Askofu Mwijage akabidhiwa zawadi ya gari Bukoba./ Atoa salamu kwa waamini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Ni katika hafla ya kumkabidhi zawadi ya gari, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Mhashamu Jovitus Mwijage.
    Hafla iliyoongozwa na Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Askofu Method Kilaini katika viunga vya Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Bukoba na kuhudhuriwa na, Mapadre, Masista na viongozi wa Halmashauri ya Walei Jimbo Katoliki la Bukoba.
    www.radiombiu.co.tz
    #RmSautiYaFaraja

Комментарии • 3

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku 2 месяца назад

    Hongera sana broo Sauro kwa kujitoa Mwenyezi Mungu akubalik sana

  • @joejosca7594
    @joejosca7594 3 месяца назад

    Safi sana sana usafiri mzuri🎉

  • @melkisedekkaijage2777
    @melkisedekkaijage2777 3 месяца назад

    Hongera sana Baba Askofu Mwijage. Mwalimu wangu Rubya Seminary