Shuhudia mbwembwe za Pd Kamugisha/aweka mambo Hadharani/ajibu sababu Mungu kutojibu maombi ya watu..
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Mafundisho mengine Mapya kabisa kutoka kwa Padre Dkt Faustine Kamugisha, Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo katoliki la BUKOBA.
Tutashukuru kuona maoni yako kwenye Comment ukimtakia neno la Baraka na Matashi mema katika utume wake ambao Mungu mwenyewe Amemuitia.
#BreezOnlineTv #PdKamugisha
Breez Online Tv
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: / breez-online. .
Instagram:Breez Online Tv
Father ubarikiwe sana Mungu atungulie kwa kazi Yesu unayoifanya.
SAWA kabisa fr. Unahubiri injili ya Bwana wetu Yesu Kristo!. Ubarikiwe sana
Amina sana fr unanisaidia sana Mungu akubariki sana
Nimepata faraja sana. Mungu akupiganie, na kukuza talanta yako Father wetu
Amina fr nimebarikiwa sana .Mungu akubariki
Nabarikiwa sana baba
Sina cha kukulipa nakuombea Mungu azidi kukupa uzima
Asante Fr. Kamugisha. Karibu pia MWANZA ukatuinjilishe ikiwezekana hata kwenye familia.🙏🙏🙏.
Nabarikiwa mno mtumishi
Mungu azidi kukubariki. baba.
Asante baba kwa mahubiri Yako tumepokea.
Asante kwa Mungu kwa ajili ya vipaji alivyo viweka kwa Mtumishi wake Padre Faustin Kamugisha.
Asante sana mungu akubariki sana kwakutoa mafundisho mazuri 6:13 6:15
mungu akubariki sana fr kwa mafundisho mazuri kweli unatufungua ufahamu wetu juu ya maisha yetu asnte sana fr
Amen Amen baba fr Kamugisha unafungua moyo wangu,MUNGU akubariki kwa kweli
Good bless you Fr
Ahsante baba paroko kamgisha kwa mafundisho mazuri umeifanya siku yangu kuwa nzuri mungu akubariki
So inspiring, long live Fr.
Asante MUNGU kwa mtumishi
Wako kamgisha ibariki kazi ya mikono yake
Asante sanaa Baba padre weed umekuza baraka kwetu.
Ashukuliwe mungu.
Mahubiri haya ni mazuri Sana Hongeera Sana father kamugisha karibu parokiani kwetu mbozi Jimbo kuu la mbeya.
Asante sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
Amina
Ubarikiwe sana.asante mungu kw mtumishi
Mungu akubariki sana Fr kwa maundisho mazurii
Asante sana padre kwa mafundisho mazuri..Mungu akubariki.
Amina baba kamugisha. Umenitia nguvu sana
Nabarikiwa sana na mtumishi huyu
Fr ww ni intellectual kabisa, mimi nimepona kwa mahubiri yako
Asante kwa mafundisho mazuri
OGod strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.
ASante ubarikiwe mungu azidi kukupa. Mafunuo mapya
Mungu akutie nguvu Fr . Kwa mafundisho yako mazuri sana
MUNGU akutie nguvu siku zote za maisha yako. Maana sauti yako Ni uzima wetu. MUNGU AKUBARIKI SAANA kwa mafundisho yako
Barikiwa sana Baba 🙏🙏🙏
mungu akuimarishe uzidi kutulisha neno
Barikiwa Sana
Amina sanaaa.
asante kwa kutuinjilisha na kutuelimisha
Tunafarijika na mahubiri yako baba
Amen fr.
Amina. Amina
Padre barikiwa sana kwa mafundisho.,,,
Amina Fr Mungu akubariki uzidi kutulisha neno la Mungu
Huwezi kuchoka kumsikiliza huyu Father
✅
In bad dids there is good dids.
yatimie.. tumekubali yatimie
🙏🙏🙏🔥🔥🔥.
Mungu akubariki kwa kaz nzuri
Amina sana Baba ubarikiwe
Jamani fr kamugisha unaponya majeraha ya moyo wangu
awezi kuwa padri uyo nimchungaj
Unachekesha sana. Mchungaji ni nani na padre ni nani. Ni mchanga wewe ktk ukristo
Amina
Amina
Unafanya kazi nzuri sana baba hakikia m binafsi nmebarikiwa sana kupitia mafundisho yako ,huwa yananitia faraja sana na moyo wa kusonga mbele
Ahsante sana baba Mungu akupe nguvu na ufahamu zaidi ili uzidi kutulisha chakula cha kiroho,AMINA
Mtumishi Mungu aendelee kukutumia unanibariki Sana Tena sana
Amina mtumishi
Amina tunabarikiwa