Padre Dkt Kamugisha: Usiogope mabaya/ Kila kitu kina sababu yake/ Ukitafuta makosa haufanyi mambo
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2021
- Ni mafundisho ya kila juma kutoka katika kanisa kuu la Bukoba , Mafundisho haya yanatolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia ya Minziro jimbo katoliki la Bukoba.
/ @fr.josephat-sharinggo...
Ahsante baba kamgisha mungu akutunze uenderee kutufundisha.
Haki unapoliya na kusali Mungu anajibu maombi...Umenibariki saana Padri wangu. Mungu akuweke Baba 🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
mungu aliye kupa busara na hekima hii akuzidishie
Ahsante fr kanyanyazi Kwa mahubiri mwema na mazuri Mungu akubariki
Naomba kuunganishwa kwenye group...Tumsifu yesu kristo
Nashukuru kwa neno hakika nimepata mambo mengi leo.
Father Kamugisha, Mungu azidi kukusimamia, tunabarikiwa sana na mafundisho yako.
Nimekuelewa Baba nitajitahidi kwa machozi yangu nitamlilia Mungu wangu ❤️🙏 ili vifungo vyote nilivyofungwa vinitoke
Barikiwa Sana father kamugisha Mungu akulinde Katika utume wako nabarikiwa Sana na mafundisho yako.
Mungu akubariki sana ktk maisha yako
FT KAMUGISHA Napenda Sana mahubiri yako fanya makongamano mikoa mbalimbali. Wakristu wa ROM A Wanatangatanga kwenye makongamano ya madhehebu mengine kwa kukosa huduma hii.
Amina 🙏🏽🙏🏽 unafundisha hali ambayo napitia asante yesu kristu kwa ukuuu wako
Amina mtumishi
Ahsante sana Fr.Kamugisha, hakika wewe ni chombo kilichobora katika uinjilishaji....
Thank you Fr Kamugisha. I always loved your homily wakati ulikua hapa Kenya at Don Bosco Catholic Church upperhill.
Real preaching.
Hongera baba upo vizuri
Asante baba
Asante Baba
Ahsante sana!Padre kamugisha
Tyk father Dkt k, takutakia utume mwema.
Padre asante sana. Sijapata kusikia mahubiri kama haya kutoka katoliki. Upo vzr father
Asante father mafundisho yako yanajenga Sana nimebarikiwa🙏
Tyk, mtumishi Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
I received you're word of God father
Mungu akulinde na kukutunza fr,umenigua sana katika somo hili.NAKUOMBA UNIOMBEE
Amina mtumishi wa Mwenyezi Mungu.
Thank you fr for your blessing words
Ameen, your word is a blessing
Ubarikiwe Baba padre kwa mafundisho yako mazuri mno.
Amen
Amina baba Padre.🙏🙏🙏
Amina barikiwa baba mafundisho mazuri sana na yana mafunzo mengi ya kiroho na kimwili.
Amina. Mungu ashukuluwe kwa kukuweka , ubarikiwe kwa kukiishi kipaji chako. NAJIFUNZA MENGI MNOO
Asante Sana Fr Kamugisha kwa mafundisho yako mazuri na kwa Mifano hai
Asante fr maneno yako yamenijenga endelea mbele ilitupone
Amen Baba.... Nimebarikiwa Sana katika hili neno LA Mungu
Asante baba mung akubark
ASANTE KWA MAFUNDISHO MAZURI
Asante Fr Kamugisha
Ameeen 🙏🙏🙏
hongerasana baba yetu nawe unatungua moyo
Asante Padre wetu🥰
Asante baba kamugisha
OGod strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.
Asante Sana Fr.Kamugisha.Mungu azidi kukubariki.
Thanks fr. for good lesson
Thank you very much fr. You have really blessed me. Thank you Lord praise you Jesus
Ubarikiwe baba padri
Asante Mungu kea karama uliyompa padre wetu hajaficha karama yake
It's good to hear from you Fr. Kamugisha since you left Nairobi in late 2000
May God bless your work
I have gained a great message which will help me in my life may God bless you priest
Sawa
Mungu akulinde na akutangulie ktk safari yako upadre
Baba padre somo ni zuri sana limenibariki na kunifungua
Ubarikiwe sana padre
Asante fr. Kamugisha hakika wewe ni mtumishi wa Mungu.
Asante Mungu Kwa yote
Asante baba wa kiroho
Amina barikiwa sana,hakika umenifungua nilikuanawaza mambo yaliyopita,
Ubarikiwe baba kwa mafundisho mazuri
Amina mungu akubariki
Asante baba wa kiroho mungu akulinde tuendele kupata mafundisho zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Ameen 🙏🏻
Mafundisho yananibadisha sana
Amen 🙏🙏
Ubarikiwe
Amina
Ubarikiwe Mtumishi kamgisha
You always help me father to continue growing spiritually thanks alot
Hongera sana baba paroko kwa ujumbe mzuri
Mungu atanue zaidi wigo wako pia Nuru yako iangaze zaid ulimwenguni
Amina.
Ubarikiwe sana
Amena
Thanks fr umenipa nguvu mpya..kupitia hii maubili
Amen amen.A very interesting lesson
Kweli kila kina wakati wake nisiogope mabaya bali nikae kwa maombi
Mungu akwebembele
Barikiwa sana baba kamugisha
Barikiwa sana
Asante Fr Kamugisha
Amina Fr. Kamugusha somo zuri sana🙏
Baba uwa unanibariki sana
Kumbe machozi ni Sara iliyokamilika asante padri
Woow uwa unanikosha sana father Kamugisha👍🙏🙏
Father asante kwa mafundisho mazuri
Mwenyezi mungu atende kama ulivyonena baba paroko neno lako ni dawa
Padre kweli unatoa mahubiri mazuri san pia naamini ww ndo padre wa Kwanza kutoa mahubiri yako Kila mahali
I received the word of God...thanks Father
Amen nimebalikiwa saaana fr Kamugisha
Amina! Amina!!
Father Keep up
Nakusoma vzuri sana fadher
⛪⛪
Amen to
Thenk good
Thanks good
Napenda maubiri ya Huyu father sana
Asante mtumishi wangu🙏🙏🙏🙏
Nafarijika kwa kunibadilisha mtazamo hakika sitoogopa
Mungu akubariki kwa somo zurii
Good tolisteniilike him
Maubiri mema
Mahubiri mazuri sana ila kanisa halina waumini
Hilo si jukumu lako ndugu yang jukumu lako nikusikiliza maubiri tuu samahani kwailo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu!
Huyu alitumwa na Mungu kwakweli
Please naomba Fr.Uanzishe mahubiri kwenye Tv Tumaini ili tufaidi mahubiri yako kwani ni mazuri sana sana
Hongera father
"...Na umonaki (UTAWA wa MAPADRI) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu." (Qur'an 57:27)
Hoja yako haieleweki
Namkubali huyu