MAREKANI ndio ilio iruhusu IRAN ishambulie ISRAEL - DJ SMA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 556

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 Месяц назад +40

    Pole sana, gwiji wa uchambuzi Mungu atakusaidia.

    • @Del_busi5
      @Del_busi5 Месяц назад +1

      Huyu jamaa Ni gwiji kabisa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Месяц назад +1

      MUUMBA
      AMPONYEE

    • @HashimuHashboy-bo2wl
      @HashimuHashboy-bo2wl Месяц назад

      Usihofu but ukweli wa kaz yako nikuse.
      Ma ambao hautakiwi truth very expensive than true,nn hatma ya lowasa ukweli wake alitolewa kafara na almekufa kama mbwaa aliegomgwa na gari ukweli unaumiza sana but ishi nao coz ulinzi wako uko na mungu

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Месяц назад +2

    Ndugu nilazima wamkatae YESU ilisisi tumpokee, ndio maana Yesu alisema nimekuja kwa walio wangu,ila wamenikataa, ayo yalishaandikwa na yalishatabiriwa, wew unazani wangemkubali sisi tungepataje uwokovu, sisi wa mataifa, na ilikuwa lazma ili asulubiwe, ateswe, kajifunze maandiko, ndio uje useme unayo yasema

  • @homecraft227
    @homecraft227 Месяц назад +6

    Israel haijaanza kutengwa leo miaka hii na yote hayo walivishinda,wajaa Mungu kawapendelea sana,na wameshika uchumi wa dunia,.rejea kwenye issue na Anti semitism.

  • @user-xw8qc8up8r
    @user-xw8qc8up8r 12 дней назад

    Mungu Hajawachoka watuwake Atawarinda usiku mchana

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y Месяц назад +8

    From burundii bujumburaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 pole sana simba wa sautii nzuri na ucambuziii wa akiiliii salut

  • @bensonmakundi
    @bensonmakundi Месяц назад +2

    Ndugu yangu kunakitu unamiss na hii nikuwa shabiki wa Irani moja kwa moja

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 Месяц назад +15

    Smaa nenda mazese kunakituo kinaitwa bakhesa kunasoko pale kanunue kunadawa ukifika wambie unataka dawa yakulendemka itakusaidia sana

  • @mikokotv
    @mikokotv Месяц назад +6

    Poleh sana brother.
    Napendekeza walau wadau 500 tujitokeze tuchangie Tsh 10,000 for DJ Sma manake amekuwa na mambo mengi na hamasa kubwa kwetu sote.
    Naomba kusisitiza kuwa ni wengi tumekuwa tunamwangalia na kumfuatilia hivyo vyema tumjali kama ambavyo amekuwa anatujali.
    Mie nishachangia ya kwangu ww je!?

  • @Ufalme_
    @Ufalme_ Месяц назад +1

    Na ikumbukwe kuwa Udhaifu wa Israel siku zote unapatikana tu pale wanapomsahau Mungu wetu, Ila Israel katika uwepo wa Mungu ni taifa la kuogopwa duniani.

    • @YohanaYoramu-nl6bw
      @YohanaYoramu-nl6bw Месяц назад +1

      Hakika kaka

    • @izzahboe1442
      @izzahboe1442 Месяц назад

      Acha ushamba Mungu ndo alisema wawe wagonvi

    • @angelitapaulo
      @angelitapaulo 17 дней назад

      Hapana kaka kumbuka vita hii iko katika Biblia, pia kumbuka mto flat ulishakauka maji tangu 2021,ili kupitisha majeshi ya kaskazini na kusini, kupigana vita, na hii vita inakuwa na mpango wa shetani kupunguza idadi ya watu kwa hiyo vita itaanza taratibu kisha watu wote dunian wataungana kupigana na Israeli, na hii ndio ile vita ya HARMAGEDON katika Biblia, na mwisho Israeli itashinda hii vita kwa kuwa wanapenda nguvu yq ki MUNGU kisha msikitini utabomolewa hekalu la MUNGU litajengwa hii nadhani hata waislam wanajua kwamba lazima msikiti ubolewe hiyo iko wazi,

    • @hemedmtunguja9788
      @hemedmtunguja9788 День назад

      Wafiranaji tu israel

  • @issaibrahim4465
    @issaibrahim4465 13 дней назад

    Pole sana ndugu.
    MUNGU akuponye

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Месяц назад +8

    Pole sana DJ Smaa Allah akupe shufaaa ili uendelee kutusanua sisi wa dunia ya 3😅
    ❤❤❤

  • @robinsonpaschal8550
    @robinsonpaschal8550 4 дня назад

    Unasema kama ulikuwepo. Mwongo sana

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Месяц назад +11

    Dj Smaa pole sana kaka ,Allah atakuwekea wepesi Dj wetu

  • @user-uu5qw4mm3i
    @user-uu5qw4mm3i Месяц назад

    Mimi niko omani nakufatilia sana. Allah atakupa shifaa ameen

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 Месяц назад +7

    Alafu broo jaribu kutafsili, wengine hatujuilugha

  • @aminaali792
    @aminaali792 Месяц назад +1

    Pole sana Dj smaa Allah atakufajaalia quick Shifaa Yaa Rabbi🤲🏼And asante sana kwa hii nilikuwa naisubiria lwa hamu logic and facts zako Allah walinde All Muslims countries and Allah amshinde myahudi Ameeen 🤲🏼🤍much love from Uk 🇬🇧😍

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli8215 Месяц назад +1

    Yesu akuponye.KWA UPANDE WAKO MM NIPO KINYUME NA WEWE MAREKANI HAWEZI KUMTUMA IRAN AISHAMBULIE ISRAEL HAIWEZEKAN KUTOKANA NA MIZOZO ILIYOPO DUNIANI

  • @ukweliwanenokatikahili7526
    @ukweliwanenokatikahili7526 27 дней назад

    Mungu akuponye , Israel inajiweza Sana ,Apa aliye adhibiwa ni Irani ,magenel walioo kufa wa Irani + jumlisha na gharama za mashambuliz ,

  • @harijeanclaude4415
    @harijeanclaude4415 Месяц назад +1

    Ulikuwa wapi tulikuwa tumemiss tarifa zako.

  • @user-cr2qv5wr8q
    @user-cr2qv5wr8q Месяц назад +1

    Tuko Lubumbashi endelea kufunua ubongo wa watu ❤

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl Месяц назад +1

    Pole sana but hilo tatizo nililipata nikalitibu kwa pusharp na badilisha godoro

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui Месяц назад +1

    Pole sana dj ila kunasehem kidogo tuwekesawa siokwamba marekani ameruhusu irani hapa ilichofanya irani nikufuwata utarabu wakisheria zavita katka umoja wkimataifa kwahiyo iran katoa taarifa katka umoja wakimaifa hukondiko marekan alikoipata taarifa ndiomaana Iran imetangaza tena kwamba izraeli ikijibu itajibiwa tena sasa ndio utakuwa mwanzo wavita kamili

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад +5

    Acha uongo kama marekani ndie aliepanga shambulizi kwa nn aingie khasara kubwa kiasi hiko bila shaka haingii akilini hata kwa mtu wa darasa la 5 anae jitambua hawezi kuamini unachosema

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Месяц назад

      Yaani huyu huwq anajifanya anajua kuchambua kumbe uongo ana uongezea bila hata kutumia common sense. Je anajua uhusiano na makubaliano ya Israel na Marekani tangu 1948? Mimi huwq simsikilizi Kabisaaaaa, bali wengine hapo SNS

    • @user-od7os6gg7n
      @user-od7os6gg7n 16 дней назад +1

      Sasa Kama humsikilizi ..humu umefata nn!!?

  • @dudumankidume3046
    @dudumankidume3046 Месяц назад +1

    ### DJ sma pole ,ila kuna daktari anae weza kusaidia na matibabu ya uhakika ## ikiwa utaitaj nikuunganishe tafadhali ni check ,

  • @user-xw8qc8up8r
    @user-xw8qc8up8r 12 дней назад

    izlael Wanam Tegemea Mungu Marekani Waonani

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Месяц назад

    Dj Sma pole sana Allah akufanyie wepesi Pendelea kuogolea bahirini au swimming pool hiyo ni diski nitakupa mchango wangu

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l Месяц назад

    kwanza pole sana bro Allah akufanyie wepesi Allah akuafu lakini kwa hakika yako we ni bingwa wa kuchambua yani pongezi juu yako tena mie nahisi unafaa hata kua spy maana ulivyochambua na jinsi tukio lilivyokua yani mulemule oya we ni hatari sana nakupa namba moja leo hapa tz kwa uchambuzi wako mzuri zaidi tena umenyooka hasa kimaelezo halafu hata koment nlizo zisoma kwa klip hii sijaona mpinzani hata mmoja japo sijasoma zote kila la kheri kaka

  • @selemanijuma2378
    @selemanijuma2378 Месяц назад

    Pole sana Allah atakujalia SHIFAA inshallah,

  • @mwanahamisimohamed1364
    @mwanahamisimohamed1364 Месяц назад +4

    Ur the best Dj smaa uchqmbuzi wako hauegemei upende wowote,sio yule Ibrah rabby wa azam hajui chochote zaid ya mihemko

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s Месяц назад +3

    Pole DJ smaa..na Mungu akufungulie zaidi wewe mchambuzi genenious Sana ubongo wako una hatari.sasa kuhusu hili la Iran na israil ndo nimekaa sawa Sasa.

  • @mshengeli
    @mshengeli Месяц назад +2

    Allah will heal you inshaallah Dj SMA

  • @ranman4910
    @ranman4910 Месяц назад +2

    Pole kaka. Pole Sana mchambuzi nguli, mchambuzi mbobezi

  • @Del_busi5
    @Del_busi5 Месяц назад

    Daa huu ulimwengu tulioko kwa sasa hauta sema uongo kila kitu kipo wazi, wewe ukidanganya hivi wengine wanaleta ukweli, asanate sana DJ Uwe na afya njema 😢

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +1

    Mungu akusaidie upone uwe sawa 🙏

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Месяц назад +3

    Laa basa twahuru In sha Allaah

  • @l.m.a.7570
    @l.m.a.7570 Месяц назад +4

    Pole sana dj sma kuna watu hawaelewi kuwa wakristo wlioko jerusalem ni waarabu ambao ni wapelistina sio wayahudi wayahudi hawataki kusikia kuhusu yesu ila wanawatukana waarabu hawajui kanis za jerusalem inasaliwa kiarabu nasiyo kiyahudi utawasikiya tuko na israel kuna wasiria wakristo wairak wakristo walebanees wajordan lakini hakuna myahudi mkristo dj sma ebu wajulishe siku moja

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx Месяц назад

    Wapi simulizi yako haifai

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 Месяц назад +1

    Pole sana kwa kuugua.
    Lakini kunajambo ningependa ulijue pia.Ni kweli Israel inapata support kutoka Marekani na uingereza kwa sababu ndo wengi wao wanashikilia uslchumi wa nchi hizo.wakati mwingine huwezi kuwatenganisha nao abadani.
    Pili hata wao hezbollah,Hamas na Iran wanapata support kutoka kwenye nchi zingine kama Urusi na Uchina.
    Kwahiyo kukufungua zaidi ni lazima uchambuzi wako uwe real na ubalance.

  • @dastanisalingo8993
    @dastanisalingo8993 16 дней назад

    Israel kutomwami Yesu hakufuti hali ya Israel kuwa taifa teule.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Месяц назад +1

    Sasa siilewi hii vita

  • @hemedabubakar-cb1nq
    @hemedabubakar-cb1nq Месяц назад +2

    Samahani yesu aja shushiwa bibria yes u are Pewaukee injili na sio bibria

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Месяц назад +1

    Okey kaka mungu akufanyie wepesi upate afya na hayo maradhi yakuondokee.

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Месяц назад +1

    DAA pole quick recover,sisi wakenya tutachanga vpii ,naezatuma katika njia y M-pesa?

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Месяц назад +2

    Pole sana Dj Smaa Mwenyezi Mungu akupe afya njema

  • @aivodanielchengula4929
    @aivodanielchengula4929 26 дней назад

    Angalao huwa unapenda kuongezewa mambo.
    Waisraeli walikataliwa na Mungu toka mwa 607 kabla ya kuwepo kw Christo wakati ambapo wanavamiwa na kutekwa na Babiloni(Irac ya sasa).
    Sababu ya pili toka wamevamiwa na Nebkadneza Israel hawakuongozwa tena na mfalme aliechaguliwa na Mungu.
    Bilia inasiri hizo, (2Nyakati sura ya 36) kitabu hicho kitaonyesha jinsi walivyofikia mwisho wao wa kuitwa taifa teule.
    Na kutoka hapo siasa ilitawala

  • @donaldjoseph7264
    @donaldjoseph7264 Месяц назад

    Hiyooo ni uongoo mtupuuuu..acha kupotosha

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Месяц назад

    Pole sna Tanzania one IT man makofi kwko jembe tupo pamoja kichwa chenye upara hakikosi busara

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy Месяц назад

    Dj smaa utabaki kuwa mchambuzi mkuu ninae mkubali

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy Месяц назад

    Allah akufanyie wepes. Ameen

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Месяц назад

    Weniproofesa unastaili gd Allaah akuondolee marathi yanayo kusumbua

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Месяц назад +1

    Pole sana dj sma

  • @user-tr5cf3qh5p
    @user-tr5cf3qh5p Месяц назад

    Mayahudi sio Taifa la Mungu baili ni Taifaa la waasii mashetan malana watalipwa kwa ubaya wao

  • @andreadaniel214
    @andreadaniel214 Месяц назад

    Pole sana DJ smaa.. Mungu hatakusahidia.. From🇰🇪.

  • @henrymatebe
    @henrymatebe Месяц назад

    Jamaa ni mshabiki wa warabu

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Месяц назад

    Allah akupe shufaa ndugu yangu

  • @saidmwakugomba3623
    @saidmwakugomba3623 Месяц назад +1

    Quick recovery broo, utakua sawa InshaAllah

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr Месяц назад +12

    From in Mozambique 🇲🇿 pole sana dj allah akuponye

  • @hubman6780
    @hubman6780 Месяц назад

    DJ SMA na Kwa faida ya wengine
    Unachoumwa through spinal cord kupress nerves husababisha maumivu makali.
    Sasa kama ni mtu unaekaa Kwa muda mrefu sana unatakiwa kuchagua aina ya mkao,usiweke waleti mfukoni.Mwisho chagua poise ya kukaa Kwa style ya mwanamke akaavyo kwenye kiti.Nenda mazoezi yanayotumia kifaa cha umeme Kwa physiotherapy.Hospital Hight tech Upanga watakusaidia

  • @user-mk7qi6ti3s
    @user-mk7qi6ti3s Месяц назад +1

    Huo mtego is memba w iran ili kujua member w Israel warada zenye kiwng gan iran anatu member wake wanadukua. Elim yng dr4 ila najifunz meng kwok kwn unapangilia w sentes zisizo n ????

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад +1

    Acha kuadanganya watu kwa hiyo hata vita ya urusi na ukrine imepangwa

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Месяц назад

    Mwe jamani pole sana kaka yangu mungu akuponye ni changamoto za dunia

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 Месяц назад

    Pole ndugu yangu dj sm mungu atakupa wepesi utapona kazi

  • @abbasmtaita7203
    @abbasmtaita7203 Месяц назад +1

    Nikirudi TZ dj SMA ntakuletea dawa mm niliumwa nikikaa kwenye kiti kuinuka dk tano maumivu makali kuanzia kiunoni mpaka mgongoni.hata laki moja humalizi hiyo dawa.na ilibaki nikaigawa. Usikonde Mr dj

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p Месяц назад

    Mungu atakusaidia mwanagu

  • @thamani5842
    @thamani5842 Месяц назад +4

    ALLAH akupe shifaa kaka

  • @user-xw8qc8up8r
    @user-xw8qc8up8r 12 дней назад

    Kk Vita Haina Macho

  • @cheedsure3237
    @cheedsure3237 Месяц назад +1

    Pole sana dj smaa ALLAH atkusaidiaa

  • @KhajjFundi-ij2dq
    @KhajjFundi-ij2dq Месяц назад +1

    Pole sana kaka

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 Месяц назад

    Dj sma pole sana. Tafadhali hii analysis ya DAJAL tunaomba uiongelee brotha

  • @mohamedabdulkadir7996
    @mohamedabdulkadir7996 Месяц назад

    Pole Sana kaka MUNGU akuponeshe

  • @valeymendrad6297
    @valeymendrad6297 Месяц назад +1

    hivi wachambuzi plain wasiokuwa na upande wowote bongo wapo kweli????

  • @HusseinMulla-sy9kg
    @HusseinMulla-sy9kg Месяц назад +1

    Allah akupe shifaa kaka

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 Месяц назад

    Allah akupe uponyefu Akhy

  • @znzmawaidh8702
    @znzmawaidh8702 Месяц назад

    Allah akufanyie wepesi inshallah

  • @tolbartkishamba3772
    @tolbartkishamba3772 Месяц назад +2

    Hypo kaka unatudanganya hivi unaijua ramani yamashariki ya Kati achakutudanganya

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce Месяц назад

      Tupe riporti Yako wewe ya kweli basi chaap tunakusubir hapa

  • @suleimanmselemsuleiman935
    @suleimanmselemsuleiman935 Месяц назад +1

    Hakuna kombora hata moja lililo haribiwa na Israel wala USA walicho kifanya ni kudungua drone chache tu.Hypersonic zote zimepiga target.

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 Месяц назад +9

    Mungu Akufanyie wepesi upone haraka djsma

    • @Jibambeshow254k
      @Jibambeshow254k Месяц назад +2

      Dua alafu mtumie ata mia utakua umetisha

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Месяц назад

    Pole sana kaka au freemason nini wameanza kukutafuta

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 Месяц назад

    Nimekuelewa kaka sma

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y Месяц назад +1

    Mzeee nimekuelewaaaàaaàaaaaaa

  • @user-dk7ob5wp8y
    @user-dk7ob5wp8y Месяц назад +2

    Hata kama wanamkataa Yesu Bado ni taifa teule la Mungu.

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct Месяц назад +1

      sidhani , ongelea "spiritual" Israel sio hii ya Kina Netanyahu

    • @sbboymkaliofficial9108
      @sbboymkaliofficial9108 Месяц назад

      Unajua Wewe taifa teule ila wayahudi wahawataki ata kuona bibilia au kanisa ndani mwake ndo maana pale Israel ata wakristo WA kweli wanishi Kwa shida

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct Месяц назад

      @@sbboymkaliofficial9108 Taifa teule kwa vipi , unahitaji kuuliza maswali magumu , ili uwe Taifa teule MUNGU anahitaji wewe ufanye nini ?, hii Israel ya Netanyahu inafanya hivyo ?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +1

      Umeongea sahihi sana sana.Ni kweli kabisa hata kama walimkataa yesu au bado wana mkataa yesu lakini bado hili litabali kuwa Taifa teule la Mungu.Wao wamewekeana ahadi na Mungu.Hili bado ni Taifa la Mungu.

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct Месяц назад

      @@MathewNathan-yb2bz wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto. Mat 3:9

  • @danielikonyeeki254
    @danielikonyeeki254 Месяц назад +1

    Pole sana

  • @gmai446
    @gmai446 Месяц назад

    Pole Sana upone insha, llah Ila kwenye uchambuzi ume bugi

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba1054 Месяц назад

    Duh tunakumis bro pole sana aisee tunakuombea sana

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 Месяц назад

    Pole San mungu akupe afya na akundolee maumiv

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад +3

    Pole sana kkangu Allah Atakupa Shiffa ya haraka in shaa Allah

  • @user-rt9qr3ie9g
    @user-rt9qr3ie9g Месяц назад

    Wewe tuma sms tu wao wanayo

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6t Месяц назад

    Mtangaji uko vizur sana chanzo ni nn

  • @user-yr1wm8mu3s
    @user-yr1wm8mu3s Месяц назад

    Dj sma tupe mavitu

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc Месяц назад

    Kwanza pole kwa kuumwa Sisi hatusemi Israel taifa Teule bali Tourati ambayo Musa alipewa na mungu ndio inasema pia hapo Kwenye Taifa Teule huwezi kuelewa io kauli usipo Soma Biblia lakini Wa Christian walio wengi wanaelewa wale wanao Soma Biblia ndio inasema hayo hatuwezi kupingana na maandiko Taifa la Israeli lilianza kwa ahadi…Yaani mtu mmoja aliyeitwa Ibrahimu alimpendeza Mungu, Hivyo Mungu akamwahidi kuwa atakuwa Taifa kubwa.

  • @stephenhaule5055
    @stephenhaule5055 Месяц назад +1

    Pole sana dj sma Mungu akufanyie wepesi ukae sawa

  • @faridayendayenda2953
    @faridayendayenda2953 Месяц назад +1

    Pole sana dj smaa

  • @user-hz2od3qf8o
    @user-hz2od3qf8o Месяц назад +1

    Acha uwongo dj waisraeli ndo mana unaumwa mgongo, ila utakapoacha kuisema israeli vibaya ndipo utapona

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Месяц назад +1

    Pole sana mpendwa.

  • @JumseMSTAARABU
    @JumseMSTAARABU Месяц назад

    Pole bro namwomba Mungu akuponye inshaallah

  • @salashbooben7622
    @salashbooben7622 Месяц назад

    Pole sana Google wetu
    Allah yuko na wewe brother
    Utakua sawa In Shaa Allah
    And shukran for all.. may God grant u for what u do for us🙏🙏🙏 from 🇧🇮🇧🇮

  • @SaidyMwajeka-tr7oj
    @SaidyMwajeka-tr7oj Месяц назад

    Nice mkuu wa wachambuzi🎉 get well soon

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 Месяц назад

    Pole Sana kaka Allah Aendelee kukufanyia Wepesi

  • @RahmaHussein-xh4hy
    @RahmaHussein-xh4hy Месяц назад

    Allaah Akuafu Akupe Afya njema

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Месяц назад

    😢Tumeni hela acheni kusema pole