TWENDE TUKAE NA AFANDE SELE, MUNGU HATUTEGEMEI SISI KUTOA ADHABU TUNAKOSEA KUMHUKUMU"MCH MGOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 104

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 года назад +13

    Mgogo nimeamin kweli ww nimtumishi wa Mungu🙏

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 3 года назад +8

    Umeongea point nimekuelewa mimi ni muislamu

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 3 года назад +7

    tuna pokea baba yani ata uki ojiwa tu sisi uku tuna barikiwa 🙏🙏🙏🙏🤲

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 года назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu Daniel mgogo.

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 года назад +2

    Waambie baba sema baba

  • @kishimbaigobeko2297
    @kishimbaigobeko2297 3 года назад +8

    Mtumishi wa mungu huwa nakulewa sana, ubarikiwe sana

  • @Korakome
    @Korakome 3 года назад +5

    Mungu abaliki Kazi ya Mungu unayoyifanya pastor

  • @marifaadolphine3571
    @marifaadolphine3571 3 года назад +1

    Mahubiri yako inafariji watu tena iko kwenye mstari, ubarikiwe pastor.

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 3 года назад +3

    Umewashauri vizuri sana viongozi wa dini, nafikili wamekuelewa, huwezi kumuombea kifo mwenzako.

  • @victorieusefulano3130
    @victorieusefulano3130 3 года назад +5

    Ndiyo kazi ya watumishi wakweli ubarikiwe sana mtumishi mugogo

    • @halimamohamed6636
      @halimamohamed6636 3 года назад

      Kweli kabisa maneno yako nakupenda sana japo mm ni muislam ila hupendi kuskiza mawaidha yako

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 3 года назад +4

    Point sana nimekuelewa mno 🙏🙏

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 3 года назад +4

    🙏 ubarikiwe mtumishi...

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 9 месяцев назад

    Maneno yako Paster ni ya maana sana .Ubarikiwe sana kwa kuwaelimisha Watanzania, yanayojiri kuyaweka rohoni.🎉

  • @habilichenza1721
    @habilichenza1721 3 года назад +3

    Aiseee mungu azidi kuku baliki

  • @kennedymboma8268
    @kennedymboma8268 3 года назад +3

    Barikiwa mch mgogo

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 3 года назад +2

    "Mwenye afya hamuhitaji daktari
    Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu"
    Umenena vyema mtumishi
    Tuombeane tusihukumiane sio kazi yetu

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      Pole ndugu, umecomment sehem isiyosahihi,
      Lakini hata hivo Bashiru hajabadilisha msimamo ila watu ndo tumeshindwa kumuelewa huyu mwanazuoni..!
      Hebu mfuatilie alihojiwa na Azam TV na bwana Tido Muhando Dodoma.! Kaulizwa na kaliongelea vema hilo suala..!

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 3 года назад +4

    Kila mtanzania aliyekuwa anampenda Magufuli lazima aliwaza mengi kuhusu Mungu kama afande sele tu lakini Mungu ni Mungu tu na atabaki kuwa Mungu tu ata iweje hata afe nani yey ni Mungu tu.tupo pamoja sana mtumishi wa Mungu mgogo

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 3 года назад

      Mimi mwenyewe hapa nishawahi kuyaongea yale aliongea afande sele,,mungu anisamehe sana,,,ila shida na matatizo ndo yanafanya mtu kusema maneno mengi 😭😭😭 lkn mungu hua haesabu mabaya yetu

  • @wasajo
    @wasajo 3 года назад +3

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @testerguy4101
    @testerguy4101 3 года назад +2

    AMINA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Kwazulu1
    @Kwazulu1 3 года назад +2

    Well said Pastor. Eliminating Afande Sele doesn’t solve anything. Pray for him.

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 года назад

    Nakukubal Sana bishop,ww ni zaid ya bishop♥️♥️🙏🙏🙏

  • @mwitamgeta9329
    @mwitamgeta9329 3 года назад +4

    Mungu akutunze mtumishi.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 года назад +1

    Barikiwa sana MCHUNGAJI

  • @nsengiyumvajano8359
    @nsengiyumvajano8359 3 года назад +2

    Ubarikiwe baba umetufunguwa hakili kuhusu afande sele we was so confused

  • @shikowanjiku3609
    @shikowanjiku3609 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu ...

  • @newkelvcoltd4610
    @newkelvcoltd4610 3 года назад +2

    In kweli kabisa Mchungaji umetufariji

  • @fridashekiao5893
    @fridashekiao5893 3 года назад +1

    Umeongea kweli mgogo munguakubariki

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 3 года назад

      Astagfuru alla mugu abariki NA wewe unaitwa farida

  • @habilichenza1721
    @habilichenza1721 3 года назад +3

    Pastor mgogo mungu ali kuumba kwa oder special

  • @gynae8407
    @gynae8407 3 года назад +2

    Asante mtumishi

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 3 года назад

    Mungu akubariki sana Mch mgogo umeongea point sana Maombi kwa Madam president Samia afate nyayo na ujasiri kama, Magufuli

  • @alenmnyasa2445
    @alenmnyasa2445 3 года назад +1

    Asante sana

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +1

    Asante sana mgogo

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 3 года назад +4

    🙏 blessed Mgogo

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 3 года назад +3

    Safi sana mtumishi

    • @tinukamlowe2134
      @tinukamlowe2134 3 года назад +1

      Pasta Daniel mgogo hakika uko vizuri Sana kazana usirudi nyuma,

  • @mamarohosafi2046
    @mamarohosafi2046 3 года назад +1

    Amen very true👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏

  • @aderickfrank4611
    @aderickfrank4611 3 года назад +1

    Ahsante mtumishi jamii unanielewa Sana🙏

  • @richardkaula6847
    @richardkaula6847 3 года назад

    Ameen kubwa wewe ni Mchungaji hakika.

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 3 года назад

    Umeongea point sana ,kwani Mwenyezi mungu akumpa mwanadamu kuukumu bari Mungu ni mwema sana ila tusitumie wadhifa wa kusomea hitu ukadhani unakarama sana kwa Mwenyezi Mungu

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 3 года назад

    Umenifurahisha Mchungaji kwa ufafanuzi Jambo la afande sele.

  • @dazawadi1896
    @dazawadi1896 3 года назад +2

    Asante sana pasteur ☺️

  • @philiporobert9047
    @philiporobert9047 3 года назад +1

    Wewe unalijuwa neno

  • @latiphajackson4901
    @latiphajackson4901 3 года назад +2

    Well said Baba 💕💕💕

  • @jefenggg3442
    @jefenggg3442 3 года назад +5

    😂😂😂🤣🤣uyu poster ananifurahishaga sanaaa aiseee😅😅😂🤣🤣 kwanza Waca Ni subscribe maana ananitowaga stress zangu hatareee

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 года назад +1

    Ameni Ameni

  • @kitengeleemanuel9645
    @kitengeleemanuel9645 3 года назад +2

    Hakika wewe nimtumishi wapekee sana, ubarikiwe baba

  • @alexfestoni5152
    @alexfestoni5152 3 года назад

    Uko sawa mgogo

  • @nadinemasengo9970
    @nadinemasengo9970 3 года назад

    Amen baba

  • @habilichenza1721
    @habilichenza1721 3 года назад +1

    Asante kwa kunifundisha

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 3 года назад +2

    🙏🙏

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 3 года назад +1

    Watu tusishabikie tu kumpongeza mchungaji kwamba ameongea vzr .. na kumpamba kwa sifa zote ..yuhali yakuwa nae kakosea pia ...mchungaji anasema ...Mungu ni dhaifu ....Mungu wetu wa rehema sio dhaifu na hatokuwa dhaifu milele na milele na ametakasika na mapungufu yote dhaifu na mabaya yote ya mbinguni na ardhini ...binafsi nakwambia ..Mchungaji Mgogo umekosea Mungu sio dhaifu haijarishi ulikuwa unamanisha nini na wala umetamka hivyo kwa wakati upi. ..kutumbuke neema za ukuu wake ...mfano ...Mungu angekuwa dhaifu asingeweza kuinuwa Mbingu saba pasipo nguzo hata moja na kutujalia uhai n.k ..narudia tena ..Mchungaji umekosea ..kifupi umetereza rekebisha kauli yako na umtake M/Mungu msamaha Mungu sio dhaifu ...hata kiongozi wa dini akikosea anatakiwa kukumbushwa ajirekebishe ...kwani hakuna mkamilifu ispokuwa Mungu peke yake ...Ameen ....

  • @williamandrew1788
    @williamandrew1788 3 года назад +2

    Dahh... Huyu mtumishi was MUNGU habalikiwe sana hakika hana unabii ndani yake na janamaono makubwa sana na hekima ya kubwa sana kwa kujibu maswali Yani hata chizi lazima hatulie na hamsikilize maongezi yake yanavutiwa sana hakika ni pasta wa kweli nacoment hii kwakuwa nimemsikiliza mwanzo Hadi mwisho

  • @mariachales3283
    @mariachales3283 3 года назад +1

    Kusema kweri tumeumia Sana mimi nililia Sana nikiwa Omani

  • @samwrisimon671
    @samwrisimon671 3 года назад

    Huyu ndeye mutumishi wa mungu sahihi kuliko wengine kabasaaa

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 3 года назад +9

    Wengine waliwaza kimya kimya ila afande sele kawaza kwa sauti😂

  • @wadyanali900
    @wadyanali900 3 года назад

    Amen

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 3 года назад +2

    ♥️♥️

  • @marrykimario5811
    @marrykimario5811 3 года назад +1

    Mungu kakupa hekima yapekee baba umejibu kiroho nadhan hata sele akiskia hiii atapona.

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 3 года назад +3

    Kifo ni kibaya asa kwa mtu ilie kuwa unampenda niatari subira inaitajika wakati mwengine

  • @laurarose1521
    @laurarose1521 3 года назад +3

    Ivyo ndio inafaa sio kila kosa ulaani binadamu mwenzako

  • @somaiyahslim6142
    @somaiyahslim6142 3 года назад

    Uko vizuri sanaaa Kumsomea Dua mbaya bado hujamsaidia? Akisha kuwa kichaa au kafa ndo tutapata nin?siku zote kumwelekeza mwanadamu kwa hekma ni ibada tosha ila Kuwa na jazba kusoma dua sio solution ?tukumbuke anawatoto wanamtegenea anawatu nyuma wanamsubiria kimsaada ?kumtia ukichaa haita saidia

  • @perpetuadalei2405
    @perpetuadalei2405 3 года назад +1

    Hahahaha ett Petro hakumkana Yesu alitaka kumsaidia

  • @habilichenza1721
    @habilichenza1721 3 года назад +4

    Kwani una nifanya nizidi kupenda u kristo

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 3 года назад +5

    Mgogo me napenda sana kuhubili lakn sasa sina njia yakuniongoza ili nipate nafasi yakulitangaza jina lamwana kondoo sasa mtumishi nifanyeje ili ndoto yangu itimie???

  • @muslimgirl8053
    @muslimgirl8053 3 года назад +5

    huyu ndio kiongozi wa dini sasa sio mtu anahukumu mtu utafikiri yeye Hana dhambi

  • @ericirambona7272
    @ericirambona7272 3 года назад +10

    Mtumishi wamungu nyi munaongea ukwili kabisa

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад +3

    Kama hawapo watu wakukosea je mtamuhubilia nani?nimekuelewa sana ukovizulli kiupeo

  • @christinewabiwa1932
    @christinewabiwa1932 3 года назад

    👍👍👍👍

  • @danielimikaeli1408
    @danielimikaeli1408 3 года назад +2

    Mchungaji wewe ninoma kunywa soda nitalipa Mungu akubaliki

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 года назад +1

    Mm na kuelewa saana lkn sio mkilisto nainjoi mno na hutuba zako

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey8274 3 года назад

    Hatuko machawa wa Mungu aaaaaaah

  • @ayoubsuleiman2581
    @ayoubsuleiman2581 3 года назад +1

    Yn mm nimwislam lkn kiukweli mashkh zetu wamekurupuka mno yn hivi kweli walishindwa kufikiria namna ya kumsaidia kweli jmn aibu bwn

    • @tatuhongeranurushaus485
      @tatuhongeranurushaus485 3 года назад

      Ni kweli kbs ayubu hata mi ni mwislam lakin cjapenda kile wamefanya mashekhe huwezi kumuombea mtu afe hiyo ni kazi ya mungu atahukumu mwenywe

  • @umojatunzwetv
    @umojatunzwetv 3 года назад +5

    Huu upewo wa huu Mzee, ndomwingine utakumbukwa.
    Mimi ningepata maongezi naye ningefurahi sana nimekutafuta mda mulefu hatanipate number yake .nimekosa kabisa.
    Niliwahi kukata tiketi nitoke huku CANADA nije tu nimuone ila nikambiwa kumuona tu nahitaji kulipa milioni 15 Tsh. Nikapiata nailisha safali

    • @hapynessmathias9653
      @hapynessmathias9653 3 года назад +1

      Ubalikiwe cna

    • @suzyjohn8940
      @suzyjohn8940 3 года назад +2

      Siyo kweli ni uongo we njoo tu utaonana naye

    • @vicklessa9662
      @vicklessa9662 3 года назад +1

      Asante kwa ujumbe mzur

    • @upendoraphael4090
      @upendoraphael4090 3 года назад +3

      Siyo kweli mimi niko na namba yake wasikudanganye huu mchungaji nimuhubiri mzuri mimi niko nanamba yake

    • @LadouceurTony
      @LadouceurTony 3 года назад +1

      Sifikirite kwamba kumuona inabidi kiwango cha pesa oh no

  • @catherinejohn5157
    @catherinejohn5157 3 года назад +1

    Kichwa kingine icho busara kama zote

  • @fridashekiao5893
    @fridashekiao5893 3 года назад +1

    Yani kiukweli nimebarikiwa tumuombee afande sele

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 3 года назад

    he was dady to many.

  • @zachariazabronngussa7704
    @zachariazabronngussa7704 3 года назад +2

    Tutakiane kheri cyo mpango kuombeana kifo masheh apo kidogo wamechengwa

    • @ayoubsuleiman2581
      @ayoubsuleiman2581 3 года назад

      Siyo kidogo tu Maana kuna mashkh wakurupukaji wamekosea mno hawajui thamani ya kazi yao hasa huyo kishiki huwa anakurupuka saana

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 3 года назад

      @@ayoubsuleiman2581 yaani ni wahuni tu kama wahuni wengine hawana utofauti sasa walimpa afande sele wiki moja ivi sasa alikufa??? Kwaiyo ukiona mtumishi wa mungu anafanya kama walivyofanya wale ma sheikh ujue ni wahuni tu kama wahuni wengine hamna mungu,,,,ivi nashindwaga kuelewa kama afande alimtukana nani na alitaja jina la Nani?? Ma sheikh walipanic kwasbb afande kasema dini za kuletewa na waarabu sasa ni uongo?? Si ni kweliii lkn?? Mungu ambariki sana huyu mchungaji

  • @devothasimbi1055
    @devothasimbi1055 3 года назад +1

    Wesh les réf

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 года назад

    Kuombea mtu afe eti nikwasababu amemkufuru mungu,ndoo obongo wawa islamu,bada yakumuombea msamaha na kuomba toba,wao nikumuombea afe,wanaonyesha uchawi kupitia korowani yao🤣😂😂

  • @brightonsospeter5100
    @brightonsospeter5100 3 года назад

    Kwan corona nipopo

  • @abelymembe2334
    @abelymembe2334 3 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @marymwasantaja3393
    @marymwasantaja3393 3 года назад

    🙏🙏🙏