@officialactwazalendotv BAADA YA UKIMYA WA MDA MREFU Ndg MANSOUR YUSSUF HIMID AONGEA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Join this channel to get access to perks:
    / @vugaonlinetv
    #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
    Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii
    Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa
    #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui
    Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi.
    Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia:
    1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira.
    2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa.
    3.Upatikanaji wa elimu bora.
    4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote.
    5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote.
    6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu.
    7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi.
    8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza.
    9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote.
    10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

Комментарии • 18

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 4 месяца назад +3

    Wambie tunaeka roho zetu kwa kuvigomboa visiwa vyetu,Ameen🤲

  • @hamudseif
    @hamudseif 4 месяца назад +2

    Uyu mwamba simskii kutaka uongozi ktk chama

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 месяца назад +1

    Hongera kwa kuzungumza kwa Ushupavu.

  • @HalimaSaid-jl5hq
    @HalimaSaid-jl5hq 4 месяца назад +1

    Huna jipya mansour,mpk umeota mvi ktk ndevu

    • @JumaMkiji
      @JumaMkiji 4 месяца назад

      Atawewe utaota mvi vilevile

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 4 месяца назад +2

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kizikwe Kama Afro-Shirazi Party.

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 4 месяца назад

    Wewe nikiongozi jasili

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 4 месяца назад

    Kumbe ndio ajenda yenu hiyo hahha kuiua CCM duh

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 месяца назад +2

    Waambieni Wanaoletwa kutoka DODOMA, kuwa WAZANZIBARI wanataka nchi yao, hawawezi kutawaliwa na Mkoloni Mweusi TANGANYIKA.

  • @abuubakarjuma3230
    @abuubakarjuma3230 4 месяца назад

    Napenda kuliza kwann tunatumia jukwaaaa la siasa kwa kudai mamlaka ya zanziba hivi tunadhani tunaweza kufanikiwa

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 4 месяца назад

    Kwanini Manaour hagombei nafasi za juu za chama?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 4 месяца назад

      Mansour anafuata nyayo za babu yake.

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 4 месяца назад +1

      Lengo-ni-kuigomboa-nchi-na-sio-kugombania-uongoz

    • @abuubakar7594
      @abuubakar7594 4 месяца назад

      Ukifika muda anaotakiwa atagombania inshallah

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 4 месяца назад

      Huyo anaitwa Mansuri Youssuf Himidi
      Nb :Huyo ni CCM nipo paleee nakuskilizieni Mjuba

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 4 месяца назад

    Sasa Mnasema mnataka kuiua CCM heh !!!Sasa hiyo inaonyesha kuwa mkipata Serikali itakua aje

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti 4 месяца назад

    Kwa Kauli hii utagundua lipo jambo gumu sirini, HEKIMA ITUMIKE.

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155 4 месяца назад

    HUYU NDIO AWE MGOMBEA URAISI , omo mwepesi