NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.

Комментарии • 788

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 6 месяцев назад +3

    Nimefiwa na mwanafunzi wangu mwenzenu,naombeni faraja zenu😭😭Nipo hapa nalia mwenzenu hasa kila ninapousikiliza wimbo wa kwanza,"lakini hata sasa,nirudieni mimi"😭😭😭😭😭
    Mimi ni muislam by the way

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  6 месяцев назад +1

      Pole Sana kwa Kufiwa Mwenyezi Mungu akupe Faraja katika kipindi ambacho ni Kigumu

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 6 месяцев назад

      @@AloyceKipangula Ameen!🙏

    • @johnwiraka1444
      @johnwiraka1444 2 месяца назад

      @@shyfettymtunda4619 may the merciful lord comfort you

    • @JonsonJohn-km8tm
      @JonsonJohn-km8tm 5 дней назад

      Pore sana

  • @holycrossfamilyministriest9448
    @holycrossfamilyministriest9448 Год назад +15

    Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu

  • @matildanyallu7063
    @matildanyallu7063 3 года назад +23

    Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi

  • @cokolakasisi9211
    @cokolakasisi9211 3 года назад +24

    Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie

    • @angelinembondo
      @angelinembondo Год назад +1

      Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana

    • @trztrzjb306
      @trztrzjb306 7 месяцев назад

      Che bella!!!

    • @LeahPetersalamalohoni
      @LeahPetersalamalohoni 5 месяцев назад

      Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina

  • @marywambura9377
    @marywambura9377 2 года назад +20

    My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾

  • @nayoomisweya6890
    @nayoomisweya6890 3 года назад +64

    Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 года назад +3

      Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine

    • @wencegeorge9872
      @wencegeorge9872 3 года назад +1

      Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.

    • @anthonyjosephat4624
      @anthonyjosephat4624 3 года назад

      Asant San ubarick saw

    • @everlynenato5466
      @everlynenato5466 3 года назад

      P

    • @lizziembwambo1271
      @lizziembwambo1271 3 года назад +3

      @@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi

  • @sylviashiundu382
    @sylviashiundu382 8 месяцев назад +8

    Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni

  • @aminashariff9942
    @aminashariff9942 3 года назад +14

    Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 года назад +3

      ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.

    • @everinrobert6539
      @everinrobert6539 8 месяцев назад +1

      Karibu jmn

    • @winfridandunguru5834
      @winfridandunguru5834 8 месяцев назад +1

      Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.

  • @metrinenasimiyu7588
    @metrinenasimiyu7588 3 года назад +46

    ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya

  • @sophiesophie6452
    @sophiesophie6452 2 года назад +22

    Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza

  • @AfwilileNisaidie
    @AfwilileNisaidie 7 месяцев назад

    Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri

  • @rehemapima769
    @rehemapima769 3 года назад +5

    Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏

  • @benedictrkorosso153
    @benedictrkorosso153 2 месяца назад

    Wakati nilipo pitia magumu na ninapopitia magumu mdao wote nyimbo hii hua inanifariji.
    asante kwa kuitunga

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Год назад +8

    Nihurumie Nimekosa BABA..Nihurumie..Mie ni dhehebu tofaut na Romani Catholic ila Nimeguswa na nyimbo..hizi.kilala kher kwa kwaresma hii...MUNGU Awaongoze

  • @tutisalim2280
    @tutisalim2280 3 года назад +188

    Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana

  • @chrispinuswanjala7922
    @chrispinuswanjala7922 Год назад +4

    I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro

  • @samuelochieng4317
    @samuelochieng4317 Год назад +38

    Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya.
    The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to.
    Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations.
    May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭.
    May he rip as he sing and dances with angels till we meet again.
    "Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa RUclips

    • @victoriousmakundi4771
      @victoriousmakundi4771 Год назад +1

      Lccft

    • @adelinusacleus4237
      @adelinusacleus4237 Год назад

      Keep it up

    • @martinsntonyo8537
      @martinsntonyo8537 Год назад +1

      Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir

    • @graceandrew3988
      @graceandrew3988 7 месяцев назад

      Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤

    • @franmdleleni6520
      @franmdleleni6520 7 месяцев назад

      I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA

  • @mwangebulongo
    @mwangebulongo 7 месяцев назад +1

    Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅

  • @AfwilileNisaidie
    @AfwilileNisaidie 7 месяцев назад

    Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri 1:35 2:09

  • @richardmuema619
    @richardmuema619 8 месяцев назад +1

    Mungu atujalie neema zake kipindi hiki cha kwaresma tunapotubu na kumrudia

  • @sarahwekesa3117
    @sarahwekesa3117 8 месяцев назад +1

    Touching songs, mungu tuhurumie na utusamehe makosa yetu..

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  8 месяцев назад

      Amina. Asante Sarah endelea kutuombea Ili Roho Mtakatifu ezidi kutupatia mapaji yake tuendelee kutunga nyimbo kwa sifa na utukufu wake

  • @AristidesAdorath
    @AristidesAdorath 8 месяцев назад +2

    Tufunge na kusali kwa roho na kweli bwana atapokea sala zetu huku tukitafakari nyimbo za kwaresma

  • @EuniceAkyoo-wd2ro
    @EuniceAkyoo-wd2ro 8 месяцев назад +3

    Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee

  • @ReyFau
    @ReyFau 6 месяцев назад

    Huu wimbo wa kwanza unaniguza sana.nakummbuka msiba wa baba yangu

  • @rachelmwachofi9687
    @rachelmwachofi9687 7 месяцев назад +1

    Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau2448 3 года назад +34

    HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA

  • @JacobErnest-vk7me
    @JacobErnest-vk7me Год назад

    Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi

  • @noramshila889
    @noramshila889 Год назад +5

    Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo

  • @KalistaLagma
    @KalistaLagma 7 месяцев назад

    Nawatakia kwaresma njemà

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Год назад +2

    Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏

  • @pianamodu9501
    @pianamodu9501 8 месяцев назад +1

    Asante sana kwa nyimbo nzuri nabarikiwa sana ninaposikiliza

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 Год назад +2

    Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 3 года назад +5

    Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic

  • @EmilyAkinyi-n5d
    @EmilyAkinyi-n5d 7 месяцев назад +1

    Much love ❤❤❤ na juvunia kwa mkatoliki ❤❤❤💕💕💕

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 2 года назад +4

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu

  • @NancyIndulaji
    @NancyIndulaji 7 месяцев назад +5

    Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.

  • @RoseNyangacha
    @RoseNyangacha 7 месяцев назад +1

    Nirudieni Mimi unanigusa sana Roho yangu mbarikiwe sana kama Mimi mkatoliki hasa huu wakati wa lent

  • @تتغتا-س6ش
    @تتغتا-س6ش 8 месяцев назад +3

    Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️

  • @jacklinamatias9230
    @jacklinamatias9230 Год назад +1

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi

  • @yohanahussen
    @yohanahussen Год назад +4

    Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"

  • @experiuschota-op3qk
    @experiuschota-op3qk 5 месяцев назад

    Ee Mwenyezi Mungu, uwe nasi katika nyakati zote.

  • @VctorMenlady-u4r
    @VctorMenlady-u4r 8 месяцев назад +1

    Bwana Tuongezee imani

  • @annaauyo1958
    @annaauyo1958 3 года назад +17

    😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs

    • @consolatamoses5601
      @consolatamoses5601 8 месяцев назад

      Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭

  • @YasintaKombe
    @YasintaKombe 7 месяцев назад +1

    Huu mwimbo unagusa jamaniiiiiiiiiii

  • @CATHERINEALANUS
    @CATHERINEALANUS 8 месяцев назад +2

    Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli

  • @tilda1297
    @tilda1297 Год назад +2

    Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako

  • @HappinessBoniphace-v2j
    @HappinessBoniphace-v2j 8 месяцев назад +9

    blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024

  • @Annmurichu-iu4qi
    @Annmurichu-iu4qi Год назад

    Tumsifu yesu kristu kila wakati

  • @rosembwawa20
    @rosembwawa20 9 месяцев назад

    ❤Mungu tusamehe watoto wako

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw 3 года назад +3

    Mungu akutunze Kaka Aloyce kwa karama hii ya Uimbaji. Hakika nimefarijika sanaa leo na haya Majonzi ya kuondokewa na Baba yetu JPM😭😭😭💔

  • @glory.nyimbozadinishirima2825
    @glory.nyimbozadinishirima2825 7 месяцев назад +1

    MUNGU tusamehe dhambi zetu

  • @OtienoAdipo
    @OtienoAdipo Месяц назад

    Nimerudia bwana mungu na moyo wangu yote ,nilikua nimepotea nikala na ngururue lakini nikakumbuka nyumba ya Baba yangu nalala naye ,nimerudi nyumbani mwa Baba yangu ,EEE bwana yesu nipoke Mimi mwano

  • @GeorgeWeyakisala
    @GeorgeWeyakisala 4 месяца назад +1

    Nakuomba ndugu kipangula nipelekee ushsuli wangu kwa jimbo kuu la dar es salaam naomba kama lile kanisa jipya. Litalochua nafasi ya st Joseph liiwe na sehemu itakayo wekwa picha za wale wote waliotunga tuzi bora yaani tokea ukatoliki upoingia tanzania 🇹🇿 ili vizazi vyetu vitambue michango ya wazee wao mungu hawabariki watuzi maana injili inasambaa kweli kweli amen 🙏

  • @KelvinKasuga-ij7lg
    @KelvinKasuga-ij7lg 4 месяца назад

    M balikiwe wote mnao sikiliza hizi nyimbo nzuri

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  4 месяца назад

      Amina. Tunaomba uwatumie na wengine Ili wasikilize

  • @marthajoseph3297
    @marthajoseph3297 2 года назад +4

    napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.

  • @getrudecharles444
    @getrudecharles444 2 года назад +2

    Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.

  • @HarrietMusimbi-n6f
    @HarrietMusimbi-n6f 7 месяцев назад

    Nabarikiwa Sana inagusa Moyo Wangu be blessed all ❤

  • @RevocatusAlibugasit
    @RevocatusAlibugasit 6 месяцев назад

    Uwa uu wimbo unanikubusha mbali ata machozi uwa yananitoka

  • @JULIANGEORGE-s3k
    @JULIANGEORGE-s3k 8 месяцев назад +1

    Ni mwezi watoba

  • @alexcaspary7226
    @alexcaspary7226 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema kwetu

  • @gastokibabas2871
    @gastokibabas2871 Год назад +2

    Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu

  • @briannakendrick1346
    @briannakendrick1346 3 года назад +7

    Mimi sio mkatoriki lakini nimebarikiwa sana na hizi nyimbo Ee bwana unifadhili mimi🙏

  • @alicemuia1775
    @alicemuia1775 Год назад +6

    And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us

  • @kimaugymnast
    @kimaugymnast Год назад +2

    And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!

  • @devothasamora8012
    @devothasamora8012 3 года назад +4

    Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji

  • @kimichiboytz8697
    @kimichiboytz8697 Год назад

    Napenda sana hz nyimbo

  • @IsumailTiger
    @IsumailTiger 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana ndugu, nyimbo tamu sana hizi

  • @Kashashashuleyamsingi
    @Kashashashuleyamsingi Год назад +1

    Amina,Mungu aendelee kuturehemu👏

  • @jofraydaudi4903
    @jofraydaudi4903 Год назад

    Hakika nmebarikiwa na nyimbo nzuri za kwaresma

  • @mariamjames5462
    @mariamjames5462 Год назад +1

    Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno

  • @EvordNyamkecha
    @EvordNyamkecha 2 месяца назад

    Karibu sana ukristu

  • @juliusmichael6191
    @juliusmichael6191 Год назад +1

    Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe

  • @salmasalometitus2139
    @salmasalometitus2139 3 года назад +14

    Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .

  • @yustermathias3856
    @yustermathias3856 7 месяцев назад

    Ee mwenyezi Mungu nisaidie nitubu hima

  • @dr.vincentkibambila3003
    @dr.vincentkibambila3003 Год назад

    Ni Nyimbo zenye baraka kubwa

  • @christinekhaemba1524
    @christinekhaemba1524 7 месяцев назад +1

    Good song ❤

  • @charlesndugulile7726
    @charlesndugulile7726 3 года назад +3

    Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce

  • @mercymwendwa-lt2oj
    @mercymwendwa-lt2oj Год назад

    Hizi nyimbo Huwa zinanitoa mawazo

  • @sylvestermatalu3245
    @sylvestermatalu3245 7 месяцев назад

    Ee Mungu uniwie radhi Mimi mwenye dhambi

  • @noramkendamunishi6902
    @noramkendamunishi6902 Год назад +1

    Mungu naomba wabariki watumishi wako waliotunga kuimba na kutupatia hizi nyimbo.

  • @blandinamollo699
    @blandinamollo699 7 месяцев назад

    Mungu tusamehe ,maana cc ni wadhambi. Baba utuhurumue

  • @JaneAsoya
    @JaneAsoya 6 месяцев назад

    Nafalijika moyoni mwangu ee mungo sikia kilio chetu

  • @mariamulupatu-wl3qb
    @mariamulupatu-wl3qb Год назад +1

    Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 7 месяцев назад

    Mungu wangu nirehemu mimi mtenda dhambi

  • @gambagraphics5020
    @gambagraphics5020 8 месяцев назад

    Mungu awabaliki nyote mnaona sikikiza hizi nyimboo

  • @RosemaryNchumira
    @RosemaryNchumira 7 месяцев назад

    Ziafundisha sana

  • @FortuneMlela
    @FortuneMlela 7 месяцев назад

    Ni nyimbo zinazotutakafarisha has katika hiki kipindi hiki muhimu katika kanisa

  • @JonsonJohn-km8tm
    @JonsonJohn-km8tm 5 дней назад

    Amina mungu akusaidie

  • @PatrisiaKahwili
    @PatrisiaKahwili 7 месяцев назад

    Asanteni sana Kwa nyimbo zenye kutusogeza Kwa Mungu 29:22

  • @emmanuelmutua8514
    @emmanuelmutua8514 3 года назад +18

    Feeling blessed by your songs. Hongera sana na mungu aibariki kazi ya mikono yenu 🇰🇪🇰🇪

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 7 месяцев назад +1

    Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤

  • @wilhelminacheyo6137
    @wilhelminacheyo6137 7 месяцев назад

    Najivunia kuwa mkatoriki

  • @aminarajab1045
    @aminarajab1045 7 месяцев назад

    Jamani nakumbuka tz kwaresma nyimbo zina sisimua sana

  • @FortuneMlela
    @FortuneMlela 7 месяцев назад

    Kaka Aloyce,wimbo wa nne unanikumbusha kuwa mlango wa uruma ya MUNGU huu wazi,Kwa Nini siukaribii,,,,

  • @CralensiaRugarabamu
    @CralensiaRugarabamu 7 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu

  • @lydiakubingwa3180
    @lydiakubingwa3180 3 года назад +5

    Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 года назад +1

      Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi

  • @KhaembaMatata
    @KhaembaMatata 8 месяцев назад +3

    Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce

  • @hellenmartin6684
    @hellenmartin6684 Год назад +1

    Hakika nabarikiwa sana asanteni wanakwaya wote mungu awabariki。

  • @LeticiaMasinde
    @LeticiaMasinde 7 месяцев назад

    Mungu utuhurumie sisi pamoja na familia zetu

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 7 месяцев назад

    HONGERENI SANA KWA NYIMBO NZURI ZENYE BARAKA TELE MUNGU AWALINDE DAIMA