DARASA KUBWA ASKOFU KILAINI AELEZA HISTORIA YA KANISA LA KWANZA |
HTML-код
- Опубликовано: 23 фев 2022
- Radio Maria Tanzania
S.L.P 34573,
Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
Wavuti: www.radiomaria.co.tz
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: Radio Maria Tanzania
Facebook Link: / radiomaria.tanzania
Instagram: Radio Maria Tanzania
Instagram Link: / radiomariatanzania
Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.
Tumsifu Yesu kristo, jamani mmi naomba vijana wanaosoma historian Tz wajifunze namna ya kuwa wanahistoria kama Baba Asikofu. 🌹
Asante sana
Padre msimamo wako ni upi petro ndo papa wa kwanza au uliyemtaja hapo ndo papa wakwanza?,Nimwkufuatilia kwenye video moja umesema petro ndo papa wa kwanza kwa sababu wakatoliki ni kanisa mama,mbona video mbili hizo zinatofautiana kwa upande wa papa wa kwanza?
Kanisa la Mama Maria huko Bagamoyo(bwagamoyo) ni historia muhimu. Ila waislamu wamekataa kuwa waarabu hawakuwahi kufanya biashara ya utumwa..nauliza nani waliuza watumwa waliookolewa na wamisionari