![Radio Mbiu](/img/default-banner.jpg)
- Видео 1 041
- Просмотров 2 235 597
Radio Mbiu
Танзания
Добавлен 13 сен 2017
Sauti ya Faraja
The Voice of Comfort
The Voice of Comfort
Historia Kanisa Maswali na Majibu: Swali: Je Paulo na Petro waliuwawa kwa kifo gani.?
Swali: Je Paulo na Petro waliuwawa kwa kifo gani.?
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Просмотров: 174
Видео
Historia Kanisa Maswali na Majibu: Kwenye Biblia mbona hatuwaoni Makabayo.?
Просмотров 24914 часов назад
Swali: Kuanzia mitume wa Yesu kuanzia Musa hadi Ufunuo mbona hatuwaoni Makabayo.? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga. www.rad...
Historia Kanisa Maswali na Majibu; Kubatizwa mtoto au mkubwa ipi ni sawa .?
Просмотров 22616 часов назад
Swai: Kubatizwa mtoto au mkubwa ipi ni sawa .? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga. www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja
HISTORIA KANISA: Dhambi nyepesi au ndogo maana yake nini.?
Просмотров 21219 часов назад
Maswali na Majibu Swali. Dhambi nyepesi au dhambi ndogo maana yake nini.? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga. www.radiombiu.c...
HISTORIA KANISA: Naomba kujua mbona Kamilius simsikii kwenye mtiriko wa Watakatifu.?
Просмотров 22221 час назад
Maswali na Majibu Swali. Mtakatifu Kamilius mbona simsikii kwenye mtiririko wa Watakatifu.? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibang...
Askofu Mwijage:Kupunguza uzao ni kuangamiza Taifa/ushoga haukubaliki.
Просмотров 210День назад
Sehemu ya Homilia ya Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba. Katika misa ya Hija kwa heshima ya Mtakatifu Yohane Maria Muzeyi kutoka katika kituo cha hija Kishomberwa Parokia ya Mtakatifu Yohane Maria Muzeyi-Minziro Jimboni Bukoba.
HISTORIA KANISA: Seminari ya kwanza Tanzania.
Просмотров 420День назад
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga. www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja
HISTORIA YA KANISA MASWALI NA MAJIBU. -Kwani Kaburi inaitwa nyumba ya milele.?
Просмотров 267День назад
Maswali na Majibu Swali. Jiwe ambalo Yesu alivingirishiwa juu ya kaburi bado lipo.? Kwanini watu huita kaburi nyumba ya milele.? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki B...
HISTORIA YA KANISA MASWALI NA MAJIBU. MITUME KUHUBIRI INJILI
Просмотров 249День назад
Maswali na Majibu Swali. Ni kweli baada ya Yesu kupaa mbinguni mitume walikaa miaka mitatu kabla ya kuhubiri injili.? Ni sawa kutumia neno hekalu badala ya kanisa.? Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kila...
Askofu Mwijage: Usimpangie Mungu muda na kumfungia / "Paroko Wasadieni waamini kupokea Masakramenti"
Просмотров 41214 дней назад
Ni homilia iliyotolewa na Askofu Jovitus Mwijage Askofu Jimbo Katoliki Bukoba
Padre Arsenius Muchunguzi: Imani thabiti hutupeleka kwa Mungu/Mungu hutumia viumbe dhaifu.
Просмотров 20114 дней назад
Sehemu ya Homilia iliyotolewa na Padre Arsenius Muchunguzi Paroko msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Lusia-Bumai Jimbo Katoliki la Bukoba. Dominika ya 14 Mwaka B wa Kanisa kutoka Kigango cha Igabilo Parokia ya Bumai Jimboni Bukoba. www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja
Askofu Mwijage abainisha utoaji Sakramenti na kuzika waamini wasiojiweza kifedha/ "Tusidanganywe"
Просмотров 5 тыс.14 дней назад
Askofu Mwijage abainisha utoaji Sakramenti na kuzika waamini wasiojiweza kifedha/ "Tusidanganywe"
Hotuba ya Askofu Mwijage Mapokezi ziara ya Kichungaji Parokia ya Kijwire - Bukoba
Просмотров 1 тыс.14 дней назад
Hotuba ya Askofu Mwijage Mapokezi ziara ya Kichungaji Parokia ya Kijwire - Bukoba
Askofu Mwijage atoa maelekezo kupatikana usafiri Kisiwani
Просмотров 84414 дней назад
Askofu Mwijage atoa maelekezo kupatikana usafiri Kisiwani
Askofu Mwijage aeleza sababu kusitisha Kongamano Karismatiki Bukoba.
Просмотров 6 тыс.21 день назад
Askofu Mwijage aeleza sababu kusitisha Kongamano Karismatiki Bukoba.
Mafrateri wa Ntungamo wapiga gwaride kuonyesha ukakamavu mbele ya Askofu Rweyongeza 2024.
Просмотров 10 тыс.Месяц назад
Mafrateri wa Ntungamo wapiga gwaride kuonyesha ukakamavu mbele ya Askofu Rweyongeza 2024.
Mikopo umiza ni kikwazo / Wananchi wahimizwa kujiandikisha kupiga kura. "Elimu jamii"
Просмотров 334Месяц назад
Mikopo umiza ni kikwazo / Wananchi wahimizwa kujiandikisha kupiga kura. "Elimu jamii"
NI WAPI..? Kwaya ya Bikira Maria nyota ya Bahari - Bumbire ; Jimbo Katoliki Bukoba -
Просмотров 457Месяц назад
NI WAPI..? Kwaya ya Bikira Maria nyota ya Bahari - Bumbire ; Jimbo Katoliki Bukoba -
Padre Bandiho afungisha ndoa jozi 101 / Bila msamaha familia itakua uwanja wa vita
Просмотров 8222 месяца назад
Padre Bandiho afungisha ndoa jozi 101 / Bila msamaha familia itakua uwanja wa vita
Wimbo wa Roho Mtakatifu (Pentekoste) kwa lugha ya asili / Kasherelo Bukoba
Просмотров 1,3 тыс.2 месяца назад
Wimbo wa Roho Mtakatifu (Pentekoste) kwa lugha ya asili / Kasherelo Bukoba
Padre Dkt Kamugisha: Adui wa mwalimu ni mwalimu/ "Vya bure aliaga dunia"/ Nyota itaonekana
Просмотров 1,8 тыс.2 месяца назад
Padre Dkt Kamugisha: Adui wa mwalimu ni mwalimu/ "Vya bure aliaga dunia"/ Nyota itaonekana
Askofu Mwijage akabidhiwa zawadi ya gari Bukoba./ Atoa salamu kwa waamini
Просмотров 3,1 тыс.2 месяца назад
Askofu Mwijage akabidhiwa zawadi ya gari Bukoba./ Atoa salamu kwa waamini
Padre Dkt Kamugisha : Vya thamani vinafichwa/ Usimjaribu mjaribu
Просмотров 1,6 тыс.2 месяца назад
Padre Dkt Kamugisha : Vya thamani vinafichwa/ Usimjaribu mjaribu
Askofu Mwijage: Epukeni vizibiti Mimba/ Muwe na Upole, kiasi na uvumilivu.
Просмотров 9372 месяца назад
Askofu Mwijage: Epukeni vizibiti Mimba/ Muwe na Upole, kiasi na uvumilivu.
Askofu Kilaini: Tuishi na watu vizuri tusiwe wachonganishi/ Watu wanashindwa sababu ya Mahusiano
Просмотров 5642 месяца назад
Askofu Kilaini: Tuishi na watu vizuri tusiwe wachonganishi/ Watu wanashindwa sababu ya Mahusiano
Padre Muchunguzi: Tuwe wakarimu kwa wengine/ Usidharau ulichonacho
Просмотров 9063 месяца назад
Padre Muchunguzi: Tuwe wakarimu kwa wengine/ Usidharau ulichonacho
Padre Dkt Kamugisha: Msamaha/ Sharti la kusamehewa ni kusamehe
Просмотров 1,5 тыс.3 месяца назад
Padre Dkt Kamugisha: Msamaha/ Sharti la kusamehewa ni kusamehe
Askofu Mwijage: Tusiogope kusema kweli daima/ Mafrater waweka kiapo cha Useja.
Просмотров 4474 месяца назад
Askofu Mwijage: Tusiogope kusema kweli daima/ Mafrater waweka kiapo cha Useja.
Mafrater Bukoba walivyoweka kiapo cha Useja mbele ya Askofu Mwijage/ "Tunzeni viapo vyenu"
Просмотров 2,8 тыс.4 месяца назад
Mafrater Bukoba walivyoweka kiapo cha Useja mbele ya Askofu Mwijage/ "Tunzeni viapo vyenu"
Askofu Kilaini : Kufanya mazuri sio adhabu/ Mungu anasamehe/ changia Radio ya Mama
Просмотров 4104 месяца назад
Askofu Kilaini : Kufanya mazuri sio adhabu/ Mungu anasamehe/ changia Radio ya Mama
Tumsifu Yesu Kristu. Nilinyamazishwa na baba yangu nisikuwe mtawa nikanyamaza kwa kuwa sikujua kujitetea, watoto wangu wako na huo moyo wa upadre na utawa na ninawapea moyo. Sitawanyamazisha na Yesu awateende . Barikiwa sana padre nakufuatilia nikiwa Meru Kenya.
Edna richard
asante sana fadher
Mungu akubariki sanaaa babaa kamugisha
Aminaa
Amina
Amina
Karismatiki Katoliki haina shida na wala haipingani na imani yetu ya Katoliki hakuna kitu chochote cha Kikatoliki ambacho Karismatiki inapinga shida ni pale watu kama hawana uelewa juu ya Karismatiki
Nasadiki kwa kanisa Moja, Takatifu katoriki la Mitume✍️ Hapa ndipo Nyumbani kwangu🙏
Tumsifu yesu kristo
Tunashukuru Baba Askofu basi tubadilishe haya mazingira na mapadre waongeze nguvu ktk kusaidia hili na watu wakae karibu na waamini
Ni kweli, mapadre wengi hawawasaidii waamini,. Wao ni kusisitiza waamini wasiotoa michango hawapewi masakramenti. Waamini wana mahangahiko kweli
Ahsante sana Fr , ubarikiwe sana , aisee! uko vizuri mno .
Asante MUNGU kwa ajili ya mtumishi wako
Hongera sana mdogo wetu kwa utume. Bila shaka ndugu zako wa Katatorwansi wanajivunia uwepo wako.
Asante sana Baba Padre kwa Ujumbe mzuri
Kanisa lijitafakari, liwekeze kwenye katekesi Waamini walio wengi wana mahangaiko. Mapadre, maaskofu na wengine watoe katekesi Waache. alichoita Papa clericalism
Unaweza kumlazimisha punda kunywa maji? Kanisa limeshajenga katekesi yake iliyokamilika na linaitoa kila siku sasa wewe huoni umeamua kutoelewa unatangatanga kiimani. Kosa la nani?
Hongera sana bab askofu
Jimbo gani
Asante baba Askofu kwa kuhimarisha imani.Baba Paroko huo msalaba ni wa kilutheri sio crucifix yetu wakatoliki😂
Hongera sana baba askofu, maana ni hiyo hiyo ya kuchomekwa chomekwa maudhui ya kinyume chetu(catholic) 💪🏿💪🏿🙏🙏
Catholic ni shule kuu ya ukweli na itabaki kuwa hivyo.💪🏿🙏🙏
Asante sana baba.lakin paroko wa parokia ajitathimin kwa kanisa hili.
Kun mazingira bado hali ni ngumu uko vigangoni
kweli lipo local sanaa
Anza wewe kuchangia ujenzi wa kanisa zuri sio unaropoka tu, hivi umezunguka nchi nzima hii ukaona hali ya watu ilivyo au?
Paroko afanyeje sasa. anza mchango. Hongereni sana Kwa hatua hii. Kanisa ni watu.
Asante Baba Askofu kutembelea vigangoni umejionea mwenyewe Hali ilivyo huko
Fr mungu anamakusudi yakukuweka kwenye utume wa Wa kichugaji Ili kusaidia jamii
Ni kweli
Ee Mungu nijalie kujali shida za wengine
🙏
Anavyo ongea utafikiri yeye ni MTAKATAFU
Amina
Ongera sana kwa maubili yako pdr kamungisha nakufutilia sana
Hongera baba kwa msimamo wako
Hongera sana broo Sauro kwa kujitoa Mwenyezi Mungu akubalik sana
Hongereni sana mapadri wa kesho
Nimekipenda hiki kitu. Safi sana Mafrateli. Hakuna kukaa nyoronyoro kanisani
Tatizo mnatumia nguvu za kuwadharau badala ya kuwaelekeza na kutoa miongozo mizuri hapo Bukoba wanaokuzunguka wanakufanyia unafiki wa mapadare hao ni shida tupu
Hawa watu Wana asili ya ubishi hawataki kuelekezwa yani
Karismatic ni karisma...au karama...na kila mtu ana karama ya Mungu ndani yake..nawaomba maaskofu na mapadre msimzuie roho mtakatifu kwa kazi yake ya kufufua karama za wakristo..sas hivi waumini wengi wa kanisa katoliki wanapukutika kwa sababu ya kurubuniwa na nadhehebu mengine ..wanadanganywa na wengi wana shahuku ya kulijua neno Mungu kupitia madhehebu mengine...karsmatiki imewasaidia wakatoliki wengi kurudi kundini . Baba askofu nakuomba chonde chonde utambuwe kuwa wakristo wakatoliki wanakwisha kanisa linabaki na majengo tu.. ingia mtaani kwako tazama jinsi madhehebu yanavyofunguliwa ndani ya wiki moja watu wameshajaa. Na wote hawo ni wakatoliki wamajazana humo. Je unalijuwa hilo ? wale wanaokuja kanisani ni wachache sana lakini wale wanaobaki majumbani ni wengi sana..je watu kama hawo ni nani wa kuwasaidia ? Baba ufike wakati turuhusu pumzi mpya ya roho mtakatifu ndani ya mioyo yetu...baba soma alama za nyakati..unaibiwaaaa waumini wako....kondoo wanamezwa na simba angurumae (yaani shetani)..wakristo wakatoliki tuna shauku ya kulijuwa Neno la mungu . Ninyi mmesoma vizuri sana huko seminarini na kwenye vyuo mbali mbali ..Elimu ya biblia mnayo ' kwanini sisi waimini wenu hatulijuwi neno la Mungu ?..je leo mimi nkiwa mchawi na nikitumaini kwa mganga wa kienyeji kwa kutolijuwa neno la mungu unaweza ukanihukumu ? wa kulaumiwa ni nani leo nikiwa mchawi ? baba zangu maaskofu sisi tunawatii natumekubali kutii maagizo yenu ila tunaomba basi mtufundishe Neno la Mungu kwa undani na lituingie vema ndani ya mioyo yetu. ..yawepo maombi ya kuwaombea wenye shida mbali mbali ..semina za neno la Mungu na kuvunja laana na mikosi na muzimu ya mababu....mababa zetu ukitaka kulijuwa vizuri kanisa letu ingia maeneo wanayoishi wakristo wakatoliki utagundua kuwa asilimia.kubwa ya wakristo wakatoliki hawana tofauti na wapagani maana kwa waganga.wanaenda na matambiko wanafanya na wengine wanatembea na hirizi mifukoni . Lakini kanisani wanakuja na wrngine wanakomunika. yote haya wanayafanya kwa sababu Neno la uzima halimo ndani mwao.. kama lipo ni kudogo sana.. Bibliia inasema : Neno la mungu na likae kwa wingi ndani ya mioyo yenu....Neno ni kinga ' Ekaristi ni kinga maana ni Yesu mwenyewe..lakini Ekaristi pasipo nguvu ya neno lake bado tunakosa nguvu ya imani . Nina waomba maaskofu wate msizuiye karama za roho mtakatifu angalau mtusaidie na ninyi makuhani wetu wakati tukiwa kwenye makongamano ya injili muandamane na wanakarama hawa..makongamano ni muhimu ili kuwaendea wale.waio nje ya kanisa katoliki ili waisikie injili ya Yesu kristo ili watu waokolewe. Haleluuuuuyaaaaa. Jina la bwana libarikiwe...amina .Tumsifu Yesu kristo.
amina
Wakora baba omukama akwemere kasinge omukigambo kyantaha
Utii ni bora kuliko Sadaka
Mungu atusaidie Tufunguke Akili zetu. Wengi tumefungwa Fahamu tumekuwa watu wakuzusha Maneno na kupinga kazi ya Mungu isiendelee. Charismatic haitokaa ife hata siku moja. kitu cha kimungu kitadumu Milele
Nilitegemea utauliza Kwa nn ni hivyo kama hujui msingi wake Bora usingekiment kabisa
Cha kishetani ni kipi hapo sasa? 😊
Huyu ni anti Christ anawadumaza wakatoliki kiroho
Kabisa inahuzunisha sana
Shida sio karismatiki ila watu wanazidisha... Wanasahau km wao ni wakatoliki.. wanaenda zaid ya karismatiki ya kikatoliki..... Wengne kule bukoba walianza kuuza mafuta ya karismatik wew unaona sahih hiy
Hakika father umenena !!
Hongereni sana kwa ubunifu mkubwa wa kuwafanya mapadre wa kesho kuwa wakakamavu na vipaji vizuri sana. So proud!!
Karismatiki inatupoteza.
Mungu ni wa wote, KARISMATIKI ni karama ukifunga ipo ROHONI. maana hata wewe ASKOFU unakufuru ROHO MTAKATIFU. je huna karama????😢😢
😂😂😂😂 kanisa Lina mwongozo kusingekuwa na miongozo tusingekuwa hapa maana binadamu akili zetu nizakubustiana tu
@@anodearsulusi7536miongozo ya kanisa ni biblia hayo ya watu kujiongezea si kweli
Kuna uzushi mwingi kwenye karismatiki...hongera Baba Askofu. Huo ujumbe apate Askofu wangu
Maaskofu hawa ndo wenye akiri
kweli wewe ni askofu wakuigwa ahsante kwa kulinda imani katoliki
Safi sana baba ikiwezekana kataza kabisa
Hakika nimeburudika na wimbo huo hongera sana kwaya yangu Mungu aibariki katika utume .
Nimeipenda sana hii