Mafrateri wa Ntungamo wapiga gwaride kuonyesha ukakamavu mbele ya Askofu Rweyongeza 2024.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • Mhashamu Almachius Vicent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga. Ambaye alikua mgeni rasmi katika mahafali ya 59 ya Mafrateri waliohitimu masomo ya Falsafa katika Seminari kuu ya Mtakatifu Antony wa Padua-Ntungamo Jimbo Katoliki la Bukoba. Amewaomba wahitimu hao kupokea vizuri malezi waliyopewa ili kuwa mapadre wema,waaminifu na kutumikia watu kwa furaha.
    www.radiombiu.co.tz

Комментарии • 30

  • @user-xk7qc4xb5x
    @user-xk7qc4xb5x 19 дней назад

    Hongereni sana mapadri wa kesho

  • @mariamtepa1740
    @mariamtepa1740 19 дней назад

    Nimekipenda hiki kitu. Safi sana Mafrateli. Hakuna kukaa nyoronyoro kanisani

  • @rebeccasidere279
    @rebeccasidere279 29 дней назад +1

    Wooow hongereni sana vijana wetu. Safi kabisa. Happy to see you guys you are amazing and blessed

  • @jamesmsafiri1914
    @jamesmsafiri1914 26 дней назад +1

    Real amazing hongereni makamanda wa Yesu

  • @SurprisedAlpineSkiing-pe7lv
    @SurprisedAlpineSkiing-pe7lv 23 дня назад

    Hongereni sana kwa ubunifu mkubwa wa kuwafanya mapadre wa kesho kuwa wakakamavu na vipaji vizuri sana. So proud!!

  • @Luhalala
    @Luhalala 27 дней назад +1

    Nime enjoy sana catholic forever ⛪⛪

  • @VeronicaPeter-w8x
    @VeronicaPeter-w8x 28 дней назад

    You're so amazing guys Good job keep up the spirit in saving the Lord

  • @deominja532
    @deominja532 28 дней назад

    Hongereni saana maaskari wa Bwana wetu Yesu Kristu

  • @user-xo4gl3we1t
    @user-xo4gl3we1t 27 дней назад

    hongera baba Angu askofu alimachius kwa kuwashauri vizuri

  • @otwarangorongongo
    @otwarangorongongo 29 дней назад

    Hongera sana wanaseminari.
    Indeed you are all round

  • @EmanuelMakalla-wu1zu
    @EmanuelMakalla-wu1zu 24 дня назад

    Nimeipenda sana hii

  • @user-bi1gx5ss2u
    @user-bi1gx5ss2u 27 дней назад

    Hii iko safi hongereni kwamba hata wakitokea wahalifu kanisani watakiona cha moto

  • @Mwita-ps1le
    @Mwita-ps1le 28 дней назад

    Hongereni sana mafrate wetu.

  • @johntonshwe4538
    @johntonshwe4538 29 дней назад

    Yes great job ....scout be prepared

  • @jovinusferdinand2544
    @jovinusferdinand2544 29 дней назад

    Ataar sana hongera sana kanisa kathorik kanisa imara

  • @kevinkissa4827
    @kevinkissa4827 27 дней назад

    Safi sana vijana wetu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 28 дней назад

    Nimecheka sana...

  • @innocentlusajo9303
    @innocentlusajo9303 29 дней назад +1

    Jamani, stulikubaliana ya jando yabaki jandoni?

  • @gastonnombo5714
    @gastonnombo5714 25 дней назад

    Mmmmhhhhh..
    Humo church usipotoa sadaka sijui itakuwaje😂😂

  • @rosemysticamfoi1561
    @rosemysticamfoi1561 29 дней назад

    Wa Moshi hampo

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 28 дней назад

    Sasa hiyo ni seminari au kambi ya jeshi?. Kanisa katoliki acheni kujichanganya na mambo mengimengi ya dunia hii.

    • @elviratrasias7726
      @elviratrasias7726 28 дней назад +2

      Wivu tu unakusumbua

    • @mfawidhideals
      @mfawidhideals 27 дней назад

      Nyinyi shughulikeni na miujiza ya uongo. Padre mkatoliku lazima awe fit sio nyinyi kigezo cha kuwa mchungaji ni suti ya bei mbaya na kitambi

    • @user-ku2wp6my7b
      @user-ku2wp6my7b 27 дней назад +1

      Jmn sio kwamba kujichanganya mjue kuwa waseminari wapo vizur ni wa kakamavu,pia mjue kuwa mapadre wapo vizru pia sio jeshi. Pia ni mazoezi ya viungo.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 22 дня назад +1

      Kama ungelikuwa mkatoliki ungefahamu kwamba Padre anahudumia kimwili na kirohi. Kuna mapadre engineers, lawyers, doctors, economists na wanaohudumia vitani!

    • @gaspernkhangaa1331
      @gaspernkhangaa1331 21 день назад

      Ufinyu wa akili yako ndo utakufanya usielewe ila Kama zimo utaelewa 😂, think before. Mazoezi ni muhimu kwa kijana yeyote kupita chochote, Tena mazoezi kakamavu