Shuhudia mbwembwe za Pd Kamugisha/aweka mambo Hadharani/ajibu sababu Mungu kutojibu maombi ya watu..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Mafundisho mengine Mapya kabisa kutoka kwa Padre Dkt Faustine Kamugisha, Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo katoliki la BUKOBA.
    Tutashukuru kuona maoni yako kwenye Comment ukimtakia neno la Baraka na Matashi mema katika utume wake ambao Mungu mwenyewe Amemuitia.
    #BreezOnlineTv​​​​​​​​​​​​​ #PdKamugisha
    Breez Online Tv
    S.L.P 38655
    Dar Es Salaam Tanzania
    Phone No: +255 756494796
    Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: breez online Tv
    Facebook Link: / breez-online. .
    Instagram:Breez Online Tv

Комментарии • 60

  • @MariestaKavishe
    @MariestaKavishe 4 месяца назад +1

    Father ubarikiwe sana Mungu atungulie kwa kazi Yesu unayoifanya.

  • @DavidChemka
    @DavidChemka 9 месяцев назад +1

    SAWA kabisa fr. Unahubiri injili ya Bwana wetu Yesu Kristo!. Ubarikiwe sana

  • @brandinahongerasanabugomba1583
    @brandinahongerasanabugomba1583 3 года назад +4

    Amina sana fr unanisaidia sana Mungu akubariki sana

  • @Laswaididas
    @Laswaididas 2 месяца назад

    Nimepata faraja sana. Mungu akupiganie, na kukuza talanta yako Father wetu

  • @doriceswai1854
    @doriceswai1854 2 месяца назад

    Amina fr nimebarikiwa sana .Mungu akubariki

  • @leonardmagesa7129
    @leonardmagesa7129 3 года назад +2

    Nabarikiwa sana baba
    Sina cha kukulipa nakuombea Mungu azidi kukupa uzima

  • @sylicheriabatao2
    @sylicheriabatao2 Год назад

    Asante Fr. Kamugisha. Karibu pia MWANZA ukatuinjilishe ikiwezekana hata kwenye familia.🙏🙏🙏.

  • @venaslutandula7152
    @venaslutandula7152 3 года назад +3

    Nabarikiwa mno mtumishi

  • @hildaapolinary
    @hildaapolinary 3 месяца назад

    Mungu azidi kukubariki. baba.

  • @JosephJoseph-h1s
    @JosephJoseph-h1s 2 месяца назад

    Asante baba kwa mahubiri Yako tumepokea.

  • @tusengecele1012
    @tusengecele1012 Год назад

    Asante kwa Mungu kwa ajili ya vipaji alivyo viweka kwa Mtumishi wake Padre Faustin Kamugisha.

  • @FebraniaMlilwo
    @FebraniaMlilwo Год назад

    Asante sana mungu akubariki sana kwakutoa mafundisho mazuri 6:13 6:15

  • @dominahango7261
    @dominahango7261 Год назад

    mungu akubariki sana fr kwa mafundisho mazuri kweli unatufungua ufahamu wetu juu ya maisha yetu asnte sana fr

  • @JeanneMutabazi-ze6vl
    @JeanneMutabazi-ze6vl Год назад

    Amen Amen baba fr Kamugisha unafungua moyo wangu,MUNGU akubariki kwa kweli

  • @LetiyoMary
    @LetiyoMary Год назад

    Good bless you Fr

  • @mselumonica3046
    @mselumonica3046 3 года назад

    Ahsante baba paroko kamgisha kwa mafundisho mazuri umeifanya siku yangu kuwa nzuri mungu akubariki

  • @uttumary6537
    @uttumary6537 Год назад +1

    So inspiring, long live Fr.

  • @fastonngatulile6628
    @fastonngatulile6628 3 года назад

    Asante MUNGU kwa mtumishi
    Wako kamgisha ibariki kazi ya mikono yake

  • @MkushiGodfried
    @MkushiGodfried Год назад

    Asante sanaa Baba padre weed umekuza baraka kwetu.

  • @FraiscaAngalia
    @FraiscaAngalia 17 дней назад

    Ashukuliwe mungu.

  • @friminmosha6164
    @friminmosha6164 Год назад

    Mahubiri haya ni mazuri Sana Hongeera Sana father kamugisha karibu parokiani kwetu mbozi Jimbo kuu la mbeya.

  • @LadislausOdilo
    @LadislausOdilo Год назад

    Asante sana Mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @fellytemba9064
    @fellytemba9064 Год назад +1

    Amina

  • @thggctghcct5701
    @thggctghcct5701 Год назад

    Ubarikiwe sana.asante mungu kw mtumishi

  • @fallyipupa2844
    @fallyipupa2844 3 года назад

    Mungu akubariki sana Fr kwa maundisho mazurii

  • @fransiscadomician7716
    @fransiscadomician7716 3 года назад

    Asante sana padre kwa mafundisho mazuri..Mungu akubariki.

  • @wilbroadngingo7464
    @wilbroadngingo7464 9 месяцев назад

    Amina baba kamugisha. Umenitia nguvu sana

  • @henrypengele4737
    @henrypengele4737 3 года назад +1

    Nabarikiwa sana na mtumishi huyu

  • @mussamabula-zt8zf
    @mussamabula-zt8zf 2 месяца назад

    Fr ww ni intellectual kabisa, mimi nimepona kwa mahubiri yako

  • @justusndyamukama4808
    @justusndyamukama4808 3 года назад +1

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @pasilisajerono7409
    @pasilisajerono7409 3 года назад +2

    OGod strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.

    • @halimacasian1287
      @halimacasian1287 3 года назад

      ASante ubarikiwe mungu azidi kukupa. Mafunuo mapya

    • @pleystill9913
      @pleystill9913 Год назад

      Mungu akutie nguvu Fr . Kwa mafundisho yako mazuri sana

  • @jenifasebeje7866
    @jenifasebeje7866 Год назад

    MUNGU akutie nguvu siku zote za maisha yako. Maana sauti yako Ni uzima wetu. MUNGU AKUBARIKI SAANA kwa mafundisho yako

  • @agnesndetaramo7209
    @agnesndetaramo7209 Год назад

    Barikiwa sana Baba 🙏🙏🙏

  • @esteranastazi5244
    @esteranastazi5244 3 года назад

    mungu akuimarishe uzidi kutulisha neno

  • @tumainmkonda1211
    @tumainmkonda1211 2 года назад

    Barikiwa Sana

  • @rwelamilaemmanuel-sv6bt
    @rwelamilaemmanuel-sv6bt Год назад

    Amina sanaaa.

  • @johanessvedasto1467
    @johanessvedasto1467 Год назад

    asante kwa kutuinjilisha na kutuelimisha

  • @joycefabian6212
    @joycefabian6212 5 месяцев назад

    Tunafarijika na mahubiri yako baba

  • @marymary8313
    @marymary8313 2 года назад

    Amen fr.

  • @kosorataniyozonkiza2210
    @kosorataniyozonkiza2210 3 года назад +3

    Amina. Amina

  • @IreneMtende
    @IreneMtende Год назад

  • @enockfumbuka107
    @enockfumbuka107 2 года назад

    In bad dids there is good dids.

  • @JasperDavidMugambi
    @JasperDavidMugambi 5 месяцев назад

    yatimie.. tumekubali yatimie

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit7970 3 года назад

    🙏🙏🙏🔥🔥🔥.

  • @fabiolapanga1933
    @fabiolapanga1933 2 года назад

    Jamani fr kamugisha unaponya majeraha ya moyo wangu

  • @stivutitus963
    @stivutitus963 3 года назад

    awezi kuwa padri uyo nimchungaj

    • @JulianaCelestine-o1f
      @JulianaCelestine-o1f Год назад

      Unachekesha sana. Mchungaji ni nani na padre ni nani. Ni mchanga wewe ktk ukristo

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 месяца назад

    Amina

  • @elizamsigwa7251
    @elizamsigwa7251 3 года назад +1

    Amina

    • @leonardmagesa7129
      @leonardmagesa7129 3 года назад

      Unafanya kazi nzuri sana baba hakikia m binafsi nmebarikiwa sana kupitia mafundisho yako ,huwa yananitia faraja sana na moyo wa kusonga mbele
      Ahsante sana baba Mungu akupe nguvu na ufahamu zaidi ili uzidi kutulisha chakula cha kiroho,AMINA

    • @anordgodibless1361
      @anordgodibless1361 3 года назад +1

      Mtumishi Mungu aendelee kukutumia unanibariki Sana Tena sana

    • @consiliazakaria3219
      @consiliazakaria3219 2 года назад +1

      Amina mtumishi

    • @batiforakihwele7731
      @batiforakihwele7731 Год назад

      Amina tunabarikiwa