HISTORIA YA KANISA MASWALI NA MAJIBU. -Kwani Kaburi inaitwa nyumba ya milele.?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Maswali na Majibu
    Swali. Jiwe ambalo Yesu alivingirishiwa juu ya kaburi bado lipo.?
    Kwanini watu huita kaburi nyumba ya milele.?
    Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.www.radiombiu.co.tz#RmSautiYaFaraja

Комментарии •