Majibu sahihi kuhusu nyama ya NGURUWE kwa WAKATOLIKI/Padre kutengwa na kanisa/kufukiza Ubani Nk.
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Mhasham Askofu Method kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo katoliki la Bukoba na Mtaalamu wa historia ya kanisa Katoliki, akijibu maswali tata ya wasikilizaji wa kipindi cha Historia ya kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.
#MaswalinaMajibu #HistoriayaKanisa #kanisakatoliki
Katika majibu yako nimependa jibu la Jumapili. Asante sana baab askofu
Asante sana baba askofu kwa majibu sanifu
Iyo Mathayo 15:17-20..hamjui bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni na kutupwa chooni? 18. Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. 19. Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano. 20. Hayo ndio yamtiayo mtu unajisi; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mtu unajisi.
Hapo waweza elewa kutokana na swali mtumishi,, unajisi unaosemewa apo na Yesu si unajisi wa CHAKULA,, ni unajisi wa moyoni,, na umefafanuliwa vizuri mafungu ya 18 to 20.
Sanam kuiabudu hapana aisee , yawezekana ktk kueleza kakosea kidogo !!!
🤣🤣🤣hajakosea ila na yeye haelewiii 😂🙌🙌
Amekosea yaar
Mhhhh,huku tunakoelekea tunaangamia 😭😭😭😭zaidi tumuombe Mungu atusaidie kulewa maandiko.
Hongera sana waumini mtafutao kujua mambo yale tuyaaminio
Hii ni sawa na kulisha watu upepo
Asante sana Baba Askofu kwa majibu sanifu
Waamini wa kristu hawafungwi na agano la kale.
Yesu alisema hakuna kilicho nje ya mwili kikiingia chaweza kuutia unajisi bali yamtokayo mtu moyoni mwake kama mawazo mabaya ,uzinzi ,na dhabi zote,,maana yake dhambi ndizo zinazo tutia unajis sio chakula
@@kiookimolo hayo ni ya Paulo soma. Walawi ba Marko nyinyi sijui mna matatizo gani.Sijui hamuelewi hamsomi au mnadanganyana tu
Ukisoma kitabu Cha Isaya 66:16-17 inataja watu watakaoangamizwa kwa moto siku ya mwisho ikiwa ni pamoja na wale wanaokula nyama ya nguruwe Sasa ngoja mdanganywe hapo
Mambo mazuri kweli haya
Hajui kabisa Biblia inasemaje ,Yesu kasema hakuja kuvunja Sheria ya Musa Bali kiutimiza ,hakuna agano la kale Wala jipya ,Kwa hio kula chochote ni halali basi hata kumla yeye askofu nyama yake halali ,,asipotoshe UKWELI MUNGU AMEPIGA VITA NGURUWE
Mbona umekasirika?
Hata Mimi kuna kitabu nimesoma kimeandikwa Yesu alikataza baadhi ya vitu lakini Paulo akaja kubadilisha na kutoa mafunzo kinyume na mafunzo ya Yesu na wanafunzi wake kumi na,wawili
Kwani umelazimishwa kula? Chakula ni ibada...mimi nakula,baki na imani yako
Utakuwa una shida miaka zaidi ya hamsini amekuwa akisoma biblia wewe umezaliwa juzi utamshinda kujua, Tena amesomea iliko andikwa hiyo biblia
@@erasmusaloyce4398 waache hao watu wa mihemko..mitume na manabii
Asante Baba Askofu endelea kutufundisha
Ni baba ya nani
Hapo hakuna lolote
Mwana wa adam atarudi
Sawa askofu nimekuelwa vzr
Ni mafundisho mazuri sana
Mwamba ngozi huvutia kwake.Imeisha iyo
Mungu tusaidiee baba mtakatifu n mungu tu akna mtu duniani wakuitwa baba mtakatifu
Safi kbsa
Mnasoma sana uchumi mzee majibu yako rahisi sana alafu Roman Catholic walifanya biashara ya utumwa kuna dini .Vatican ina serikali pia dini gani inakuwa na serikali na mabalozi kila nchi hakuna dini mzee usitudanganye
Ahsante sana Baba Askofu kwa kutulisha na tunazidi kuimarika zaidi kiimani binafsi na kupenda sana hasa kila nikikusikiliza huwa nabarikiwa,napenda sanaa Baba Kilaini kukusikiliza,endelea kuimalisha kondoo wako!
Hapa hamna kazi
hapo kondoo unakula upepo
Mnakosea sana bible inasema usiabudu miungu mingne ila mm
Acha hasiraa
MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO =MUNGU MMOJA
Sasa sisi mbona tunamuabudu Mungu? Na hata siku Moja kanisa halifundishi kuabudu sanamu.
Mmmmmhh mtumishi iyo injili ya mathayo soma... mafungu yote uelewe mkitadha wa fundisho hilo na usikomee fungu moja tafadhali mtumishi..
YESU MWENYEWE ALI ITUNZA SABATO YANI JUMAMOSI PIA TAURATI ALI HESHIMU
Weweee ujuavyo sarihivyohivyo maana hata biblia mmechakachua so wewe abudu tu hiyounayojua
Soma Kumbukumbu 14:8 na Mathayo 5:17 Nguruwe sio halali.Na kuhusu Mathayo 15 Yesu hakuzungumzia kuhusu vyakula bali alizungumzia kula bila kunawa na sio vyakula anza kusoma kuanzia Mathayo 15:1-19
Good
Good, yesu alizungumzia kula bila kunawa
Unaikumbuka ndoto ya Petro ambayo aliletewa vyakula vyote kwenye sinia na akaambiwa ale na yeye akasema ni najisi, Je unakumbuka alijibiwa nini?.. 'Usikiite kilichoumbwa na Mungu ni najisi'.
@@gaudencechanga3170 Yesu kuna mambo aliyakataza. Na Paulo alikuja kuyahalalisha Yesu alitahiriwa nacalipenda wengine watahiriwe na mengine ikiwemo ulaji wa nguruwe na kibudu
Askofu anajua Kila kitu maana biblia Iko wazi ila mambo ya walawi 11 sura nzima inatoa maagizo yote ya Nini kiliwe na Nini kisiliwe na uzuri askofu amesema agano jipya linakamilisha agano la kale Kwa hiyo hakuna kilichobadilika labda kafara tu ya wanyama ndo iliyoondolewa na yesu mwenyewe baada ya kufa msalabani akizibeba dhambi za ulimwengu
hawa wanajua kila kitu ila ulafi tu. 😅
Uko vizuri muno padiri
Unawona yesu akirudi maandiko yanasema mwana. Wa adam siyo mwana wa mungu
Injili ya mathayo duh hii mpya
"Kula chochote ilimradi kinalika" mkipewa nyama ya paka mnalalamika
ni noma sana ujue 😅😅😅
😁😁
Wapi maandiko yasema kwamba alibariki siku ya Sunday baada ya kufufuka kwake masihi.....???
Padre hatugombani mungu anakupenda sana lakini unapotosha ukweli wa neno la mungu
Hawezi kupotosha mana yupo chini ya kanisa lenye watu billion 2 duniani, nawe huwezi kuwazidi ukweli hao watu, wewe ndio umepotoka na sio yeye.
Amina
This man is really Bright....
Kasome mambo ya walawi 11 msitari wa 7 utaona viumbe vinavyoruhusiwa kuliwa.
@@mohamedzambo1511 we muhamed komaa na kuruani yako mambo ya biblia unayajulia wapi....
Askofu anatetea ugali
TUMSIFU YESU KRISTO BABA ASKOFU, NAOMBA HIKI KIPINDI KIWE KINASIKIKA REDIO TUMAINI
Kinasikika radio maria tayari
Nguruwe kuleni na muoane nyinyi kwa nyinyi
Uko vizuri mh,padiri acha ture kitimoto waisiramu wataisoma namba
Mmmmmh sasa sanam unafanya MUNGU nafany ya MUNGU haifananishwa na kitu chochote hap dunia
@@marthadaniel4904 mapadri wa katoliki huku ulaya wanapelekwa sana mahakamani kwa makosa ya kuwafira watoto makanisani
Kwa akili Yako unafikiri ngurue kakatazwa na muislam pole jiulize yesu wapi kala?
Unamkomoa nani? wakati aliyekuumba kakupeni Agano ambayo ndiyo sheria, nyinyi mwaipinga na kuibadilisha!!!!
@@shafiismaily9223 Paulo kawaambia wasiishi kwa Sheria Bali kwa imani
Kwahiyo Mungu hatahukumu kwenye agano la kale??? Na kuhukumu kwa kutumia agano la Jipya????
Kwanza ngoja ncheke
Hili jibu la nguruwe ni ovyo kabisa iwe je kusiwe na HARAMU. Ina maana anaeweza kula nyama ya mtu ale tu kwa kuwa atasihia chooni.
Jamani Jana nimesoma bibilia imekatazwa msidangaye watu ni halam
Samahani Naomba kujua kuhusu uchawi je nithambi?
Watakuwa na macho lakini hawaoni. Wana masikio lakini hawasikii
Mimi mwenyewe Ni mkristo Ila kula nyama ya nvuruwe Ni Haramu Acha kupotosha watu
Kama mnashika agano la kale kwa kufukiza uvumba KWANINI mle nguruwe wakati agano hilohilo linakataza nguruwe.
@Phillip Mbuligwe kwenye agano jipya inaonekana wakati wa zakaria baba na yohana na wakati huo ilikuwa KABLA YA KRISTO HATA YOHANA MTANGULIZI WA YESU HAJAZALIWA KWAHIYO SIMULIZI YA ZAKARIA NI WAKATI BADO WANASHIKA TORATI.
@Phillip Mbuligwe vema sana itakuwa vema Sasa tuanzie hapo hapo WAEBRANIA 10:1 TORAT ILIKUWA KIVULI CHA MEMA YATAKAYOKUWA WALA HAIKUWA SULA YENYEWE YA MAMBO HAYO kwakuwa njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijaonekana, SASA SWALI NI KWAKO UNASHIKA KIVULI AU SURA HALISI? KAMA UNASHIKA KIVULI KWANINI ULE NGURUWE? AU KAMA UNASHIKA KIVULI MBONA HUWATUPII MAWE WAZINZI? AU JE MBONA HUISHIKI SABATO KAMA KWELI UNAISHIKA TORAT.
@Phillip Mbuligwe MAANDIKO uliyo taja sikusoma yote ila nimeyaangalia mawili UFUNUO NA MATENDO MMOJA LINAHUSU KUTAKASWA KWA VYAKULA LINGINE NI UVUMBA JUU YA UTAKASO WA VYAKULA HAKUNA WASISI WASI KWANGU ILA KWAKO LITAKUWEKA NJIA PANDA SABABU WEWE UNATAFUTA KITIMIZA MAAGANO YOTE MAWILI KWA PAMOJA NA AGANO LINGINE LINAKWAMBIA USILE NGURUWE LINGINE LINASEMA KULA ITA KUPA SHIDA ILA KWA MIMI NINAEJUWA KUWA AGANO JIPYA LA BWANA NA MWOKOZI NDILO NINALO PASWA KULIISHI SINA SHAKA JUU YA HILO HATA BABA WAMBINGUNI ALIWAAMBIA WALIOKUWA WAMEKUSANYIKA HUYU NDIYE MWANANGU MPENDWA NINAYE PENDEZWA NAYE "MSIKIENI YEYE" KUHUSU UFUNUO WA YOHANA YALE NI MAONO YA MAMBO YANAYO TENDEKA MBINGUNI NA MARAIKA HAKUNA AGIZO PALE LINALO TUAGIZA SISI KUFUKIZA UVUMBA HUO WANAFUKIZIA MAPEPO WAISLAM NDIO MAANA BINAFSI SIJAWAHI KUONA PUBLIC PADRI ANAKEMEA PEPO SIJUI HUKO SILINI.
hana majibu ya kweli inaoneka a hajui anacho kijibu muislamu siku ya 7 no ijumamosi sio ijumaa ijumaa no sikuku
Ina maana askofu hujui vyakula najisi na safi soma Law 11:1- Kumb 14:1-
Agano la kale na watu wakipindi kile, agano jipya ni kula tu ilimladi kisikudhuru.
Hilo ni agano la kale
Soma wakolosai 2:16
Ole wao wenye kubadilisha maneno ya mungu
@@shafiismaily9223 Ni Mungu sio mungu
MUNGU ana NENO hana maneno
Bible zote zime chakachuliwa mzee Baba
Leta yakwako
Kama hamfuati agano la kale huo uvumba mnafukiza wa nini?bas endeleeni kuua, kuiba, kuzini,kuvunja SABATO, n.k maana vyote hivyo ni agano la lake 😆😆😆,kwa hali hii siku ya mwisho naona kuna watu damu zetu zitakuwa juu yenu 😥😢😢😥
MATAYO 28;1 IYO NDIO SIKU YA SABATO USIDANYE WATU
Yesu hakufufuka siku ya Saba padri Ni siku ya kwanza ya juma
yani anaongea vitu moaka unashika kichwa 😅
Katika kitabu Cha isaya maandiko yanasema watu wanaokula nguruwe na panya wote watakomeshwa katika hukum ya milele
Jpili siku ya bwana constantino mungu wacatholic
Ndio muendelee kula ipo siku kitaeleweka
Mbona na nyie mnakula hatusem?
Kumbe mliheaabu nyie sio mungu
Mbona maswali muhimu yanajibiwa kirahisirahisi, tumia nukuu za biblia wapi biblia imeita jumapili siku ya BWANA na kuifanya siku ya ibada.? Kwani Yesu na mitume walisali jimapili.?
Ndugu raia mwenzangu, masuala ya kiimani ni magumu pale inapotokea muamini asiyeamini imani fulani kujitwisha mzigo wa kutolea 'majibu' au maelezo imani asiyoamini! Kila imani ina vitabu na mafundisho yake ya msingi. Pole sana ndugu, si kosa lako bali hujui msingi wa imani ya Kanisa Katoliki. Zingatia imani yako. Hii achana nayo [m.y. nyamaza]
Mnapinga kitimoto isiliwe mkiingia kanisani mnavua viatu?je mwanamke akizini mnampiga mawe mpaka kufa, siilikua sheria,mwanamke aliruhusiwa kuoa wanawake wengi kulingana na uwezo wake mbona hamuoi siilikua sheria,,,mmekazana kitimoto kitimoto,hicho ni chakula kula ngurue na kuua kipi bora ,×watu wanafanya uzinzi wanaogopa kula ngurue aisee l see ,,hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya juu ya mwili,
Amini 🤲🤲 umejitahidi ubarikiwe sana mpendwa 🙏🏻🤲
Yesu aliipo toa mapepo Aliya Tia mapepo kwenye nguiuwe leo mnakila
MARKO 16;1-2 SOMA NDIO UTAJUA SIKU YA SABATO KIUKWELI NI J MOSI
Huyu anapotosha watu kabisa siwez mwelewa ata kidogo
Usipofungua roho yako hutamuelewa hata Yesu akirudi mara ya pili hutamuelewa
Mbona mnasema sana uchumi kuliko dini .Theology ukiitafsiri kiswahili unapata nadharia yaani unachoongea ni nadharia hakuna uhalisia kwa hiyo dini ya kweli ni mila na desturi ambayo ndo Sabato.Vua joho una tofauti na mganga wa kienyeji.
Mbona umekasirika sanaa😆😆
hiyo biblia ya agano la kale kulikua la dini gagi au biblia hiyo ulikua ya waislmu ?
Wacha kumis understand the scriptures... Na nyinyi wakatoliki ni kuni tu ya shetani
Tyk naitwa esterina mfilinge kutoka parokia mariade Matias mivumon je not mtakatitu yupambaye Sala yake huaza na maneno bwana nifanye chombo Cha amani
Kwahio Kila mtu ameamua kujichagulia tu siku yake ya Saba 🤔🤔🤔🤔
ZABURI 115;4-9 SANAMU ZINA MACHO LAKINI AZIONI ZINA MASIKIO AZISIKII ZINAPUA AZISIKII ARUFU TUSIZITUMIKIE NI KAZI YA FUNDI
Mh,sabato je nisiku ipi sahii
Huyu askofu wa ajabu Sana hata hajui biblia kiasi hiki hata siku ya kwanza kibiblia haijui ?
Iko poa
Wewe ujui.bibilia
Mwazo walawi kumbu kumbu la torati ngurue aliwi nasio nguruetu
Mengi Yesu alikataza ikiwemo ulaji wa Nguruwe na kibudu bila kuchinjwa ila Paulo alikuja kubadili mengi tu. Kinyume na mafundisho ya Yesu
Wewe mwislamu hauwezi kumjua Yesu zaidi ya wakristo, mtume wako mwenyewe alizaliwa miaka karibu 700 baada ya Yesu hivo hawezi kumjua Yesu zaidi ya walio mtangulia.
@@erasmusaloyce4398 Unaandika utumbo kabisa. Mimi nasoma maandiko ambayo dini yoyote anasoma. Huko kumjua kumjua vipi kama si kusoma katika biblia Walawi na Marko kuhusu vyakula najisi .vilivyokatazwa. Ni hivyo mnazungusha zungusha maneno tu na kudanganyana
Askofu soma biblia hakika unadangaya watu majibu yako ni simple sana hayana mshiko Wala imeandikwa
kwa wasabato mbona unatoa povu
Sabato ni jumamos hawasom biblia acha nisimam sehem sahih
Tusomeni jamaan mafiko tusisubili kufundishwa tu
Shida ni majibu hayajitoshelezi hata kidogo
Yaani kuhusu jpili ndo nimetambua akili hamna humo dah acha nitengwe tu ala mzee hapo umezingua,lakin utambue bwana atakata kichwa namkia soma katika kitabu cha isaya 9 anzia 4 na kuendelea usipotubu hapo bas
Wakristo wote wakuwa wakisali siku ya bwana . Sabato ni ya wayahudi ndg
Wacha kupoteza wachinja
Huyu padri.ana majibu rahisi kwa watu rahisi .biblia na Quran zinaonesha sabato ni jumamos.yeye anafundisha watu upumbavu tu hapo.labda afundishe wajinga.
Yule anayetundikwa kanisani Ni yesu?
kwenye biblia ni wapi jumapili ni siku ya Bwana? Halafu unababaisha sana mim nilkuwa roman, hayo masanamu yanaabudiwa kanisan, mpaka kuna nyumba za sanam zinaitwa magorotha
Uliathirika nini na hayo masanamu?
Wahuni sana hawa ma freemason. Ole wao waabudio sanamu. Unaona mwenyew anasema UNAABUDU LISANAMU. LIJITU . Mhhhh. Dini hii ipo ki mchongo mno. Wapinga krito wakubwa hawa
waafrika tumtafute Mungu alieumba mbingu na nchi hiz din zakikolon hazitatusaidia sana.biblia 1 mathehebu zaid ya elfu na uiskam hivyo hivyo.inamaana kabla yawazungu na waarabu waafrika tulikua hatumjui Mungu?tujifunze kupenda vyakwetu maana tumetawaliwa kifikra kimwili had kiroho.
Mafunzo ya kanisani bwana hayaelewki kabisa Mara mungu mara tunamngoja mwana wa Adam wakiristo hakuna kuhoji?
Yanaeleweka. Wewe tu ndiyo huelewi. Unasoma mstari moja ndiyo untegemea utaielewa biblia.
Yan huyu mtu bana mambo ya walaw yameeleza vyakula namaanisha wanyam,ndege,samaki,jaman somen malaw 11 yote
Huyo siyo mtu ni Askofu msomi na mtaalamu wa historia ya kanisa mama duniani na siyo Tanzania pekee
WALAWI NI AGANO LA KALE. WALIANDIKIWA WALAWI
Wewe ni baba wa nani? Nyinyi wakatoliki ni kuni tu...mnapinga bible
Nadhani ninyi wengi mnaokementi hukumu juu ya Askofu kupotosha na kuhukumu Wakatoliki nadhani hata mpango wa Mungu hamjui kabisa mtahangaika na kuharamisha vitu na kuhukumu watu na hamtajua nini Mungu anataka kwenu na zaidi Biblia zenu ninyi nyingi hazina vitabu vyote-LAKINI ZAIDI MJUE MUNGU ANA DEAL ZAIDI NA NAFSI ZENU . ZILIZOJAA(zinaa,/ulafu/tamaa/majivuno/uesharati/ulevi/wivu/usengenyana/chuki/ubinafsi /ufisadi na mengi ya haya utoka rohoni haya ya kula kunywa mnapoteza muda nayo ,hao Wanyama kawaumba MUNGU msikalili rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu wapendwa-hapa haswa Wakristo mnaambiwa ASKOFU YUPO SAWA TATIZO NI UMAMUMA WENU.
MNAJIPA UKAMILIFU,NA KUJIKWEZA SOMENI YOHANE SURA YA 3 YOTE MTAJUA huyo Nikodemu alikuwa nani ,mtajua ninyi mnao hukumu watu kwa vyakula na siku za kuabudu LUK7:31-35
HUYU NI NAE NI PADRI WAKUIGIZA MPYA
Lugha yako tu inaonyesha wew ni mkristo wa kuigiza
Wakatolik mbiona tunaabudu sanamu?
@Phillip Mbuligwe niinao.
Hawaabudu sanamu ila tunaiheshimu sanamu
@Phillip Mbuligwe Yale masanamu kule kanisani yanafanya Nini?
@@mariavianeypeter2991 unaheshimu sanamu kitu ulichokitengeneza mwenyewe hakikudhuru Wala hakikunufaishi
@@nassorsharifu9837 Kama kweli wewe una nia njema na siyo mtu wa kuleta fuja, nakusahauri usome maandiko ya biblia. Kwanza soma maana ya kuabudu sanamu (Rum. 1:23); kwanza nini Mungu alikataza kuabudu sanamu baada ya tukio linalotajwa kaatika Kut. 32:1-4, Wakati Waisraeli wakisafiri kutoka Misri kwenda Kaanani, Mungu aliagiza kutengenezwa kwa sanduku la Agano (ambalo juu yake lilikuwa na sanamu ya makerubi ka kiti cha rehema) ili yeye akutane nao kupitia hilo sanduku (Kut. 25:10, soma pia 1Nyak. 28:18-19)). Tujiulize, Je sanduku la Agano lilikuwa ni Mungu? Lakini pia tunaona hekalu ambalo mfalme Sulemani alijenga kuta zake zilipambwa kwa sanamu (picha) za makerubi ukuta mzima (Ezek. 41:17-18, 25), 1Waf. 6:27-35). Na baada ya ujenzi kukamilika utukufu wa Mungu ulilijaza Hekalu (1Waf. 8:10-11). Kama Mungu hakupendezwa na sanamu ilikuwa utukufu wake ulijaza hekalu.
Kwanini wariwazuia kuowa
Tatizo ni kwamba,Kila dhehebu linapigia mstari katika biblia hiyohiyo na kukiishi kile alichokielewa.huwezi kumlazimisha mtu akiishi ulichokielewa wewe Kwa Imani yake.kila mtu anashika mistari hiyohiyo ya biblia.je biblia inapingana,yafaa nini?
Padre wa mchongo au ana uwezo wa kufafanua mambo.
👉🏽Majibu ya kitoto sana ametoa kuhusu nguruwe
👉🏽Huwezi kusema mambo ya samaki wenye magamba hujui yametokea wapi kama umeisoma biblia vizuri.
NDUGU USIPANIKI, NI HIVI YESU NI MUNGU NA KASEMA HIVI...KIMWINGIACHO MTU KINYWANI SI HARAMU BALI KILE KINACHO MTOKA NDIO HARAMU..MF..MAVI, MKOJO..N.K.
1. KATI YA YESU NA MUSA NA ANAKUPELEKA MBINGUNI!?
2. SHIKA ALIVYOANDIKA MUSA UONE KAMA UTAIONA MBINGU,...YESU ALISHASEMA KUWA KUNA MAHALI MUSA ALITUMIA HEKIMA YANA NA HAKUELEKEZWA NA MUNGU ...MAANA YAKE NI KWAMBA ALIMPINGA KUWA TALAKA HAKUNA ....
NB;
OMBA KWA MUNGU KWA JINA LA MUSA UONE KAMA UTASIKIKA
@@polycarplazaro8482 swala la Yesu ni mungu hiyo ni topic ingine acha kuruka ruka, na mambo ya kwenda mbinguni pia ni swala lingine.
Em jibu kwanza, Musa alijitungia zile sheria ama alipokea maagizo kwa Mungu?
Hebu mtu anifafanulie hapa, Yesu aliposema "Mimi ndimi Bwana wa sabato alimaanisha Nini?
@@deidrim86 Unasema majibu yake ni ya kitoto kwa sababu uelwa wako wa maandiko ni dhaifu. Nakushauri urejee maandiko ambayo ame refer. Itakusaidia!
Kwa hiyo unapingana na biblia
Ukweli ni kwamba Biblia inapaswa kufuatwa kila kitu bila kusaza chochote kile
@Phillip Mbuligwe maisha ya watu we unaita kivuli, nyie kwenu kinaanza kuota kivuli ndo unafata mti?
Waebrania ni mawazo ya Paulo, kwaiyo mawazo ya Paulo ni bora kuliko maagizo ya Mungu aliyompa Musa?
@Phillip Mbuligwe Ufunuo 22:17-hadi mwisho,,,Usiongeze wala kupunguza neno......Ukiongeza unaongezewa mapigo na ukipunguza unapunguziwa uzima wa milele
@Phillip Mbuligwe kwani Musa alitumwa na shetani? kwamba Musa na manabii wote walioshika torati walilishana watu matango pori? 😅
Sawa, Paulo alitumwa na Yesu kama ulivosema ila wapi Yesu alimwamuru Paulo atengue torati au aliruhusu nguruwe kuliwa ilhali ye mwenyewe alisema hakuja kutengua torati?
@Phillip Mbuligwe kumbe tunashindana? mkikosaga majibu mnakimbilia huko. Kua na amani ndugu.
MAANDIKO KTK BIBLIA YANAONYESHA KITI MOTO NI HARAM
SEMA MATAMANIO YA NAFSI YAMEKUWA NDIYO MWONGOZO WA WAKATOLIKI
NA BIBLIA IMEKUWA NI YA MAONYESHO TU!!
Akirizinatofautiana sasa wewe unachojua fanyahicho ilimladi unyenyekee mbere zamungu maana kila zehebu lina hesabu zake ijumaa j.mos .j.pili
Nakubaliana nawe kabisa; nyenyekea kwa Mungu (katika dhehebu lolote lile), endeleza sala na ujitahidi kutotenda maovu.
Ww endelea kuvaa hayo marozali yako utadhan yatakusaodia
Yani wewe nishetani kama mashetani
Huwezi kuvumilia....inaumaeeh