Mungu Baba yetu uliye mbinguni nakuomba nipate kazi ambayo nagonjea siku ya kesho hili nikaeeze kujikimu pamoja na familia yangu😢,,hipe familia yangu amani,,we really need you Father please hear my cry,,I have cried for so long but I trust in you for everything and every step I make amen
Ee Mungu nakuomba uzifute dhambi zote za ujana wangu, naam zinaa na uasherati nilizotenda na kuniondolea madhara yake yote na adhabu zake hapa duniani na katika ulimwengu ujao. Amina
Baba wa milele kwa huruma yako naomba uniongoze kila hatua na uiongoze familia yang utuepushe na changamoto zote zaroho na zamwili mimina baraka na neema katika maisha tunayoishi ili tuendelee kuilsifu na kulitukuza jinalako Amina
Baba mwenye huruma namleta kwako mume wangu muondolee roho ya kutopenda kusali , mpe neema ya kukujua wewe Mungu wa huruma kwa neema ponya hali ya.inayomusumbua amina
Mungu mtakatifu niponye maradhi yote mwilini mwangu. Unijalie yote ninayoyatamani kwa ustawi wa familia yangu. Mfungue mke wangu umjalie hekima busara nautii. Ajitambue na kujua wajibu wake kama mama na mke mwema.
Mungu wangu kupitia rozari hii naomba unipiganie katika vita hivi vinavyonikumba na familia yangu. Nipe nguvu ya kukutaguta wewe na kukuomba siku zangu zote maishani
Mungu uangalie Moyo wangu unisaidie pale naposhindwa,niondolee hofu na wasiwasi!!Niepushe na kila mipango mibaya ya maaduii zangu!!!Nitumie vile utakavyo,unibariki na kuniiinua kwa viwango vya Juu zaid,Mkono wako ukalinde familia yangu!!
Have mercy on my son whos going to have his medical report today. Am praying for More grace and speedy recovery during this period. Ooh blood and water, which gush from His fountain, have mercy on my son🤲
Bwana wangu na Mungu kwa ajili ya mateso haya ninapiga magoti mbele yako kuomba msamaha kwa vijana wote wake kwa waume wenye magonjwa ya akili wafungue bwana wajitambue waione huruma yako wakiri kwa kwa vinywa vyao kwamba wewe ni bwana na mwokozi wao AMINA
Bwana wangu na Mungu wangu! kwa ajili ya safari ya mateso ya njia ya msalaba na kwa ajili ya huruma yako utujalie sisi wanafamilia njia ya kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na baba na kaka yetu. Pia Tuondolee kabisa viashiria hivi vya mpasuko na mgawanyiko katika familia. Mjalie mjane wa kaka yetu neema ya kujitambua na umuhimu wa yeye kusimamia yale ambayo mume wake aliamini. Tupe neema ya kupendanda kama wewe na mwanao Yesu. Umoja wa watoto wetu udumu siku zote ili heshma waliokuwa nayo kwa wazazi iendelee kudumu kati yao.
ewe yesu wangu damu yako iliomwagika msalabani ikatusafishe maana sisi ni wenye dhambi ,naomba uwashike mkono familia yangu tusiwe na mafarakano ,usikie maombi yetu sawa mapenzi yako
Eeeh Mungu naelekeza maisha yangu na mume wangu mikononi mwako, ukawe mthibiti mkuu katika kila tufanyalo, siku zote tukutegemee na kukutumainia wewe, watoto wetu wakakue katika kimo na hekima wakikupendeza wewe na wanadamu. Amina.
Mungu Wangu, Mungu Wangu, Nihurumiee. Tusamehe pale tulipohuzunika na kukukosea Baba. Tupe utulivu na nguvu ya kusonga mbele. Kwa jina la mwanao Yesu Kristu, na Damu yake Azizi, futa majaribu yote yajayo mbele yetu ambayo si kwa kusudio lako. Sisi ni viumbe dhaifu, tusaidie Baba. Tunajikabidhi Baba. Tunaomba Roho ya Mpendwa Wetu, Renatus Luhunga uliyemtwaa hapa duniani Ipate Rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.
Baba wa milele uhurumie na kutakasa ukoo wangu. MUNGU vunja kila aina ya maovu yaliyo ktk ukoo. Wivu chuki ushirikina visas na kila aina ya udhaifu Utuponye magonjwa yote. Baba bariki familia yangu uizidishie ukarimu. Amina.
Dear Lord i need you in my life,i pray for dirty sins which i have countless committed,i also pray for my brothers and sisters..may you open there path.
Baba wa milele unijalie uponyaji mm na ndugu zangu wote pamoja na watoto wangu. Uwafungue Bwana ktk vifungo vyote. Uwajalie afya tele. Ubariki kazi zao. Uwazidishie ukarimu. Amina..
Ee Mungu muumba mbingu na kila kilichomo, nakualika kwa roho yangu na kwa nyumba yangu, Ee Mungu angalia masaibu ya magonjwa tunayokumbwa nayo baba nyosha mkono wako ukaweze kuwaponya. Tupe imani kuu yakukuamini na kukutumikia. Walio safarini baba wajalie na kuwa dereva wao kila wakati. Amina
Ee Yesu kupitia rozari hii ya mungu unisaidie kuweza kutengeneza mahusiano Mazuri na mwenzangu tuweze kujenga na si kubomoa. Nakutoka kwenye Giza nene la historia na kuanza mwanzo mpya tukiwa na wewe
Eeeh yesu Christ wa Uruma leta Amani katika Famillia Yang kila siku magombano naomba uwape Neema ya kuhamini Jina Lako. Naomba pia Baba Yang umu badiriche iyo Tabia ya kuhamini wa Fumu na wachawi. Umupe Roho ya kutubu na nene Jina Lako kwa wewe njo muweza yote Amina
Baba wa huruma, naelekeza ndoa yangu mikoni mwako, mfungue macho mume wangu na akili zake pia, binadamu ambaye anajaribu kututenganisha baba naomba mbinu zake zisifanikiwe. Turejeshee maelewano, mapenzi na maendeleo. Amina
E Mungu wangu ulieniomba mimi na kuwa mtu katika watu walio wapenda na kuwaleta hapa dunia mimi ni mwanao sina wa kumlilia matatizo yangu bali ni wewe Mungu wangu 🙏M Mungu wangu ulie binguni ninakuomba unifungulie njia Salama katika maisha yangu niweze kusaidia family yangu🙏😭 M Mungu wangu nitazame sasa na unikubuke mwanao haijalishi napitia mangapi haijalishi napataje Pesa katika jacho langu kapate kunifunguli najia Salama niweze kuwa bora kama wao walio bora sasa
Kupitia huruma yako Ee yesu ninakuomba umtoe maradhi yote yanayo msumbua mama yangu ndani ya mwili wake upatie nguvu ya kuongea vzr na kutembea vyema Ee kristu wewe ndio tumaini lake na letu sote Amina
Ewe Mungu Baba mwenyenzi mwenye huruma ninakuomba ukamponye mama yangu mpenzi anayesumbuliwa na magonjwa ya moyo pamoja na kuparalize.Naomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu Amina.
Ebwa tunaomba uongoze mioyo yetu katika njia yakukujua ww bwana ebwana tunaomba umuponye mama nyetu Ili aweze kurudi katika Hali yake aweze kukutumia tena 🙏🙏🙏
Ee mungu baba ,mungu mwenye huruma kuu najikabidhi mikononi kwako uniponye shida iliyo katika tumbo langu Kwa damu ya kristo iliyomwagika msalabani Kwa ajili ya dhambi zetu nipate afya baba. Amina
E MUNGU Mwingi wa Rehema utuhurumie sisi na Dunia nzima, bariki uzao wangu wazazi wangu,ndugu zangu familiar yang na wote wanao hitaji huruma yako.AMEN
Mungu Baba yetu uliye mbinguni nakuomba nipate kazi ambayo nagonjea siku ya kesho hili nikaeeze kujikimu pamoja na familia yangu😢,,hipe familia yangu amani,,we really need you Father please hear my cry,,I have cried for so long but I trust in you for everything and every step I make amen
Who else is praying right now ❤
SALA YA HURUMA YA MUNGU
(CHAPLET OF DIVINE MERCY)
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Amina.
Baba yetu uliye mbinguni......
Salamu Maria.......
Nasadiki......
Ee Yesu ukafa lakini kifo chako kikawa chanzo cha maisha ya nafsi zetu na bahari ya huruma ambayo imefunguliwa kwa dunia nzima. Ee chemichemi ya uzima, huruma ya Mungu isiyopimika, wafunika dunia nzima kwa kujitolea kwa ajili ya wanadamu. Ee damu na maji yaliyomwagika kutoka moyoni mwake Yesu kama chemichemi ya huruma kuu kwa ajili yetu ninakutumainia.
Ee Yesu mwenye huruma kabisa ambaye asili yako ni huruma na msamaha, usizitazame dhambi zetu, mbali tumaini tulilo nalo katika wema wako usio na mwisho utupokee sisi sote chini ya ulinzi wa moyo wako wenye huruma. Baba wa milele uwatazame kwa macho ya huruma watu wote na haswa wakosefu walioingizwa ndani ya moyo wa Mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristu ulio na huruma tele. Amina.
Baba wa milele twakutolea mwili na damu, Roho na Umungu wa Mwanao mpendwa, Bwana wetu Yesu Kristu kwa kulipia dhambi zetu na dunia nzima.
Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu, utuhurumie sisi na dunia nzima. X10
Baba wa milele elekeza macho yako yenye huruma juu ya jeshi teule la wafanyakazi shambani mwako. Utazame kwa wema wako Baba Mtakatifu, Makadinali, Maaskofu, Mapadre, Mashemazi, watawa na Wanaombezi wote, uwajalie wingi wa baraka zako kwa njia ya upendo wa moyo wa Mwanao humo ambamo wameingizwa, uwape nguvu na mwanga ili waweze kuwaongoza wengine katika njia ya wokovu na kwa sauti moja waihimidi huruma yako kwa nyimbo za sifa bila mwisho. Amina.
Baba wa milele twakutolea....
Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu, utuhurumie sisi na dunia nzima. X10
Baba wa milele, elekeza macho yako yenye huruma kwa watu wote walio waaminifu na wenye uchaji wako kwa ajili ya mateso ya Mwanao uwajalie baraka zako na ulinzi wako daima. Kwa njia hii wawezeshe kuimalika katika upendo na wala wasije wakapoteza hazina bora ya imani takatifu, mbali waweze kuisifu na kuitukuza huruma yako isiyo na mwisho pamoja na majeshi yote ya Malaika na Watakatifu. Na pia waweze kuwaelekeza wanayoihitaji siku zote za maisha yao. Amina.
Baba wa milele twakutolea........
Kwa ajili ya mateso.... X 10
Mtakatifu Mungu, Mungu mwenye enzi, Mtakatifu Asiyeweza kufa Utuhurumie sisi na Dunia Nzima. X3
Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristu Mwanao, Mfalme wa amani na huruma aishiye na kutawala nawe na Roho Mtakatifu kwa pamoja mkituonyesha huruma, daima na milele. Amina.
©DIASPORA CATHOLIC NETWORK
Baba wa huruma nawakabidhi watoto wangu mbele zako wazidizie hekima kwa masomo yao
Wawezeshe kujua kusali kila wakati ❤ ❤❤
Ee Mungu nakuomba uzifute dhambi zote za ujana wangu, naam zinaa na uasherati nilizotenda na kuniondolea
madhara yake yote na adhabu zake hapa duniani na katika ulimwengu ujao. Amina
Amen 🙏
Baba wa milele kwa huruma yako naomba uniongoze kila hatua na uiongoze familia yang utuepushe na changamoto zote zaroho na zamwili mimina baraka na neema katika maisha tunayoishi ili tuendelee kuilsifu na kulitukuza jinalako Amina
Baba mwenye huruma namleta kwako mume wangu muondolee roho ya kutopenda kusali , mpe neema ya kukujua wewe Mungu wa huruma kwa neema ponya hali ya.inayomusumbua amina
Mungu naomba kazi yenye mshahara mzuri itakayo tukimu Mimi na mtoto na wanohitaji usaidizi wangu amen
Ee Mwenyezi Mungu naomba huruma yako nipate kibali na nafasi katika kazi zangu
Eh mungu wajalie wasio na kazi wape uzima ba liziki ya kila siku, Amina 🤲👏
Kupitia Rozari ya huruma ya Mungu niweze kufanikiwa katika masomo yangu na kuilinda familia yangu
Ewe Yesu mwema mwenye huruma ninakuomba ukampe uponyaji mama yangu anayesumbuliwa na magonjwa ya moto.Naomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu Amina
Mungu mtakatifu niponye maradhi yote mwilini mwangu. Unijalie yote ninayoyatamani kwa ustawi wa familia yangu. Mfungue mke wangu umjalie hekima busara nautii. Ajitambue na kujua wajibu wake kama mama na mke mwema.
Kwa Rosary 📿 Hii Takatifu, utuokoe, utuoneshe njia ya wokovu na utupatie Amani ya kweli kwa Watu wako wote. Amina.
Eeh Mungu baba mwenyezi utupe Hekima na Busara itokayo kwako ili tuweze kupendeza machoni kwako. Amina
Mungu wangu kupitia rozari hii naomba unipiganie katika vita hivi vinavyonikumba na familia yangu. Nipe nguvu ya kukutaguta wewe na kukuomba siku zangu zote maishani
Beans yesu naomba unifungue na watoto wangu nila zao ni nzito baba ameen
Unihurumie mimi na familia yangu Amina
Mungu uangalie Moyo wangu unisaidie pale naposhindwa,niondolee hofu na wasiwasi!!Niepushe na kila mipango mibaya ya maaduii zangu!!!Nitumie vile utakavyo,unibariki na kuniiinua kwa viwango vya Juu zaid,Mkono wako ukalinde familia yangu!!
Baba wa milele naomba uelekeze uso wako wa huruma kwa binti zangu hasa wakati huu wa changamoto nyingi katika maisha. Amina🙏🏾
Amen🙏🙏
Ee Mungu baba unibariki mimi na familia yangu na ukoo wangu kupitia hii rozari ya huruma ya mungu utuponye magonjwa yanatusumbua amina
Through this prayer, Lord remember the old people and all living with disabilities give them what they need O Lord
Amen
Amen 🙏🙏
Eeeh yesu ninakuomba niondolee na magonja ambae yananisumbua kila siku nakua Sina Aman naomba katika jina lako niweze kupona ameen
E mwenyez mungu mikonon mwako nayakabidhi maisha yangu ukatende saw ,saw na mapenz yako, Amen
Have mercy on my son whos going to have his medical report today. Am praying for More grace and speedy recovery during this period. Ooh blood and water, which gush from His fountain, have mercy on my son🤲
Mungu muweza wa yote wasaidie wamama wote walio katika kipindi ki gumu cha kujifungua.
Unihurumie Mimi na familia yangu amina..
Bwana wangu na Mungu kwa ajili ya mateso haya ninapiga magoti mbele yako kuomba msamaha kwa vijana wote wake kwa waume wenye magonjwa ya akili wafungue bwana wajitambue waione huruma yako wakiri kwa kwa vinywa vyao kwamba wewe ni bwana na mwokozi wao AMINA
Amina
Ee Mungu uliye Mtakatifu njoo utulize nafsi yangu na unijalie sala na maombi yaliyo moyoni mwangu Amina
Bwana wangu na Mungu wangu! kwa ajili ya safari ya mateso ya njia ya msalaba na kwa ajili ya huruma yako utujalie sisi wanafamilia njia ya kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na baba na kaka yetu. Pia Tuondolee kabisa viashiria hivi vya mpasuko na mgawanyiko katika familia. Mjalie mjane wa kaka yetu neema ya kujitambua na umuhimu wa yeye kusimamia yale ambayo mume wake aliamini. Tupe neema ya kupendanda kama wewe na mwanao Yesu. Umoja wa watoto wetu udumu siku zote ili heshma waliokuwa nayo kwa wazazi iendelee kudumu kati yao.
Mungu wangu maomba maisha yangu na watoto wangu iwe mikononi mwako🙏
Ee yesu mwenye huruma niongoze uwe kiongozi wa biashara yangu
Eeh Mungu wa huruma tuhurumie sisi wakosefu
Baba wa milele kwa huruma yako naomba uongoze familia yangu na kupeleka katika mwelekeo unaokupendeza wewe🙏🏾
Ee Mungu mwenye huruma yako kwa wanandoa ambao hawana amani wajalia upendo amani tazama wapo ambao hawana amani wajalie upendo kwa huruma yako Amina
ewe yesu wangu damu yako iliomwagika msalabani ikatusafishe maana sisi ni wenye dhambi ,naomba uwashike mkono familia yangu tusiwe na mafarakano ,usikie maombi yetu sawa mapenzi yako
Lord grant my friends with the fruit of the womb
⁰0
Eeeh Mungu naelekeza maisha yangu na mume wangu mikononi mwako, ukawe mthibiti mkuu katika kila tufanyalo, siku zote tukutegemee na kukutumainia wewe, watoto wetu wakakue katika kimo na hekima wakikupendeza wewe na wanadamu. Amina.
Mungu wangu na wakabithi watoto wangu mbele yako , huwalinde, na wafanikishe kwa masomo na KAZI yeo
Mungu Wangu, Mungu Wangu, Nihurumiee. Tusamehe pale tulipohuzunika na kukukosea Baba. Tupe utulivu na nguvu ya kusonga mbele. Kwa jina la mwanao Yesu Kristu, na Damu yake Azizi, futa majaribu yote yajayo mbele yetu ambayo si kwa kusudio lako. Sisi ni viumbe dhaifu, tusaidie Baba. Tunajikabidhi Baba. Tunaomba Roho ya Mpendwa Wetu, Renatus Luhunga uliyemtwaa hapa duniani Ipate Rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.
Ee Baba uwahurumie wafu wetu uwajalie nuru ya uzima wa milele Amina.
Baba wa milele uhurumie na kutakasa ukoo wangu. MUNGU vunja kila aina ya maovu yaliyo ktk ukoo. Wivu chuki ushirikina visas na kila aina ya udhaifu Utuponye magonjwa yote. Baba bariki familia yangu uizidishie ukarimu. Amina.
Ee baba wamilele naomba unitazame Mimi mwanao naomba Kwa huruma Yako unijali neeema hekima na baraka zako zote zikawe maishani mwangu
Dear Lord i need you in my life,i pray for dirty sins which i have countless committed,i also pray for my brothers and sisters..may you open there path.
Baba utuhurumie Sisi na Dunia nzima 🌍 especially kwa wakati kama Huu ambayo Dunia hiko Na mambo mengi 🙏🙏🙏🙏♥️😭
🤦
Baba wa milele ukanushike mkono Na kuyaongoza Maisha yangu Ameen
Mungu baba, naomba nihurumie mimi, watoto wangu na familia yangu yote.
Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu...Utuhurumie sisi na dunia nzima.. wagonjwa wote wapate kupona..Amina
Eee Yesu mwenye huruma nyingi ukatuhurumie mimi na familia yangu tutende yaliyo mema
Kupitia rozali hii ya bikira maria naomba mpenz wangu akapate kaz kwa kirahs sana kwa maombez ya bikira maria amina
Baba wa milele unijalie uponyaji mm na ndugu zangu wote pamoja na watoto wangu. Uwafungue Bwana ktk vifungo vyote. Uwajalie afya tele. Ubariki kazi zao. Uwazidishie ukarimu. Amina..
Ee Mungu muumba mbingu na kila kilichomo, nakualika kwa roho yangu na kwa nyumba yangu, Ee Mungu angalia masaibu ya magonjwa tunayokumbwa nayo baba nyosha mkono wako ukaweze kuwaponya. Tupe imani kuu yakukuamini na kukutumikia. Walio safarini baba wajalie na kuwa dereva wao kila wakati. Amina
My lord your mercy
Baba wa milele kwa huruma yako ninakuomba uwape watoto wangu ulinzi wako Amina
Eeee mama bikira malia naomba umjalie uvumilivu kwa yote anayopitia umpe furaha
Amen; this is a powerful prayer, that's why I am forever Catholic.
Naomba Mara tena unisaidiye n'a hiyo contrat nyipya ikuwe n'a assurance médicale juu ya kumuita tibu muke wangu n'a wwatoto Pia amen '
Kupitia huruma yako..nakuomba Ee Bwana umponye mama yangu na unifungulie kazi yangu nipate mkate wa kila siku kulisha familia yangu. Amina
Ee Yesu kupitia rozari hii ya mungu unisaidie kuweza kutengeneza mahusiano Mazuri na mwenzangu tuweze kujenga na si kubomoa. Nakutoka kwenye Giza nene la historia na kuanza mwanzo mpya tukiwa na wewe
Baba wa milele ninakutolea familia yangu uijalie huruma yako takatifu
Yesu wangu,mwana wa mungu kazi ulio ianza ndani mwangu niurumie na uikamilishe nipo tayari sasa
Mungu wetu Ni mwingi wa Huruma.
Nakutumainia daima..🙏🙏
Mungu wetu ni mwingi wa huluma🙏
Amina
Lord have mercy on me and my family.
Eeeh yesu Christ wa Uruma leta Amani katika Famillia Yang kila siku magombano naomba uwape Neema ya kuhamini Jina Lako. Naomba
pia Baba Yang umu badiriche iyo Tabia ya kuhamini wa Fumu na wachawi. Umupe Roho ya kutubu na nene Jina Lako kwa wewe njo muweza yote Amina
Bab wambinguni naomba unijalie kazi yangu iliiweze kuwa yenyeafanikio uniepuShe nawatu wabaya pia naikabidhi familia yangu ktk maisha Yako amena
Through this prayer may the souls of the faithful departed through the mercy of the lord rest in eternal peace
Baba wa milele naomba umponye mume wangu
Baba wa huruma, naelekeza ndoa yangu mikoni mwako, mfungue macho mume wangu na akili zake pia, binadamu ambaye anajaribu kututenganisha baba naomba mbinu zake zisifanikiwe. Turejeshee maelewano, mapenzi na maendeleo. Amina
Eee Mungu uwe kinga yetu na mwongozo wetu siku zote za maisha yetu.
Mungu awalinde wajukuu wangu wakinge na majaribu yote ya shetani
Nakuomba ee Yesu,ponya wagonjwa wote ,ponya biashara za ndugu zangu,saidia yatima na wajane na wote wanaohitaji Msaada..
E Mungu wangu ulieniomba mimi na kuwa mtu katika watu walio wapenda na kuwaleta hapa dunia mimi ni mwanao sina wa kumlilia matatizo yangu bali ni wewe Mungu wangu 🙏M Mungu wangu ulie binguni ninakuomba unifungulie njia Salama katika maisha yangu niweze kusaidia family yangu🙏😭 M Mungu wangu nitazame sasa na unikubuke mwanao haijalishi napitia mangapi haijalishi napataje Pesa katika jacho langu kapate kunifunguli najia Salama niweze kuwa bora kama wao walio bora sasa
Mungu baba wa milele ninaomba huruma yako. Unihurumie mimi na familia yangu kwa Jina la Yesu Kristo. Amina
Nihurumie nakunipa msamaha pale nilipokosea ee yesu wangu ninakutumainia
Ee Yesu wangu, ninakutumainia.
Kupitia huruma yako Ee yesu ninakuomba umtoe maradhi yote yanayo msumbua mama yangu ndani ya mwili wake upatie nguvu ya kuongea vzr na kutembea vyema Ee kristu wewe ndio tumaini lake na letu sote Amina
Eee BABA ilie na urhuma tuna kuomba utu angazie kwa moyo wako wa urhuma na tujalie nehema yaku epuka zambi siku zote
Baba mwenye huruma nibariki na kazi yenye amani
Dear Lord please forgive me for my sins and remember me in my urgent prayers and for my family
Mungu mwenye huruma, naomba ukamponye mamangu kutokona na aina zote za magonjwa yanayo msumbua, Amina.
Ewe Mungu Baba mwenyenzi mwenye huruma ninakuomba ukamponye mama yangu mpenzi anayesumbuliwa na magonjwa ya moyo pamoja na kuparalize.Naomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu Amina.
Ee Yesu kwa mastahili ya mateso yako damu yako takatifu na kwa mastahili ya kifo na ufufuko wa utujalie neema ya kuishi maisha yanayompendeza Mungu
Sala hii huwa inanifariji sana na kunipa Nguvu..ebu tuuenzi ufalme wa Mungu wapendwa.
Mungu naomba ukarejesha ndoa yangu na isimame. Amen
Ee Yesu unisamee makosa yangu yote na uyapiganie maisha yangu mm na familia yangu na watu wote
Tukumbuke Ee Bwana kwa changamoto yote ya ulimwengu huu
Baba wa milele ninakuomba uniponye mimi na mume wangu magonjwa yote yalioko katika mwilini mwetu Amina
Kwa ajili ya mateso yako aponywe mume wangu ugonjwa wa figo achane na dailysis
Mungu muguse mden wangu anilipe ela yangu
My redeemer lives prayer request for God to do new thing for me
Ebwa tunaomba uongoze mioyo yetu katika njia yakukujua ww bwana ebwana tunaomba umuponye mama nyetu Ili aweze kurudi katika Hali yake aweze kukutumia tena 🙏🙏🙏
Amen
I don't know how but anytime i say this prayer I get peace
Ee mungu baba ,mungu mwenye huruma kuu najikabidhi mikononi kwako uniponye shida iliyo katika tumbo langu Kwa damu ya kristo iliyomwagika msalabani Kwa ajili ya dhambi zetu nipate afya baba. Amina
Mungu wngu naomba huruma wko Kwa wagonjwa wte walio hospitalini na manyumbani,eee bba waponye🙏
O lord see all people that are going through tough times in the life give us strength and hope to trust in you and believe you🙏🙏🙏
Amen
Yesu ninakutumainia baba mkombozi wetu
Mungu wangu naweka mahitaji yangu huru .naomba unionee huruma
baba wa milele kwa Moyo wako huruma lponye familia yangu na ukoo wa sway nachangamoto zote tunazo pitia Kila wakati wote
Ee mungu uliye makimbilio yetu nakuomba umjalie mdogo angu mtoto Amina
I trust in you jesus. ×3
Baba wa huruma ninakutumainia.Naomba kwa wema wako umsaidie binti yanyu kwenye maisha yake
E MUNGU Mwingi wa Rehema utuhurumie sisi na Dunia nzima, bariki uzao wangu wazazi wangu,ndugu zangu familiar yang na wote wanao hitaji huruma yako.AMEN