Mfahamu kwa undani Bikira Maria Mama wa Kanisa || Utajiri wa Mama Bikira Maria S03E07.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Radio Maria Tanzania
    S.L.P 34573,
    Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
    Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
    Wavuti: www.radiomaria.co.tz
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: Radio Maria Tanzania
    Facebook Link: / radiomaria.tanzania
    Instagram: Radio Maria Tanzania
    Instagram Link: / radiomariatanzania
    Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.

Комментарии • 4

  • @marierobert42
    @marierobert42 Год назад

    Thanks for your massage

  • @lucymbinya4651
    @lucymbinya4651 Год назад

    Have learned something about our Loving Mother Mary....Nampenda sana..

  • @gilbertpio1552
    @gilbertpio1552 Год назад +1

    Salamu ewe kisima kisicho chimbika kwa urahisi
    Salamu ambaye toka kwako mwanga umekuja Duniani

  • @joycekomba1243
    @joycekomba1243 Год назад

    Nilisoma kitabu kimoja cha zamani kidogo chenye kueleza matukio ya wakristo wa zamani walivyo kuwa wakipokea miujiza ya mama mmojawapo ni huu. Kunauvamizi ulitokea kanisa lilivunjwa na wadhurumu kanisa lakini kuna mkristo alifika pale kwa bahati sanamu ya mama aliikuta pale unapokaa ikiwa haijaguswa mkristo akaichukua na kuipeleka kwake akaiweka ndani kwa heshima na kuendelea kusali hapo kwa miaka mingi ilipita. Baadaye wakristo walipoona amani imerudi alianza kujenga upya kanisa lakini hawakujua kwakuipata sanamu ya mama ya kuiweka kanisani pale mahala pake. Na yule mkristo aliyeichukua alikuwa mzee sana hawezi kufanya lolote zaidi ya kumwomba mama kwa kusema wewe mama rudi kwako rudi kwa wanao kanisani kwako mimi siwezi kukirudisha tena sina nguvu. Marakwamara alilia hivyo mama wa kanisani rudi kanisani. Wakristo kanisani nao waliomba sana kila siku waipate sanamu ya kanisani hatimaye sala ilisikika na nyumba ya mzee yule ikatoa harufu nzuri sana wapita njia waliposikia harufu nzuri hiyo waliingia ktk nyumba ile kuona kunanini wskakuta mkristo yule kawa mzee sana Kalala chini ya sanamu ya mama yule wa kanisani wskaimba na kusema mwizi wa mama wa kanisa wskaitana na kuibeba kwa shangwe kuirudisha kanisanilnzi naye akaomba afe sasa kweli akafa akazikwa na wakristo wenzake. Ndio mama wa kanisa.