NYIMBO ZA BIKIRA MARIA | Valeriana Mayagaya

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 53

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 19 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu kwa njia ya mwanao Yesu kristo Asante kwa maombezi Yako mama yatu Bikira maria uniombee katika makaribu haya naamini kuvuka katika yote na pia kuheshimu jina lakeama aniombee kwa Yesu anitie utaji na utisho kwa maombi na uovu wote nisiguswe na uovu na u hadi wa Dunia hii Yesu kristo unikonge na uovu wowote na mabaya yote kuanzia sasa niwe na Amani na uhuru kamili kiroho na.mwili kati ya mabaya na maonevu na madharau yasiyo lazima. Amina mama Maria uniombee

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 19 дней назад +1

    Mama Maria kwa maombezi Yako niombee Mimi ninayexhumiwa na ndugu Angu baadhi wao ni kuniona tu m Aya ,wewe na mwanao Yesu kristu mwajua yote kabisaa kuhusu Mimi Mungu Roho Mtakatifu nitakase naitJadike hasa mbele za watu wangu na wote wanaknizunguka

  • @samwelashayo7511
    @samwelashayo7511 25 дней назад +1

    Asante sana Mama Bikira Maria kwa maombezi yako ya daima. Yananipa faraja mimi pamoja na familia yangu na rafiki zangu. Asane mama yangu kipenzi sana!!!!!

  • @rozkiwale912
    @rozkiwale912 3 месяца назад +5

    Hongera Sana dada hakuna kitu utaomba kwa Mama Bikira Maria ukose

  • @user-pp6nu4js1i
    @user-pp6nu4js1i Месяц назад +2

    Asante sana mama Maria nikumbuke na familia yangu

  • @baderhajeanbaptiste9963
    @baderhajeanbaptiste9963 Месяц назад +2

    Merci kwako kwa nyimbo izi nzuri🙏 mama azidi tuombea uponyaji kwa mwana wake yesu kristu👌🏼💪🙏

  • @vincentmboti
    @vincentmboti 12 дней назад +1

    Great and wonderful songs

  • @PhilipoBajut
    @PhilipoBajut 4 дня назад +1

    Nyimbo za bikira maria zinanibariki sana

  • @user-zd2mv6hy4i
    @user-zd2mv6hy4i 5 месяцев назад +5

    Hongera wote kwa uimbaji wenu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kasindimawazondiba8083
    @kasindimawazondiba8083 2 месяца назад +2

    Asante sana kwa Ku muimbiya maman yetu anatu ombeyaka Sisi wa toto wake Siku zote

  • @user-bf6fk2xj6n
    @user-bf6fk2xj6n 4 месяца назад +3

    Tusali Rosario tupate Amani duniani côté.🎉🎉🎉

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 19 дней назад

    Naomba mama nisaidie kuniombea Roho ya nsMaha na Amani kwanza kwangu Binafsi Mimi ndugu zangu wote niwasamehe kwa yote Martha Simon Michael Marry Anjelina na Daud.
    Mwenye Enzi Mungu kwa maombezi ya mama Bikira Maria nijaliweoyo wa msamaha na Hawa ndugu zangu wajakiwe wote Roho ya msamaha
    amina

  • @marymasungwa
    @marymasungwa 2 месяца назад +2

    Tumuombe Mama Bikira Maria atusaidie

  • @annambokaanatoli9700
    @annambokaanatoli9700 3 месяца назад +3

    Wow asanteni sana yaani Niko CHINI ya mti nikisikiliza na kuwaza nitaweza kumbembeleza Mama Maria KUPITIA nyimbo hizi ....be blessed

  • @Maria-ic5kp
    @Maria-ic5kp День назад +1

    Lesson for the Day for me in T- WA US

  • @catherinembaluto6709
    @catherinembaluto6709 2 месяца назад +2

    Amen. Tusali Rosali daima

  • @user-li3kc6tf3o
    @user-li3kc6tf3o 5 месяцев назад +4

    Jameni tusali rosali milele

  • @PatrickWambua-o8v
    @PatrickWambua-o8v 2 дня назад +1

    Wimbo tamu

  • @KahindoDéborah-t7t
    @KahindoDéborah-t7t 23 дня назад

    Asante sana mama,nikumbe mimi na familia yangu,na ma rafiki zangu ❤

  • @WalburgaMushi
    @WalburgaMushi 3 дня назад +1

    Mama utuombee wanao

  • @MariselinaMasao
    @MariselinaMasao Месяц назад

    Nimebarikiwa na hizi nyimbo za mama maria napenda ukatoliki wangu

  • @enatanonga3048
    @enatanonga3048 14 дней назад +1

  • @annechebichiy2263
    @annechebichiy2263 5 месяцев назад +2

    Kila ninapotaka kusali Rosali uwanina amu ya kuskiza nyimbo za Mama yetu Bikira Maria
    Mungu akubariki sana mama Valerian Simon🙏😘

  • @johnmalimi14
    @johnmalimi14 7 месяцев назад +1

    Hongera nabarikiwa na nyimbo za mama

  • @jacksonakwenda7838
    @jacksonakwenda7838 7 месяцев назад +1

    Nyimbo tamu sana zenye kuvutia.

  • @frankkadege-ev9wg
    @frankkadege-ev9wg 7 месяцев назад +1

    Hongereni sana 😂😂

  • @stephanombwana4017
    @stephanombwana4017 9 месяцев назад +1

    Hongera kwa kazi nzuri dada angu....

  • @user-cr1je5ut2j
    @user-cr1je5ut2j 9 месяцев назад +1

    Nyimbo nzuri za kubariki.Pongezi sana.

  • @annahgodblessyouandprayfor6515
    @annahgodblessyouandprayfor6515 5 месяцев назад +1

    Nyimbo hizo zapendesa sana na zinambariki sana God bless you 🙏

    • @Valerie365
      @Valerie365  5 месяцев назад

      Amen. Tubarikiwe sote!

  • @nancyjepchumbakebenei8367
    @nancyjepchumbakebenei8367 3 месяца назад +1

    Moyo wa Maria utuombee

  • @AnatolyMkude
    @AnatolyMkude 7 месяцев назад +1

    😢mama MAMA NIMAMA YETU UTUOMBEE

  • @israeldanda7789
    @israeldanda7789 9 месяцев назад +2

    Kazi nzuri ya uimbaji, imetulia na inabariki vyema. Hongera sana Valeriana, Mungu kwa maombezi ya Mama Maria akuimarishe na kuendelea kukubariki namna ambavyo ninabarikiwa hadi nasitisha ratiba nyingine nikisikilizia uimbaji uliotulia. 🙏

    • @Valerie365
      @Valerie365  9 месяцев назад

      Amina na amina!

    • @israeldanda7789
      @israeldanda7789 9 месяцев назад

      Ninamsikiliza mpiga kinanda wako, naomba uniunganishe naye nimpe maua yake na bahasha ya khaki aiseee

    • @Valerie365
      @Valerie365  7 месяцев назад

      ​@@israeldanda7789
      Wimbo wa kwanza kinanda amepiga PETER PERFECT.

  • @user-dh8sk8ej1d
    @user-dh8sk8ej1d 8 месяцев назад +1

    Hongera sana🎉🎉🎉

  • @catherinembaluto6709
    @catherinembaluto6709 2 месяца назад +1

    Tumsifu Mama yetu Bikira Maria kupitia nyimbo zake tamu sana. Mama tuombee katika familia zetu na watoto wetu tushinde nguvu za shetani.

  • @cresensiankembo8658
    @cresensiankembo8658 9 месяцев назад +3

    Mzidi kubarikiwa

  • @dativamtaresi1973
    @dativamtaresi1973 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri mamy&Team.❤Am really proud and inspired by you..❤

  • @deulegervas1303
    @deulegervas1303 9 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥

  • @kellengift5214
    @kellengift5214 3 месяца назад

    Mubarikiye sana kwa nyimbo

  • @sammynjoroge5595
    @sammynjoroge5595 2 месяца назад

    Nyimbo tamu 🔥 🔥

  • @dushimimanaalex4110
    @dushimimanaalex4110 6 месяцев назад +2

    Nyimbo zenu ni sawa kbsa nawapenda Sana

  • @philipojoseph-tr2xo
    @philipojoseph-tr2xo 7 месяцев назад +1

    Asant

  • @mbalamwezilinda3369
    @mbalamwezilinda3369 22 дня назад

    Hallow my dear Vareliana TYK Mimi ndugu yako nakutafuta

    • @Valerie365
      @Valerie365  22 дня назад

      Karibu Linda. Tafadhali Nikumbushe zaidi.

  • @kochulemdelvine1285
    @kochulemdelvine1285 3 месяца назад

    Blessings 💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏

  • @stephanombwana4017
    @stephanombwana4017 9 месяцев назад +2

    Wanaovimba kama mimi hapa tujuane... dada itabidi tukae vizuri nishiriki kwenye wimbo hata mmoja hapo baadae

  • @VailetMbina
    @VailetMbina 3 месяца назад +1

    Dada unatisha sana huwa nabarikiwabsana na nyimbo zako,naikumbuka pia ile tuwaombee wagonjwa mashairi yalijitosheleza mungu akutunze dada