад

      Kasome mambo ya walawi 11 msitari wa 7 utaona viumbe vinavyoruhusiwa kuliwa.

    • @johnmligo6966
      @johnmligo6966 Год назад

      @@mohamedzambo1511 we muhamed komaa na kuruani yako mambo ya biblia unayajulia wapi....

    • @machanomachano626
      @machanomachano626 Год назад

      Askofu anatetea ugali

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 3 месяца назад

    TUMSIFU YESU KRISTO BABA ASKOFU, NAOMBA HIKI KIPINDI KIWE KINASIKIKA REDIO TUMAINI

  • @kudraabdallah2561
    @kudraabdallah2561 Год назад +2

    Nguruwe kuleni na muoane nyinyi kwa nyinyi

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад +3

    Uko vizuri mh,padiri acha ture kitimoto waisiramu wataisoma namba

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 Год назад

      Mmmmmh sasa sanam unafanya MUNGU nafany ya MUNGU haifananishwa na kitu chochote hap dunia

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Год назад +1

      @@marthadaniel4904 mapadri wa katoliki huku ulaya wanapelekwa sana mahakamani kwa makosa ya kuwafira watoto makanisani

    • @msafiriduwiya953
      @msafiriduwiya953 Год назад +2

      Kwa akili Yako unafikiri ngurue kakatazwa na muislam pole jiulize yesu wapi kala?

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Год назад +2

      Unamkomoa nani? wakati aliyekuumba kakupeni Agano ambayo ndiyo sheria, nyinyi mwaipinga na kuibadilisha!!!!

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 Год назад +1

      @@shafiismaily9223 Paulo kawaambia wasiishi kwa Sheria Bali kwa imani

  • @petermagoye5482
    @petermagoye5482 Год назад +1

    Kwahiyo Mungu hatahukumu kwenye agano la kale??? Na kuhukumu kwa kutumia agano la Jipya????

  • @mohamedhashim3235
    @mohamedhashim3235 Год назад +3

    Kwanza ngoja ncheke

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад +3

    Hili jibu la nguruwe ni ovyo kabisa iwe je kusiwe na HARAMU. Ina maana anaeweza kula nyama ya mtu ale tu kwa kuwa atasihia chooni.

  • @happymboya7697
    @happymboya7697 Год назад +1

    Jamani Jana nimesoma bibilia imekatazwa msidangaye watu ni halam

  • @ulirkimsacky
    @ulirkimsacky Год назад +1

    Samahani Naomba kujua kuhusu uchawi je nithambi?

  • @ibrahimcharlesswaleh
    @ibrahimcharlesswaleh Год назад +3

    Watakuwa na macho lakini hawaoni. Wana masikio lakini hawasikii

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад +1

    Mimi mwenyewe Ni mkristo Ila kula nyama ya nvuruwe Ni Haramu Acha kupotosha watu

  • @PastorZakariaTzTV
    @PastorZakariaTzTV Год назад +4

    Kama mnashika agano la kale kwa kufukiza uvumba KWANINI mle nguruwe wakati agano hilohilo linakataza nguruwe.

    • @PastorZakariaTzTV
      @PastorZakariaTzTV Год назад

      @Phillip Mbuligwe kwenye agano jipya inaonekana wakati wa zakaria baba na yohana na wakati huo ilikuwa KABLA YA KRISTO HATA YOHANA MTANGULIZI WA YESU HAJAZALIWA KWAHIYO SIMULIZI YA ZAKARIA NI WAKATI BADO WANASHIKA TORATI.

    • @PastorZakariaTzTV
      @PastorZakariaTzTV Год назад

      @Phillip Mbuligwe vema sana itakuwa vema Sasa tuanzie hapo hapo WAEBRANIA 10:1 TORAT ILIKUWA KIVULI CHA MEMA YATAKAYOKUWA WALA HAIKUWA SULA YENYEWE YA MAMBO HAYO kwakuwa njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijaonekana, SASA SWALI NI KWAKO UNASHIKA KIVULI AU SURA HALISI? KAMA UNASHIKA KIVULI KWANINI ULE NGURUWE? AU KAMA UNASHIKA KIVULI MBONA HUWATUPII MAWE WAZINZI? AU JE MBONA HUISHIKI SABATO KAMA KWELI UNAISHIKA TORAT.

    • @PastorZakariaTzTV
      @PastorZakariaTzTV Год назад

      @Phillip Mbuligwe MAANDIKO uliyo taja sikusoma yote ila nimeyaangalia mawili UFUNUO NA MATENDO MMOJA LINAHUSU KUTAKASWA KWA VYAKULA LINGINE NI UVUMBA JUU YA UTAKASO WA VYAKULA HAKUNA WASISI WASI KWANGU ILA KWAKO LITAKUWEKA NJIA PANDA SABABU WEWE UNATAFUTA KITIMIZA MAAGANO YOTE MAWILI KWA PAMOJA NA AGANO LINGINE LINAKWAMBIA USILE NGURUWE LINGINE LINASEMA KULA ITA KUPA SHIDA ILA KWA MIMI NINAEJUWA KUWA AGANO JIPYA LA BWANA NA MWOKOZI NDILO NINALO PASWA KULIISHI SINA SHAKA JUU YA HILO HATA BABA WAMBINGUNI ALIWAAMBIA WALIOKUWA WAMEKUSANYIKA HUYU NDIYE MWANANGU MPENDWA NINAYE PENDEZWA NAYE "MSIKIENI YEYE" KUHUSU UFUNUO WA YOHANA YALE NI MAONO YA MAMBO YANAYO TENDEKA MBINGUNI NA MARAIKA HAKUNA AGIZO PALE LINALO TUAGIZA SISI KUFUKIZA UVUMBA HUO WANAFUKIZIA MAPEPO WAISLAM NDIO MAANA BINAFSI SIJAWAHI KUONA PUBLIC PADRI ANAKEMEA PEPO SIJUI HUKO SILINI.

  • @nzogelamussa2585
    @nzogelamussa2585 Год назад +1

    hana majibu ya kweli inaoneka a hajui anacho kijibu muislamu siku ya 7 no ijumamosi sio ijumaa ijumaa no sikuku

  • @emanuellukwaro1032
    @emanuellukwaro1032 Год назад +9

    Ina maana askofu hujui vyakula najisi na safi soma Law 11:1- Kumb 14:1-

    • @fjafrica62
      @fjafrica62 Год назад +4

      Agano la kale na watu wakipindi kile, agano jipya ni kula tu ilimladi kisikudhuru.

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Год назад +1

      Hilo ni agano la kale

    • @danyjoram9130
      @danyjoram9130 Год назад

      Soma wakolosai 2:16

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Год назад +1

      Ole wao wenye kubadilisha maneno ya mungu

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Год назад

      @@shafiismaily9223 Ni Mungu sio mungu
      MUNGU ana NENO hana maneno

  • @lungusii
    @lungusii Год назад +2

    Bible zote zime chakachuliwa mzee Baba

  • @graceladislaus1176
    @graceladislaus1176 Год назад +1

    Kama hamfuati agano la kale huo uvumba mnafukiza wa nini?bas endeleeni kuua, kuiba, kuzini,kuvunja SABATO, n.k maana vyote hivyo ni agano la lake 😆😆😆,kwa hali hii siku ya mwisho naona kuna watu damu zetu zitakuwa juu yenu 😥😢😢😥

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Год назад +1

    MATAYO 28;1 IYO NDIO SIKU YA SABATO USIDANYE WATU

  • @PastorZakariaTzTV
    @PastorZakariaTzTV Год назад +1

    Yesu hakufufuka siku ya Saba padri Ni siku ya kwanza ya juma

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      yani anaongea vitu moaka unashika kichwa 😅

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +2

    Katika kitabu Cha isaya maandiko yanasema watu wanaokula nguruwe na panya wote watakomeshwa katika hukum ya milele

  • @mwesi527
    @mwesi527 10 месяцев назад +1

    Jpili siku ya bwana constantino mungu wacatholic

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад +2

    Ndio muendelee kula ipo siku kitaeleweka

  • @danielnyabungi693
    @danielnyabungi693 10 месяцев назад +1

    Kumbe mliheaabu nyie sio mungu

  • @deusdedithhenry1524
    @deusdedithhenry1524 Год назад +2

    Mbona maswali muhimu yanajibiwa kirahisirahisi, tumia nukuu za biblia wapi biblia imeita jumapili siku ya BWANA na kuifanya siku ya ibada.? Kwani Yesu na mitume walisali jimapili.?

    • @hillarybwagidi9994
      @hillarybwagidi9994 Год назад +1

      Ndugu raia mwenzangu, masuala ya kiimani ni magumu pale inapotokea muamini asiyeamini imani fulani kujitwisha mzigo wa kutolea 'majibu' au maelezo imani asiyoamini! Kila imani ina vitabu na mafundisho yake ya msingi. Pole sana ndugu, si kosa lako bali hujui msingi wa imani ya Kanisa Katoliki. Zingatia imani yako. Hii achana nayo [m.y. nyamaza]

  • @kiookimolo
    @kiookimolo 6 месяцев назад +2

    Mnapinga kitimoto isiliwe mkiingia kanisani mnavua viatu?je mwanamke akizini mnampiga mawe mpaka kufa, siilikua sheria,mwanamke aliruhusiwa kuoa wanawake wengi kulingana na uwezo wake mbona hamuoi siilikua sheria,,,mmekazana kitimoto kitimoto,hicho ni chakula kula ngurue na kuua kipi bora ,×watu wanafanya uzinzi wanaogopa kula ngurue aisee l see ,,hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya juu ya mwili,

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      Amini 🤲🤲 umejitahidi ubarikiwe sana mpendwa 🙏🏻🤲

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Год назад

    Yesu aliipo toa mapepo Aliya Tia mapepo kwenye nguiuwe leo mnakila

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Год назад +1

    MARKO 16;1-2 SOMA NDIO UTAJUA SIKU YA SABATO KIUKWELI NI J MOSI

  • @dorrymaduhu331
    @dorrymaduhu331 Год назад +1

    Huyu anapotosha watu kabisa siwez mwelewa ata kidogo

    • @yasintadaima25
      @yasintadaima25 Год назад

      Usipofungua roho yako hutamuelewa hata Yesu akirudi mara ya pili hutamuelewa

  • @jacksonkisabala8687
    @jacksonkisabala8687 Год назад +1

    Mbona mnasema sana uchumi kuliko dini .Theology ukiitafsiri kiswahili unapata nadharia yaani unachoongea ni nadharia hakuna uhalisia kwa hiyo dini ya kweli ni mila na desturi ambayo ndo Sabato.Vua joho una tofauti na mganga wa kienyeji.

  • @nzogelamussa2585
    @nzogelamussa2585 Год назад +1

    hiyo biblia ya agano la kale kulikua la dini gagi au biblia hiyo ulikua ya waislmu ?

  • @macdonaldotieno5010
    @macdonaldotieno5010 Год назад +1

    Wacha kumis understand the scriptures... Na nyinyi wakatoliki ni kuni tu ya shetani

  • @esterinajonas
    @esterinajonas 11 месяцев назад +2

    Tyk naitwa esterina mfilinge kutoka parokia mariade Matias mivumon je not mtakatitu yupambaye Sala yake huaza na maneno bwana nifanye chombo Cha amani

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +1

    Kwahio Kila mtu ameamua kujichagulia tu siku yake ya Saba 🤔🤔🤔🤔

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Год назад +1

    ZABURI 115;4-9 SANAMU ZINA MACHO LAKINI AZIONI ZINA MASIKIO AZISIKII ZINAPUA AZISIKII ARUFU TUSIZITUMIKIE NI KAZI YA FUNDI

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад +1

    Mh,sabato je nisiku ipi sahii

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 Год назад +1

    Huyu askofu wa ajabu Sana hata hajui biblia kiasi hiki hata siku ya kwanza kibiblia haijui ?

  • @jamesnziku7638
    @jamesnziku7638 Год назад +3

    Iko poa

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 7 месяцев назад +1

    Mwazo walawi kumbu kumbu la torati ngurue aliwi nasio nguruetu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 9 месяцев назад +1

    Mengi Yesu alikataza ikiwemo ulaji wa Nguruwe na kibudu bila kuchinjwa ila Paulo alikuja kubadili mengi tu. Kinyume na mafundisho ya Yesu

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 Месяц назад

      Wewe mwislamu hauwezi kumjua Yesu zaidi ya wakristo, mtume wako mwenyewe alizaliwa miaka karibu 700 baada ya Yesu hivo hawezi kumjua Yesu zaidi ya walio mtangulia.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      @@erasmusaloyce4398 Unaandika utumbo kabisa. Mimi nasoma maandiko ambayo dini yoyote anasoma. Huko kumjua kumjua vipi kama si kusoma katika biblia Walawi na Marko kuhusu vyakula najisi .vilivyokatazwa. Ni hivyo mnazungusha zungusha maneno tu na kudanganyana

  • @lucasmabuli4786
    @lucasmabuli4786 Год назад +1

    Askofu soma biblia hakika unadangaya watu majibu yako ni simple sana hayana mshiko Wala imeandikwa

  • @godfreybruno3443
    @godfreybruno3443 Год назад +2

    kwa wasabato mbona unatoa povu

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 Год назад

      Sabato ni jumamos hawasom biblia acha nisimam sehem sahih

  • @PAULMALAGILA-x2l
    @PAULMALAGILA-x2l Год назад

    Tusomeni jamaan mafiko tusisubili kufundishwa tu

  • @petermagoye5482
    @petermagoye5482 Год назад

    Shida ni majibu hayajitoshelezi hata kidogo

  • @mwesi527
    @mwesi527 10 месяцев назад +1

    Yaani kuhusu jpili ndo nimetambua akili hamna humo dah acha nitengwe tu ala mzee hapo umezingua,lakin utambue bwana atakata kichwa namkia soma katika kitabu cha isaya 9 anzia 4 na kuendelea usipotubu hapo bas

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 Месяц назад

      Wakristo wote wakuwa wakisali siku ya bwana . Sabato ni ya wayahudi ndg

  • @macdonaldotieno5010
    @macdonaldotieno5010 Год назад

    Wacha kupoteza wachinja

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Год назад +2

    Huyu padri.ana majibu rahisi kwa watu rahisi .biblia na Quran zinaonesha sabato ni jumamos.yeye anafundisha watu upumbavu tu hapo.labda afundishe wajinga.

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад

    Yule anayetundikwa kanisani Ni yesu?

  • @godfreybruno3443
    @godfreybruno3443 Год назад +3

    kwenye biblia ni wapi jumapili ni siku ya Bwana? Halafu unababaisha sana mim nilkuwa roman, hayo masanamu yanaabudiwa kanisan, mpaka kuna nyumba za sanam zinaitwa magorotha

    • @renaswai13
      @renaswai13 Год назад

      Uliathirika nini na hayo masanamu?

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Год назад

      Wahuni sana hawa ma freemason. Ole wao waabudio sanamu. Unaona mwenyew anasema UNAABUDU LISANAMU. LIJITU . Mhhhh. Dini hii ipo ki mchongo mno. Wapinga krito wakubwa hawa

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 Год назад +2

    waafrika tumtafute Mungu alieumba mbingu na nchi hiz din zakikolon hazitatusaidia sana.biblia 1 mathehebu zaid ya elfu na uiskam hivyo hivyo.inamaana kabla yawazungu na waarabu waafrika tulikua hatumjui Mungu?tujifunze kupenda vyakwetu maana tumetawaliwa kifikra kimwili had kiroho.

  • @zuberimussa5508
    @zuberimussa5508 Год назад +2

    Mafunzo ya kanisani bwana hayaelewki kabisa Mara mungu mara tunamngoja mwana wa Adam wakiristo hakuna kuhoji?

    • @phillipmbuligwe7946
      @phillipmbuligwe7946 Год назад

      Yanaeleweka. Wewe tu ndiyo huelewi. Unasoma mstari moja ndiyo untegemea utaielewa biblia.

  • @dorrymaduhu331
    @dorrymaduhu331 Год назад +1

    Yan huyu mtu bana mambo ya walaw yameeleza vyakula namaanisha wanyam,ndege,samaki,jaman somen malaw 11 yote

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  Год назад

      Huyo siyo mtu ni Askofu msomi na mtaalamu wa historia ya kanisa mama duniani na siyo Tanzania pekee

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Год назад

      WALAWI NI AGANO LA KALE. WALIANDIKIWA WALAWI

  • @macdonaldotieno5010
    @macdonaldotieno5010 Год назад +2

    Wewe ni baba wa nani? Nyinyi wakatoliki ni kuni tu...mnapinga bible

    • @frankiemissingo1925
      @frankiemissingo1925 Год назад

      Nadhani ninyi wengi mnaokementi hukumu juu ya Askofu kupotosha na kuhukumu Wakatoliki nadhani hata mpango wa Mungu hamjui kabisa mtahangaika na kuharamisha vitu na kuhukumu watu na hamtajua nini Mungu anataka kwenu na zaidi Biblia zenu ninyi nyingi hazina vitabu vyote-LAKINI ZAIDI MJUE MUNGU ANA DEAL ZAIDI NA NAFSI ZENU . ZILIZOJAA(zinaa,/ulafu/tamaa/majivuno/uesharati/ulevi/wivu/usengenyana/chuki/ubinafsi /ufisadi na mengi ya haya utoka rohoni haya ya kula kunywa mnapoteza muda nayo ,hao Wanyama kawaumba MUNGU msikalili rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu wapendwa-hapa haswa Wakristo mnaambiwa ASKOFU YUPO SAWA TATIZO NI UMAMUMA WENU.

    • @frankiemissingo1925
      @frankiemissingo1925 Год назад

      MNAJIPA UKAMILIFU,NA KUJIKWEZA SOMENI YOHANE SURA YA 3 YOTE MTAJUA huyo Nikodemu alikuwa nani ,mtajua ninyi mnao hukumu watu kwa vyakula na siku za kuabudu LUK7:31-35

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Год назад +2

    HUYU NI NAE NI PADRI WAKUIGIZA MPYA

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 Год назад +2

    Wakatolik mbiona tunaabudu sanamu?

    • @bahatiagape731
      @bahatiagape731 Год назад

      @Phillip Mbuligwe niinao.

    • @mariavianeypeter2991
      @mariavianeypeter2991 Год назад

      Hawaabudu sanamu ila tunaiheshimu sanamu

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 Год назад +1

      @Phillip Mbuligwe Yale masanamu kule kanisani yanafanya Nini?

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 Год назад +1

      @@mariavianeypeter2991 unaheshimu sanamu kitu ulichokitengeneza mwenyewe hakikudhuru Wala hakikunufaishi

    • @phillipmbuligwe7946
      @phillipmbuligwe7946 Год назад

      @@nassorsharifu9837 Kama kweli wewe una nia njema na siyo mtu wa kuleta fuja, nakusahauri usome maandiko ya biblia. Kwanza soma maana ya kuabudu sanamu (Rum. 1:23); kwanza nini Mungu alikataza kuabudu sanamu baada ya tukio linalotajwa kaatika Kut. 32:1-4, Wakati Waisraeli wakisafiri kutoka Misri kwenda Kaanani, Mungu aliagiza kutengenezwa kwa sanduku la Agano (ambalo juu yake lilikuwa na sanamu ya makerubi ka kiti cha rehema) ili yeye akutane nao kupitia hilo sanduku (Kut. 25:10, soma pia 1Nyak. 28:18-19)). Tujiulize, Je sanduku la Agano lilikuwa ni Mungu? Lakini pia tunaona hekalu ambalo mfalme Sulemani alijenga kuta zake zilipambwa kwa sanamu (picha) za makerubi ukuta mzima (Ezek. 41:17-18, 25), 1Waf. 6:27-35). Na baada ya ujenzi kukamilika utukufu wa Mungu ulilijaza Hekalu (1Waf. 8:10-11). Kama Mungu hakupendezwa na sanamu ilikuwa utukufu wake ulijaza hekalu.

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Год назад +1

    Kwanini wariwazuia kuowa

  • @kardongailo88
    @kardongailo88 Год назад

    Tatizo ni kwamba,Kila dhehebu linapigia mstari katika biblia hiyohiyo na kukiishi kile alichokielewa.huwezi kumlazimisha mtu akiishi ulichokielewa wewe Kwa Imani yake.kila mtu anashika mistari hiyohiyo ya biblia.je biblia inapingana,yafaa nini?

  • @deidrim86
    @deidrim86 Год назад +1

    Padre wa mchongo au ana uwezo wa kufafanua mambo.
    👉🏽Majibu ya kitoto sana ametoa kuhusu nguruwe
    👉🏽Huwezi kusema mambo ya samaki wenye magamba hujui yametokea wapi kama umeisoma biblia vizuri.

    • @polycarplazaro8482
      @polycarplazaro8482 Год назад

      NDUGU USIPANIKI, NI HIVI YESU NI MUNGU NA KASEMA HIVI...KIMWINGIACHO MTU KINYWANI SI HARAMU BALI KILE KINACHO MTOKA NDIO HARAMU..MF..MAVI, MKOJO..N.K.
      1. KATI YA YESU NA MUSA NA ANAKUPELEKA MBINGUNI!?
      2. SHIKA ALIVYOANDIKA MUSA UONE KAMA UTAIONA MBINGU,...YESU ALISHASEMA KUWA KUNA MAHALI MUSA ALITUMIA HEKIMA YANA NA HAKUELEKEZWA NA MUNGU ...MAANA YAKE NI KWAMBA ALIMPINGA KUWA TALAKA HAKUNA ....
      NB;
      OMBA KWA MUNGU KWA JINA LA MUSA UONE KAMA UTASIKIKA

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      @@polycarplazaro8482 swala la Yesu ni mungu hiyo ni topic ingine acha kuruka ruka, na mambo ya kwenda mbinguni pia ni swala lingine.
      Em jibu kwanza, Musa alijitungia zile sheria ama alipokea maagizo kwa Mungu?

    • @oswaldpancras5314
      @oswaldpancras5314 Год назад

      Hebu mtu anifafanulie hapa, Yesu aliposema "Mimi ndimi Bwana wa sabato alimaanisha Nini?

    • @phillipmbuligwe7946
      @phillipmbuligwe7946 Год назад

      @@deidrim86 Unasema majibu yake ni ya kitoto kwa sababu uelwa wako wa maandiko ni dhaifu. Nakushauri urejee maandiko ambayo ame refer. Itakusaidia!

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 Год назад +1

    Kwa hiyo unapingana na biblia

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm Год назад +3

    Ukweli ni kwamba Biblia inapaswa kufuatwa kila kitu bila kusaza chochote kile

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      @Phillip Mbuligwe maisha ya watu we unaita kivuli, nyie kwenu kinaanza kuota kivuli ndo unafata mti?

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      Waebrania ni mawazo ya Paulo, kwaiyo mawazo ya Paulo ni bora kuliko maagizo ya Mungu aliyompa Musa?

    • @mrmhenipm
      @mrmhenipm Год назад

      @Phillip Mbuligwe Ufunuo 22:17-hadi mwisho,,,Usiongeze wala kupunguza neno......Ukiongeza unaongezewa mapigo na ukipunguza unapunguziwa uzima wa milele

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      @Phillip Mbuligwe kwani Musa alitumwa na shetani? kwamba Musa na manabii wote walioshika torati walilishana watu matango pori? 😅
      Sawa, Paulo alitumwa na Yesu kama ulivosema ila wapi Yesu alimwamuru Paulo atengue torati au aliruhusu nguruwe kuliwa ilhali ye mwenyewe alisema hakuja kutengua torati?

    • @deidrim86
      @deidrim86 Год назад

      @Phillip Mbuligwe kumbe tunashindana? mkikosaga majibu mnakimbilia huko. Kua na amani ndugu.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +2

    MAANDIKO KTK BIBLIA YANAONYESHA KITI MOTO NI HARAM
    SEMA MATAMANIO YA NAFSI YAMEKUWA NDIYO MWONGOZO WA WAKATOLIKI
    NA BIBLIA IMEKUWA NI YA MAONYESHO TU!!

  • @Simonirafael-wt4lc
    @Simonirafael-wt4lc 7 месяцев назад

    Akirizinatofautiana sasa wewe unachojua fanyahicho ilimladi unyenyekee mbere zamungu maana kila zehebu lina hesabu zake ijumaa j.mos .j.pili

    • @protasetehingisa3077
      @protasetehingisa3077 2 месяца назад

      Nakubaliana nawe kabisa; nyenyekea kwa Mungu (katika dhehebu lolote lile), endeleza sala na ujitahidi kutotenda maovu.

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye 4 месяца назад

    Ww endelea kuvaa hayo marozali yako utadhan yatakusaodia

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 3 месяца назад

    Yani wewe nishetani kama mashetani