MBINGU ZAPOKEA KILIO CHA MTOTO YA YATIMA PEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 29

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Месяц назад +2

    Mashallah Mungu awazdshiyen Barka wote waliotowa sadaka ❤

  • @user-vs8si3do2m
    @user-vs8si3do2m Месяц назад +2

    Wallahi natamani na mm nitoe ila na mm ni mnyonge namuomba Allah atupe rizki za halali ili nasi tutowe ktk njia ya Allah.

  • @abdulrahmantalib5637
    @abdulrahmantalib5637 Месяц назад +5

    Allah atajalia kher

  • @abdulrahmantalib5637
    @abdulrahmantalib5637 Месяц назад +8

    Mungu ajaliie wiki hiii hii alete kher ya ajab aondoshe dhiki zak zte

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Месяц назад +2

    Mashallah hongera al Fatah tv mwenyezi mungu awabariki kwa utangazaji wenu na wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa inshallah ❤❤❤ nawapenda wote kwa jili ya Allah

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 Месяц назад +1

    Mimi nawaombea kira renye kheri nanyi litimie kwa uwezo wa Allah na namuombea mtoto apone na atapona amini Amini amini Allah awape guraha katika maisha yao Amini

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 18 дней назад

    Mashallah 🤗 ila nyumba mbona hamjamjengea krbu na mizunguko ya majirani .... Ipo peke ake 🥺

  • @AminaSeif-ns3qt
    @AminaSeif-ns3qt Месяц назад

    allah akujalieni kher alfatah
    na wote mlotoa misaada yenu

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx Месяц назад +3

    Nyumba NZURI Masha Allah lakini mbona IKO pekeyake

  • @abdallahbakari-xv6iy
    @abdallahbakari-xv6iy Месяц назад +2

    Allah awajalie kila la kheri tkt mafanikio yenu inshaallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Месяц назад +4

    Sijawah ona tv kama alftah Tanzania wallah Allah atawalip kher yamu lkiyama

  • @user-ms3lu6gr2i
    @user-ms3lu6gr2i Месяц назад +4

    Mbona yupo peke yake apo mtaani apo

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Месяц назад

    Mungu amjalie kila laheri inshaallah ❤❤ mpovizuri alfat mungu awabariki inshaallah

  • @ZainabAbdullah-bc6pu
    @ZainabAbdullah-bc6pu 19 дней назад

    Jaman Hakuna nyumba iliyo peke yake maisha huyo kaaza na majiran watafata muhimu kapata mahali pa kujisitir alhaamdulilah. Hebu achen hizo comment mbona yupo peke yake hapo ndiko alipo pangiwa na mungu aishi maana mwanzo alikua Katikati ya majumba mumeona alipo kua akiishi kikubwa alhaamdulilah mungu Kwa kumjaalia hapo alipo pata

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo Месяц назад

    Mashaallah tabarakallah Allah kareem raheem Allah awape afya nyote Allah akufungulieni kila zito

  • @mwaninimpendu2468
    @mwaninimpendu2468 29 дней назад

    Mashaallaah

  • @MaryamFerej-ep9cq
    @MaryamFerej-ep9cq 21 день назад

    Mtihani mkubwa umasikini, na mtoto mgonjwa, Alla atajaalia kheri,

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Месяц назад +1

    Allah awape wepesi waliotoa

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Месяц назад

    Masha Allah barakallah

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Месяц назад

    Heading inekaa kisaswara

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Месяц назад

    Mbona yuko peke yake maskin!! Hakuna jiran

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 Месяц назад +1

    Mume itupa porin

  • @SAADUNIMUHUDI
    @SAADUNIMUHUDI Месяц назад

    Mashaalla