MZUNGU WANGU ALIPOTEZA KAZI MAISHA YALIKUA MAGUMU | WAZUNGU WA ZAMANI NI TOFAUTI NA WASASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Saraphina ambae ni mmiliki wa Shamba Village - Paje ameeleza safari yake ya maisha mpaka kumpata mume wake ambae wanaishi ni miaka 13 sasa.
    Ameeleza changamoto ya wivu, utofauti wa wazungu wa zamani na wazungu wa sasa na pia anakwambia hakuna Mzungu wa kugaiwa, mdogo wake tu alimwambia aingie online kupata Mzungu wake.
    Pia ameeleza kua online dating unaweza kua sehemu salama kabisa ya kukutana na kuanzisha mahusiano
    Thank you Saraphina for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 78

  • @mukeshimanataussi6939
    @mukeshimanataussi6939 10 месяцев назад +11

    Tunawasikilizeni jamani story zenu nzuri mno zinatufunza mengi

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 10 месяцев назад +5

    Sarafina ubarikiwe sana umeongea vyema 👏👏👏 mimi nataka kaz hotel kwako

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 9 месяцев назад +1

    Huyo muitaliano hataki kukuleta Italy kwasababu hana sehemu ya kukuweka. Na lazima ni wa south Italy kwasababu ni maskini. Ukipata muitaliano wa North Italy huyo ni muitaliano mzuri na ana pesa. ILA wa south Italy wana tabia mbaya yani hata Hawa wa north Italy hawawataki kabisa. Mimi Niko Milano.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  9 месяцев назад

      Naomba tufanye interview dear, utupe Experience ya maisha ya Italy
      +4367764790884

  • @AinekishaNyakato
    @AinekishaNyakato 10 месяцев назад +4

    Asante sana mgeni wetu leo umetoa ushaur mzuri sana mwenye maskio na asikie nakupongeza mgeni wetu kwa rangi yako ya ngozi brown skin girl uko poa sana hongera sana kwa kuitunza rangi yako dada angu😍

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 10 месяцев назад +5

    Pole kwa kumpoteza mtoto wenu

  • @mukeshimanataussi6939
    @mukeshimanataussi6939 10 месяцев назад +5

    Pole sana dada kazi ya mungu haina makosa

  • @RonaMussa-ge5im
    @RonaMussa-ge5im 10 месяцев назад +4

    Ameongea vizuri nimependa na haringii Hadi raha

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 10 месяцев назад +1

    Dada una ngozi Nzuri sana pia nimependa rangi ya nywele yako umenogaa

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 10 месяцев назад

    Asante kwa kipindi kizuri sana kinafundisha sana na nimefurahi kuwaambia watu wachape kazi na wajue kuwa hata wao wanatafuta kama wao

  • @javajava3461
    @javajava3461 10 месяцев назад +4

    Nawasikiliza nikiwa saudia arebia

  • @aminamagaji2645
    @aminamagaji2645 10 месяцев назад +3

    Kweli kabisa wataliano ukiwa nae hauwezi kutka pekee yako kila utakapo kwenda upo wote mpaka inachosha 😂😂

  • @marynamala4786
    @marynamala4786 2 месяца назад

    Hongera sana mungu akupe nguvu na mpate mwingine

  • @hanen-jl6sf
    @hanen-jl6sf 10 месяцев назад +2

    Eti bahati nzuri mama ake alifariki 🤣

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus 5 месяцев назад

      Halafu eti bahati nzr mtoto hakulia😅😅😅anachanganya maskini dada etu😂😂😂😂😂

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 10 месяцев назад +1

    Niko zanzibar.

  • @rozimzava3538
    @rozimzava3538 10 месяцев назад +1

    Hey,napenda sana kipindi chako kinanifunza mengi rose. Arusha ,TZ

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 10 месяцев назад +3

    Jamani ni tuwambie tu wadogo zetu kuwawazungu ni kama wa afrika kuna matajili haswa, kuna wenye hela nyingi, kunawenye hela ya kuku peleka vacation tu na mwingine akaweza kukupa na za kuwapa na ndugu zako, kuna wenye hela za kukutunza wewe tu, kuna wenyewe hela ambazo ana weza jitunza yeye tu, na kuna ambao hawana kabisa.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  10 месяцев назад +4

      Umesahau na kuna wenye pesa lakini hakupi pesa zake 😁

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 10 месяцев назад

      ​@@OfficialDatingAssistance😅😅😅

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 10 месяцев назад

      @@OfficialDatingAssistance 🤣🤣🤣🙌🙌

    • @mletemzungu-pr9mb
      @mletemzungu-pr9mb 10 месяцев назад

      @shena huyo mwenye pesa halafu hatoi, sio poa kbs

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 10 месяцев назад

    Interview nzuri, Hongera Sarafina, kuishi miaka yote hiyo na mzungu si kazi ndogo. Kila la kheri, you look beautiful na nywele yako imekupendeza ❤

  • @amenyamanamkulangoe3824
    @amenyamanamkulangoe3824 10 месяцев назад +3

    🎉tamu story

  • @user-cv4ls5sl6d
    @user-cv4ls5sl6d 10 месяцев назад +2

    Wazungu saivi wamekuwa wa shenzi hata ujiweke vipi hawaangalii unaweza ukasema Nampa mapenzi Bure usimuombe pesa kesho yake ukamkuta na mwanamke mwingine yaani kiufupi wamebadilika

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 10 месяцев назад

    Wimbo unaitwa Marashi ya Pemba Ni kweli lab kabla hujafika Unguja arufu ya karafuu unaisikia vizuri Sanaa nimependa ulivyojielezea

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 10 месяцев назад

    Asante dada umehereweka vzr nakupenda Bure

  • @monicandolele8741
    @monicandolele8741 10 месяцев назад +4

    Aunt bella bella ❤

    • @user-sl1xw7md4d
      @user-sl1xw7md4d 10 месяцев назад

      Dating sites niza ukweli but sometymes no scarely kwa watu different

  • @upendombaga8715
    @upendombaga8715 10 месяцев назад +2

    Nice story

  • @furahablandine3946
    @furahablandine3946 10 месяцев назад +2

    Hello hi

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 10 месяцев назад +3

    Pole jamani kwa mtoto😢😢

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 10 месяцев назад +1

    Naona ameganda from 🇬🇧

  • @erickmwaipungu3488
    @erickmwaipungu3488 10 месяцев назад +1

    Ipo vzur

  • @user-ir3hn3qr3u
    @user-ir3hn3qr3u 9 месяцев назад

    pole sarafina

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 10 месяцев назад +4

    13 yrs ago Cm smart za kuandikia kalamu zilikuwepona blackbarry nakumbuka😜

  • @omangash23oirere20
    @omangash23oirere20 10 месяцев назад +4

    Watanzania na wazungu mna bore sana

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 10 месяцев назад +1

    Ok imekaa sw

  • @user-tu1qk8vc4q
    @user-tu1qk8vc4q 10 месяцев назад

    Hi safi tunajifunza

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 10 месяцев назад +2

    Miaka 13 ilipita cm za smart likuwepo ila sio wengi walikuwa wanatumia

    • @sarafinasangajenga1378
      @sarafinasangajenga1378 10 месяцев назад +1

      😂😂😂kuwa na simu hiyo unaitowa wapi Enzi hiyo 😂😂😂 mkiwasiliana Leo hadi kesho uvizie copyta ya kazini ndo umpate

  • @dominicmasawe7501
    @dominicmasawe7501 10 месяцев назад

    Hi good story

  • @barbarakitindi1298
    @barbarakitindi1298 4 месяца назад

    😊😊❤

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 10 месяцев назад +2

    Akina Pronto ni kama wazaramo😂 kelele mno, kitu kidgo wanalipuka

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 5 месяцев назад

    Naona ameganda from zanzibar

  • @HellenRanny
    @HellenRanny 9 месяцев назад

    Hapo kwenye kubeba vitu tukigombana😂😂ni mimi kabisa🤣🤣🤣

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 10 месяцев назад +1

    Hatumsikii

  • @ChistopherMgaya-gu3ey
    @ChistopherMgaya-gu3ey 10 месяцев назад +1

    🎉🎉

  • @user-ob4pt2bl4t
    @user-ob4pt2bl4t 6 месяцев назад

    Hi

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 10 месяцев назад +1

    Na hivi hatujui ruga , ndo wanawatumia.

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @user-rc9qm2tw2o
    @user-rc9qm2tw2o 10 месяцев назад

    Tunasikilizeni kama bado mtaendelea

  • @user-pr5bm4ze3d
    @user-pr5bm4ze3d 8 месяцев назад

    Stori imenonga mara kapotea

  • @RoseRichard-xm4if
    @RoseRichard-xm4if 9 месяцев назад

    Jamaa mbona kapotea

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 10 месяцев назад +2

    Je Apartment kwa siku 3 ?

    • @sarafinasangajenga1378
      @sarafinasangajenga1378 10 месяцев назад

      Ni 20$kwa umeme unajinunulia siku ya kwanza tunakuekea umeme ila tunachukua kuanzia wiki moja karibu

    • @violetsombe3687
      @violetsombe3687 9 месяцев назад

      Weka namba dada

  • @alnodamwasaka7632
    @alnodamwasaka7632 10 месяцев назад +1

    Nikajua nimebahatisha live leo

  • @kissanjulumi-vt3yl
    @kissanjulumi-vt3yl 10 месяцев назад +1

    Tupo pamoja jamani

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 10 месяцев назад +1

    Leo nimeibamba 😂

  • @magrethpeter6049
    @magrethpeter6049 10 месяцев назад +1

    Tupo pamoja

  • @aminamagaji2645
    @aminamagaji2645 10 месяцев назад

    Naomba namba yako sarafina kunatu nimejifunza kwako nataka nikuulize zaidi mimi nipo Italia 😊

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 10 месяцев назад +1

    Hi

  • @mildredkutswa6218
    @mildredkutswa6218 10 месяцев назад +1

    Hi namba yako dada shena

    • @mildredkutswa6218
      @mildredkutswa6218 10 месяцев назад +2

      Naomba namba yako tafadhali mi ni mukenya sai niko saudia but naomba mungu afungue njia nibate muzungu kwa ufubi natafut

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  10 месяцев назад

      +4367764790884

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 10 месяцев назад

    Hi Sheina tafadhali taja namba yako ya whatsap

  • @justinerjuliaus8907
    @justinerjuliaus8907 10 месяцев назад

    Nice story