HOTUBA YA RAIS MAGUFULI MJINI KATESH BAADA YA KUSIMAMISHWA NA WANANCHI 06 MAY 2016 mp4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • HOTUBA YA RAIS MAGUFULI MJINI KATESH BAADA YA KUSIMAMISHWA NA WANANCHI ALIPOKUWA ANAELEKEA ARUSHA AKITOKEA DODOMA, 06 MAY 2016 mp4

Комментарии • 46

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 4 года назад +4

    Allah akulinde sana rais wangu Magufuri

  • @saumusalimuhassan3041
    @saumusalimuhassan3041 8 лет назад +5

    ALLAH amuongoze Rais wetu

  • @ericmdemu2876
    @ericmdemu2876 8 лет назад +5

    Hakika kila iitwayo leo Mungu Mwenyeenzi na Utukufu ambariki Rais wetu wa Tanzania!.

  • @sunyareh
    @sunyareh 8 лет назад +4

    I cry tears of joy and happiness.. Asante Mh Rais ndugu Magufuli mungu akubariki

  • @mohammedhassan4555
    @mohammedhassan4555 8 лет назад +8

    when I grow up I wanna be like magufuli

  • @BintiyakeDaudi
    @BintiyakeDaudi 8 лет назад +5

    What a President. Ooh our Lord God think u for displaying ur love through this child of urs. May God protect this president n his full cabinet in Jesus name Amin.

  • @Sarah198066
    @Sarah198066 8 лет назад +2

    Daaa! Your an Angle! Raisi wa Watu! May God be with you!❤️

  • @stevendaud4660
    @stevendaud4660 7 лет назад +5

    ilove magufuli

  • @yuniea2670
    @yuniea2670 8 лет назад +5

    Very moving speech. God bless Tanzania and Prez JP Magufuli

  • @LaurenciaKitauli-or8rr
    @LaurenciaKitauli-or8rr Год назад

    Mungu ailaze roho yake mahali pema . Tunakukumbuka .❤

  • @daudnyagalu308
    @daudnyagalu308 7 лет назад +1

    I need this spirit back please

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 8 лет назад +7

    wewe ni zawadi tuliyokuwa tunaisubiri muda mrefu sana mungu akulinde na akupe nguvu

  • @ayubumisheli8119
    @ayubumisheli8119 8 лет назад +2

    God has a plan for Tanzania that's why he gave his servant JPM to be our President. Shikamoo Magufuli

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Год назад +1

    Hakika ulipendwa Sana na Watanzania hasa wanyonge

  • @nyanda427
    @nyanda427 8 лет назад +2

    Long live Dr. John Pombe Magufuli

  • @christsflowe.r
    @christsflowe.r 8 лет назад +1

    God bless u Rais wetu

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад +2

    Mungu.mwema tumepataa rais M zuri apakazi tu

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 7 лет назад

    Am so impressed by mr. President God bless you always.

  • @muleimusyoka3883
    @muleimusyoka3883 Год назад +1

    This was a leader

  • @mounbakko5871
    @mounbakko5871 6 лет назад +1

    this is hands-on governing and personal-stake participation by citizens thru dialogue.

  • @banimulengwa7837
    @banimulengwa7837 8 лет назад +2

    Congo DRC tunahitaji kiongozi kama huyu, tungefika mbalisana/ sasahatuna

  • @chachakorosso9410
    @chachakorosso9410 7 лет назад +3

    mpaka machoz kwa hii huruma ya rais

  • @Jakaugagi
    @Jakaugagi 8 лет назад +2

    noma sana

  • @BBCFintl
    @BBCFintl 8 лет назад

    JPM has taken OWNERSHIP of the position of President of Tanzania. He also has an advocacy attitude and spirit.This is what has set him apart. It is a trait you cannot fake. You either have it or you do not. Unfortunately it will take a long time for similar minded Tanzanians to watch him, believe him, trust him and take the bold step of walking alongside him. When this new team self-selected new leaders lines up alongside JPM, that will become the legacy JPM leaves behind in Tanzania. A hen is most vulnerable when incubating her eggs. JPM is incubating a new Tanzania and becoming a role model for the entire World. Let us protect and support JPM until his eggs are hatched and new leaders with similar vision step into public office!
    Zabde-Ezra Ayienga, Toronto, Ontario Canada.

    • @mounbakko5871
      @mounbakko5871 6 лет назад

      you state it so well and ,this is the model sub-saharan presidents need to follow.... but men like this are unique and others cannot be like him because this comes natural to him.

  • @musanassoro8210
    @musanassoro8210 8 лет назад +3

    zawadi toka Kwa mungu

    • @sahales9944
      @sahales9944 8 лет назад

      kweli kabisa musa nassoro viongozi kama hawa adim

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 8 лет назад +4

    haina haja watanzania kufanya kampeni za kuchagua rais mwingine. Magufuli kidume cha Tanzania na watanzania woooote. maana ahad zake zoote alizoziahidi anazitekeleza.

  • @kiyumbijustine3434
    @kiyumbijustine3434 11 месяцев назад

    😭😭

  • @BBCFintl
    @BBCFintl 8 лет назад

    This President identifies with the village voters...he champions their causes. And it is genuine...

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 года назад +1

    Hakika we ulikua kiongozi bora. Kiongozi wa wananchi wa chini

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 8 лет назад +2

    duuuh Mheshimiwa watimue haina haja kuwaonea huruma hao viongoz hawafai kabisa

  • @Felix72282
    @Felix72282 8 лет назад +2

    Good president

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Год назад

    2023

  • @dct4lif
    @dct4lif 8 лет назад +1

    Mama aliengoea dakika ya 15:40 hadi chozi limenitoka. Kuna watu lazima tuwatandike viboko mtaani ndio wataamini tuko serious.

    • @saumusalimuhassan3041
      @saumusalimuhassan3041 8 лет назад

      Hata mimi kanisikitisha sana adi chozi limenitoka,Hata Rais kajikaza tu kwasababu ni mwanaume ila inasikitisha sana.

  • @MrMucray
    @MrMucray 8 лет назад +2

    Rais mwenye bidii.....jameni watanzania ingeni mfano wake...

    • @sahales9944
      @sahales9944 8 лет назад

      nikweri francis muia mwenyezi mungu atie nguvu nahekima yakuongoza taifa hili

  • @Paulo-i9e
    @Paulo-i9e 7 месяцев назад

    Mafuriko katesh

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 3 месяца назад

    Hyundolaisi unaonakabisa wnanchi wakawaidakabisa wnampendatokamoyoni

  • @fikirinijuma6158
    @fikirinijuma6158 Год назад

    Katesh ni wapi ama ni mkoa wa wapi

  • @chenzhensammuel662
    @chenzhensammuel662 2 года назад

    Rais john pombe magufuli Joseph alikuwa mtu mwema sana tena sana na Nina imani ataulizi ufalme wa mbingu.

  • @chenzhensammuel662
    @chenzhensammuel662 2 года назад +1

    Rais john pombe magufuli Joseph alikuwa mtu mwema sana tena sana na Nina imani atuulizi ufalme wa mbingu.

  • @chenzhensammuel662
    @chenzhensammuel662 2 года назад

    Rais john pombe magufuli Joseph alikuwa mtu mwema sana tena sana na Nina imani atuulizi ufalme wa mbingu.