NYIMBO ZA EKARISTI TAKATIFU (KOMUNIO) ZINAZOIMBWA ZAIDI.WAIMBAJI CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS DSM TZ
HTML-код
- Опубликовано: 2 июн 2021
- Mkusanyiko Pendwa Nyimbo za Ekaristi Takatifu.
Waimbaji: Chang'ombe Catholic Singers Dar Tanzania
01 Nimewalisha kwa Unono
02 Aulaye Mwili wangu
03 Ni Nani kama Bwana Yesu
04 Wateule wa Bwana
05 Yesu Asante Sana
06 Mema umetujalia
07 Yesu Tumekuja kukuabudu Видеоклипы
Jesus in my heart always...Longing for this Holy Eucharist...waiiting for my wedding day.Amen.
Napenda nyimbo za ekarist
Bwana yesu tunakuabudu katika Sacramenti ya Ekaristia Takayifu From Burundi 🇧🇮
Namshukuru Mungu kwa kulelewa ktka ukristu, napenda na uzao wangu udumu ktk kristo Amina
Ee Yesu uliye mzima moyoni mwangu unihurumie.
Ibariki nchi yetu❤Tz
Najivunia kuwa Mkatoliki🙏
Proud and blessed to be a Catholic
Mungu wabariki Sana wanakwaya
Yesu Asante Sana kujifanya chakula kutuletea shibe alama ya pendo 🙏🙏🙏
I like the song
Proud to be a Catholic 🙏🙏🙏
❤️
EKLESIA KATOLIKA. MY ANCESTORS FROM BOTH DAD AND MUM SIDES WERE BAPTISED IN THE CATHOLIC CHURCH IN 1870. THANKS BE TO THE LORD OUR GOD FOR HIS GRACE; WE HAVE MAINTAINED THE FAITH UP TO THE PRESENT 2024. NO ONE HAS GONE ASTRAY BOTH IN TANZANIA AND ZAMBIA. LONG LIVE EKLESIA KATOLIKA. THANK YOU LORD JESUS, OUR SAVOIUR.
Asante mungu wa ekaristi kwa kuniongoza ubariki nchi yetu ya kenya 🇰🇪
Yesu wa ekaristi nakupenda sana.
Hizi nyimbo ziko na upako wa roho mtakatifu kweli
Mungu wa ekarist jazs roho zetu zidum ktk bwana,
EE BWANA WE NICHAKULA CHA UZIMA
Its enjoyeable to sing the euchrist songs in swahili,being blssd alot.🎉
Na sala zangu zikufikie ee mungu wangu amina
Proud a Catholic 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asante bwana yesu kwa kila mema unayozidi kunijalia naomba niongoze vyema hata niweze kuijongea upya meza yako
So sweet song
❤❤❤❤ JESUS OF NAZARETH, MY WAY, MY TRUTH AND YOU ARE THE LIFE OF MINE!! NINAKUABUDU❤❤
🙏
Brought tears to my heart....how i wish to love you Eucharistic Lord the way you love me....MY LORD AND MY GOD
🙏
Asante yesu naomba healing to my body and my family
May God provide healing soon for your family. 🙏
Yesu cakula ca uzima kwa wenye moyo safi utukuzwe ee mwili na damu ya kristu
Saaaaaafi kabisa. Tumsifu Yesu Kristu...
Milele na Milele amina
That first song really soothes my soul ❤
The best songs ever..proud to be a Catholic
Asante Yesu kwa Yote Unayotutendeà na Kutubariki ,
Yesu kipenz nakupenda sana❤
Yesu wa Ekaristi tawala maixha yetu ili tupate Neema ya ukombozi katika Mapito yetu hapa Duniani
Amina
I like catholic songs they comfort me
Yesu wa ekaristi naomba ufungue njia zangu ili nipate kujongea altare yako tena. Amina
Yeye ni mwema "UKIMTUMAINIA ANAFANYA" vp ulisharejea mezani kwake?
Ngoma kali sana
Asante mungu kwa sikuu Hi I🙏🙏
Those songs they remove all the stress from me and think about God who created me.
🙏
Amen
Barikiwa
@@AloyceKipangula me
@@AloyceKipangula me know if just both know know o
❤❤❤🎉 AMINA
Mungu apewe sifa
Eeh yesu wa ekaristi ninakusii nakuabudu unisaidie kufanya vizuri kwenye maisha ya Kikristo eeh yesu hii ni sala kutoka kwangu Eeh bwana nakuomba unisike
Tumsifu mungu kila siku
Asante Yesu wa Ekaristi.Nakuomba Yesu wa Ekaristi takatifu nipate ajira ya kuwa mwalimu.
takatifu.Nakuomb
Amina na ikawe hivo 🙏🙏
Amen na mungu akubariki na ajibu maombi yako
Super Proud of being a Roman Catholic...Am really blessed while listening to catholic songs🙏
🤗✋
Asante Yesu wa Ekaristi takatifu tunaomba utuokoe na hili janga la covid-19 na udumishe amani ya mioyo yetu na taifa letu🇹🇿👏
Amina
Amina 🙏🏾
Questions
@@AloyceKipanguladid it
Zero turn mowers for coming
Nyimbo Nzuri sana hizi...zinagusa nafsi ya ukatholic wangu/wetu!
Amina sana🙏
wooow,,nice songs,God bless as all
Asante Mungu
I always be blessed with zs good songs
Karibu bwana Yesu kristu moyoni mwangu,
Chakula cha bwana ktk maisha yetu ni mwili na damu yake takatifu.
Nimewalisha kwa unono🔥🔥 👍👍
Asante sana Ndugu John sadiki. Je ni wewe ndiye John sadiki Kilaka au mimi nimechanganya?
Amina
ewe mwezi mungu muumba aridhi na mbingu nakushukru Tena kwa zawad ya uhai ulio nipa nakuomba unilinde uniepushe na majanga kwenye siku hii ya leo mimi pamoja nafamilia yangu Amina🙏
catholic forever
nawazaaa ingekua vp kaa nisingekua mkristu mkatolikiii......nawazaaaaaaa
The Eucharist, body and blood of Jesus Christ
Amin
Asante Yesu kwa kutulisha tumekuita umeitika tumepiga kelele umetusikiliza tumegonga umtufungulia ñakuomba uzidi kutulisha asali
Holy Eucharist..
@@AloyceKipangula how do you enjoy the Eucharist Songs in Swahili..
Nzuri kabisa
Very nice and touching songs.Iam proud to be a catholic.Be blessed
AMINA
Blessed
Asante mungu ukarist
🙏
Mubarikiwe sana
🙏🙏 amen 🙏🙏
Im proud to be a catholic
Asante yesu kwa baraka zako Sina cha kusema zaidi yakusema Asante San
All glory be to the most high 🙏
🤝
Yeesu,yeesu wewe n mungu wetu tumekuja kukuabudu,katika maumbo haya matakatifu....,love it!
Tunamshukuru Mungu
Upadisho bumbire
Bwana yesu komboa haja ya moyowangu kupitia siku yaleo imbadilishe mume wangu tuweze kufunga ndoa natuwe na amani bwana nakutumainia🙏🙏ameena
Ubarikiwe mama kwa ujumbe mzuri. Yesu wa ekaristi ATAKWENDA KUTENDA, AMINA
Asante mungu kwa kutuamsha salama mm na familia yangu
The songs which keeps my spirit intact .🙏🙏am blessed thank you Jehovah
Amazing
Asante YESU
A nice song anyway
Congratulations... Ayekoo choirists. Nice songs, beautiful voices. May God richly bless you all n the composers. Always I admire Tanzania choirs.
Thank you
And God bless you
Asante mungu,wimbo unanisisimua sana,hata nakuwa mwepesi ktk kumtumikia mungu.
🙏
Soft voice, sweet song, keep blessed!
Mtumishi kipangula Mungu akutunze kwa jinsi anavyokupa uvuvio WA Roho Mtakatifu katika utungaji WA nyimbo hizi PENDWA zinazoponya roho zetu na kumtafakari kristo zaidi
🙏
Asante yesu wa ekarist
I love this song
Hongera sana mwl nilikua simjui mtunzi wa nyimbo hizi balikiwa sana
aminaa
🙏
O kaa nssiktk neno lako Kaa nasi bwana waumini wako,ktk ekalist
🙏
I'm so delighted all the time when I listen to these nice hymns
Asante yesu wa 🌾
🙏
Des belles chansons suis trop fan d'elles
Am Blessed
Ni nani kama yesu mfalme wa mbingu na nchi🍁
🙏
Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏♥️
Kaa nasi ktk neno lako,ktk salarament yako,ktk ekarst yako na ktk makasisi wako
Napenda kumshukuru mungu kwa kila kitu pia awabariki waliotunga hizi nyimbo amina
Amina
Touches me in a special way .
asanteni kwakutuwakilisha kwanyimbo nzuri wana katoliki mbalikiwe kwakaz ya bwan
Tumshukuru Mungu
I❤ aRC
AMINA MUBARIKIWE NA MUNGU................KAZI NZURI
Tumshukuru Mungu
Yesu Asante.
🙏
🙏🙏🙏🙏
Tumshukuru Mungu
You are blessed with Angelic voices keep shining
Blessed
Nabarikiwa sana
Nawapenda sana wainjilishaji wote ktk shamba la bwana, Mbarikiwe sana na Bwana.
Asante Sana. Teresia Dastan
TZ your music and songs are so sweet
Thank you and God bless you 🙏
Asante yesu was euchastia kipenzi Cha moyo wangu