Mafrateri wa Ntungamo wapiga gwaride kuonyesha ukakamavu mbele ya Askofu Rweyongeza 2024.
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2024
- Mhashamu Almachius Vicent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga. Ambaye alikua mgeni rasmi katika mahafali ya 59 ya Mafrateri waliohitimu masomo ya Falsafa katika Seminari kuu ya Mtakatifu Antony wa Padua-Ntungamo Jimbo Katoliki la Bukoba. Amewaomba wahitimu hao kupokea vizuri malezi waliyopewa ili kuwa mapadre wema,waaminifu na kutumikia watu kwa furaha.
www.radiombiu.co.tz
Hongereni sana mapadri wa kesho
Nimekipenda hiki kitu. Safi sana Mafrateli. Hakuna kukaa nyoronyoro kanisani
Wooow hongereni sana vijana wetu. Safi kabisa. Happy to see you guys you are amazing and blessed
Real amazing hongereni makamanda wa Yesu
Hongereni sana kwa ubunifu mkubwa wa kuwafanya mapadre wa kesho kuwa wakakamavu na vipaji vizuri sana. So proud!!
Nime enjoy sana catholic forever ⛪⛪
You're so amazing guys Good job keep up the spirit in saving the Lord
Hongereni saana maaskari wa Bwana wetu Yesu Kristu
hongera baba Angu askofu alimachius kwa kuwashauri vizuri
Hongera sana wanaseminari.
Indeed you are all round
Nimeipenda sana hii
Hii iko safi hongereni kwamba hata wakitokea wahalifu kanisani watakiona cha moto
Hongereni sana mafrate wetu.
Yes great job ....scout be prepared
Ataar sana hongera sana kanisa kathorik kanisa imara
Safi sana vijana wetu
Nimecheka sana...
Jamani, stulikubaliana ya jando yabaki jandoni?
Kwanini unafikiri hivyo mpendwa
Nimekuelewa sana, Kuna sababu za msingi!
Mmmmhhhhh..
Humo church usipotoa sadaka sijui itakuwaje😂😂
Wa Moshi hampo
Sasa hiyo ni seminari au kambi ya jeshi?. Kanisa katoliki acheni kujichanganya na mambo mengimengi ya dunia hii.
Wivu tu unakusumbua
Nyinyi shughulikeni na miujiza ya uongo. Padre mkatoliku lazima awe fit sio nyinyi kigezo cha kuwa mchungaji ni suti ya bei mbaya na kitambi
Jmn sio kwamba kujichanganya mjue kuwa waseminari wapo vizur ni wa kakamavu,pia mjue kuwa mapadre wapo vizru pia sio jeshi. Pia ni mazoezi ya viungo.
Kama ungelikuwa mkatoliki ungefahamu kwamba Padre anahudumia kimwili na kirohi. Kuna mapadre engineers, lawyers, doctors, economists na wanaohudumia vitani!
Ufinyu wa akili yako ndo utakufanya usielewe ila Kama zimo utaelewa 😂, think before. Mazoezi ni muhimu kwa kijana yeyote kupita chochote, Tena mazoezi kakamavu