@@bakaryngoneke5606ni kutimiza lengo la Bwana Wetu Yesu Kristo mwenyewe. Alisema: ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja Yoh 17:12 na pia alisema wako pia kondoo wangu wasiokuwa kwenye zizi hili...hao nao nitawakusanya.... ili lipate kuwa Kundi moja chini ya mchungaji mmoja Yoh 10:16. Mission ya Kristo ni dini moja ya kikristo. Madhehebu mengi ya kikristo ni mission ya shetani si ya Kristo. Propaganda ya kuwepo mpango wa siri wa kuiunganisha dunia yote kwenye dini moja mimi sijui imetokea wapi unaweza kuwauliza hao wenye nayo lakini mpango wa Kristo ni kuwepo Kundi moja chini ya mchungaji mmoja. Imani moja kanisa moja ubatizo mmoja tumaini moja ndani ya Kristo asiyegawanyika.
Mungu ni mmoja, kikubwa makanisa yaabudu katika madhehebu ya kweli
Hongereni sana ELCT KARAGWE Media kwa huu Uinjilishaji.Ni jambo jema sana undugu kama huu
Hongereni sana. Bwana Mungu aendelee kuwabaribariki na kuwaongoza daima katika mahusiano yenu ya kindugu na Kiimani.
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu Amina.
Askofu Lugambwa you are very humble. May God exalt you always
Barikiwa sana Dr Bagonza na Kadinali Rugambwa! Hakika Mungu ni pendo apenda tu!❤
@@sambulugu9988 Mungu ni pendo
tazama inavyopendeza ndugu kukaa pamoja ......jambo nzuri lenye kufuharisha na kutia moyo
@@davidkobero6977 Amen
Huu ni mfano wa kuigwa hongereni sana wana Karagwe, mh kardinary Mungu akuzidishie upendo
Amen
Safi sana. Nimeipenda hiyo.
Imependeza sana! Tunamshukuru Baba Askofu Bagonza kwakutuletea wageni dayosisini. Asante sana!
@@jovinsylivester3601 Ahsante pia
Full hekima Mungu awalinde
Kwa kweli Mungu wetu ni Mmoja na anapenda tuwe pamoja katika kazi ya Mungu.
Sasa ushirikiano kama huu utatupa matumaini wakristo wengi san ikiwemo mimi pongezi keen👍👍
Wahaya historia yetu ni kubwa sana 👏👏
Hawa sio wahaya ni wanyambo usitudanganye
Lugambwa ni munyambo🥹
Ni Baraka kubwa sanaaaa! Mwenyezi Mungu umlinde
Hongereni sana ELCT KARAGWE kutembelewa na Baba Kardinali Protase Rugambwa!!!
@@benernest5125 Shukrani
Waooooo❤ amazing
Ongera sana
Haleluyaaaaa 🙏 Ubarikiwe sanaaa
Ni ushindi Mkubwa ktk mwili wa Kristo.Ni Watu wachache wenye moyo Huu wa Umoja .Mungu Awabariki Sana
Ecumenical gathering. Be blessed
Watumishi wa Mungu......
Baba Cardinal Mungu akubariki sana
@@speratusrushekya8901 Amen 🙏
Safi sana karidinali kwa kudumisha upendo mbali na tofauti za madhehebu
@@paschalpaul3862 Ahsante
Hongereni sana,hakika Mungu ni Pendo daima.
Really,,,,,
It is wonderful, with God's Love his people have no boundaries so 💋💋💋
@@JohnBosco-d3g Thank you
Mbarikiwe watumishi wa🙏🏼
Hongereni sana Mababa Askofu. Umoja wenu udumu daima
@@dicksonulotu7427 Ahsante
Ecumenism. Good
Keep Shinning Omukama Bagonza
Pia asante baba askofu Bagonza.mungu azidi kuwa tia nguvu ktk utume wenu.
❤❤hii nimependa
Mbarikiwe Baba katika kazi yenu hii takatifu.
Mbarikiwe sana wa Dayosisi ya Karagwe kwa upendo huo mliyouonesha kwa mtumishi wa Mungu. Kristo ndiye tumaini letu.
@@machelemachele Amina
Mungu awabariki sana tena sana.
@@YonahMwakalobo Amen 🙏
Ecumenical gathering; may we stay in Unity just as Our Lord Jesus Christ pleased!
@@godlovechagulilo6932 Amen 🙏
Amina,inapendeza sana
Ni ziara ya baraka sana
Kanisa la Mungu linahitaji Ushuhuda wa Jinsi hii.
@@begumisachristopher4697 Amen
Watu wenye akili nyingi na wasomi wanapokutana,
Somo kunywa Sana hili
Undugu na upendo na kujishusha ili Kristo ainuliwe
Barikiweni sana
Mungu awabariki
KKKT mi nawapenda hasa hizo ibada na tenzi zao.
Wanafalsafa wamekutana... Dr Bagonza aliwahi kwenda Vatican
@@josephlorri431 Ilikuwa siku nzuri sana
@@elct-karagwediocese4244 episcopal Church (mnyoororo toka St Peter) na protestant Church wamekutana
🎉🎉🎉inapendeza Kumutangaza kristo Kama ndugu bila kutoonyesha udini.
Safi nmependa sote niwamoja sote nindugu hongeren
Nmebarikiwa sana
@@aloycejames4862 Amen
Asante baba
Hongereni kwa Ibadan njema
To God be the Glory!!!!
Hakika huyu ni mtumishi wa Mungu naenjoy kumsikiliza
@@shamslukumay2627 Amen
Excellent
@@edsonkinimi5327 🙏
Amina
Nyegera waitu , Nyakutununta Rugambwa katonda akuwe emigisha.
Kutembelewa na Kadinari ilikuwa ni fursa na baraka ya pekee!
@@enockmlyuka6475 Hakika
Upendo,upendo upendo.
okay,huu ndio ukristo tunaotuka,
@@SebastianNgimba 🙏
Asante baba kardinari Rugambwa
Nilifika maeneo hayo. Ningejua ni makao ya Walutheri na anapohudumu Bagonza ningepita hapo kumsalinu Ba Bagonza. Nilifika hapo Kanisa la Kayanga.
Safi sana
Hallelujah!!!!
Nimependezwa sana na hili tukio.
@@gabrielgwawu4026 Karibu
Nyote tunajifunza kwenye mahusiano mazuri ya kimadhehebu ya kikristo.
@@MlawavictorWairinga Hakika
Inampendeza Mungu ndugu wakikaa pamoja Kwa umoja
Maneno ya hekima na faraway. Sifa na utukufu ni kwake atuwezeshaye!
@@merinachalinze-rn2cc Amen
Tazama ilivyo vema na kupendeza ndugu wake pamoja Kwa umoja
Maneno ya hekima. Sifa na utukufu ni Kwake Yeye atuwezeshaye!
@@BoayHotay Amen
Nzuri hii
Dunia mpya dini moja
@@bakaryngoneke5606 Amen 🙏
Kwani hupendi dini ya kikristo iwe moja? Kihistoria dini ya kikristo ilikuwa moja muanzilishi wa Lutheran ni padre mkatoliki.
@@celestinshayo7295 Sawa lakini lengo mahususi la hiyo dini moja ni nini?
@@bakaryngoneke5606ni kutimiza lengo la Bwana Wetu Yesu Kristo mwenyewe. Alisema: ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja Yoh 17:12 na pia alisema wako pia kondoo wangu wasiokuwa kwenye zizi hili...hao nao nitawakusanya.... ili lipate kuwa Kundi moja chini ya mchungaji mmoja Yoh 10:16. Mission ya Kristo ni dini moja ya kikristo. Madhehebu mengi ya kikristo ni mission ya shetani si ya Kristo. Propaganda ya kuwepo mpango wa siri wa kuiunganisha dunia yote kwenye dini moja mimi sijui imetokea wapi unaweza kuwauliza hao wenye nayo lakini mpango wa Kristo ni kuwepo Kundi moja chini ya mchungaji mmoja. Imani moja kanisa moja ubatizo mmoja tumaini moja ndani ya Kristo asiyegawanyika.
Mpangilio wa sauti zisizo na mazoezi ya maandalizi ya kuimba wimbo husika umenivutia sana. Mko juu wana KAD
Ongereni wanakaragwe kwa imani ya RC na KKKT
@@anthonympemba8262 Ahsante
Tusali pamoja
@@eliasnganira7661 Amen
PROTASE RUGAMBWA MOJA KATI YA MTU MWENYE NIDHAMU YA HALI YA JUU.
@@LEWISKAANA Hakika
Upendo wa kristo
@@oscarurio1176 🙏
Tumsifu yesu kristo
Adorable
@@alexkatabaro3089 Thank you
Akija tena muimbe kihaya
@@ebenezerlawuo6667 Tutajitahidi
Hawa sio wahaya ndugu, Hawa ni wanyambo wa karagwe
Halleluya.
@@MichaelLambo-oh4bw Amen
Ona Card. Rugambwa anavyotembea😂
🙏
Nimefurahishwa sana na huu ushirika wa maaskofu wetu. Hakika wametuonesha njia iliyo Bora.
@@raphaelami760 Kabisa
Ni ushuhuda mzuri na mkubwa. Mungu azidi kuwatumia ninyi viongozi kujenga madaraja ya umoja wenye mguso mkubwa
Akaribie
@@StevenKalibwami-r1o Ahsante
AMINA BABA MUNGU AWABARIKI SANA
@@mashengajunior5129 🙏
Amina