Padre Lui mwenye miaka 102 Jimbo la Moshi Azungumza mazito/Aweka wazi mikasa aliyopitia/Atoa ushauri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Muhimu:Nyumba ya Mapadre wa Moshi ipo Longuo na siyo mbokomu kama ilivyotamkwa, Tunaomba radhi kwa hilo.
    Huyu ndiye Padre Mzee zaidi kwa sasa nchini Tanzania ambaye ametimiza miaka 102 kama Kaasisi anayelitumikia Kanisa katoliki Nchini Tanzania Jimbo katoliki la Moshi, Amekubali kuzungumza na Breez Online Tv na kutuelezea Historia ya Maisha yake.
    #BreezOnlineTv​​​​​​​​​​​​​ #PdLui #Longuo
    Breez Online Tv
    S.L.P 38655
    Dar Es Salaam Tanzania
    Phone No: +255 756494796
    Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: breez online Tv
    Facebook Link: / breez-online. .
    Instagram:Breez Online Tv

Комментарии • 101

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 2 года назад +9

    Jamani watu Hawa ni hazina kubwa Sana. Baba Mungu mpunguzie adha babu huyu. Akili yake iko Safi sana. Atakapokuja kwako Baba Mungu umfungulie mlango wa mbinguni afurahi pamoja nawe. Huyo Pd. Peter Lubuva alikaa Parokiani kwangu Kondoa Parokia ya Roho Mtakatifu. Apumzike kwa amani Amina. Nimefurahi Sana kumuona babu huyu na kumsikia. Nawapenda Sana watu wa umri mkubwa.

  • @clarauisso4044
    @clarauisso4044 3 года назад +7

    Mtu wa Mungu haendi mahali. Na matendo yako mema ndio maisha yako Mungu aendelee kukutunza Pafri wetu.

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 2 года назад +1

    Mungu hapewe sifa kwa zawadi ya uwai na nguvu yakuedelea na kazi zakitume ww nibaraka kwa kanisa ... Bikira Maria akukumbatiye Daima 🙏🙏❤️❤️

  • @bernardbaha9079
    @bernardbaha9079 2 года назад +4

    Father Lui aishiiii...Mola amjalie....na tuyaishi kweli maoni yake....miaka 100 na memory ipo intact??

  • @francismtela4967
    @francismtela4967 3 года назад +1

    UTUKUFU na heshima ni zake yeye MUUMBA WA MBINGU NA NCHI aliyempa uhai na aliyerefusha miaka yake ya kuishi dunia. MUNGU MWEMA aendelee kukutetea na kukupigania uendelee kuongeza miaka na miaka KWA JINA LA YESU ! AMEN !

  • @godfreymahonge1906
    @godfreymahonge1906 3 года назад +3

    Rev Fr Lui,hongera sana kwa kazi hii njema hapa Duniani,hakika umetumika vema mzee,Mungu aendelee kukutunza na Mama Kanisa anaendelea kukutunuku taji la pongezi!!!!

  • @romanilyimo8876
    @romanilyimo8876 2 года назад

    Hakika Mungu wetu ni mwema sana ongera sana kwa utume ndani ya kanisa katoliki la mitume baba badre lui Mwenyenzi Mungu azidi kukutunza. Amina

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 года назад

    Hongera sana Padre Lui Shayo nimefurahi kukusikiliza katika maongezi mazuri yenye kumbukumbu za Miaisha yako na kazi ulizofanya kutumikia Wakristu toka uzaliwe we live you Mungu awabariki asante

  • @DominicMulwa-x5o
    @DominicMulwa-x5o 6 месяцев назад

    Mungu azidi kukupea Baraka, Amani, Afya njema, hekima na upendo

  • @goodmorningonlinetv5637
    @goodmorningonlinetv5637 3 года назад +3

    Kwakweli safari ni safari asante kwa kutuletea mtu mhim sana Mungu azidi kumpa maisha marefu.

  • @aurelialyimo8650
    @aurelialyimo8650 3 года назад +7

    This is what they call Grace of the Lord

  • @nicolaussengenge6465
    @nicolaussengenge6465 3 года назад +3

    Acha Mungu aitwe Mungu.Asante Baba Mungu kwa zawadi ya Baba huyu hongera sana.

  • @gabrielmanda502
    @gabrielmanda502 Год назад

    Nilikuwa na bahati yakukutana na Babu huyu akituhudumia kiroho. Chuoni Marangu.Mungu azidi kumpa afya tuzidi kufaidi hata walau lafudhi yake nzuri ya Kichaga. Mashati, Kishimundu, Moshi no Samanga

  • @mankakibosho3369
    @mankakibosho3369 3 года назад +3

    Kumtumikia Mungu kunafaida kubwa sana

  • @rosemaryassenga3594
    @rosemaryassenga3594 3 года назад +1

    Safi sana.... Ushirikiano unaleta UMOJA, sala ya Yesu .

  • @fredrickfrancis5591
    @fredrickfrancis5591 3 года назад +2

    Huyu mzee anajibu maswali kiutaalamu Sana ....best interview ✌️

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 2 года назад +1

    Mungu akulinde Baba padre

  • @josephinekessy1994
    @josephinekessy1994 2 года назад

    Mungu akulinde baba Padre. Uzidi kuishi miaka mingi zaidi

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 года назад

    Huyu padre mwenye miaka 102 ana onekana mwenye nguvu kuliko hata watu wenye miaka 70 Mungu amembariki sana

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 года назад +4

    Mungu akubariki Fr Lui!

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 2 года назад

    Anaonekana kama miaka 80 hivi,kweli Mungu ndiye afanyae mambo yote, Kwa makusudi yake,azidi kukulinda zaidi baba

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 3 года назад

    Hongera Padre Lui. Mungu akuzidishie Afya na miaka mingine zaidi. Amina.

  • @shakirammassy7719
    @shakirammassy7719 3 года назад

    Mwenyezi Mungu aendelee kukuweka zaid father Lui binafsi nafurahi sana!

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 2 года назад +1

    Julian Kamugisha umenichekesha😀😀😀 Hilo litakuwa Kanisa katolikiii? Au. Ila ni babu anayevutia, ni baraka na neema toka kwa Mungu. Ni maajabu na muujiza fulani hivi. Babu ana uwezo Kama kijana. Kumbukumbu smart hivi. Nashawaishika kuungana na J. Kamugisha.

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 15 дней назад +1

    Long life Fr Luis

  • @kimzo3p
    @kimzo3p 3 года назад +1

    Amazing Gods grace wow long live fr.

  • @IgramMorgan
    @IgramMorgan 10 месяцев назад

    Jirani yetu mzee wetu mwanakijiji mwenzetu zao la parokia ya mtakatifu bernadeta kilema parishi Moshi v.... ambapo ndipo makao makuu ya kwanza ya Jimbo la moshi

  • @zenaicetenga2654
    @zenaicetenga2654 3 года назад

    Jmn Mungu akulinde Fr.Lui.am happy to see you..

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc 2 года назад

    Kwa kweli ni Baraka sana kua na wazee kama Hawa katika kanisa.

  • @josephateliasi7055
    @josephateliasi7055 Год назад

    Mungu amlinde amina

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 2 года назад +1

    hongera jmn mungu anijalie namm nifikie kam ww

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya6218 3 года назад +1

    Mi nadhani in vyema akimaliza mwendo wake hapa duniani basi aingizwe kwenye kundi la wenye hero kisha mtakatifu kama sifa zitakuwepo na kwa umri huu ni ashara toka kwa Mungu ukizingatia jinsi alivyo na nguvu ya kuongea uwezo wa kujieleza

    • @rosetemba1645
      @rosetemba1645 3 года назад

      Tunakuombea baba. Mungu akupe miaka mingine miiiingi

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 3 года назад +2

    Babuu jamani naenjoy sana nikikuona

  • @floramsacky3929
    @floramsacky3929 3 года назад

    Hongera sana Padre lui Mungu aendelee kukutunza na kukulinda

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 2 года назад

    Mungu AKULINDE na Akubariki sana

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +2

    Mungu amjalie umri zaidi

  • @gladysmainga9240
    @gladysmainga9240 3 года назад +2

    Many blessings to him Father Luis

  • @happynakuzimiammassi8074
    @happynakuzimiammassi8074 3 года назад +2

    Huyu Fr.yupo very smart 👍

  • @noramkendamunishi6902
    @noramkendamunishi6902 2 года назад

    Tunamshukuru Mungu sana kwa ajili ya fr Lui

  • @samwelkadeghe2522
    @samwelkadeghe2522 3 года назад +1

    Hongera sana,kazi za Mungu ni kuu sana,

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 3 года назад +1

    Emen watumainiao bwana nikama mlima wasayuni ambao hautikisiki 🙏🙏🙏🙏

  • @yuvenaltemba5529
    @yuvenaltemba5529 3 года назад

    Mungu akubarikie sana baba, akuzidishie maisha mema

  • @davidremmy1649
    @davidremmy1649 3 года назад +2

    Hazina ya Kanisa

  • @gladsonuwisso5998
    @gladsonuwisso5998 Год назад

    Mungu akubark

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 2 года назад +1

    jaman me happy napakumbuka mbokom recho wasingida au juliana nakumbuk nilimwach maeneo y kwaalfonc chin dori kb juu kinamabelinda belind nimepakumbuk jamn

  • @octavianmacha7739
    @octavianmacha7739 Год назад

    Mungu amtunze zaidi baba Luis

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 3 года назад

    Mungu ni mwema kila wakati. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai anayoendelea kukujalia. Ubarikiwe daima🙏🙏

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 3 года назад

    Mungu akutunze zaid, na uwndekee kumtumikia,

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +2

    Mzee ana kumbukumbu vizuri

  • @siahmallya3372
    @siahmallya3372 3 года назад +1

    Mungu akutunze father lui

  • @kelvinecheloti6881
    @kelvinecheloti6881 3 года назад

    God bless you akulinde n'a azidi kukupa miaka zaidi

  • @martinmwasubila8762
    @martinmwasubila8762 2 года назад

    Mungu akubariki na kukulinda daima

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 3 года назад +1

    Mungu akubariki fr Lui

  • @mariselinamateru6032
    @mariselinamateru6032 3 года назад +2

    Hapo siyo Mbokomu Ni Uru Longuo Mwenge.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Looh asee Mwenyezi Mungu analo jambo juu ya mtu huyu

  • @johnrizi5978
    @johnrizi5978 3 месяца назад

    Paroko wangu wa zamani.

  • @franciscoe.zacharia4266
    @franciscoe.zacharia4266 3 года назад +2

    Padre Lui ajengewe sanamu

  • @erickpaschaljr8667
    @erickpaschaljr8667 3 года назад +1

    Hongera sana Breez

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 3 года назад +1

    Hongera Sana Fr Lui.

  • @emmanuelmadangwa9377
    @emmanuelmadangwa9377 2 года назад

    Mungu akupe umri zaidi baba

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 3 года назад +1

    Wow nakupenda Fr Lui

  • @mch7434
    @mch7434 3 года назад

    🤲🤲🙏💙💚🧡mm ni namiaka33 nikusukuruu mungu jameni

  • @happysakaya525
    @happysakaya525 3 года назад

    Mungu aendelee kukutunza padre Lui

  • @aloicewabwire3385
    @aloicewabwire3385 3 года назад +2

    Congratulations padre 🙏🙏🙏

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 3 года назад

    God's grace be upon you Father Luis

  • @jacquelinejohnson6849
    @jacquelinejohnson6849 3 года назад

    😍 love you Padri wishing you more years

  • @fallyipupa2844
    @fallyipupa2844 3 года назад

    Hongera sana Fr Lui Mungu azidi kukulinda

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya6218 3 года назад +1

    Tunakuombea uongezewe miaka mingi zaidi ili na kizazi hiki cha mapadre wajifunze kwako wewe ni tunu kwa kanisa

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 3 года назад +4

    Haikambe

  • @sambageno8591
    @sambageno8591 3 года назад

    Mungu akutunze

  • @witnessmmari9902
    @witnessmmari9902 3 года назад +4

    Ukimtumikia MUNGUkwauminifu unatunukiwa miaka Mingiduniani

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 3 года назад

      Hakika Mungu ni mkuu. Watu wa Mungu kama Nuhu waliishi miaka 900. Pd Lui ni kielelezo kimojawapo cha watu waliozawadiwa miaka mingi na heri duniani. Long live baba

    • @awordfacesenguo6045
      @awordfacesenguo6045 3 года назад

      Baba mungu akujaze kila wingi was baraka kama alivyokuja tangu kuzalia hakika alikuita kama alivyomuita yeremia ndo maana upo kama ulivyo.ombi chonde njoo mashati tena tukuone mana nimefurahiwa ulivyosema ndiko ulikoanza utume

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад

    Hongera Baba

  • @tumainmasawe6874
    @tumainmasawe6874 3 года назад +2

    Aika MBE papa

  • @gracegesare5313
    @gracegesare5313 2 года назад

    GOD his grace cover you

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 года назад +2

    Mbona bado kijana kabisa

  • @farmingtonhill4441
    @farmingtonhill4441 3 года назад

    Amuweke Yesu kristo mbele

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 3 года назад

    NAKUTAKIA Maisha marefu FR endelea kutuinjilisha

  • @joanfrancis9596
    @joanfrancis9596 10 месяцев назад

    Padre Lui .Zawadi kwetu tuombee.

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 3 года назад +2

    Tunazidi kukuombea Mola akutunze

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 3 года назад

    Aisee ubarikiwe baba

  • @KulwaBiseko-v6e
    @KulwaBiseko-v6e Год назад

    Tumsifu yesu kristor

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 3 года назад +1

    Huyu ana ndugu yake nae anaitwa Padre Filbert Aikambe shayo kiumri hawajapishana sana mtafute na yeye watupe siri

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 3 года назад +1

    Ni baraka kubwa BAba huyu kwa umri huo anaongea vizuri na ana nguvu za kutembea

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Год назад

    Ok

  • @jamesmshanga1098
    @jamesmshanga1098 3 года назад

    Padri Babu amepatia komunyo ya kwanza 1990

  • @prospervedasto4366
    @prospervedasto4366 2 года назад

    Heri ya kumbukizi la siku ya mazazi yako Baba Lui

  • @juliankamugisha9886
    @juliankamugisha9886 3 года назад

    Atangazwe mwenye heri kabla hajafa.

  • @judithminja3539
    @judithminja3539 3 года назад +2

    Kituo cha mapadre kipo longuo na siyo mbokomu

  • @godfreymahonge1906
    @godfreymahonge1906 3 года назад +5

    Kwamba zamani mtu akiwa Paroko anakuwa kama Dictator h 😂🤣

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Hapo ni longuo ndugu mtangazaji sio mbokomu

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 года назад

    Kirua vunjo-iwa

    • @evelinetemu
      @evelinetemu 2 года назад

      Mungu aendelee kukutunza nakukupa afya njema,tutavuna mengi mazuri kwako,baba tunakuombea Mungu ili utakayotuasa yatujenge kimwili na kiroho

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 3 года назад +1

    Mungu akutunze Father Lui