Huyu Padri Kamugisha ana upako wa hali ya juu mno, Mimi ni Mwislamu, Lakini mahubiri yake yamenigusa sana, Pia nafikiri kila aliyefungua hapa ameguswa, Mungu akuinue, akupe umri mrefu ili Kuelimisha jamii, Aamina.
Waaaoh, hongera sana Padre Deusdedit Byabato.... Miaka 25 ukiwa Padre siyo Haba... Fr. Faustine Kamugisha uwa nakupenda saana kwa references zako katika mahubili na maandishi yakoo...
Huyu Padri Kamugisha ana upako wa hali ya juu mno, Mimi ni Mwislamu, Lakini mahubiri yake yamenigusa sana, Pia nafikiri kila aliyefungua hapa ameguswa, Mungu akuinue, akupe umri mrefu ili Kuelimisha jamii, Aamina.
Amina
Jembe letu Baba
Nimeipenda Sana
Waaaoh, hongera sana Padre Deusdedit Byabato.... Miaka 25 ukiwa Padre siyo Haba...
Fr. Faustine Kamugisha uwa nakupenda saana kwa references zako katika mahubili na maandishi yakoo...
Asnte sana baba kamugisha mungu akuongee kipaji
Padre Dr.Faustine Kamugisha our former AJUCO principal, very humble man and talented
Hongera Baba Deusdediti kwa kutimiza miaka25 ya upadre Mungu azidi kukuongoza katika safari yako ya utume
Nimefurai sana baba mubarikiwe najisikia niko nyumbani mwakora mno homukama habarinde Amina
Amina sana baba padre Kamungisha Mungu akupe miaka elfu mbele uendelee kutuimarisha kiimani Baba
Proudly catholic.
Mwakola muno
Asante sana kwa that sermon, umbarikiwe
Namkubali sana tena sana
Amina Baba Kamugisha
Barikiwa sana Baba,nimecheka sana
mungu akuongoze
Aamiyn
Nashkru
Asante rev. Ta father
John Tonshwe Daar kweli mungu yupo nimeona kazi zake
Padri waiyuka Muno na wakola emigani
Hongera sana
Baba Asante nimefalijika kwa tafakali
Wakola muno fr kwakweli Nashemerwa muno
Ubalikiwe baba iombee familia yangu ipate padri.
Tumsifu Yesu Kristu,Nimebarikiwa sana na mahubiri haya.
amina padr nimebarikiwa sana
Nanurilwa bwana mkulu,mwakola munonga
Nimefarijika sana
Mahubiri yana ukweli ndani yake. Wagira mayo waitu.
Hahaha umenikumbusha msemo huu "Entasimwa eabwa bike
Amina