Mwenyezi Mungu kwa njia ya mwanao Yesu kristo Asante kwa maombezi Yako mama yatu Bikira maria uniombee katika makaribu haya naamini kuvuka katika yote na pia kuheshimu jina lakeama aniombee kwa Yesu anitie utaji na utisho kwa maombi na uovu wote nisiguswe na uovu na u hadi wa Dunia hii Yesu kristo unikonge na uovu wowote na mabaya yote kuanzia sasa niwe na Amani na uhuru kamili kiroho na.mwili kati ya mabaya na maonevu na madharau yasiyo lazima. Amina mama Maria uniombee
Mama Maria kwa maombezi Yako niombee Mimi ninayexhumiwa na ndugu Angu baadhi wao ni kuniona tu m Aya ,wewe na mwanao Yesu kristu mwajua yote kabisaa kuhusu Mimi Mungu Roho Mtakatifu nitakase naitJadike hasa mbele za watu wangu na wote wanaknizunguka
Asante sana Mama Bikira Maria kwa maombezi yako ya daima. Yananipa faraja mimi pamoja na familia yangu na rafiki zangu. Asane mama yangu kipenzi sana!!!!!
Naomba mama nisaidie kuniombea Roho ya nsMaha na Amani kwanza kwangu Binafsi Mimi ndugu zangu wote niwasamehe kwa yote Martha Simon Michael Marry Anjelina na Daud. Mwenye Enzi Mungu kwa maombezi ya mama Bikira Maria nijaliweoyo wa msamaha na Hawa ndugu zangu wajakiwe wote Roho ya msamaha amina
Kazi nzuri ya uimbaji, imetulia na inabariki vyema. Hongera sana Valeriana, Mungu kwa maombezi ya Mama Maria akuimarishe na kuendelea kukubariki namna ambavyo ninabarikiwa hadi nasitisha ratiba nyingine nikisikilizia uimbaji uliotulia. 🙏
Mwenyezi Mungu kwa njia ya mwanao Yesu kristo Asante kwa maombezi Yako mama yatu Bikira maria uniombee katika makaribu haya naamini kuvuka katika yote na pia kuheshimu jina lakeama aniombee kwa Yesu anitie utaji na utisho kwa maombi na uovu wote nisiguswe na uovu na u hadi wa Dunia hii Yesu kristo unikonge na uovu wowote na mabaya yote kuanzia sasa niwe na Amani na uhuru kamili kiroho na.mwili kati ya mabaya na maonevu na madharau yasiyo lazima. Amina mama Maria uniombee
Mama Maria kwa maombezi Yako niombee Mimi ninayexhumiwa na ndugu Angu baadhi wao ni kuniona tu m Aya ,wewe na mwanao Yesu kristu mwajua yote kabisaa kuhusu Mimi Mungu Roho Mtakatifu nitakase naitJadike hasa mbele za watu wangu na wote wanaknizunguka
Asante sana Mama Bikira Maria kwa maombezi yako ya daima. Yananipa faraja mimi pamoja na familia yangu na rafiki zangu. Asane mama yangu kipenzi sana!!!!!
Hongera Sana dada hakuna kitu utaomba kwa Mama Bikira Maria ukose
Asante sana mama Maria nikumbuke na familia yangu
Merci kwako kwa nyimbo izi nzuri🙏 mama azidi tuombea uponyaji kwa mwana wake yesu kristu👌🏼💪🙏
Great and wonderful songs
Nyimbo za bikira maria zinanibariki sana
Hongera wote kwa uimbaji wenu 🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana kwa Ku muimbiya maman yetu anatu ombeyaka Sisi wa toto wake Siku zote
Tusali Rosario tupate Amani duniani côté.🎉🎉🎉
Naomba mama nisaidie kuniombea Roho ya nsMaha na Amani kwanza kwangu Binafsi Mimi ndugu zangu wote niwasamehe kwa yote Martha Simon Michael Marry Anjelina na Daud.
Mwenye Enzi Mungu kwa maombezi ya mama Bikira Maria nijaliweoyo wa msamaha na Hawa ndugu zangu wajakiwe wote Roho ya msamaha
amina
Tumuombe Mama Bikira Maria atusaidie
Wow asanteni sana yaani Niko CHINI ya mti nikisikiliza na kuwaza nitaweza kumbembeleza Mama Maria KUPITIA nyimbo hizi ....be blessed
Lesson for the Day for me in T- WA US
Amen. Tusali Rosali daima
Jameni tusali rosali milele
Wimbo tamu
Asante sana mama,nikumbe mimi na familia yangu,na ma rafiki zangu ❤
Mama utuombee wanao
Nimebarikiwa na hizi nyimbo za mama maria napenda ukatoliki wangu
❤
Kila ninapotaka kusali Rosali uwanina amu ya kuskiza nyimbo za Mama yetu Bikira Maria
Mungu akubariki sana mama Valerian Simon🙏😘
Hongera nabarikiwa na nyimbo za mama
Nyimbo tamu sana zenye kuvutia.
Hongereni sana 😂😂
Hongera kwa kazi nzuri dada angu....
Nyimbo nzuri za kubariki.Pongezi sana.
Nyimbo hizo zapendesa sana na zinambariki sana God bless you 🙏
Amen. Tubarikiwe sote!
Moyo wa Maria utuombee
😢mama MAMA NIMAMA YETU UTUOMBEE
Kazi nzuri ya uimbaji, imetulia na inabariki vyema. Hongera sana Valeriana, Mungu kwa maombezi ya Mama Maria akuimarishe na kuendelea kukubariki namna ambavyo ninabarikiwa hadi nasitisha ratiba nyingine nikisikilizia uimbaji uliotulia. 🙏
Amina na amina!
Ninamsikiliza mpiga kinanda wako, naomba uniunganishe naye nimpe maua yake na bahasha ya khaki aiseee
@@israeldanda7789
Wimbo wa kwanza kinanda amepiga PETER PERFECT.
Hongera sana🎉🎉🎉
Tumsifu Mama yetu Bikira Maria kupitia nyimbo zake tamu sana. Mama tuombee katika familia zetu na watoto wetu tushinde nguvu za shetani.
Mzidi kubarikiwa
Kazi nzuri mamy&Team.❤Am really proud and inspired by you..❤
Be blessed binti wa Yesu!
Amen🙏❤️
🔥🔥🔥
Mubarikiye sana kwa nyimbo
Nyimbo tamu 🔥 🔥
Nyimbo zenu ni sawa kbsa nawapenda Sana
Asant
Hallow my dear Vareliana TYK Mimi ndugu yako nakutafuta
Karibu Linda. Tafadhali Nikumbushe zaidi.
Blessings 💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏
Wanaovimba kama mimi hapa tujuane... dada itabidi tukae vizuri nishiriki kwenye wimbo hata mmoja hapo baadae
Dada unatisha sana huwa nabarikiwabsana na nyimbo zako,naikumbuka pia ile tuwaombee wagonjwa mashairi yalijitosheleza mungu akutunze dada
Amina na amina