Padre Arsenius Muchunguzi: Imani thabiti hutupeleka kwa Mungu/Mungu hutumia viumbe dhaifu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Sehemu ya Homilia iliyotolewa na Padre Arsenius Muchunguzi Paroko msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Lusia-Bumai Jimbo Katoliki la Bukoba. Dominika ya 14 Mwaka B wa Kanisa kutoka Kigango cha Igabilo Parokia ya Bumai Jimboni Bukoba.
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

Комментарии • 3

  • @ADERICKMUJUNI
    @ADERICKMUJUNI 2 месяца назад

    Asante sana Baba Padre kwa Ujumbe mzuri

  • @daviddeusdedith9922
    @daviddeusdedith9922 2 месяца назад

    Hongera sana mdogo wetu kwa utume. Bila shaka ndugu zako wa Katatorwansi wanajivunia uwepo wako.

  • @NamalaPothino
    @NamalaPothino 2 месяца назад

    Ahsante sana Fr , ubarikiwe sana , aisee! uko vizuri mno .