NYIMBO ZA KATOLIKI: MTUNZI ALOYCE GODEN KIPANGULA TOLEO LA 2. KWAYA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS DSM
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Nyimbo hizi NI toleo la Pili la nyimbo za Dini zilizotungwa na Aloyce Goden Kipangula kutoka Parokia ya Chang'ombe. Toleo la kwanza ni Albam inayoitwa "Nimekosa Nihurumie". Karibu kusikiliza nyimbo hizi Za Tafakari.#nyimbozakatoliki #kanisakatoliki #kwayakatoliki #nyimbozainjili
Huu ndio uimbaji halisi wa kikatoliki na muziki uliokamilika big up,si muziki wa biashara
Barikiwa ndugu Kipangula na waimbaji wenzako
Amina. Tumshukuru Mungu.
Tunamshukiri Mungu kwa huyu muinjilishaji kwa njia ya nyimbo.Tunabarikiwa naye saaana
Asante Endelea kuniombea Ndugu Ili kupitia utume wangu wa kutunga nyimbo ili Kristo aeleweka kati ya watu
Hongera sana mtunzi. Nyimbo nzuri sana zinabariki
Asante Sana Ndugu Mercedes🙏
Naamini kuimba ni kusali Mara mbili mungu akubariki sana nauzidi kusonga mbele
Amina
Kipande cha wimbo huu kinanigusa,Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu.
🙏
That the songs is interesting for me and for us Go bless you Dj
🙏
Hongera sana unatukumbusha ujana wetu japo kuwa tumezeeka
😀😀👏👏
Kweli mtumishi wa MUNGU kwa hiyo
Baba uliye mbinguni naomba uniepushe, na tamaa za mwili zipinganazo na Roho,nienende sawa na mapenzi yako,nashukuru kwa kutupa ujumbe wa mungu kupitia nyimbo
Tumshukuru Mungu anayesema nasi kwa njia nyingi na kwa sehemu kupitia mwanaye Yesu Kristo
Uzidi kubarikiwa kaka kwa uinjilishaji wako
Asante Sana Sr Jovitha Vincent. Nakushukuru naomba uzidi kuniombea Ili nifanye haya yote kwa sifa na utukufu wa Mungu 🙏
Hongereni sana kwa utume endeleeni na myo huohuo Amina💖💕
Hongera Kwa utunzi , mzuri sanaa
Asante kwa Ndugu Enock
Barikiwa Sana baba Mungu akubariki mno akuzidishie umri
Asante Sana Caroline Maziku. Tuombeane Ili utume wetu wa uinjilishaji ufanyike kwa sifa na utukufu wa Mungu
Mungu akutie nguvu kwa majitoleo yako kaka❤
Amen
Tunamshukuru mola kukupa kipaji hiki unatuinjilisha vyema❤
Asante Ndugu Benedicto
Hizo ndizo nyimbo za kanisa katoliki sio haya mambo tunayoletewa ya kilokole,tubaki katika itikadi yetu ya kikatoliki hasa masuala ya nyimbo,uimbaji na upigaji wa vinanda vipigwe kikatoliki,hili ndilo la kweli aliloliacha Yesu
Amina Tubarikiwe sote. Na namshukuru Mungu aliyenipa kibali Cha kutunga Nyimbo hizi Pamoja kuzirekodi Ili ujumbe uweze kufika kwa wengi na Taifa la Mungu lipate kuinjilika
MUNGU akubariki sana kwa utunzi ulioendana na andiko la Hagai
🙏
Hongera sana kaka kwa utume mwema uliotukuka Mungu akubariki katika karama yako ya mumwimbia Mungu
Asante Sana Ndugu Juvenary. Tumshukuru Mungu kwa Yote
mungu.akubaliki..kwakujitoa..kwa.mungu.🙏🙏🙏
🙏🙏
Amina Amina Amina, 3:28
Asante kwa wimbo nzuri. Hakika nabarikiwa sana.
Asante endelea Kutufuatilia. Nitakuletea hapa nyimbo nyingine nilizotunga hivi karibuni🙏
Wapitaji na wasafiri na msiape kabisa uwa inanibariki sana.mungu akubariki sana Aloyce Kwa utunzi kwako
Amina
@@AloyceKipangulappppppppppppppppppppppppp!😅😅
Wimbo mzuri sana
Asante .Tumshukuru Mungu
Nyimbo nzuri saana💕💖💖💖💖
Hongera mama mwenzangu hongera sana
🙏
Asanteni Sana.Kwa tafakari nzuri kwa njia ya uimbaji
🙏
Nyimbo nzuri sana zinanibariki
Hongera Sana mwl kwa utunzi wa nyimbo nzr. Mungu akubariki. Tunaomba nota za nyimbo hizi ili tuweze kujifunza wote na kumsifu Mungu kwa njia hii ya uimbaji.
Tumshukuru Mungu. Nota zake utazipata naomba unitumie ujumbe kwa watsap namba zangu zipo hapo kwenye kava, zote Mbili zinasoma watsup. Karibu Ili nikutumie Nota za Nyimbo hizo ulizozisikiliza hapa RUclips
❤❤
Mapenzi Yako BABA yafanyike.
🙏
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
🙏
Amen
Mbarijiwe mno ila tunaomb na hizo nyimb ambazo mlizipiga mwishon km kionjo baad ya albam hii ya nyimbkuisha nazo mrutolee tuzisikiloze
Kila wimbo uliousikia kama kionjo hapo mwishoni zote zipo RUclips tafuta huko utazipata
Bad!!!!!!!!!!!!!!!!
🙏
Wivu tuu😒😒😒huna lolote. Mwache afanye kazi ya Bwana aliyomtuma.
Huu ndio uimbaji halisi wa kikatoliki na muziki uliokamilika big up,si muziki wa biashara
Amen
Huu ndio uimbaji halisi wa kikatoliki na muziki uliokamilika big up,si muziki wa biashara
Huu ndio uimbaji halisi wa kikatoliki na muziki uliokamilika big up,si muziki wa biashara