Hiki Kichwa cha Padre Kamugisha ni Moto wa kuotea Mbali/Watu Waliokata Tamaa watajirika Ghafla/tizam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 104

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv  3 года назад +15

    Unaweza kuandikaa neno la kumpa faraja Padre Kamugisha hapa kwenye Comment

  • @marymghanga4817
    @marymghanga4817 2 года назад

    Asante kututia moyo katika hatua mbalimbali za maisha ubarikiwe sana Fr

  • @paulmumanyi7243
    @paulmumanyi7243 3 года назад +1

    Ai father, wewe ni nyota kweli, am blessed and changed, be blessed, mungu akuongeze nguvu ya kuhubiri injili milele.

  • @julianamwagike994
    @julianamwagike994 2 года назад

    Ubarikiwe sana fr, mungu akupe maisha marefu Sana.

  • @geraldmiza7207
    @geraldmiza7207 3 года назад +5

    Barikiwa Sana Fr Kamugisha, nabarikiwa Sana na chakula hiki Cha kiroho, huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri yako.

  • @blburreter2351
    @blburreter2351 3 года назад

    Asante sana padre , Mungu akulinde uishi miaka mingi uendelee kutuelimisha , maana tulishakwama vingi kupitia kipindi chako tumejifunza na kuelimika pakubwa tukajikubali baba padre hongera sana ukishajikubali hakishindikan kitu . Barikiwa kw hayo

  • @odilliamagut4912
    @odilliamagut4912 3 года назад +2

    Thank you Fr.
    I am really blessed, to have listen to you .
    Watching from Omaha Nebraska USA.
    Be blessed.

  • @asangostephen9122
    @asangostephen9122 2 года назад +1

    Mungu Baba akujaze neema yake, maana injili Yako ni dawa inayo ponya Roho yangu na kuimarisha Imani yangu.

  • @selestinmhagama1538
    @selestinmhagama1538 3 года назад

    Asante mtumishi wa Mungu unafungua pale palipo fungwa

  • @stanleymsenga9820
    @stanleymsenga9820 2 года назад

    Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mahubiri yako

  • @livinusmugisha5469
    @livinusmugisha5469 3 года назад +1

    Asante kwa mahubili yako Mungu azidi kukuinua padre Kamgisha

  • @hebrewscampchurchforallnations
    @hebrewscampchurchforallnations 3 года назад +1

    Tunakupenda, tunafuatilia mahubiri yako, na tunabarikiwa.

  • @delphinnkoma5757
    @delphinnkoma5757 3 года назад +1

    Amen 🙏🙏🙏
    Ubarikiwe baba ❤️

  • @enanosyamwaijande9546
    @enanosyamwaijande9546 3 года назад

    Father barikiwa sana na MUNGU .kazi yako ni njema sana .

  • @godennyava2526
    @godennyava2526 3 года назад +3

    Aaa Padre umenipa nguvu,umenijaza ufahamu.Hakika Mungu akutangulie ktk utumishi.Amen

  • @joycentongani388
    @joycentongani388 3 года назад +1

    Mungu azidi kukupa nguvu na kutufundiaha zaidi ya hapo ubarikiwe sana nakuelewa sana baba na umenipa nguvu ktk jina la Yesu . Amen 🙏

  • @olivermbawala2055
    @olivermbawala2055 3 года назад +3

    Barikiwa Baba yetu.Mungu Azidi kukulinda uendelee kutufungua ufahamu wa akili zetu.

  • @jehassamson847
    @jehassamson847 3 года назад +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliyehai

  • @kitalyson5499
    @kitalyson5499 3 года назад +1

    Amina barikiwa sana father

  • @esterpaul1702
    @esterpaul1702 3 года назад +1

    Barikiwa sana baba mchungaji,umenifanya niwe na aman ya moyo

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 3 года назад +1

    Thank you Rev.Fr.fir your sermon today.Am taking action today to apply for my stay in Europe. Thank you

  • @laurentkabikiye220
    @laurentkabikiye220 3 года назад +2

    Mahubiri yako Pd. Kamugisha yanatia faraja. Mwenyezi Mungu akubariki daima.

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 3 года назад +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 3 года назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde azidi kukupaa hekima na maarifa jina la bwana litukuzwe

  • @celinaceline4236
    @celinaceline4236 3 года назад

    Asante sana Fr. Kamugisha, mafundisho mazuri sana.

  • @LeonardAkaro
    @LeonardAkaro 2 года назад

    Neno hili sijawahi kuchoka kusikiliza. Asante father K

  • @fallyipupa2844
    @fallyipupa2844 3 года назад +1

    Amina Baba Pd. Kamugisha kwa mafundisho mazuri, hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako
    Mungu azidi kukupa afya njema ili uzidi kutulisha neno la Bwana.

  • @venanceminja7641
    @venanceminja7641 3 года назад +4

    Thank you so much Fr. Kamugisha. It's a preach that heals for sure!. Bless you! Please consolidate this onto your book.

    • @saidhemedkigula788
      @saidhemedkigula788 3 года назад

      Hongera sana Mtumishi Mwenyezi MUNGU akubariki sana.

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 года назад +5

    Aminaa barikiwa sana father tena God bless you 🙏🙏🙏

  • @justinajosephat6707
    @justinajosephat6707 3 года назад +5

    Barikiwa baba, mungu akutunze

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 10 месяцев назад

    Ubarikiwe padre kwa somo zuri limenipa nguvu yakushinda

  • @honoratkallamu2119
    @honoratkallamu2119 3 года назад

    Hongera sana Baba kwakweli maneno yako ni yenye busara

  • @renathamukinga9282
    @renathamukinga9282 3 года назад +1

    Amina. Mimi ni NYOTA

  • @simonmbawala247
    @simonmbawala247 3 года назад

    Safii sanaa baba ,,, ahsantee kwa mahubir yako

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 3 года назад +1

    Uko vizuri Baba love you

  • @bensonmwabulambo9663
    @bensonmwabulambo9663 9 месяцев назад

    Ahsante Sana, Abraham Lincoln

  • @godfreyoptatus3126
    @godfreyoptatus3126 3 года назад

    sita sitasita tena ubarikiwe sana fr.kamugisha

  • @josephmassawe3879
    @josephmassawe3879 3 года назад

    Mwenyezi Mungu humtunia mtukama atakavyo aendelea kukufany sauti yake duniani amina

  • @deusibazil7532
    @deusibazil7532 3 года назад +3

    Asante pd.kamugisha kwa mafundisho mazury mno

  • @leocadiabwire512
    @leocadiabwire512 2 года назад

    Ubarikiwe baba

  • @obadiahnsato5031
    @obadiahnsato5031 3 года назад +5

    Mimi Ni msabato ila sichoki kukusikiliza nabarikiwa sana kwa ujumbe wako, mpaka watu wananishangaa kwa kukusikiliza kila siku

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 3 года назад

    Good job baba

  • @JohnboscoNgailo
    @JohnboscoNgailo 4 месяца назад

    Mungu akubariki father

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 3 года назад +3

    Barikiwe sana Padri wa Mungu 🙏❤️❤️

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 10 месяцев назад

    Mungu mwema aendelee kukulinda baba

  • @ProsenceKahwa
    @ProsenceKahwa 4 месяца назад

    Nimekubali waitu kasinge

  • @SereniTea11
    @SereniTea11 3 года назад

    Hongera sana Padri Kwa mafundisho mazuri

  • @alexanthonymukasa3861
    @alexanthonymukasa3861 3 года назад +2

    Nimebarikiwa kwa mahubiri yako mtumishi!!

  • @jenipherkyando4822
    @jenipherkyando4822 3 года назад +2

    Asante sana baba hakika unatuponya

  • @jovinusdavid3071
    @jovinusdavid3071 3 года назад

    Amina sana,Mungu akulinde Baba

  • @AgripaMugala-sq5vf
    @AgripaMugala-sq5vf 11 месяцев назад

    Amina

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 3 года назад +2

    Baba kamugisha upo vizuri sana

  • @malindisamwel7630
    @malindisamwel7630 3 года назад

    Barikiwe Sana mtumishi

  • @yustjacob3095
    @yustjacob3095 3 года назад

    barikiwa xna bb paroko nimepata nguvu mpya hakika

  • @marymary8313
    @marymary8313 3 года назад +1

    Amen 🙏🙏

  • @obadiahnsato5031
    @obadiahnsato5031 3 года назад +1

    Hakika wewe Ni padre wa tofauti sana, unafundisha vizuri sana

    • @thomasemmanuel4818
      @thomasemmanuel4818 3 года назад

      Ujamjua pAdre shukrani ww parokia ya karoli lwanga yombodovya Dar es salaam.nimoto wakuoteambali mahubr yk hutak amalize

    • @thomasemmanuel4818
      @thomasemmanuel4818 3 года назад

      Ujamjua pAdre shukrani ww parokia ya karoli lwanga yombodovya Dar es salaam.nimoto wakuoteambali mahubr yk hutak amalize

  • @josephmoses8366
    @josephmoses8366 3 года назад

    Ubarikiwe. Saaàaana

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 3 года назад +3

    Padre KAMUGISHA WA BUKOBA 🏊🏊🚴🤾🤸🤳🙏🗣️🗣️🗣️

  • @gidionmibaluro7085
    @gidionmibaluro7085 3 года назад

    nakupenda sana padre..........unajua kutufundisha Mungu akpe nguvu

  • @fidelisgideon4798
    @fidelisgideon4798 3 года назад +3

    Be blessed

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад

    Ni zawadi kutoka kwa Mungy tumshukuru Mungu na atufunulie wengi

  • @devothasintoro5909
    @devothasintoro5909 3 года назад

    Barikiwa Baba

  • @samuelndegwamburu3273
    @samuelndegwamburu3273 3 года назад

    What a preacher, Kamugisha si uje Kenya uwasaindie wahubiri wetu they only think of usipotoa hutabalikiwa na saa hiyo huna kitu kwa mfuko

  • @dicksonmwaniki8017
    @dicksonmwaniki8017 3 года назад

    Maneno yako wananijenga Barikiwa

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 3 года назад +1

    Padre mbarikiwa huwa unanibariki saana sichoki kukusikiliza Mahubiri yako yanabariki wengi ninahakika.

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 года назад

    Amen

  • @brigmtafutanjia4561
    @brigmtafutanjia4561 3 года назад

    Mungu akukumbuke father Kamugisha.

  • @iddimgombero6853
    @iddimgombero6853 3 года назад +2

    Kweli baba

  • @johnmwingira1041
    @johnmwingira1041 3 года назад

    Somo Zuri Padre Kamugisha

  • @edwardnyema2603
    @edwardnyema2603 3 года назад +1

    Amina baba baroko

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 года назад +2

    Najisikia machozi kunitoka Kwa kuguswa na mafundisho yanayochoma moyo. Namshukuru Baba wa mbinguni kwa zawadi ya MTUMISHI wake kwetu ili tupate moyo mpya wa matumaini.

  • @agnesamos8768
    @agnesamos8768 3 года назад

    Amina Kuhani mkuu

    • @mikehangaya6867
      @mikehangaya6867 3 года назад

      Barikiwa sana baba

    • @sangisijacob4441
      @sangisijacob4441 3 года назад +1

      Mwenyezi Mungu azidi kuimarisha Afya yako Baba ili uzidi kutulisha neno la Mungu.ubarikiwe Mtumishi.Amna.

  • @dicksonlesijila4542
    @dicksonlesijila4542 3 года назад +2

    Wahaya ndivyo wali vyo Wasomi JAMANI

  • @jonasigodfrey7623
    @jonasigodfrey7623 3 года назад

    Naomba kupata namba za mtumishi kamugisha

  • @arnoldbagambisa7545
    @arnoldbagambisa7545 3 года назад

    Hongera Padre

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 3 года назад

    Father Kamugisha ,
    Mungu mwenyezi azidi kukupa hekima, ujasiri, na maarifa.

  • @sadothaudax4744
    @sadothaudax4744 2 года назад

    Akika MJNGU analo kusudi kubwa la kukuumba, Ili ndilo kusudi arisi la wewe kuletwa Duniani:
    Naungana na watu wote Pande zote za Dunia kukuombea baraka na fanaka za MUNGU zizidi kukuminikia . Maana wewe unayo nia ya Kristu sababu wewe ni mwana wa Kristu songa mbele uskata tamaa Maana mbele mbele yako kuna nulu hakuna jambo litakalo shindikana MUNGU yu pamoja nawe;

  • @mussaduma8638
    @mussaduma8638 3 года назад

    Fadha nakupigia saluti kwa neno

  • @newworldvisiontv8998
    @newworldvisiontv8998 3 года назад +1

    Long life

  • @abelmkayala1573
    @abelmkayala1573 3 года назад

    Leo sijajutia mb zangu ubarikiwe Padri

  • @anithamtungilehi3327
    @anithamtungilehi3327 4 месяца назад

    Yani toka siku nilipo pata kipande cha mahubiri yake niliama kuangalia vitu vingine nikaamia kusikiliza kila siku yani nisipo msikiliza sijisikii raha

  • @edsonmrope1187
    @edsonmrope1187 3 года назад +1

    Sichoki mafundisho yako hakika unastahili pongezi

  • @fredmramba6612
    @fredmramba6612 3 года назад +2

    Kabisa mbona Alina watu siku hizi watu hawasali wamemsahau mungu kabisa wako bize na starehe za dunia

    • @onesphorychami1227
      @onesphorychami1227 3 года назад

      Hakika Mungu ni mwema, Asante Sana kwa mafundisho mazuri Mungu azidi kukutunza.

    • @kainibachungege3430
      @kainibachungege3430 3 года назад

      Dr father Kamugisha Ni Mhubiri wa Kimataifa. Tunashukuru kwa walio mkuza, mlea Tunafaidi Sana Mafundisho yake. Let The Almighty God Bless Him.

    • @salvatorymawenya4178
      @salvatorymawenya4178 3 года назад

      @@kainibachungege3430 Asante mahuburi mazuri

  • @stevenjohn3688
    @stevenjohn3688 3 года назад

    Mbona hamsali, kweli mahubiri haya mazuri kwa watu wachache hivyo. Tubadilike wapendwa.

  • @johnjohansen3073
    @johnjohansen3073 3 года назад

    Nimebarikiwa na mahubiri yako pd ubarikiwe

  • @MagokoNikolaus
    @MagokoNikolaus 22 дня назад

    Hakika

  • @condradmakoronja9757
    @condradmakoronja9757 3 года назад

    WW NI KAMANDA ISHI MIAKA MINGI

  • @ProsenceKahwa
    @ProsenceKahwa 4 месяца назад

    Ulimushaija wamani

  • @justinajosephat6707
    @justinajosephat6707 3 года назад +4

    Barikiwa baba, mungu akutunze

  • @prissmichael407
    @prissmichael407 3 года назад +3

    Be blessed