Padre Lui mwenye miaka 102 Jimbo la Moshi Azungumza mazito/Aweka wazi mikasa aliyopitia/Atoa ushauri
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Muhimu:Nyumba ya Mapadre wa Moshi ipo Longuo na siyo mbokomu kama ilivyotamkwa, Tunaomba radhi kwa hilo.
Huyu ndiye Padre Mzee zaidi kwa sasa nchini Tanzania ambaye ametimiza miaka 102 kama Kaasisi anayelitumikia Kanisa katoliki Nchini Tanzania Jimbo katoliki la Moshi, Amekubali kuzungumza na Breez Online Tv na kutuelezea Historia ya Maisha yake.
#BreezOnlineTv #PdLui #Longuo
Breez Online Tv
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: / breez-online. .
Instagram:Breez Online Tv
Jamani watu Hawa ni hazina kubwa Sana. Baba Mungu mpunguzie adha babu huyu. Akili yake iko Safi sana. Atakapokuja kwako Baba Mungu umfungulie mlango wa mbinguni afurahi pamoja nawe. Huyo Pd. Peter Lubuva alikaa Parokiani kwangu Kondoa Parokia ya Roho Mtakatifu. Apumzike kwa amani Amina. Nimefurahi Sana kumuona babu huyu na kumsikia. Nawapenda Sana watu wa umri mkubwa.
Mungu akubariki na kukulinda daima
Mtu wa Mungu haendi mahali. Na matendo yako mema ndio maisha yako Mungu aendelee kukutunza Pafri wetu.
Mungu hapewe sifa kwa zawadi ya uwai na nguvu yakuedelea na kazi zakitume ww nibaraka kwa kanisa ... Bikira Maria akukumbatiye Daima 🙏🙏❤️❤️
Father Lui aishiiii...Mola amjalie....na tuyaishi kweli maoni yake....miaka 100 na memory ipo intact??
UTUKUFU na heshima ni zake yeye MUUMBA WA MBINGU NA NCHI aliyempa uhai na aliyerefusha miaka yake ya kuishi dunia. MUNGU MWEMA aendelee kukutetea na kukupigania uendelee kuongeza miaka na miaka KWA JINA LA YESU ! AMEN !
Rev Fr Lui,hongera sana kwa kazi hii njema hapa Duniani,hakika umetumika vema mzee,Mungu aendelee kukutunza na Mama Kanisa anaendelea kukutunuku taji la pongezi!!!!
Hakika Mungu wetu ni mwema sana ongera sana kwa utume ndani ya kanisa katoliki la mitume baba badre lui Mwenyenzi Mungu azidi kukutunza. Amina
Hongera sana Padre Lui Shayo nimefurahi kukusikiliza katika maongezi mazuri yenye kumbukumbu za Miaisha yako na kazi ulizofanya kutumikia Wakristu toka uzaliwe we live you Mungu awabariki asante
Mungu azidi kukupea Baraka, Amani, Afya njema, hekima na upendo
Kwakweli safari ni safari asante kwa kutuletea mtu mhim sana Mungu azidi kumpa maisha marefu.
This is what they call Grace of the Lord
Acha Mungu aitwe Mungu.Asante Baba Mungu kwa zawadi ya Baba huyu hongera sana.
Nilikuwa na bahati yakukutana na Babu huyu akituhudumia kiroho. Chuoni Marangu.Mungu azidi kumpa afya tuzidi kufaidi hata walau lafudhi yake nzuri ya Kichaga. Mashati, Kishimundu, Moshi no Samanga
Kumtumikia Mungu kunafaida kubwa sana
Safi sana.... Ushirikiano unaleta UMOJA, sala ya Yesu .
Hongera sana Baba Padri Lui
Huyu mzee anajibu maswali kiutaalamu Sana ....best interview ✌️
Mungu akulinde Baba padre
Mungu akulinde baba Padre. Uzidi kuishi miaka mingi zaidi
Huyu padre mwenye miaka 102 ana onekana mwenye nguvu kuliko hata watu wenye miaka 70 Mungu amembariki sana
Mungu akubariki Fr Lui!
Anaonekana kama miaka 80 hivi,kweli Mungu ndiye afanyae mambo yote, Kwa makusudi yake,azidi kukulinda zaidi baba
Hongera Padre Lui. Mungu akuzidishie Afya na miaka mingine zaidi. Amina.
Mwenyezi Mungu aendelee kukuweka zaid father Lui binafsi nafurahi sana!
Julian Kamugisha umenichekesha😀😀😀 Hilo litakuwa Kanisa katolikiii? Au. Ila ni babu anayevutia, ni baraka na neema toka kwa Mungu. Ni maajabu na muujiza fulani hivi. Babu ana uwezo Kama kijana. Kumbukumbu smart hivi. Nashawaishika kuungana na J. Kamugisha.
Long life Fr Luis
Amazing Gods grace wow long live fr.
Jirani yetu mzee wetu mwanakijiji mwenzetu zao la parokia ya mtakatifu bernadeta kilema parishi Moshi v.... ambapo ndipo makao makuu ya kwanza ya Jimbo la moshi
Jmn Mungu akulinde Fr.Lui.am happy to see you..
Kwa kweli ni Baraka sana kua na wazee kama Hawa katika kanisa.
Mungu amlinde amina
hongera jmn mungu anijalie namm nifikie kam ww
Mi nadhani in vyema akimaliza mwendo wake hapa duniani basi aingizwe kwenye kundi la wenye hero kisha mtakatifu kama sifa zitakuwepo na kwa umri huu ni ashara toka kwa Mungu ukizingatia jinsi alivyo na nguvu ya kuongea uwezo wa kujieleza
Tunakuombea baba. Mungu akupe miaka mingine miiiingi
Babuu jamani naenjoy sana nikikuona
Hongera sana Padre lui Mungu aendelee kukutunza na kukulinda
Mungu AKULINDE na Akubariki sana
Mungu amjalie umri zaidi
Many blessings to him Father Luis
Huyu Fr.yupo very smart 👍
Tunamshukuru Mungu sana kwa ajili ya fr Lui
Hongera sana,kazi za Mungu ni kuu sana,
Emen watumainiao bwana nikama mlima wasayuni ambao hautikisiki 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubarikie sana baba, akuzidishie maisha mema
Hazina ya Kanisa
Mungu akubark
jaman me happy napakumbuka mbokom recho wasingida au juliana nakumbuk nilimwach maeneo y kwaalfonc chin dori kb juu kinamabelinda belind nimepakumbuk jamn
Mungu amtunze zaidi baba Luis
Mungu ni mwema kila wakati. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai anayoendelea kukujalia. Ubarikiwe daima🙏🙏
Mungu akutunze zaid, na uwndekee kumtumikia,
Mzee ana kumbukumbu vizuri
Mungu akutunze father lui
God bless you akulinde n'a azidi kukupa miaka zaidi
Mungu akubariki na kukulinda daima
Mungu akubariki fr Lui
Hapo siyo Mbokomu Ni Uru Longuo Mwenge.
Looh asee Mwenyezi Mungu analo jambo juu ya mtu huyu
Paroko wangu wa zamani.
Padre Lui ajengewe sanamu
Hongera sana Breez
Hongera Sana Fr Lui.
Mungu akupe umri zaidi baba
Wow nakupenda Fr Lui
🤲🤲🙏💙💚🧡mm ni namiaka33 nikusukuruu mungu jameni
Mungu aendelee kukutunza padre Lui
Congratulations padre 🙏🙏🙏
God's grace be upon you Father Luis
😍 love you Padri wishing you more years
Hongera sana Fr Lui Mungu azidi kukulinda
Tunakuombea uongezewe miaka mingi zaidi ili na kizazi hiki cha mapadre wajifunze kwako wewe ni tunu kwa kanisa
Haikambe
Mungu akutunze
Ukimtumikia MUNGUkwauminifu unatunukiwa miaka Mingiduniani
Hakika Mungu ni mkuu. Watu wa Mungu kama Nuhu waliishi miaka 900. Pd Lui ni kielelezo kimojawapo cha watu waliozawadiwa miaka mingi na heri duniani. Long live baba
Baba mungu akujaze kila wingi was baraka kama alivyokuja tangu kuzalia hakika alikuita kama alivyomuita yeremia ndo maana upo kama ulivyo.ombi chonde njoo mashati tena tukuone mana nimefurahiwa ulivyosema ndiko ulikoanza utume
Hongera Baba
Aika MBE papa
GOD his grace cover you
Mbona bado kijana kabisa
Amuweke Yesu kristo mbele
NAKUTAKIA Maisha marefu FR endelea kutuinjilisha
Padre Lui .Zawadi kwetu tuombee.
Tunazidi kukuombea Mola akutunze
Aisee ubarikiwe baba
Tumsifu yesu kristor
Huyu ana ndugu yake nae anaitwa Padre Filbert Aikambe shayo kiumri hawajapishana sana mtafute na yeye watupe siri
Aika mbe yule wa mailisita?
Ni baraka kubwa BAba huyu kwa umri huo anaongea vizuri na ana nguvu za kutembea
Ok
Padri Babu amepatia komunyo ya kwanza 1990
Heri ya kumbukizi la siku ya mazazi yako Baba Lui
Atangazwe mwenye heri kabla hajafa.
Kituo cha mapadre kipo longuo na siyo mbokomu
Kabisa judi...ilo jina sjui limtokea wapi kaka mtangazaji
Hongera padre Mungu azidi kukujalia afya njema.
Kwamba zamani mtu akiwa Paroko anakuwa kama Dictator h 😂🤣
Hapo ni longuo ndugu mtangazaji sio mbokomu
Kirua vunjo-iwa
Mungu aendelee kukutunza nakukupa afya njema,tutavuna mengi mazuri kwako,baba tunakuombea Mungu ili utakayotuasa yatujenge kimwili na kiroho
Mungu akutunze Father Lui