GPS: HAMAS yaushambulia mji wa TEL AVIV wa Israel kwa ROKETI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 270

  • @SalumuMisigaro
    @SalumuMisigaro 21 день назад +14

    Sma msema haki na mkweli. Viva Smaa

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 21 день назад +20

    Mimi mwenyewe na penda Sana Hamas na Ez BHollah, na Mungu awa jaalie Hamas

    • @BeckhamMsigwa
      @BeckhamMsigwa 21 день назад +3

      Utapenda sana ila hamas kui piku Israel ni ngumu tena ngumu sana 😂😂

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 21 день назад +3

      ​@@BeckhamMsigwa hayo ni maono yko fuatilia aljazeera uone idf wanavyoomba poo... wanajuta kumsikiliza natanyahu

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 21 день назад

      @@BeckhamMsigwa hiyo inajulikana lakin miezi 7 kikundi kidogo ameshindwa kukimaliza na Dunia INA msaidia israil hawezi kushinda hii vita manake kule alikokuteka tayari wanazibukia na kushambulia tena

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 21 день назад +2

      @@mohamedaley5632 wacha uongo, haya ni matamanio yako, yaani ndoto yako....alafu kuna kitu kinaitwa 'Ukweli'.

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 21 день назад

      @@zuricakes6817 kutokana tu na ulivyoongea nishajua ni katka wale anaewazungumzia dj smaa

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 21 день назад +9

    Dj smaaa is a master on military affair knowledge,, we are on here for all

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 21 день назад +6

    Dj Smaa nilitamani kumuona kabisa safi kabisa 🙌🏼🙌🏼

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 21 день назад +4

    Yani Hawa jamaa wanajua Sana mashalah wanaakili sana

  • @KondoSudai
    @KondoSudai 21 день назад +11

    Allah wasaidie ndug zetu Hamas waweze kuwashinda hao waisrael

    • @gilbertshirima2684
      @gilbertshirima2684 15 дней назад

      Hatuhitaji vita tunahitaji Amani itawale ili
      1. Watoto wakue
      2. Wazee wapumzike
      3. Wagonjwa watibiwe
      4. Mazao yastawi

  • @PlatnamMogo
    @PlatnamMogo 21 день назад +3

    Mko vizuri! Mnachambua vizuri.

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 21 день назад +1

    Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg wachambuzi mko vzr sana

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao7777 21 день назад +4

    Great program,big up SNS.

  • @musiliitv2888
    @musiliitv2888 21 день назад +9

    Ali masubi yuko vizuri sana kwa kuchambua yani mtazamaji unamuelewa vizuri sana

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 21 день назад

      Yuko vizuri ....yuko UNBIASED. DjSma ISRAEL (and allies) INAMUUMIZA SANA KICHWA! Asipoangalia ata presha mwaka huu😅, kwa sababu ISRAEL IS HERE TO STAY, na atakayewachokoza anabamizwa tuu!

    • @princematumbo
      @princematumbo 20 дней назад

      ​@@zuricakes6817mkundu Wa mamako wewe, Israel to stay wapi?! nguruwe wewe

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 19 дней назад

      @@princematumbo wewe mama yako haendi chooni? Au umezaliwa bila mama?😅 Punguza hasira usije ukapata presha ukaanguka ukafa 😃
      Jina lenyewe Prince Matumbo!🤣😅

  • @hawa6052
    @hawa6052 21 день назад +2

    Safi sana Mungu awasaidie wanaopigania Ardhi yao inayokaliwa kwa Mabavu

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 21 день назад

    Niwapongeze kwa taarifa nzuri sana zenye uhakika, kwa Tanzania nawapa namba moja mko vizuri kwa taarifa za Kimataifa

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 21 день назад +4

    Dj smaa upo vizur.defesi ya israel inapakwa mafuta ulaya na marekani ila akuna ulinzi apo.

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 21 день назад +9

    Watu munaozani kua Islael ni nchi ya ki kristo poleni hio nchi ya kiyahoud na muache kuwasema wachambuz kua wanaudini hio ni vita tu kama vitanyengine

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 21 день назад +3

    Dj sm👏👏

  • @user-oq5xl6by7s
    @user-oq5xl6by7s 21 день назад +11

    Daa leo Israel wamefanya unyama m mungu awalindinde rafaa😢😢😭

  • @somoeomar4861
    @somoeomar4861 21 день назад +1

    Dj smaa u r gd kwa kuchambua in short SNS muko vizuri

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 21 день назад +11

    Hamas ni kikundi kidogo lakini kinamtoa jasho Israel anaepewa kila kitu na Marekani ikiwemo jeshi

    • @user-xn5xr6km3i
      @user-xn5xr6km3i 21 день назад +3

      Hawa watu Nihatarii sana maana muogpe sana mtu ambae anaeipigania haki yake ya maisha yake huyo ni vizazi na vizazi

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 21 день назад +1

      Sasa kama ni hivyo mbona mnalalamika na kulialia? Acha wapigane.

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 21 день назад +1

      Hamasi itazidi kusababisha Raia wa Palestina kuuawa sana.

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 21 день назад +3

    Twende kaziiii!!!

  • @user-rt9qr3ie9g
    @user-rt9qr3ie9g 20 дней назад

    M.mungu awabariki wananSNS

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 21 день назад +7

    Kuna tofauti gani kati ya Hamas na kile walichokifanya wakina Mandela(Madiba, mwamba wa Afrika) dhidi ya wale wazungu wakoloni Afrika kusini? Wangewapa mauwa na kuwapigia makofi kwa dhulma walizofanya wakoloni?
    Walipambana kama Hamas leo hii wanavyo pambania ardhi yao dhidi ya wayahudi Palestina na wakapata uhuru wao.
    Namnukuu Mandela "uhuru wa Afrika kusini haujakamilika mpaka Palestina iwe huru" mwisho wa kunukuu.
    Kwa hiyo wakina Mandela walikuwa hawana haki ya kutete taifa lao? Kuitwa gaidi hata Mandela aliitwa gaidi na kifungo juu. Baadaye akaja kuwa shujaa wa Afrika kusini, Afrika na dunia nzima kwa ujumla.

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 21 день назад +8

    Dj Smaa nakuelewa vzuri wanaosema una udini hawajitambui.usijali we endelea kutupa madini.

  • @MagrethShirima-mu3hn
    @MagrethShirima-mu3hn 21 день назад +11

    Wote wako vizur hamna udini hpo nyinyi mnaoanza kufatilia leo ndio mnatuvuruga

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 21 день назад

      Sijui wanataka waelezewe vipi😢

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад

      Ni mashabiki maandazi na udini mwingi hawataki kuambiwa ukweli

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 20 дней назад

    Dj sma upo vizuri sna

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 21 день назад +2

    Mko vizuri wachambuzi balaaa

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 21 день назад +3

    Ukiwa Ulaya ndio utajua hujuwi, hakuna kitu cha bure. Familia wanaishi pamoja lakini kila mtu anajinunulia mwenyewe. Waubinafsi wa hali ya juu. Yaani changu changu, chako chako hata kama ni mama mzazi(lakini sio wote) ila wengi wao wapo hivyo. Ukiona umepewa kitu cha bure, akili ku mkichwa!!!

  • @richardtimoth7865
    @richardtimoth7865 21 день назад +17

    Huyu jamaa mweus anachambua uhalisia haonyeshi kuegemea upande fulani na ndivyo inavyotakiwa

    • @muddjigal4096
      @muddjigal4096 21 день назад +1

      Wote hapo ni weusi umemaanisha nani boss

    • @JamalKanani
      @JamalKanani 21 день назад +1

      Ukweli unauma mnyonge akifqnikiwq

    • @SAYMOEKARIM
      @SAYMOEKARIM 21 день назад

      tatazo watu saivi ukweli hamuutaki

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 21 день назад

      Kweli lakini huyo hapo mwarabu anakandamiza sana waizilaeli

    • @SAYMOEKARIM
      @SAYMOEKARIM 21 день назад

      @@chikusangalala7759 ok basi mbona Ndugu zetu wa Congo mbona wanakufa sisi weusi wezao tupo kimya ?

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369 21 день назад +3

    Kwani ata wakifa watatangaza 😢.Mungu awalinde hamas

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад +1

      Wanakufa sana hawatangazi MUNGU tunakuomba linda raia wa Gaza 🙏

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 21 день назад +4

    Hivi Israel ni ya kupigana vita miezi 6 dhidi ya hamas tena kimji kidogo kabisa

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 21 день назад +1

      Tena hapo ni kwakuwa wameharibu tu majengo na kuua raia isinge kuwa hivyo yani israel hawana uwezo wa kuiondoa hamas

  • @aishaswab2413
    @aishaswab2413 21 день назад +1

    Hatari

  • @allenanase8161
    @allenanase8161 21 день назад +1

    Air supression

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 21 день назад +1

    Kweli

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 21 день назад +7

    Na yale maandamano telaviva ni ya nini viva abu ubaida❤

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 21 день назад +4

    hapo hakuna cha udini jamaa anaongea fact only

  • @reginamayuto1357
    @reginamayuto1357 21 день назад

    ❤❤❤❤ safi sana

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 21 день назад +1

    Safi sana

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 21 день назад +3

    Hao wana jipiga wenyewe hao

  • @user-rt9qr3ie9g
    @user-rt9qr3ie9g 20 дней назад

    DJ smaa unachambua vzr

  • @user-cn9xk3iq8r
    @user-cn9xk3iq8r 21 день назад +1

    malaya

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 21 день назад

    Safi sana wachambuzi napenda muwe mnatuchambulia ivi

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 21 день назад +6

    Huyo masoubi hampati kabisa dj smaa smaa anavitu adimu sana

    • @modekaijames
      @modekaijames 21 день назад +1

      Kaka wote atuwezi kuwa Sawa

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv 21 день назад +1

    Sky. Mm nina ushauri kwako kama una weza ili kipindi kiwe offolicial kwa mambo haya hata kwa hiyo cku 1 moja. Tengeneza sehemu nzuri ambayo ina ji brand pia.kipindi kina noga. Ni maoni yangu tu.tunapenda tuone maendeleo pia ya vipindi nyenu mkiwa live kama hivi .🙏

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 21 день назад +3

    Dj SMA Analet habar ambazo huwezipata Mainstream Media

  • @mwijagejoseph1675
    @mwijagejoseph1675 21 день назад +1

    Mmeshindwa kuchambua mpira mnaanza kuchambua mabomu. Washamba kweli

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5w 21 день назад +1

    Ila jamani, kombola kufik hadi Mji mkuu kweli litakua halina madhara? Mzee ukikutana nalo utakufa tu

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 21 день назад +3

    Mfumo wa ulinzi wa Israel wanaousifu sana sio bora kiivo , mbn hizbollah rocket 🚀 zinapenya , Ali Masuby bado mwepesi kwenye uchambuzi

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 21 день назад

      Mifumo ya ulinzi yoote DUNIANI haizuii KWA asilimia mia NDIO maana HATA s 400 ya URUSI zimeshambuliwa

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 21 день назад +1

    Leo mmeambizana kuvaa black 😊

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 21 день назад +3

    Mpaka Leo Hamasi anaubavu tena wa kurusha rocket !!!!!!!

    • @daudimaniseli759
      @daudimaniseli759 21 день назад +1

      Hiyo nimipango yao WENYEWE... kudanganya uma,,mibomu kila siku Leo USEME,,Bado WAPO...mm naomba vita ikwishe mwisho utasikia NYUMBA zimejengwa PARESTINA ambacho kitaongeza vita.

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE 20 дней назад

    Nipo hapa.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 21 день назад +1

    Ahsante sana GPS 💪

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 21 день назад +2

    Iyo source yenu ya bbc ya uwongo

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 18 дней назад

    Wapigwe hao magaidi.
    God bless Israel

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q 21 день назад +4

    Dj smaa ni hatari anajua sana tena sana. Mungu amjaalie apindishi maneno . Hawa watu tunawatumiaje kwenye taifa

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh 21 день назад +2

    Wachambuzi wetu pongezi zenu naona mnachambua habari za ukweli na uhakika bila kuelemea upande wowote

  • @ramazanzibar8264
    @ramazanzibar8264 21 день назад +1

    Mzee upo Fasta sana

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 21 день назад +1

    Tupo pamoja

  • @hot_news-
    @hot_news- 21 день назад +1

    Mkuu kuna mejeruhi 3

  • @abdisemgunda3171
    @abdisemgunda3171 6 дней назад

    Huo ndio ukweli... mtamsifu Israel sana but anapigana na nani..!!?? Na je ananini huyo anaepigananae..!!

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 21 день назад +1

    Na kupata vyema kutoka Tel Aviv-Yafo

  • @SerahGlam
    @SerahGlam 21 день назад +3

    Leo kaka gps imekuwa fupi sanaa

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 21 день назад +1

    Dahhhh nikwel kwa vifaa vya kivita Israeli wapo juu lkn lkn hamas wanambinu nyingi sana tena sana

  • @elishaalex1747
    @elishaalex1747 21 день назад +4

    aise Israel watajb kwa ukubwaa🎉🎉🎉

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d 21 день назад +1

    Ukizoea kumuonea mtu anayekuogapa kwa mda mlefu huwa unamtengeneza kuwa jasili na shujaa asiyeogopa chochote. Israel imewakomaza Hamas mwenyewe so ikubali matokeo

  • @MarcellySumaye-bv5lh
    @MarcellySumaye-bv5lh 21 день назад

    Pointless

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 21 день назад +1

    Limerunguliwa

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 21 день назад +1

    leo vipi dakika 14 tu 😢😢

  • @user-ng4xq6dw1k
    @user-ng4xq6dw1k 21 день назад

    Wacambuzi bola kabisa mungu ibaliki inchi jilani Tanzania

  • @timothyemmanuel3522
    @timothyemmanuel3522 21 день назад

    Kwann ivyo vichwa vipo hapo mshauri mama samia avichukue ivyo vichwa visaidie Taifa

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад +1

    Kaka ally ulaya wote ni wabovu kwenye vita hawana silaha bora bali wao ni watu wa kujisifu na kujitangaza kwenye vyombo vyao vya habari

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 21 день назад

      WAPI WAMEJITANGAZA 🤣😳😳😳

  • @peterthobias5000
    @peterthobias5000 19 дней назад

    Yakwetu yametushinda tunajadili ya wengine huu ni ujinga uliokithiri

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад +1

    Kaka umesema kweli israel hawana uwezo wa kivita maana nimashoga wala huo mfumo wao wa ulinzi ni wa hovyo

  • @martinejoseph6098
    @martinejoseph6098 16 дней назад

    Huyo jamaa white hamna kitu hajui kuchambua😅😅😅😂😂😂 ananichekesha😂😂😂

  • @philipmendamenda2514
    @philipmendamenda2514 21 день назад

    Kwani mnajua mnachokijadili? Kumbukeni mnajadili unabii wa Mungu, hiyo vita sio ya kisiasa kumbukeni Hilo.

  • @user-ki9wu6no3d
    @user-ki9wu6no3d 21 день назад +2

    Hapn DJ Sma Ukiingizaa Udini hauwezi kumwelewa, Yeye anachambua uhalisia katika Vita

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 17 дней назад

    Yaan palestina hawaish kwa amani lakini iziraili pia hawajawah pia kuishi kwa aman

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 21 день назад +3

    Israel haitaki huu mzozo uwishe mapema

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 21 день назад +1

    Hiyo nimeiyona waliwaingiza mkenge na wao wakazama kichwa kichwa kwenye mahandaki Al qasam wa kasepaa nao na huyo mwanajeshi aliyejirecod hiyo ni hotuba ya Netanyau mwenyewe 😂.. Coz Ata hy video aliyeisambaza kwa mara ya kwanza ni mtoto wa Netanyahu anayeishi California

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f 21 день назад

    Kama una degr za kujitambua na kuacha ushabiki hawa jamaa utawaelewa

  • @IddyAmir-gq1jr
    @IddyAmir-gq1jr 21 день назад

    Islael na marekani hata wapigwe vipi hawasemi ukweli utasikia tu hakuna madhara😂😂😂

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 21 день назад +1

    Dj sma nimchambuzi mzuri but yupo na udini sana ana chuki za wazi wazi kwa nchi za ulaya na America 🇺🇸

  • @KajokaTanzania
    @KajokaTanzania 21 день назад

    Hao Aljazira hawaaminiki kabisa

  • @Levis438
    @Levis438 21 день назад

    Kitu ambacho naona mmekiacha kwenye uchambuzi wenu ni kwamba Hamas wanakua wagumu zaidi kumalizwa sababu ya njia yao ya kujificha kwa Raia

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад

    Wanawadanganya hao makafiri hata wapigwe hawasemi

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 21 день назад

    Acha uongo anaweza tengeneza ata yeye

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x 21 день назад

    Hao wanajishambulia wenyewe we ukitaka uamin wakuonyeshe maiti .za kiyahudi hio kama septemba ileven warakufa raia wengine sio wayahudi

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад +1

    Hao mashoga hata wafe hawasemi maana wanaona aibu lakin wamekufa haiwezekani walenge shabaha na ifike mahali husika na wasife

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 21 день назад

      Sawa basi wamekufa wameisha na vita imeisha na hamas wameshinda 🤣

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 21 день назад

    Dj sma huyo israel hajaanza vita leo ameanza vita zamani ukitaka kuona yupo vzur ingia nae vitan

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo 21 день назад

    Kama hauelewi kipindi hauelewi tu.Ali ni Ali Smaa ni Smaa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 21 день назад

    Kwenye ground Israel imeshindwa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 21 день назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @RuttaJames-kh5jx
    @RuttaJames-kh5jx 4 дня назад

    Wapige hao masoga

  • @ghazarahmed80
    @ghazarahmed80 20 дней назад

    Hawana air defense generation wala ya nini ? Kwamba ulaya wenyewe wanaitaka? Hizo propaganda kila kukicha kuwapa credit uongo uongo mwingi hao wayahudi

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 21 день назад

    Ilo jibu la ni apana, ni lako sio la Israel

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 21 день назад +1

    DJ SMA kwan mrusi alikupa nini?

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 21 день назад

    Wenzao wanawauwa afu wenyewe wanawateka si wauwe tu

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 21 день назад +8

    Dj sma hatawai appreciate Israel.. Jamaa anamchukia sana Israel

    • @user-is9xs1kd9z
      @user-is9xs1kd9z 21 день назад +4

      Kwani Israel ndio nani mpaka kila mtu aipende? Ifuatilieni mtajua hamjui😮😮😮

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m 21 день назад

      Hawez kufika mbali akiegemea upande mmoja uchambuzi hautaki hvo

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 21 день назад

      ​@@user-it7ih1it3mTatizo hupend ukweli

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 21 день назад

      Izrael ni ubwa walio potea awezi kuegemea

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 21 день назад +1

      ​@@user-it7ih1it3m kwani alichokiongea kipi kaongopa??

  • @user-en7pg4ym5r
    @user-en7pg4ym5r 21 день назад

    Malaika mtowa roho anaeitwa iseraili

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 21 день назад

    Daah Ally masubi jaribu kumwerekeza hata ww 🤣🤣 kuwa ile defense ya izilaer hata urusi ana cha kujifunza🤔🤔 siyo awafariji ndugu zake kuwa ni ya kawaida 👍 maana watu wenye majina ya kiarabu wakisikia defense ya izilaer ni yakawaida sana wanafarijika sana🤝 next time tuleteeni makala jinsi gani izilaer ilivyo na power kubwa kijesh 🔥💪 mtwambie kabsa kuwa entellegence yao hajapata kufikiwa na nch yoyote karne hii🙏🙏🙏

    • @hassanihamidu8546
      @hassanihamidu8546 21 день назад +1

      Usije kuludia tena sikunyingine kuongea huo utumbo!!! Yani mrusi akajivunze kwa netanyau mtu anaepigana namataifa zaidi ya 45 akiwa pekeyake, ogopa sana Russia ule nimuziki mwingine hujiulizi kwa nini toka vita ya mrusi imeanza netanyau aligoma kupeleka silaha yoyote? Jibu ni moja tu Putin alimkanya netanyau akamwambia ukijaribu ntaichoma teraviv kwadakika 5 tu au unajisahaulisha?

    • @shabanimataka8418
      @shabanimataka8418 21 день назад +1

      Tulivyo aminishwa na ilvyo israil ni mbali na mbali awako vizuri kabisa kwa Mimi muelewa kama wao wakovizur ulaya yote wanapeleka ulinzi pale wanini Sasa na wao ndo wenye ulinzi Bora kuliko wote

    • @BenjaminMetanyau
      @BenjaminMetanyau 21 день назад

      @@hassanihamidu8546 ndo mnafalijiana ujinga Ivo. Amemushindwa ucrein atawaweza wana wa izilaer mbona mnajamba vitani 🤣🤣🤣 urusi na izilaer hawajah kutunishiana misuri kabsa 🤝 coz izilaer Hana shida na urusi 🧷 yeye maadui zake Nini baba zenu warabu 🙆 apo hata wakiungana hawafulukuti kama ilivo Kwa urusi adui yake Mkubwa ni marekani. 💀 Mbona kama unasinzia mdgo wake mwamed🤣🤣🤣

    • @BenjaminMetanyau
      @BenjaminMetanyau 21 день назад

      @@shabanimataka8418 nani alikuaminisha Sasa🤣 huna haja ya kuaminishwa hilo lipo wazi🤜🤛 utaki unataka🙏

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 21 день назад

    Wametangaza au wametangaziwa? Maana tuangalie Israel dunia ilivyo ilivyowaelemea , movie tu hiyo

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j 21 день назад

    Mimi siamini juu ya hilo,na hiyo ni mipango ya Esrail tu ili iendelee kuitwanga Palestina.