Sala ya Rozari Takatifu ya Huruma ya Mungu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 328

  • @monicamwanzis9757
    @monicamwanzis9757 3 месяца назад +10

    Mungu Baba yetu uliye mbinguni nakuomba nipate kazi ambayo nagonjea siku ya kesho hili nikaeeze kujikimu pamoja na familia yangu😢,,hipe familia yangu amani,,we really need you Father please hear my cry,,I have cried for so long but I trust in you for everything and every step I make amen

  • @k.moneytv9053
    @k.moneytv9053 Год назад +29

    SALA YA HURUMA YA MUNGU
    (CHAPLET OF DIVINE MERCY)
    Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Amina.
    Baba yetu uliye mbinguni......
    Salamu Maria.......
    Nasadiki......
    Ee Yesu ukafa lakini kifo chako kikawa chanzo cha maisha ya nafsi zetu na bahari ya huruma ambayo imefunguliwa kwa dunia nzima. Ee chemichemi ya uzima, huruma ya Mungu isiyopimika, wafunika dunia nzima kwa kujitolea kwa ajili ya wanadamu. Ee damu na maji yaliyomwagika kutoka moyoni mwake Yesu kama chemichemi ya huruma kuu kwa ajili yetu ninakutumainia.
    Ee Yesu mwenye huruma kabisa ambaye asili yako ni huruma na msamaha, usizitazame dhambi zetu, mbali tumaini tulilo nalo katika wema wako usio na mwisho utupokee sisi sote chini ya ulinzi wa moyo wako wenye huruma. Baba wa milele uwatazame kwa macho ya huruma watu wote na haswa wakosefu walioingizwa ndani ya moyo wa Mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristu ulio na huruma tele. Amina.
    Baba wa milele twakutolea mwili na damu, Roho na Umungu wa Mwanao mpendwa, Bwana wetu Yesu Kristu kwa kulipia dhambi zetu na dunia nzima.
    Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu, utuhurumie sisi na dunia nzima. X10
    Baba wa milele elekeza macho yako yenye huruma juu ya jeshi teule la wafanyakazi shambani mwako. Utazame kwa wema wako Baba Mtakatifu, Makadinali, Maaskofu, Mapadre, Mashemazi, watawa na Wanaombezi wote, uwajalie wingi wa baraka zako kwa njia ya upendo wa moyo wa Mwanao humo ambamo wameingizwa, uwape nguvu na mwanga ili waweze kuwaongoza wengine katika njia ya wokovu na kwa sauti moja waihimidi huruma yako kwa nyimbo za sifa bila mwisho. Amina.
    Baba wa milele twakutolea....
    Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu, utuhurumie sisi na dunia nzima. X10
    Baba wa milele, elekeza macho yako yenye huruma kwa watu wote walio waaminifu na wenye uchaji wako kwa ajili ya mateso ya Mwanao uwajalie baraka zako na ulinzi wako daima. Kwa njia hii wawezeshe kuimalika katika upendo na wala wasije wakapoteza hazina bora ya imani takatifu, mbali waweze kuisifu na kuitukuza huruma yako isiyo na mwisho pamoja na majeshi yote ya Malaika na Watakatifu. Na pia waweze kuwaelekeza wanayoihitaji siku zote za maisha yao. Amina.
    Baba wa milele twakutolea........
    Kwa ajili ya mateso.... X 10
    Mtakatifu Mungu, Mungu mwenye enzi, Mtakatifu Asiyeweza kufa Utuhurumie sisi na Dunia Nzima. X3
    Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristu Mwanao, Mfalme wa amani na huruma aishiye na kutawala nawe na Roho Mtakatifu kwa pamoja mkituonyesha huruma, daima na milele. Amina.
    ©DIASPORA CATHOLIC NETWORK

  • @winnthenya
    @winnthenya 7 месяцев назад +7

    Baba wa huruma nawakabidhi watoto wangu mbele zako wazidizie hekima kwa masomo yao
    Wawezeshe kujua kusali kila wakati ❤ ❤❤

  • @lamecklaurentius8936
    @lamecklaurentius8936 2 года назад +26

    Ee Mungu nakuomba uzifute dhambi zote za ujana wangu, naam zinaa na uasherati nilizotenda na kuniondolea
    madhara yake yote na adhabu zake hapa duniani na katika ulimwengu ujao. Amina

  • @genesisassenga3921
    @genesisassenga3921 2 года назад +6

    Baba wa milele kwa huruma yako naomba uniongoze kila hatua na uiongoze familia yang utuepushe na changamoto zote zaroho na zamwili mimina baraka na neema katika maisha tunayoishi ili tuendelee kuilsifu na kulitukuza jinalako Amina

  • @marykemilenard3265
    @marykemilenard3265 5 месяцев назад +7

    Baba mwenye huruma namleta kwako mume wangu muondolee roho ya kutopenda kusali , mpe neema ya kukujua wewe Mungu wa huruma kwa neema ponya hali ya.inayomusumbua amina

  • @judymwaura6524
    @judymwaura6524 7 месяцев назад +4

    Mungu naomba kazi yenye mshahara mzuri itakayo tukimu Mimi na mtoto na wanohitaji usaidizi wangu amen

  • @yustinabubinza3648
    @yustinabubinza3648 3 дня назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu naomba huruma yako nipate kibali na nafasi katika kazi zangu

  • @maggiemaish657
    @maggiemaish657 Год назад +5

    Eh mungu wajalie wasio na kazi wape uzima ba liziki ya kila siku, Amina 🤲👏

  • @RahelMathew-f6p
    @RahelMathew-f6p 8 месяцев назад +3

    Kupitia Rozari ya huruma ya Mungu niweze kufanikiwa katika masomo yangu na kuilinda familia yangu

  • @roselynekyauka6640
    @roselynekyauka6640 3 года назад +6

    Ewe Yesu mwema mwenye huruma ninakuomba ukampe uponyaji mama yangu anayesumbuliwa na magonjwa ya moto.Naomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu Amina

  • @petermotau4155
    @petermotau4155 Год назад +3

    Mungu mtakatifu niponye maradhi yote mwilini mwangu. Unijalie yote ninayoyatamani kwa ustawi wa familia yangu. Mfungue mke wangu umjalie hekima busara nautii. Ajitambue na kujua wajibu wake kama mama na mke mwema.

  • @jovithaclemence5531
    @jovithaclemence5531 Год назад +4

    Kwa Rosary 📿 Hii Takatifu, utuokoe, utuoneshe njia ya wokovu na utupatie Amani ya kweli kwa Watu wako wote. Amina.

  • @fortunatebetram3065
    @fortunatebetram3065 2 года назад +3

    Eeh Mungu baba mwenyezi utupe Hekima na Busara itokayo kwako ili tuweze kupendeza machoni kwako. Amina

  • @HaduyoNyaidho
    @HaduyoNyaidho 3 дня назад

    Mungu wangu kupitia rozari hii naomba unipiganie katika vita hivi vinavyonikumba na familia yangu. Nipe nguvu ya kukutaguta wewe na kukuomba siku zangu zote maishani

  • @BahatiMgaza
    @BahatiMgaza Год назад +2

    Beans yesu naomba unifungue na watoto wangu nila zao ni nzito baba ameen

  • @allanmutisya8158
    @allanmutisya8158 3 года назад +6

    Unihurumie mimi na familia yangu Amina

  • @sweetmunishi1494
    @sweetmunishi1494 Год назад +2

    Mungu uangalie Moyo wangu unisaidie pale naposhindwa,niondolee hofu na wasiwasi!!Niepushe na kila mipango mibaya ya maaduii zangu!!!Nitumie vile utakavyo,unibariki na kuniiinua kwa viwango vya Juu zaid,Mkono wako ukalinde familia yangu!!

  • @assumptamassoi4134
    @assumptamassoi4134 3 года назад +8

    Baba wa milele naomba uelekeze uso wako wa huruma kwa binti zangu hasa wakati huu wa changamoto nyingi katika maisha. Amina🙏🏾

  • @JoyceWambui-bg4ve
    @JoyceWambui-bg4ve 9 месяцев назад +1

    Amen🙏🙏

  • @fabiolazegge
    @fabiolazegge 8 дней назад

    Ee Mungu baba unibariki mimi na familia yangu na ukoo wangu kupitia hii rozari ya huruma ya mungu utuponye magonjwa yanatusumbua amina

  • @MaryJuma-qx3yd
    @MaryJuma-qx3yd Год назад +9

    Through this prayer, Lord remember the old people and all living with disabilities give them what they need O Lord

  • @emanuelgerad7109
    @emanuelgerad7109 2 года назад +3

    Eeeh yesu ninakuomba niondolee na magonja ambae yananisumbua kila siku nakua Sina Aman naomba katika jina lako niweze kupona ameen

  • @ReginaWilliam-d5g
    @ReginaWilliam-d5g 18 дней назад

    E mwenyez mungu mikonon mwako nayakabidhi maisha yangu ukatende saw ,saw na mapenz yako, Amen

  • @gracewangui713
    @gracewangui713 Год назад +3

    Have mercy on my son whos going to have his medical report today. Am praying for More grace and speedy recovery during this period. Ooh blood and water, which gush from His fountain, have mercy on my son🤲

  • @ROPHINAKAWISHE
    @ROPHINAKAWISHE 4 месяца назад +2

    Mungu muweza wa yote wasaidie wamama wote walio katika kipindi ki gumu cha kujifungua.

  • @josephmtei6238
    @josephmtei6238 3 года назад +3

    Unihurumie Mimi na familia yangu amina..

  • @RevivalHappy
    @RevivalHappy 4 месяца назад +4

    Bwana wangu na Mungu kwa ajili ya mateso haya ninapiga magoti mbele yako kuomba msamaha kwa vijana wote wake kwa waume wenye magonjwa ya akili wafungue bwana wajitambue waione huruma yako wakiri kwa kwa vinywa vyao kwamba wewe ni bwana na mwokozi wao AMINA

  • @michaellokwaare6586
    @michaellokwaare6586 Год назад +1

    Ee Mungu uliye Mtakatifu njoo utulize nafsi yangu na unijalie sala na maombi yaliyo moyoni mwangu Amina

  • @nakukipokolo9407
    @nakukipokolo9407 3 года назад +6

    Bwana wangu na Mungu wangu! kwa ajili ya safari ya mateso ya njia ya msalaba na kwa ajili ya huruma yako utujalie sisi wanafamilia njia ya kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na baba na kaka yetu. Pia Tuondolee kabisa viashiria hivi vya mpasuko na mgawanyiko katika familia. Mjalie mjane wa kaka yetu neema ya kujitambua na umuhimu wa yeye kusimamia yale ambayo mume wake aliamini. Tupe neema ya kupendanda kama wewe na mwanao Yesu. Umoja wa watoto wetu udumu siku zote ili heshma waliokuwa nayo kwa wazazi iendelee kudumu kati yao.

  • @wambuinguyah6350
    @wambuinguyah6350 Год назад +3

    Mungu wangu maomba maisha yangu na watoto wangu iwe mikononi mwako🙏

  • @gastomasawe9176
    @gastomasawe9176 2 года назад +2

    Ee yesu mwenye huruma niongoze uwe kiongozi wa biashara yangu

  • @EasterOndieki
    @EasterOndieki 8 месяцев назад +1

    Eeh Mungu wa huruma tuhurumie sisi wakosefu

  • @assumptamassoi4134
    @assumptamassoi4134 3 года назад +7

    Baba wa milele kwa huruma yako naomba uongoze familia yangu na kupeleka katika mwelekeo unaokupendeza wewe🙏🏾

  • @peterchacha4833
    @peterchacha4833 4 месяца назад +1

    Ee Mungu mwenye huruma yako kwa wanandoa ambao hawana amani wajalia upendo amani tazama wapo ambao hawana amani wajalie upendo kwa huruma yako Amina

  • @sophiesophie6452
    @sophiesophie6452 2 года назад +2

    ewe yesu wangu damu yako iliomwagika msalabani ikatusafishe maana sisi ni wenye dhambi ,naomba uwashike mkono familia yangu tusiwe na mafarakano ,usikie maombi yetu sawa mapenzi yako

  • @anne8190
    @anne8190 3 года назад +19

    Lord grant my friends with the fruit of the womb

  • @agnesswilliam5205
    @agnesswilliam5205 3 года назад +5

    Eeeh Mungu naelekeza maisha yangu na mume wangu mikononi mwako, ukawe mthibiti mkuu katika kila tufanyalo, siku zote tukutegemee na kukutumainia wewe, watoto wetu wakakue katika kimo na hekima wakikupendeza wewe na wanadamu. Amina.

  • @florencelagat6945
    @florencelagat6945 4 месяца назад +1

    Mungu wangu na wakabithi watoto wangu mbele yako , huwalinde, na wafanikishe kwa masomo na KAZI yeo

  • @briandalama1668
    @briandalama1668 Год назад +2

    Mungu Wangu, Mungu Wangu, Nihurumiee. Tusamehe pale tulipohuzunika na kukukosea Baba. Tupe utulivu na nguvu ya kusonga mbele. Kwa jina la mwanao Yesu Kristu, na Damu yake Azizi, futa majaribu yote yajayo mbele yetu ambayo si kwa kusudio lako. Sisi ni viumbe dhaifu, tusaidie Baba. Tunajikabidhi Baba. Tunaomba Roho ya Mpendwa Wetu, Renatus Luhunga uliyemtwaa hapa duniani Ipate Rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.

  • @petermotau4155
    @petermotau4155 Год назад +1

    Ee Baba uwahurumie wafu wetu uwajalie nuru ya uzima wa milele Amina.

  • @petermotau4155
    @petermotau4155 Год назад +1

    Baba wa milele uhurumie na kutakasa ukoo wangu. MUNGU vunja kila aina ya maovu yaliyo ktk ukoo. Wivu chuki ushirikina visas na kila aina ya udhaifu Utuponye magonjwa yote. Baba bariki familia yangu uizidishie ukarimu. Amina.

  • @EliadaMtifu-f9h
    @EliadaMtifu-f9h 3 дня назад

    Ee baba wamilele naomba unitazame Mimi mwanao naomba Kwa huruma Yako unijali neeema hekima na baraka zako zote zikawe maishani mwangu

  • @denniswafula6721
    @denniswafula6721 2 года назад +5

    Dear Lord i need you in my life,i pray for dirty sins which i have countless committed,i also pray for my brothers and sisters..may you open there path.

  • @SharonJebet-zm2lu
    @SharonJebet-zm2lu 5 месяцев назад +2

    Baba utuhurumie Sisi na Dunia nzima 🌍 especially kwa wakati kama Huu ambayo Dunia hiko Na mambo mengi 🙏🙏🙏🙏♥️😭

  • @Mau-wf6cs
    @Mau-wf6cs 4 месяца назад +1

    Baba wa milele ukanushike mkono Na kuyaongoza Maisha yangu Ameen

  • @leonidatenga4752
    @leonidatenga4752 2 года назад +2

    Mungu baba, naomba nihurumie mimi, watoto wangu na familia yangu yote.

  • @mildredtabu8255
    @mildredtabu8255 Год назад +2

    Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu...Utuhurumie sisi na dunia nzima.. wagonjwa wote wapate kupona..Amina

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 2 года назад +1

    Eee Yesu mwenye huruma nyingi ukatuhurumie mimi na familia yangu tutende yaliyo mema

  • @catherineraymond2063
    @catherineraymond2063 24 дня назад

    Kupitia rozali hii ya bikira maria naomba mpenz wangu akapate kaz kwa kirahs sana kwa maombez ya bikira maria amina

  • @petermotau4155
    @petermotau4155 Год назад +1

    Baba wa milele unijalie uponyaji mm na ndugu zangu wote pamoja na watoto wangu. Uwafungue Bwana ktk vifungo vyote. Uwajalie afya tele. Ubariki kazi zao. Uwazidishie ukarimu. Amina..

  • @linnetpeterson7495
    @linnetpeterson7495 Год назад +1

    Ee Mungu muumba mbingu na kila kilichomo, nakualika kwa roho yangu na kwa nyumba yangu, Ee Mungu angalia masaibu ya magonjwa tunayokumbwa nayo baba nyosha mkono wako ukaweze kuwaponya. Tupe imani kuu yakukuamini na kukutumikia. Walio safarini baba wajalie na kuwa dereva wao kila wakati. Amina

  • @joanjohn3365
    @joanjohn3365 Год назад +1

    My lord your mercy

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 3 года назад +2

    Baba wa milele kwa huruma yako ninakuomba uwape watoto wangu ulinzi wako Amina

  • @doughlaskiriago1966
    @doughlaskiriago1966 Год назад +10

    Amen; this is a powerful prayer, that's why I am forever Catholic.

  • @Dieudonnécizungu
    @Dieudonnécizungu Месяц назад

    Naomba Mara tena unisaidiye n'a hiyo contrat nyipya ikuwe n'a assurance médicale juu ya kumuita tibu muke wangu n'a wwatoto Pia amen '

  • @susanmuchiri944
    @susanmuchiri944 3 года назад +2

    Kupitia huruma yako..nakuomba Ee Bwana umponye mama yangu na unifungulie kazi yangu nipate mkate wa kila siku kulisha familia yangu. Amina

  • @farajalupembe4007
    @farajalupembe4007 15 дней назад

    Ee Yesu kupitia rozari hii ya mungu unisaidie kuweza kutengeneza mahusiano Mazuri na mwenzangu tuweze kujenga na si kubomoa. Nakutoka kwenye Giza nene la historia na kuanza mwanzo mpya tukiwa na wewe

  • @stratonshirima8887
    @stratonshirima8887 5 месяцев назад +1

    Baba wa milele ninakutolea familia yangu uijalie huruma yako takatifu

  • @millicentatieno-mw9gm
    @millicentatieno-mw9gm 2 месяца назад

    Yesu wangu,mwana wa mungu kazi ulio ianza ndani mwangu niurumie na uikamilishe nipo tayari sasa

  • @jocety4426
    @jocety4426 4 года назад +8

    Mungu wetu Ni mwingi wa Huruma.
    Nakutumainia daima..🙏🙏

  • @carolynejelagat
    @carolynejelagat Год назад +2

    Lord have mercy on me and my family.

  • @marieHeriMarie
    @marieHeriMarie 2 месяца назад

    Eeeh yesu Christ wa Uruma leta Amani katika Famillia Yang kila siku magombano naomba uwape Neema ya kuhamini Jina Lako. Naomba
    pia Baba Yang umu badiriche iyo Tabia ya kuhamini wa Fumu na wachawi. Umupe Roho ya kutubu na nene Jina Lako kwa wewe njo muweza yote Amina

  • @claramichael8957
    @claramichael8957 2 года назад +2

    Bab wambinguni naomba unijalie kazi yangu iliiweze kuwa yenyeafanikio uniepuShe nawatu wabaya pia naikabidhi familia yangu ktk maisha Yako amena

  • @DamarisSyombua-e4p
    @DamarisSyombua-e4p 9 месяцев назад +1

    Through this prayer may the souls of the faithful departed through the mercy of the lord rest in eternal peace

  • @JustinaJulius-o4b
    @JustinaJulius-o4b 2 дня назад

    Baba wa milele naomba umponye mume wangu

  • @Kemgal2023
    @Kemgal2023 Год назад +1

    Baba wa huruma, naelekeza ndoa yangu mikoni mwako, mfungue macho mume wangu na akili zake pia, binadamu ambaye anajaribu kututenganisha baba naomba mbinu zake zisifanikiwe. Turejeshee maelewano, mapenzi na maendeleo. Amina

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 2 года назад +2

    Eee Mungu uwe kinga yetu na mwongozo wetu siku zote za maisha yetu.

  • @phillipinawaleghwa7357
    @phillipinawaleghwa7357 Месяц назад

    Mungu awalinde wajukuu wangu wakinge na majaribu yote ya shetani

  • @kyarose609
    @kyarose609 9 месяцев назад

    Nakuomba ee Yesu,ponya wagonjwa wote ,ponya biashara za ndugu zangu,saidia yatima na wajane na wote wanaohitaji Msaada..

  • @lillygiftMarian
    @lillygiftMarian 22 дня назад

    E Mungu wangu ulieniomba mimi na kuwa mtu katika watu walio wapenda na kuwaleta hapa dunia mimi ni mwanao sina wa kumlilia matatizo yangu bali ni wewe Mungu wangu 🙏M Mungu wangu ulie binguni ninakuomba unifungulie njia Salama katika maisha yangu niweze kusaidia family yangu🙏😭 M Mungu wangu nitazame sasa na unikubuke mwanao haijalishi napitia mangapi haijalishi napataje Pesa katika jacho langu kapate kunifunguli najia Salama niweze kuwa bora kama wao walio bora sasa

  • @berthakanyopa7860
    @berthakanyopa7860 Месяц назад

    Mungu baba wa milele ninaomba huruma yako. Unihurumie mimi na familia yangu kwa Jina la Yesu Kristo. Amina

  • @maryfedrick4665
    @maryfedrick4665 3 года назад +1

    Nihurumie nakunipa msamaha pale nilipokosea ee yesu wangu ninakutumainia

  • @harhobvabuko4977
    @harhobvabuko4977 Год назад +2

    Ee Yesu wangu, ninakutumainia.

  • @judithilunda5973
    @judithilunda5973 10 месяцев назад

    Kupitia huruma yako Ee yesu ninakuomba umtoe maradhi yote yanayo msumbua mama yangu ndani ya mwili wake upatie nguvu ya kuongea vzr na kutembea vyema Ee kristu wewe ndio tumaini lake na letu sote Amina

  • @NabintuChristine
    @NabintuChristine 2 месяца назад

    Eee BABA ilie na urhuma tuna kuomba utu angazie kwa moyo wako wa urhuma na tujalie nehema yaku epuka zambi siku zote

  • @MariaWambua-y5f
    @MariaWambua-y5f 4 месяца назад +1

    Baba mwenye huruma nibariki na kazi yenye amani

  • @joanjohn3365
    @joanjohn3365 Год назад +1

    Dear Lord please forgive me for my sins and remember me in my urgent prayers and for my family

  • @georginanabwire3615
    @georginanabwire3615 3 года назад +2

    Mungu mwenye huruma, naomba ukamponye mamangu kutokona na aina zote za magonjwa yanayo msumbua, Amina.

    • @roselynekyauka6640
      @roselynekyauka6640 3 года назад +1

      Ewe Mungu Baba mwenyenzi mwenye huruma ninakuomba ukamponye mama yangu mpenzi anayesumbuliwa na magonjwa ya moyo pamoja na kuparalize.Naomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu Amina.

  • @RevivalHappy
    @RevivalHappy 4 месяца назад

    Ee Yesu kwa mastahili ya mateso yako damu yako takatifu na kwa mastahili ya kifo na ufufuko wa utujalie neema ya kuishi maisha yanayompendeza Mungu

  • @BUSYMELODY
    @BUSYMELODY Месяц назад

    Sala hii huwa inanifariji sana na kunipa Nguvu..ebu tuuenzi ufalme wa Mungu wapendwa.

  • @Phyliss-j8z
    @Phyliss-j8z Год назад +1

    Mungu naomba ukarejesha ndoa yangu na isimame. Amen

  • @JamesTimba-bz1by
    @JamesTimba-bz1by 11 месяцев назад

    Ee Yesu unisamee makosa yangu yote na uyapiganie maisha yangu mm na familia yangu na watu wote

  • @carrenmiraya
    @carrenmiraya 23 дня назад

    Tukumbuke Ee Bwana kwa changamoto yote ya ulimwengu huu

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 3 года назад +1

    Baba wa milele ninakuomba uniponye mimi na mume wangu magonjwa yote yalioko katika mwilini mwetu Amina

    • @maryhope7866
      @maryhope7866 3 года назад

      Kwa ajili ya mateso yako aponywe mume wangu ugonjwa wa figo achane na dailysis

  • @gracemkuya7121
    @gracemkuya7121 Месяц назад

    Mungu muguse mden wangu anilipe ela yangu

  • @HONEDWINCHEBETBARAKA
    @HONEDWINCHEBETBARAKA 9 месяцев назад +1

    My redeemer lives prayer request for God to do new thing for me

  • @dianavalentine7262
    @dianavalentine7262 2 года назад +1

    Ebwa tunaomba uongoze mioyo yetu katika njia yakukujua ww bwana ebwana tunaomba umuponye mama nyetu Ili aweze kurudi katika Hali yake aweze kukutumia tena 🙏🙏🙏

  • @RejinaNjihia
    @RejinaNjihia Месяц назад +1

    Amen

  • @maggiemaish657
    @maggiemaish657 Месяц назад

    I don't know how but anytime i say this prayer I get peace

  • @DominicMadereke-zh8ig
    @DominicMadereke-zh8ig Год назад

    Ee mungu baba ,mungu mwenye huruma kuu najikabidhi mikononi kwako uniponye shida iliyo katika tumbo langu Kwa damu ya kristo iliyomwagika msalabani Kwa ajili ya dhambi zetu nipate afya baba. Amina

  • @salomemombo6071
    @salomemombo6071 Год назад

    Mungu wngu naomba huruma wko Kwa wagonjwa wte walio hospitalini na manyumbani,eee bba waponye🙏

  • @elizabethogutu3147
    @elizabethogutu3147 2 года назад +5

    O lord see all people that are going through tough times in the life give us strength and hope to trust in you and believe you🙏🙏🙏

  • @reginakinunda5517
    @reginakinunda5517 4 года назад +5

    Yesu ninakutumainia baba mkombozi wetu

  • @periskimata8691
    @periskimata8691 Год назад

    Mungu wangu naweka mahitaji yangu huru .naomba unionee huruma

  • @AnastaziaPetro-o8l
    @AnastaziaPetro-o8l 11 дней назад

    baba wa milele kwa Moyo wako huruma lponye familia yangu na ukoo wa sway nachangamoto zote tunazo pitia Kila wakati wote

  • @ChristinaMwaliego
    @ChristinaMwaliego 6 месяцев назад

    Ee mungu uliye makimbilio yetu nakuomba umjalie mdogo angu mtoto Amina

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Год назад +2

    I trust in you jesus. ×3

  • @anne8190
    @anne8190 3 года назад +1

    Baba wa huruma ninakutumainia.Naomba kwa wema wako umsaidie binti yanyu kwenye maisha yake

  • @RehemaMwinuka-q3n
    @RehemaMwinuka-q3n 3 месяца назад

    E MUNGU Mwingi wa Rehema utuhurumie sisi na Dunia nzima, bariki uzao wangu wazazi wangu,ndugu zangu familiar yang na wote wanao hitaji huruma yako.AMEN