PART 2 - HISTORIA YA MAISHA YA BERNARD MUKASA - MAISHA NA MUZIKI S01EP04

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa

Комментарии • 12

  • @hadijashabani7733
    @hadijashabani7733 2 года назад

    Mungu akubariki sana unatuinjilisha kabisa akupe maisha marefu mwalimu wetu

  • @JosephKakingo
    @JosephKakingo 2 месяца назад

    The brain Benard Mukasa ❤

  • @luludoita5662
    @luludoita5662 3 года назад

    Mwl Mukasa asante sana kwa mafundisho ya kiroho, nimejifunza mengi kuhusu imani kupitia mahojiano haya not necessarily kwenye kuimba. Ubarikiwe sana

  • @hadijashabani7733
    @hadijashabani7733 2 года назад

    Namwomba Mwenyezi Mungu baba angu mwl Robert mkwavi afikie kiwango cha Bernad Mkasa. Mungu watie nguvu walimu wa muziki wa Kikatoliki

  • @michael16achacha
    @michael16achacha 2 года назад

    nakubaliana na mwalimu, tunafaa kufanya muziki kwa sababu ya vile mwenyezi mungu anataka, sio kama tunavyotaka.

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 4 года назад +1

    Bernad Mukasa Mungu akuweke BAba na mwalimu wetu mtunzi wetu Tanzania nzima 🙏

  • @antoniambogolo3628
    @antoniambogolo3628 4 года назад

    Ubarikiwe Sana kwautume baba natamani siku Mona uje kututemberea kigangoni kwetu RHAFAERI palokia yakinyerenzi

  • @makolopeter
    @makolopeter 4 года назад

    Hongereni sana Jugo Media kwa wazo hili mujarabu. Hakika mnatoa elimu na uelewa mkubwa kupitia maongezi na walimu wa muziki Mtakatifu. Hongereni sana kwa kazi nzuri.

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 4 года назад

    Mungu akuweke Baba 🙏

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 4 года назад

    Hongera sasa mukasa

    • @anataliasosipeter1666
      @anataliasosipeter1666 3 года назад

      Unapaswa kumshukuru mungu sana,familia moja kua na kipaji kimoja sio kitu rahis mungu katenda

  • @nyotasingers
    @nyotasingers 4 года назад

    Mwalimu waja lini Nairobi Kenya kutupa hizi seminars?