A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
    Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
    MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
    Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 275

  • @claraachok2319
    @claraachok2319 Год назад +10

    we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 года назад +24

    Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ.
    Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 года назад +2

      Mwandishi ni kanjanja
      Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo
      Washazoea kureport habari za umbeaumbeq

    • @edinaikunda1259
      @edinaikunda1259 2 года назад

      😃😃😃wandishi makanjanja sana

    • @bensonlucas7607
      @bensonlucas7607 2 года назад +1

      Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana

  • @abuelolongavida7261
    @abuelolongavida7261 2 года назад +17

    This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад +11

    Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 2 года назад +3

    Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.

  • @shau78
    @shau78 2 года назад +19

    kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri

  • @rosenjau1091
    @rosenjau1091 2 года назад +6

    Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Год назад +2

    Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 года назад +19

    Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 2 года назад +13

    Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.

  • @PoorClaresMyanga
    @PoorClaresMyanga 2 года назад +5

    I was so blessed to meet this man of God.

  • @elvisurio4095
    @elvisurio4095 2 года назад +4

    Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад +4

    Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 года назад +11

    This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 года назад +5

    Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 года назад +8

    Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 2 года назад +23

    Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi.
    Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Akiona ni Wazo jema

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 года назад

      @@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 2 года назад +17

    Wanao mfananisha na regnald mengi waje

    • @SalumKanju-ik1bk
      @SalumKanju-ik1bk 5 месяцев назад

      hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi

  • @vianemakarious6395
    @vianemakarious6395 2 года назад +5

    Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.

  • @josephinekabyemela9111
    @josephinekabyemela9111 Год назад +1

    Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +9

    Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 года назад +7

    As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 2 года назад +2

    Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 2 года назад +4

    Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 2 года назад +17

    Mungu alikuchagua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako. 😘
    Asante sana Father H. Mrisho kwa kuvitumikia vipaji vyako vyote kwa weredi na busara. I am proud of you Father Dr Mrisho ❤ 👏 ♥ 💙

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 года назад

      Huo ni upumbavu mkubwa sana. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.

    • @roseeuphrase3853
      @roseeuphrase3853 2 года назад +3

      @@elishakayagwa9371
      Huenda ni mpumbavu anayejitambua.
      Kuliko mpumbavu asiyejitambua!!

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 2 дня назад

      ​@@elishakayagwa9371mpumbavu wewe na akili yako

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc 5 месяцев назад

    ❤❤Hongera Sana Father, Nimefurahi kusikia Lyalamo Primary School ya Sr.Kibassa. Tosamaganga ❤

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama742 2 года назад +1

    Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 2 года назад +6

    Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 года назад +2

      Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu

  • @GozbertAliseni-vp6kj
    @GozbertAliseni-vp6kj Год назад +1

    Nawakubari
    .my.fr.wetu.kuwanamafuzo.yakijeshi.naukomando.nyinyi.nitaifa.kubwa.namunakuwa.wanyenyekefu.ogera.sanafrlindanchiyetu

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida6667 2 года назад +14

    Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 года назад

      Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 года назад +2

      @@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!

  • @egonmatwiga9102
    @egonmatwiga9102 2 года назад +4

    Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo

  • @wilbrodtungaraza6204
    @wilbrodtungaraza6204 8 месяцев назад +1

    Hongera Sana Baba Rimisho

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 года назад +13

    Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 2 года назад

      Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka.
      Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 Год назад

      @@alhaddajmohammed4768 unawashwa

  • @emiliamulaki3600
    @emiliamulaki3600 2 года назад +4

    Hongera sana Baba Padre.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 2 года назад +7

    Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi

    • @shafiijuma2980
      @shafiijuma2980 5 месяцев назад

      hakika

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 2 месяца назад

      😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂

  • @abbakariissa7838
    @abbakariissa7838 2 года назад +3

    Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 2 года назад +10

    Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!

  • @hamadiacha2mwambamtalika272
    @hamadiacha2mwambamtalika272 2 года назад +5

    Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko

  • @abdulibatenga7281
    @abdulibatenga7281 2 года назад +4

    Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo

  • @AbigailBateyunga
    @AbigailBateyunga 9 месяцев назад +2

    🎉Wafilp 1:6 Amen 🙏🇹🇿

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад +4

    Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 2 года назад +1

    My Vice Rector at A.J Bukinda.
    Am very proud of you.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад +1

    Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.

  • @gregorydeus72
    @gregorydeus72 2 года назад +1

    MillardAyo mchukue interview huyu padre tutaenjoy,huyu mwandishi hayupo vizuri,,,

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 2 года назад +1

    Padr namkubali sana,

  • @bahatimwakasambala4666
    @bahatimwakasambala4666 2 года назад +2

    Safi

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 2 года назад +2

    Hamko vizuri kwenye sauti ndugu zangu

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 11 месяцев назад

    Safi sn mtumishi Mungu akubariki

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 2 года назад +2

    Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira4827 2 года назад +1

    Kuna kitu kizuri.sana nimekipata hapa kutoka kwa Padre

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 2 года назад +1

    He knows more than he delivers....

  • @sirbaraka
    @sirbaraka Год назад

    Big up sana interviewer umehoji kisomi sanaaa congratulations 👏

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 2 года назад +7

    Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 2 года назад +1

    Hatari sana hii

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 5 месяцев назад

      Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..

  • @valeassenga2958
    @valeassenga2958 2 года назад +1

    Duuu hongera sana

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 2 года назад +1

    Hongera sana fr

  • @marthamsafiri3582
    @marthamsafiri3582 2 года назад +3

    Talented &gifted Father, may God bless u 🙏

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +1

    Father angeojiwa na Miradi Ayo tungeonjoi sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад +4

    Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 2 года назад +3

    Hongereni wachaga.Prophesas👌

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 2 года назад +11

    Tunakupongeza sana Padre! 👏 Kabla ya kusomea degree ya kwanza hapo Ardhi University, Padre tayari alisha hitimu degrees mbili. Kwa kufaulu degree yake ya tatu hapo Ardhi University, ina maana sasa ametimiza jumla ya degrees tano! Kweli anastahili pongezi nyingi. Wanafunzi wake watanufaika sana hapo chuoni. NB: Mahojiano haya yangeendeshwa na journalist mzoefu kama Millard Ayo, yangependeza zaidi, ila Padre amejitahidi sana kujibu kila swali kwa ufasaha na uvumilivu.

    • @adammwita3150
      @adammwita3150 2 года назад

      Charles Hilal

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 года назад +2

      @@adammwita3150 Kweli, Charles Hilary yuko vzuri. Pia Gangana wa TBC anafanya homework kwa umakini. Millard Ayo naye. Nairobi yuko yule kaka mwenye Churchill Show, na pia Jeff Koinange wa Citizen, pamoja na yule kaka mweupe rafiki yake na Jeff. Siku za nyuma CNN walikuwa na dada Christiana Amanpour, alikuwa interviewer moto wa kuotea mbali. Interviewing ni kazi nzito, tusiichukulie poa. Wanaoifanya kwa makini inawabeba.

    • @frankmsisi149
      @frankmsisi149 2 года назад

      Kwa kweli, mwandishi wa habari anahitaji ku improve

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 года назад

      @@frankmsisi149 Ni kweli. Ukiangalia vyombo vya habari vya nje, kila project anatafutwa mdau aliyebobea kwenye maswali husika ndiye aisimamie. Kwa mfano, interview hii haki yake angeiendesha architect au padre au mwanajeshi mstaafu. Hapo ndio utaupata ufanisi wa huduma.

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 года назад

      @@adammwita3150 kwa mahojiano, TV interviewer mwingine wa Kenya ni Tony Gachoka. Yuko pia wa kike nikimkumbuka nitamuandika.

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS Год назад +1

    yes 😋😋😋

  • @TeresiaWangui-w4d
    @TeresiaWangui-w4d Год назад

    Congrats padre

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 2 года назад +8

    Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 года назад +3

    Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge

  • @erickkalumuna329
    @erickkalumuna329 2 года назад +4

    Blessed mind⛪🙏

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 2 года назад +2

    👏🏼👏🏼

  • @ambrosromanus9547
    @ambrosromanus9547 2 года назад +6

    Catholics waache tu, yaani falsafa plus theology n.k lakini wanyenyekevu unaweza uchukulie poa!! I guess huyu Ni jasusi wetu kabisa

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 2 года назад +1

      Upo sahihi kabisa.
      Walio debe tupu ndio wanapiga kelele.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 5 месяцев назад

    Kwa mwanajeshi kuwa mcha Mungu inawezekana kabisa lkn kwa polisi haiko vizuri bora mgambo.
    Na andiko lipo ukibisha waliambiwa polisi wasinyang'anye mtu Mali yake Wala wasimshtaki mtu kwa uongo na pia watosheke na mishahara yao .
    Luka 3:14

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 2 года назад +3

    Hiyo sare ni jeshi la nchi gani

  • @umikitira7212
    @umikitira7212 2 года назад +2

    Wao uru the best hom

  • @muirurindichu8192
    @muirurindichu8192 2 года назад +1

    Hongera padre.. karibu Kenya

  • @tumainimoshy207
    @tumainimoshy207 2 года назад +3

    Kama kuna namna ameficha mambo.
    Tuambie tu Padri

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 2 года назад +1

    Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 2 года назад

      tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 2 года назад +1

      @@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika

    • @stanlaymanya687
      @stanlaymanya687 2 года назад

      Kweli we jembe mikono enyewe ina sema

    • @nancychuwa4870
      @nancychuwa4870 Год назад

      Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 Год назад

      @@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.

  • @anacretsindabaha9395
    @anacretsindabaha9395 2 года назад

    Jesuit hili

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 2 года назад +6

    Wemwandishi Huna Hekima wala Huwezi kuhoji watu wa kada fulani foolish and sheme

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 2 года назад +1

      Kama anahoji mtoto yn, vitu vingi vya maana anauliza upuuzi tu.

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 2 года назад +2

    Hongera kamanda
    Ila naona mwandishi hayuko deep
    Yuko to shallow kichwani
    Kwa maswali anayouliza huyo mwandishi inadhihirisha tz waandishi
    Sahvi ni weupe

    • @francomwacha2262
      @francomwacha2262 2 года назад +1

      Kuna media zingewah nafac hii interview ingekua impressive zaidi..

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 года назад

      @@francomwacha2262 exactly

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 2 года назад +4

    Wanao mfananisha nanabii Tito nawaomba hapa

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 года назад +3

    😂😂😂😂
    Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea..
    Shule jamani..shulejamani...

  • @mzazi1467
    @mzazi1467 2 года назад +1

    Mwandishi mbona hujui kuhoji asee😀wahoji kma kma polis.

  • @visensiakagombora6260
    @visensiakagombora6260 2 года назад +3

    Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina

  • @emmadeprincetv6133
    @emmadeprincetv6133 2 года назад

    Duh uko njema aise dr...💪💪
    but hilo vazi la kenya

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 года назад +4

    MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 2 года назад +2

    Mtangazaji una maswali ya hovyo

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 года назад

      Sahv kuna tatizo kubwa la waandishi
      Huyo mwandishi anamuhoji padri utafikiri anamuliza maswali mondi konde au baba levo

  • @hono1232
    @hono1232 2 года назад +4

    Huyu mpuuzi kabisa. Hana maadili na ni dhamu.nenda shule mwandishi

  • @sebastianriziki3536
    @sebastianriziki3536 2 года назад

    Nc baba

  • @filaretoskimaro3959
    @filaretoskimaro3959 2 года назад +3

    Ongera sana fr.mimi karne unanikumbuka?.

    • @ahmedsultan8561
      @ahmedsultan8561 2 года назад

      Km ingekua muislam angeitwa gaidi, na ingesemwa vipi mtumishi wa Mungu wapate wafunzo ya kijeshi, nakumbuka wkt wa makamba mkuu wa mkoa kuna watu walikamatwa kwa kufanya mazoezi eneo la msikiti

    • @denisharris2889
      @denisharris2889 2 года назад

      @@ahmedsultan8561
      Magaidi wote hufanya Mazoezi yao nje ya taasisi kubwa kama Nchi. Hii inaonyesha Uwalakini. Ni sahihi kuhisiwa ni mipango ya ugaidi. Tafakar..

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 2 года назад +11

    Hawa wamangi ni wajanjawajanja! na huwa wakisoma wanasoma haswaa na akili wanazo pia. Za darasani na zakuzaliwa!

  • @vhiedkc859
    @vhiedkc859 2 года назад +1

    Mwandishi hovyo hovyo sijawai ona kabisaaa

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 2 года назад

    Naweza kupata namba yake?

  • @mimiming9591
    @mimiming9591 2 года назад +1

    Hongera sana

  • @SimonMassawe-i8e
    @SimonMassawe-i8e 7 месяцев назад

    Wengine bana! Hamjui masheik mnaofananisha na huyo wanasomaga sana madrasa? Wapi na wapi babu!!

  • @fadhilapretty5876
    @fadhilapretty5876 2 года назад

    Jaman , mnataka kibarua cha mwandishi kiote nyasi? ??

  • @flaviusbenedict7513
    @flaviusbenedict7513 2 года назад

    Haya mahojiano yamenifundisha uvumilivu hata mtu akikuuliza pumba wewe mjibu vizuri tu. Huyu Padri ni mtu wa kujivunia kwenye nchi yetu.
    Sijui wenzake alioenda nao Cuba wapo wapi aisee😅
    I hope they are doing great. Heshima kwenu

  • @mzazi1467
    @mzazi1467 2 года назад +1

    Da mwanahlis jitafakarini asee, mwamtuma mtu akahoji akiri kubwa hivo du! Anahoji kma police du?!

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 2 года назад

    Safari ndefu sana lakini yenye mafanikio bila kukata tamaa.

  • @laurentkimbatummassy8075
    @laurentkimbatummassy8075 2 года назад +1

    Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 2 года назад +2

    Perfect education /// sio comedy ya msukuma

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Massoud pole sana jitahidi na wewe uwe kama msukuma unasumbuliwa na wivu aliyepewa kapewa ukitaka pambana na wewe kama msukuma

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 года назад

      Nakupongeza sana Ndg yangu kwa kuijua ngonjera ya Msukuma!
      Hamna lolote hapo kwa Msukuma, uongeaji tu sana! Mtu kuongelea suala la Msukuma sio wivu bali n ujasiri

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 года назад

      Uko sahihi kabsa Ndg yangu

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 года назад +3

    Mtangazaji au mwandishi anaehoji ni hovyo kabisa , anahoji mtu wa maana kihovyo hovyo ..!!

  • @malakimollel6044
    @malakimollel6044 2 года назад

    Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana