@officialactwazalendotv BAADA YA UKIMYA WA MDA MREFU Ndg MANSOUR YUSSUF HIMID AONGEA MAZITO
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @vugaonlinetv
#ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii
Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
#actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
3.Upatikanaji wa elimu bora.
4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.
Wambie tunaeka roho zetu kwa kuvigomboa visiwa vyetu,Ameen🤲
Uyu mwamba simskii kutaka uongozi ktk chama
Hongera kwa kuzungumza kwa Ushupavu.
Huna jipya mansour,mpk umeota mvi ktk ndevu
Atawewe utaota mvi vilevile
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kizikwe Kama Afro-Shirazi Party.
Wewe nikiongozi jasili
Kumbe ndio ajenda yenu hiyo hahha kuiua CCM duh
Waambieni Wanaoletwa kutoka DODOMA, kuwa WAZANZIBARI wanataka nchi yao, hawawezi kutawaliwa na Mkoloni Mweusi TANGANYIKA.
Napenda kuliza kwann tunatumia jukwaaaa la siasa kwa kudai mamlaka ya zanziba hivi tunadhani tunaweza kufanikiwa
Kwanini Manaour hagombei nafasi za juu za chama?
Mansour anafuata nyayo za babu yake.
Lengo-ni-kuigomboa-nchi-na-sio-kugombania-uongoz
Ukifika muda anaotakiwa atagombania inshallah
Huyo anaitwa Mansuri Youssuf Himidi
Nb :Huyo ni CCM nipo paleee nakuskilizieni Mjuba
Sasa Mnasema mnataka kuiua CCM heh !!!Sasa hiyo inaonyesha kuwa mkipata Serikali itakua aje
Kwa Kauli hii utagundua lipo jambo gumu sirini, HEKIMA ITUMIKE.
HUYU NDIO AWE MGOMBEA URAISI , omo mwepesi