HISTORIA YA MAISHA YA BERNARD MUKASA - MAISHA NA MUZIKI S01EP04 - PART 1
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa
Nakumbuka nilikuwa napambana naye darasani shule ya msingi, nikimpita matokeo analia sana. Nampenda sana kakangu huyu tuliheshimiana na kushirikiana mambo mengi. By then mi nilenda Rugambwa sec ndo tulitengana. Pole na matokeo na hongera kwa hapo ulipofikia biblia inatuambia tushukuru kwa kila jambo
nimependa historia yako sana🙏🥰
barikiwa sana
Barikiwa sana baba yangu..😘😘😘😘
Mtunze vyema mwalimu wa mziki nimpendaye zaidi.......the family and art ... Wow, I envy u. God bless u too my sister and the family
Safi Sana mwalimu mahili wa mziki mtakatifu familia nzima ni mfano wakuigwa jmn bila kupingwa!!!
Hongereni sana,sasa kwaya kazini nzuri anayo hoji na anaye hojiwa. Ushauri wangu siku nyingine unapo muhoji mtu ataje/seme mwaka wa matukio .
Asante sana jugo media kwa kumleta mwalimu nimpendaye Bw Mukasa...nyimbo zake huwa zinanibariki sana..
Mungu azidi kukutunza mkuu, wewe na familia yako kwa ujumla....!! Hakika ni tunu njema kwa Kanisa Katoliki!!
Mungu azidi kumbariki mwl Mukasa
Ubarikiwe sana Baba wa mziki
Waoooow!!! I love your Family haki😘😘😘
Mungu ailinde na aitunze daima mdumu katika Upendo huo huo!!!🙏🙏🙏
I'm watching this video once again today and I'm Imagining what transpired in Mukasa's mind when composing 'TOA'.Mungu azidi kumbariki Mukasa,nafurahia Tunzi zake nyingi sana kwa kuziskiza na kuziimba...alot of love from Kenya
waaow nzur sana Baba...Keep moving kiongoz mzur na mzalendo 👏🤝💪
Daaah naipenda sana hii familia,mungu awabariki.
Nakukubali Mwl Ben Mkasa,Binti zangu wadogo wanaupenda Sana kuuimba wimbo wako wa Utambi Mchafu.Ubarikiwe na Familia yako.
Asante sana mwalimu wetu bernard mukasa Mungu akubariki siku zote zamaisha yako pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina
Wow wow mungu azidi kuwalinda na mzidi kutulea kiimani kupitia mziki mtakatifu nawapenda sana,kutoka Burundi 🇧🇮
Amina
Amen Mr Mukasa
Hii chanel waaminifu baada ya mke wake tuliomba wamlete mukasa na kweli wamememleta safi sana mwandishi.
Binafsi naupenda sana wimbo wake wa Ni Mungu Mkuu
Safi sana nilikuwa napenda nisikie huyu mkasa,nani kama mkasa nyimbo nyng katunga hakna asiejua umhimu wa mkasa so hongera sana mkuu(mimina neema)
Nampenda mwalimu mukasa Sana ....his music inspires me I'd wish to meet the guy for a few tips in music
jaman nawapenda sana mmmh nataman hata sk niwaone nipige na nyinyi picha ila ndo nipo nje ya nch nikilud nitawatafuta Mungu awabarik sana tena sana
Nazipenda kazi zake
Mwenyezi MUNGU akujalie ukae miaka mingi
Ahhhh mwalimu wewe jaman Mungu azidi kukutunza
Suala la walimu hapo umegusa sana
Ila albamu ya mimina neema uliitengeza vzr mno kila siku lazima nisikilize Nusu kwa nusu,wewe ni Mungu kila wakati n.k
Mwendashaji wa mahojiano: Ni vema mtu anaposimulia historia yake, ataje na miaka ya hayo matukio anayoyasema. Vinginevyo haiwi historia, bali mtiririko tu wa matukio.
Naomba kujua wimbo wake wa wema mkamilifu nitaupataje? Au upo kwenye album ipi nikanunue??