NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.
Nimefiwa na mwanafunzi wangu mwenzenu,naombeni faraja zenu😭😭Nipo hapa nalia mwenzenu hasa kila ninapousikiliza wimbo wa kwanza,"lakini hata sasa,nirudieni mimi"😭😭😭😭😭
Mimi ni muislam by the way
Pole Sana kwa Kufiwa Mwenyezi Mungu akupe Faraja katika kipindi ambacho ni Kigumu
@@AloyceKipangula Ameen!🙏
@@shyfettymtunda4619 may the merciful lord comfort you
Pore sana
Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu
Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi
Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie
Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana
Che bella!!!
Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina
My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾
🙏
Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN
Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine
Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.
Asant San ubarick saw
P
@@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi
Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni
Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo
ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.
Karibu jmn
Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.
ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya
Amina
Amena
Amen
s❤❤
@@AloyceKipangulalm.
t
Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza
1k😊😊
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri
Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏
Wakati nilipo pitia magumu na ninapopitia magumu mdao wote nyimbo hii hua inanifariji.
asante kwa kuitunga
Nihurumie Nimekosa BABA..Nihurumie..Mie ni dhehebu tofaut na Romani Catholic ila Nimeguswa na nyimbo..hizi.kilala kher kwa kwaresma hii...MUNGU Awaongoze
God bless
Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana
Ur welcome dear
Amen welcome dear
Amina
Mungu wetu ni mmoja... kuna kaswida pia nishawahi kuzisikia nikazipenda
Waislamu na wakatoliki tuko sambamba
I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro
Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya.
The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to.
Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations.
May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭.
May he rip as he sing and dances with angels till we meet again.
"Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa RUclips
Lccft
Keep it up
Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir
Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤
I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA
Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri 1:35 2:09
Mungu atujalie neema zake kipindi hiki cha kwaresma tunapotubu na kumrudia
Amina. Asante Richard
Touching songs, mungu tuhurumie na utusamehe makosa yetu..
Amina. Asante Sarah endelea kutuombea Ili Roho Mtakatifu ezidi kutupatia mapaji yake tuendelee kutunga nyimbo kwa sifa na utukufu wake
Tufunge na kusali kwa roho na kweli bwana atapokea sala zetu huku tukitafakari nyimbo za kwaresma
Asante Aristides kwa Ujumbe.
Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee
Huu wimbo wa kwanza unaniguza sana.nakummbuka msiba wa baba yangu
Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma
🙏
HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA
Nakukubari sana kaka kazi zako nzuri
Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi
Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo
Nawatakia kwaresma njemà
Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏
Asante sana kwa nyimbo nzuri nabarikiwa sana ninaposikiliza
Asante Sana Piana
Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie
Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic
Much love ❤❤❤ na juvunia kwa mkatoliki ❤❤❤💕💕💕
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu
🙏
Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.
Nirudieni Mimi unanigusa sana Roho yangu mbarikiwe sana kama Mimi mkatoliki hasa huu wakati wa lent
Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️
🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi
Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"
Ee Mwenyezi Mungu, uwe nasi katika nyakati zote.
Bwana Tuongezee imani
😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs
Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭
Huu mwimbo unagusa jamaniiiiiiiiiii
Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli
Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako
blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024
🙏
Tumsifu yesu kristu kila wakati
❤Mungu tusamehe watoto wako
Mungu akutunze Kaka Aloyce kwa karama hii ya Uimbaji. Hakika nimefarijika sanaa leo na haya Majonzi ya kuondokewa na Baba yetu JPM😭😭😭💔
MUNGU tusamehe dhambi zetu
Nimerudia bwana mungu na moyo wangu yote ,nilikua nimepotea nikala na ngururue lakini nikakumbuka nyumba ya Baba yangu nalala naye ,nimerudi nyumbani mwa Baba yangu ,EEE bwana yesu nipoke Mimi mwano
Nakuomba ndugu kipangula nipelekee ushsuli wangu kwa jimbo kuu la dar es salaam naomba kama lile kanisa jipya. Litalochua nafasi ya st Joseph liiwe na sehemu itakayo wekwa picha za wale wote waliotunga tuzi bora yaani tokea ukatoliki upoingia tanzania 🇹🇿 ili vizazi vyetu vitambue michango ya wazee wao mungu hawabariki watuzi maana injili inasambaa kweli kweli amen 🙏
😂😂😂
M balikiwe wote mnao sikiliza hizi nyimbo nzuri
Amina. Tunaomba uwatumie na wengine Ili wasikilize
napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.
Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.
Asante Sana
Nabarikiwa Sana inagusa Moyo Wangu be blessed all ❤
Uwa uu wimbo unanikubusha mbali ata machozi uwa yananitoka
Ni mwezi watoba
Mungu ni mwema kwetu
Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu
Mimi sio mkatoriki lakini nimebarikiwa sana na hizi nyimbo Ee bwana unifadhili mimi🙏
Asante Sana Ndugu Mpendwa Brianna kendrick Naomba Endelea kutufuatilia Ili kupata Zaidi nyingine
Amina hongera na Mungu akubariki saana
And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us
And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!
Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji
Napenda sana hz nyimbo
Asante sana
Ubarikiwe sana ndugu, nyimbo tamu sana hizi
Amina. Asante Sana Ndugu
Amina,Mungu aendelee kuturehemu👏
Hakika nmebarikiwa na nyimbo nzuri za kwaresma
Asante Jofray daud
Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno
Karibu sana ukristu
Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe
Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .
Ee mwenyezi Mungu nisaidie nitubu hima
Ni Nyimbo zenye baraka kubwa
Good song ❤
Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce
MUNGU ATUBARIKI SOTE
Hizi nyimbo Huwa zinanitoa mawazo
Ee Mungu uniwie radhi Mimi mwenye dhambi
Mungu naomba wabariki watumishi wako waliotunga kuimba na kutupatia hizi nyimbo.
Mungu tusamehe ,maana cc ni wadhambi. Baba utuhurumue
Nafalijika moyoni mwangu ee mungo sikia kilio chetu
Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana
Mungu wangu nirehemu mimi mtenda dhambi
Mungu awabaliki nyote mnaona sikikiza hizi nyimboo
🙏
Ziafundisha sana
Ni nyimbo zinazotutakafarisha has katika hiki kipindi hiki muhimu katika kanisa
Amina mungu akusaidie
Asanteni sana Kwa nyimbo zenye kutusogeza Kwa Mungu 29:22
Feeling blessed by your songs. Hongera sana na mungu aibariki kazi ya mikono yenu 🇰🇪🇰🇪
Amina
Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤
Najivunia kuwa mkatoriki
Jamani nakumbuka tz kwaresma nyimbo zina sisimua sana
Kaka Aloyce,wimbo wa nne unanikumbusha kuwa mlango wa uruma ya MUNGU huu wazi,Kwa Nini siukaribii,,,,
Tumshukuru Mungu kwa Yote
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Asante Clarensia
Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante
Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi
Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce
Hakika nabarikiwa sana asanteni wanakwaya wote mungu awabariki。
Amina
Mungu utuhurumie sisi pamoja na familia zetu
HONGERENI SANA KWA NYIMBO NZURI ZENYE BARAKA TELE MUNGU AWALINDE DAIMA