A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military
Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ.
Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi
Mwandishi ni kanjanja
Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo
Washazoea kureport habari za umbeaumbeq
😃😃😃wandishi makanjanja sana
Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana
This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!
Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏
Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.
kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri
Hii nayo fact
Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏
Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏
Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺
Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.
I was so blessed to meet this man of God.
Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri
Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.
This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉
Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..
Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr
Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi.
Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.
Akiona ni Wazo jema
@@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.
Wanao mfananisha na regnald mengi waje
hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi
Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho
Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote
As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.
Kafundishika
Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho
Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr
Mungu alikuchagua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako. 😘
Asante sana Father H. Mrisho kwa kuvitumikia vipaji vyako vyote kwa weredi na busara. I am proud of you Father Dr Mrisho ❤ 👏 ♥ 💙
Huo ni upumbavu mkubwa sana. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.
@@elishakayagwa9371
Huenda ni mpumbavu anayejitambua.
Kuliko mpumbavu asiyejitambua!!
@@elishakayagwa9371mpumbavu wewe na akili yako
❤❤Hongera Sana Father, Nimefurahi kusikia Lyalamo Primary School ya Sr.Kibassa. Tosamaganga ❤
Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.
Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki
Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu
Nawakubari
.my.fr.wetu.kuwanamafuzo.yakijeshi.naukomando.nyinyi.nitaifa.kubwa.namunakuwa.wanyenyekefu.ogera.sanafrlindanchiyetu
Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world
Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?
@@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!
Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo
Hongera Sana Baba Rimisho
Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.
Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka.
Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.
@@alhaddajmohammed4768 unawashwa
Hongera sana Baba Padre.
Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi
hakika
😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂
Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.
Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!
Very smart Observation
Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko
Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo
Aise
Sasa majajusi tunashinda nao baaada huku wakionyesha bastola zao kiunoni
@@ChoroTesla 😀🤭
🎉Wafilp 1:6 Amen 🙏🇹🇿
Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana
My Vice Rector at A.J Bukinda.
Am very proud of you.
Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.
MillardAyo mchukue interview huyu padre tutaenjoy,huyu mwandishi hayupo vizuri,,,
Padr namkubali sana,
Safi
Hamko vizuri kwenye sauti ndugu zangu
Safi sn mtumishi Mungu akubariki
Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu
Kuna kitu kizuri.sana nimekipata hapa kutoka kwa Padre
He knows more than he delivers....
Big up sana interviewer umehoji kisomi sanaaa congratulations 👏
Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.
Hatari sana hii
Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..
Duuu hongera sana
Hongera sana fr
Talented &gifted Father, may God bless u 🙏
Father angeojiwa na Miradi Ayo tungeonjoi sana
Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR
Hongereni wachaga.Prophesas👌
Tunakupongeza sana Padre! 👏 Kabla ya kusomea degree ya kwanza hapo Ardhi University, Padre tayari alisha hitimu degrees mbili. Kwa kufaulu degree yake ya tatu hapo Ardhi University, ina maana sasa ametimiza jumla ya degrees tano! Kweli anastahili pongezi nyingi. Wanafunzi wake watanufaika sana hapo chuoni. NB: Mahojiano haya yangeendeshwa na journalist mzoefu kama Millard Ayo, yangependeza zaidi, ila Padre amejitahidi sana kujibu kila swali kwa ufasaha na uvumilivu.
Charles Hilal
@@adammwita3150 Kweli, Charles Hilary yuko vzuri. Pia Gangana wa TBC anafanya homework kwa umakini. Millard Ayo naye. Nairobi yuko yule kaka mwenye Churchill Show, na pia Jeff Koinange wa Citizen, pamoja na yule kaka mweupe rafiki yake na Jeff. Siku za nyuma CNN walikuwa na dada Christiana Amanpour, alikuwa interviewer moto wa kuotea mbali. Interviewing ni kazi nzito, tusiichukulie poa. Wanaoifanya kwa makini inawabeba.
Kwa kweli, mwandishi wa habari anahitaji ku improve
@@frankmsisi149 Ni kweli. Ukiangalia vyombo vya habari vya nje, kila project anatafutwa mdau aliyebobea kwenye maswali husika ndiye aisimamie. Kwa mfano, interview hii haki yake angeiendesha architect au padre au mwanajeshi mstaafu. Hapo ndio utaupata ufanisi wa huduma.
@@adammwita3150 kwa mahojiano, TV interviewer mwingine wa Kenya ni Tony Gachoka. Yuko pia wa kike nikimkumbuka nitamuandika.
yes 😋😋😋
Congrats padre
Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi
Sahihi kabisa
😂😂
😂😂😂
Umenifanya Nicheke Sana 🤣
Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge
Blessed mind⛪🙏
👏🏼👏🏼
Catholics waache tu, yaani falsafa plus theology n.k lakini wanyenyekevu unaweza uchukulie poa!! I guess huyu Ni jasusi wetu kabisa
Upo sahihi kabisa.
Walio debe tupu ndio wanapiga kelele.
Kwa mwanajeshi kuwa mcha Mungu inawezekana kabisa lkn kwa polisi haiko vizuri bora mgambo.
Na andiko lipo ukibisha waliambiwa polisi wasinyang'anye mtu Mali yake Wala wasimshtaki mtu kwa uongo na pia watosheke na mishahara yao .
Luka 3:14
Hiyo sare ni jeshi la nchi gani
Wao uru the best hom
Hongera padre.. karibu Kenya
Kama kuna namna ameficha mambo.
Tuambie tu Padri
Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.
tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??
@@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika
Kweli we jembe mikono enyewe ina sema
Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi
@@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.
Jesuit hili
Wemwandishi Huna Hekima wala Huwezi kuhoji watu wa kada fulani foolish and sheme
Kama anahoji mtoto yn, vitu vingi vya maana anauliza upuuzi tu.
Hongera kamanda
Ila naona mwandishi hayuko deep
Yuko to shallow kichwani
Kwa maswali anayouliza huyo mwandishi inadhihirisha tz waandishi
Sahvi ni weupe
Kuna media zingewah nafac hii interview ingekua impressive zaidi..
@@francomwacha2262 exactly
Wanao mfananisha nanabii Tito nawaomba hapa
😂😂😂😂
Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea..
Shule jamani..shulejamani...
Mwandishi mbona hujui kuhoji asee😀wahoji kma kma polis.
Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina
Duh uko njema aise dr...💪💪
but hilo vazi la kenya
Njoo uchukue Mali yenu
Sio vazi tu hata padri huyo ni mkenya ni wa kwenu 😆😆
MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO
Mtangazaji una maswali ya hovyo
Sahv kuna tatizo kubwa la waandishi
Huyo mwandishi anamuhoji padri utafikiri anamuliza maswali mondi konde au baba levo
Huyu mpuuzi kabisa. Hana maadili na ni dhamu.nenda shule mwandishi
Nc baba
Ongera sana fr.mimi karne unanikumbuka?.
Km ingekua muislam angeitwa gaidi, na ingesemwa vipi mtumishi wa Mungu wapate wafunzo ya kijeshi, nakumbuka wkt wa makamba mkuu wa mkoa kuna watu walikamatwa kwa kufanya mazoezi eneo la msikiti
@@ahmedsultan8561
Magaidi wote hufanya Mazoezi yao nje ya taasisi kubwa kama Nchi. Hii inaonyesha Uwalakini. Ni sahihi kuhisiwa ni mipango ya ugaidi. Tafakar..
Hawa wamangi ni wajanjawajanja! na huwa wakisoma wanasoma haswaa na akili wanazo pia. Za darasani na zakuzaliwa!
Mwandishi hovyo hovyo sijawai ona kabisaaa
Naweza kupata namba yake?
Hongera sana
Wengine bana! Hamjui masheik mnaofananisha na huyo wanasomaga sana madrasa? Wapi na wapi babu!!
Jaman , mnataka kibarua cha mwandishi kiote nyasi? ??
Haya mahojiano yamenifundisha uvumilivu hata mtu akikuuliza pumba wewe mjibu vizuri tu. Huyu Padri ni mtu wa kujivunia kwenye nchi yetu.
Sijui wenzake alioenda nao Cuba wapo wapi aisee😅
I hope they are doing great. Heshima kwenu
Da mwanahlis jitafakarini asee, mwamtuma mtu akahoji akiri kubwa hivo du! Anahoji kma police du?!
Safari ndefu sana lakini yenye mafanikio bila kukata tamaa.
Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........
It troubled me as well
1984 ukitoa 1969 unapata 15 years.
Perfect education /// sio comedy ya msukuma
Massoud pole sana jitahidi na wewe uwe kama msukuma unasumbuliwa na wivu aliyepewa kapewa ukitaka pambana na wewe kama msukuma
Nakupongeza sana Ndg yangu kwa kuijua ngonjera ya Msukuma!
Hamna lolote hapo kwa Msukuma, uongeaji tu sana! Mtu kuongelea suala la Msukuma sio wivu bali n ujasiri
Uko sahihi kabsa Ndg yangu
Mtangazaji au mwandishi anaehoji ni hovyo kabisa , anahoji mtu wa maana kihovyo hovyo ..!!
Duuh mmemwandama Padre saana
Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana