"Mwenye afya hamuhitaji daktari Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu" Umenena vyema mtumishi Tuombeane tusihukumiane sio kazi yetu
Pole ndugu, umecomment sehem isiyosahihi, Lakini hata hivo Bashiru hajabadilisha msimamo ila watu ndo tumeshindwa kumuelewa huyu mwanazuoni..! Hebu mfuatilie alihojiwa na Azam TV na bwana Tido Muhando Dodoma.! Kaulizwa na kaliongelea vema hilo suala..!
Kila mtanzania aliyekuwa anampenda Magufuli lazima aliwaza mengi kuhusu Mungu kama afande sele tu lakini Mungu ni Mungu tu na atabaki kuwa Mungu tu ata iweje hata afe nani yey ni Mungu tu.tupo pamoja sana mtumishi wa Mungu mgogo
Umeongea point sana ,kwani Mwenyezi mungu akumpa mwanadamu kuukumu bari Mungu ni mwema sana ila tusitumie wadhifa wa kusomea hitu ukadhani unakarama sana kwa Mwenyezi Mungu
Watu tusishabikie tu kumpongeza mchungaji kwamba ameongea vzr .. na kumpamba kwa sifa zote ..yuhali yakuwa nae kakosea pia ...mchungaji anasema ...Mungu ni dhaifu ....Mungu wetu wa rehema sio dhaifu na hatokuwa dhaifu milele na milele na ametakasika na mapungufu yote dhaifu na mabaya yote ya mbinguni na ardhini ...binafsi nakwambia ..Mchungaji Mgogo umekosea Mungu sio dhaifu haijarishi ulikuwa unamanisha nini na wala umetamka hivyo kwa wakati upi. ..kutumbuke neema za ukuu wake ...mfano ...Mungu angekuwa dhaifu asingeweza kuinuwa Mbingu saba pasipo nguzo hata moja na kutujalia uhai n.k ..narudia tena ..Mchungaji umekosea ..kifupi umetereza rekebisha kauli yako na umtake M/Mungu msamaha Mungu sio dhaifu ...hata kiongozi wa dini akikosea anatakiwa kukumbushwa ajirekebishe ...kwani hakuna mkamilifu ispokuwa Mungu peke yake ...Ameen ....
Dahh... Huyu mtumishi was MUNGU habalikiwe sana hakika hana unabii ndani yake na janamaono makubwa sana na hekima ya kubwa sana kwa kujibu maswali Yani hata chizi lazima hatulie na hamsikilize maongezi yake yanavutiwa sana hakika ni pasta wa kweli nacoment hii kwakuwa nimemsikiliza mwanzo Hadi mwisho
Uko vizuri sanaaa Kumsomea Dua mbaya bado hujamsaidia? Akisha kuwa kichaa au kafa ndo tutapata nin?siku zote kumwelekeza mwanadamu kwa hekma ni ibada tosha ila Kuwa na jazba kusoma dua sio solution ?tukumbuke anawatoto wanamtegenea anawatu nyuma wanamsubiria kimsaada ?kumtia ukichaa haita saidia
Mgogo me napenda sana kuhubili lakn sasa sina njia yakuniongoza ili nipate nafasi yakulitangaza jina lamwana kondoo sasa mtumishi nifanyeje ili ndoto yangu itimie???
Huu upewo wa huu Mzee, ndomwingine utakumbukwa. Mimi ningepata maongezi naye ningefurahi sana nimekutafuta mda mulefu hatanipate number yake .nimekosa kabisa. Niliwahi kukata tiketi nitoke huku CANADA nije tu nimuone ila nikambiwa kumuona tu nahitaji kulipa milioni 15 Tsh. Nikapiata nailisha safali
@@ayoubsuleiman2581 yaani ni wahuni tu kama wahuni wengine hawana utofauti sasa walimpa afande sele wiki moja ivi sasa alikufa??? Kwaiyo ukiona mtumishi wa mungu anafanya kama walivyofanya wale ma sheikh ujue ni wahuni tu kama wahuni wengine hamna mungu,,,,ivi nashindwaga kuelewa kama afande alimtukana nani na alitaja jina la Nani?? Ma sheikh walipanic kwasbb afande kasema dini za kuletewa na waarabu sasa ni uongo?? Si ni kweliii lkn?? Mungu ambariki sana huyu mchungaji
Mgogo nimeamin kweli ww nimtumishi wa Mungu🙏
Umeongea point nimekuelewa mimi ni muislamu
tuna pokea baba yani ata uki ojiwa tu sisi uku tuna barikiwa 🙏🙏🙏🙏🤲
Mungu akubariki mtumishi wa mungu Daniel mgogo.
Waambie baba sema baba
Mtumishi wa mungu huwa nakulewa sana, ubarikiwe sana
Mungu abaliki Kazi ya Mungu unayoyifanya pastor
Mahubiri yako inafariji watu tena iko kwenye mstari, ubarikiwe pastor.
Umewashauri vizuri sana viongozi wa dini, nafikili wamekuelewa, huwezi kumuombea kifo mwenzako.
Ndiyo kazi ya watumishi wakweli ubarikiwe sana mtumishi mugogo
Kweli kabisa maneno yako nakupenda sana japo mm ni muislam ila hupendi kuskiza mawaidha yako
Point sana nimekuelewa mno 🙏🙏
🙏 ubarikiwe mtumishi...
Maneno yako Paster ni ya maana sana .Ubarikiwe sana kwa kuwaelimisha Watanzania, yanayojiri kuyaweka rohoni.🎉
Aiseee mungu azidi kuku baliki
Barikiwa mch mgogo
"Mwenye afya hamuhitaji daktari
Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu"
Umenena vyema mtumishi
Tuombeane tusihukumiane sio kazi yetu
Pole ndugu, umecomment sehem isiyosahihi,
Lakini hata hivo Bashiru hajabadilisha msimamo ila watu ndo tumeshindwa kumuelewa huyu mwanazuoni..!
Hebu mfuatilie alihojiwa na Azam TV na bwana Tido Muhando Dodoma.! Kaulizwa na kaliongelea vema hilo suala..!
Kila mtanzania aliyekuwa anampenda Magufuli lazima aliwaza mengi kuhusu Mungu kama afande sele tu lakini Mungu ni Mungu tu na atabaki kuwa Mungu tu ata iweje hata afe nani yey ni Mungu tu.tupo pamoja sana mtumishi wa Mungu mgogo
Mimi mwenyewe hapa nishawahi kuyaongea yale aliongea afande sele,,mungu anisamehe sana,,,ila shida na matatizo ndo yanafanya mtu kusema maneno mengi 😭😭😭 lkn mungu hua haesabu mabaya yetu
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
AMINA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Well said Pastor. Eliminating Afande Sele doesn’t solve anything. Pray for him.
Nakukubal Sana bishop,ww ni zaid ya bishop♥️♥️🙏🙏🙏
Mungu akutunze mtumishi.
Mtumish nimekuelewa Sana ubalikiwe cn
Barikiwa sana MCHUNGAJI
Ubarikiwe baba umetufunguwa hakili kuhusu afande sele we was so confused
Ubarikiwe mtumishi wa mungu ...
In kweli kabisa Mchungaji umetufariji
Umeongea kweli mgogo munguakubariki
Astagfuru alla mugu abariki NA wewe unaitwa farida
Pastor mgogo mungu ali kuumba kwa oder special
Asante mtumishi
Mungu akubariki sana Mch mgogo umeongea point sana Maombi kwa Madam president Samia afate nyayo na ujasiri kama, Magufuli
Asante sana
Asante sana mgogo
🙏 blessed Mgogo
Safi sana mtumishi
Pasta Daniel mgogo hakika uko vizuri Sana kazana usirudi nyuma,
Amen very true👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏
Ahsante mtumishi jamii unanielewa Sana🙏
Ameen kubwa wewe ni Mchungaji hakika.
Umeongea point sana ,kwani Mwenyezi mungu akumpa mwanadamu kuukumu bari Mungu ni mwema sana ila tusitumie wadhifa wa kusomea hitu ukadhani unakarama sana kwa Mwenyezi Mungu
Umenifurahisha Mchungaji kwa ufafanuzi Jambo la afande sele.
Asante sana pasteur ☺️
Wewe unalijuwa neno
Well said Baba 💕💕💕
😂😂😂🤣🤣uyu poster ananifurahishaga sanaaa aiseee😅😅😂🤣🤣 kwanza Waca Ni subscribe maana ananitowaga stress zangu hatareee
Ameni Ameni
Hakika wewe nimtumishi wapekee sana, ubarikiwe baba
Uko sawa mgogo
Amen baba
Asante kwa kunifundisha
🙏🙏
Watu tusishabikie tu kumpongeza mchungaji kwamba ameongea vzr .. na kumpamba kwa sifa zote ..yuhali yakuwa nae kakosea pia ...mchungaji anasema ...Mungu ni dhaifu ....Mungu wetu wa rehema sio dhaifu na hatokuwa dhaifu milele na milele na ametakasika na mapungufu yote dhaifu na mabaya yote ya mbinguni na ardhini ...binafsi nakwambia ..Mchungaji Mgogo umekosea Mungu sio dhaifu haijarishi ulikuwa unamanisha nini na wala umetamka hivyo kwa wakati upi. ..kutumbuke neema za ukuu wake ...mfano ...Mungu angekuwa dhaifu asingeweza kuinuwa Mbingu saba pasipo nguzo hata moja na kutujalia uhai n.k ..narudia tena ..Mchungaji umekosea ..kifupi umetereza rekebisha kauli yako na umtake M/Mungu msamaha Mungu sio dhaifu ...hata kiongozi wa dini akikosea anatakiwa kukumbushwa ajirekebishe ...kwani hakuna mkamilifu ispokuwa Mungu peke yake ...Ameen ....
Dahh... Huyu mtumishi was MUNGU habalikiwe sana hakika hana unabii ndani yake na janamaono makubwa sana na hekima ya kubwa sana kwa kujibu maswali Yani hata chizi lazima hatulie na hamsikilize maongezi yake yanavutiwa sana hakika ni pasta wa kweli nacoment hii kwakuwa nimemsikiliza mwanzo Hadi mwisho
Kusema kweri tumeumia Sana mimi nililia Sana nikiwa Omani
Huyu ndeye mutumishi wa mungu sahihi kuliko wengine kabasaaa
Wengine waliwaza kimya kimya ila afande sele kawaza kwa sauti😂
Kabisaaaa yaan 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amen
♥️♥️
Mungu kakupa hekima yapekee baba umejibu kiroho nadhan hata sele akiskia hiii atapona.
Kwani korona nipopo😅
Kifo ni kibaya asa kwa mtu ilie kuwa unampenda niatari subira inaitajika wakati mwengine
Ivyo ndio inafaa sio kila kosa ulaani binadamu mwenzako
Uko vizuri sanaaa Kumsomea Dua mbaya bado hujamsaidia? Akisha kuwa kichaa au kafa ndo tutapata nin?siku zote kumwelekeza mwanadamu kwa hekma ni ibada tosha ila Kuwa na jazba kusoma dua sio solution ?tukumbuke anawatoto wanamtegenea anawatu nyuma wanamsubiria kimsaada ?kumtia ukichaa haita saidia
Hahahaha ett Petro hakumkana Yesu alitaka kumsaidia
Kwani una nifanya nizidi kupenda u kristo
Mgogo me napenda sana kuhubili lakn sasa sina njia yakuniongoza ili nipate nafasi yakulitangaza jina lamwana kondoo sasa mtumishi nifanyeje ili ndoto yangu itimie???
huyu ndio kiongozi wa dini sasa sio mtu anahukumu mtu utafikiri yeye Hana dhambi
Mimi si Mkiristo lakini maneno yako ya busara sana.
Mtumishi wamungu nyi munaongea ukwili kabisa
Kama hawapo watu wakukosea je mtamuhubilia nani?nimekuelewa sana ukovizulli kiupeo
👍👍👍👍
Mchungaji wewe ninoma kunywa soda nitalipa Mungu akubaliki
Mm na kuelewa saana lkn sio mkilisto nainjoi mno na hutuba zako
Hatuko machawa wa Mungu aaaaaaah
Yn mm nimwislam lkn kiukweli mashkh zetu wamekurupuka mno yn hivi kweli walishindwa kufikiria namna ya kumsaidia kweli jmn aibu bwn
Ni kweli kbs ayubu hata mi ni mwislam lakin cjapenda kile wamefanya mashekhe huwezi kumuombea mtu afe hiyo ni kazi ya mungu atahukumu mwenywe
Huu upewo wa huu Mzee, ndomwingine utakumbukwa.
Mimi ningepata maongezi naye ningefurahi sana nimekutafuta mda mulefu hatanipate number yake .nimekosa kabisa.
Niliwahi kukata tiketi nitoke huku CANADA nije tu nimuone ila nikambiwa kumuona tu nahitaji kulipa milioni 15 Tsh. Nikapiata nailisha safali
Ubalikiwe cna
Siyo kweli ni uongo we njoo tu utaonana naye
Asante kwa ujumbe mzur
Siyo kweli mimi niko na namba yake wasikudanganye huu mchungaji nimuhubiri mzuri mimi niko nanamba yake
Sifikirite kwamba kumuona inabidi kiwango cha pesa oh no
Kichwa kingine icho busara kama zote
Yani kiukweli nimebarikiwa tumuombee afande sele
he was dady to many.
Tutakiane kheri cyo mpango kuombeana kifo masheh apo kidogo wamechengwa
Siyo kidogo tu Maana kuna mashkh wakurupukaji wamekosea mno hawajui thamani ya kazi yao hasa huyo kishiki huwa anakurupuka saana
@@ayoubsuleiman2581 yaani ni wahuni tu kama wahuni wengine hawana utofauti sasa walimpa afande sele wiki moja ivi sasa alikufa??? Kwaiyo ukiona mtumishi wa mungu anafanya kama walivyofanya wale ma sheikh ujue ni wahuni tu kama wahuni wengine hamna mungu,,,,ivi nashindwaga kuelewa kama afande alimtukana nani na alitaja jina la Nani?? Ma sheikh walipanic kwasbb afande kasema dini za kuletewa na waarabu sasa ni uongo?? Si ni kweliii lkn?? Mungu ambariki sana huyu mchungaji
Wesh les réf
Hakuna hbr ya hela wanakukatisha tamaaa
Kuombea mtu afe eti nikwasababu amemkufuru mungu,ndoo obongo wawa islamu,bada yakumuombea msamaha na kuomba toba,wao nikumuombea afe,wanaonyesha uchawi kupitia korowani yao🤣😂😂
Kwan corona nipopo
🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏