Usihofu but ukweli wa kaz yako nikuse. Ma ambao hautakiwi truth very expensive than true,nn hatma ya lowasa ukweli wake alitolewa kafara na almekufa kama mbwaa aliegomgwa na gari ukweli unaumiza sana but ishi nao coz ulinzi wako uko na mungu
Ndugu nilazima wamkatae YESU ilisisi tumpokee, ndio maana Yesu alisema nimekuja kwa walio wangu,ila wamenikataa, ayo yalishaandikwa na yalishatabiriwa, wew unazani wangemkubali sisi tungepataje uwokovu, sisi wa mataifa, na ilikuwa lazma ili asulubiwe, ateswe, kajifunze maandiko, ndio uje useme unayo yasema
Israel haijaanza kutengwa leo miaka hii na yote hayo walivishinda,wajaa Mungu kawapendelea sana,na wameshika uchumi wa dunia,.rejea kwenye issue na Anti semitism.
Poleh sana brother. Napendekeza walau wadau 500 tujitokeze tuchangie Tsh 10,000 for DJ Sma manake amekuwa na mambo mengi na hamasa kubwa kwetu sote. Naomba kusisitiza kuwa ni wengi tumekuwa tunamwangalia na kumfuatilia hivyo vyema tumjali kama ambavyo amekuwa anatujali. Mie nishachangia ya kwangu ww je!?
Na ikumbukwe kuwa Udhaifu wa Israel siku zote unapatikana tu pale wanapomsahau Mungu wetu, Ila Israel katika uwepo wa Mungu ni taifa la kuogopwa duniani.
Hapana kaka kumbuka vita hii iko katika Biblia, pia kumbuka mto flat ulishakauka maji tangu 2021,ili kupitisha majeshi ya kaskazini na kusini, kupigana vita, na hii vita inakuwa na mpango wa shetani kupunguza idadi ya watu kwa hiyo vita itaanza taratibu kisha watu wote dunian wataungana kupigana na Israeli, na hii ndio ile vita ya HARMAGEDON katika Biblia, na mwisho Israeli itashinda hii vita kwa kuwa wanapenda nguvu yq ki MUNGU kisha msikitini utabomolewa hekalu la MUNGU litajengwa hii nadhani hata waislam wanajua kwamba lazima msikiti ubolewe hiyo iko wazi,
Pole sana Dj smaa Allah atakufajaalia quick Shifaa Yaa Rabbi🤲🏼And asante sana kwa hii nilikuwa naisubiria lwa hamu logic and facts zako Allah walinde All Muslims countries and Allah amshinde myahudi Ameeen 🤲🏼🤍much love from Uk 🇬🇧😍
Pole sana dj ila kunasehem kidogo tuwekesawa siokwamba marekani ameruhusu irani hapa ilichofanya irani nikufuwata utarabu wakisheria zavita katka umoja wkimataifa kwahiyo iran katoa taarifa katka umoja wakimaifa hukondiko marekan alikoipata taarifa ndiomaana Iran imetangaza tena kwamba izraeli ikijibu itajibiwa tena sasa ndio utakuwa mwanzo wavita kamili
Acha uongo kama marekani ndie aliepanga shambulizi kwa nn aingie khasara kubwa kiasi hiko bila shaka haingii akilini hata kwa mtu wa darasa la 5 anae jitambua hawezi kuamini unachosema
Yaani huyu huwq anajifanya anajua kuchambua kumbe uongo ana uongezea bila hata kutumia common sense. Je anajua uhusiano na makubaliano ya Israel na Marekani tangu 1948? Mimi huwq simsikilizi Kabisaaaaa, bali wengine hapo SNS
kwanza pole sana bro Allah akufanyie wepesi Allah akuafu lakini kwa hakika yako we ni bingwa wa kuchambua yani pongezi juu yako tena mie nahisi unafaa hata kua spy maana ulivyochambua na jinsi tukio lilivyokua yani mulemule oya we ni hatari sana nakupa namba moja leo hapa tz kwa uchambuzi wako mzuri zaidi tena umenyooka hasa kimaelezo halafu hata koment nlizo zisoma kwa klip hii sijaona mpinzani hata mmoja japo sijasoma zote kila la kheri kaka
Pole DJ smaa..na Mungu akufungulie zaidi wewe mchambuzi genenious Sana ubongo wako una hatari.sasa kuhusu hili la Iran na israil ndo nimekaa sawa Sasa.
Daa huu ulimwengu tulioko kwa sasa hauta sema uongo kila kitu kipo wazi, wewe ukidanganya hivi wengine wanaleta ukweli, asanate sana DJ Uwe na afya njema 😢
Pole sana dj sma kuna watu hawaelewi kuwa wakristo wlioko jerusalem ni waarabu ambao ni wapelistina sio wayahudi wayahudi hawataki kusikia kuhusu yesu ila wanawatukana waarabu hawajui kanis za jerusalem inasaliwa kiarabu nasiyo kiyahudi utawasikiya tuko na israel kuna wasiria wakristo wairak wakristo walebanees wajordan lakini hakuna myahudi mkristo dj sma ebu wajulishe siku moja
Pole sana kwa kuugua. Lakini kunajambo ningependa ulijue pia.Ni kweli Israel inapata support kutoka Marekani na uingereza kwa sababu ndo wengi wao wanashikilia uslchumi wa nchi hizo.wakati mwingine huwezi kuwatenganisha nao abadani. Pili hata wao hezbollah,Hamas na Iran wanapata support kutoka kwenye nchi zingine kama Urusi na Uchina. Kwahiyo kukufungua zaidi ni lazima uchambuzi wako uwe real na ubalance.
Angalao huwa unapenda kuongezewa mambo. Waisraeli walikataliwa na Mungu toka mwa 607 kabla ya kuwepo kw Christo wakati ambapo wanavamiwa na kutekwa na Babiloni(Irac ya sasa). Sababu ya pili toka wamevamiwa na Nebkadneza Israel hawakuongozwa tena na mfalme aliechaguliwa na Mungu. Bilia inasiri hizo, (2Nyakati sura ya 36) kitabu hicho kitaonyesha jinsi walivyofikia mwisho wao wa kuitwa taifa teule. Na kutoka hapo siasa ilitawala
DJ SMA na Kwa faida ya wengine Unachoumwa through spinal cord kupress nerves husababisha maumivu makali. Sasa kama ni mtu unaekaa Kwa muda mrefu sana unatakiwa kuchagua aina ya mkao,usiweke waleti mfukoni.Mwisho chagua poise ya kukaa Kwa style ya mwanamke akaavyo kwenye kiti.Nenda mazoezi yanayotumia kifaa cha umeme Kwa physiotherapy.Hospital Hight tech Upanga watakusaidia
Huo mtego is memba w iran ili kujua member w Israel warada zenye kiwng gan iran anatu member wake wanadukua. Elim yng dr4 ila najifunz meng kwok kwn unapangilia w sentes zisizo n ????
Nikirudi TZ dj SMA ntakuletea dawa mm niliumwa nikikaa kwenye kiti kuinuka dk tano maumivu makali kuanzia kiunoni mpaka mgongoni.hata laki moja humalizi hiyo dawa.na ilibaki nikaigawa. Usikonde Mr dj
@@sbboymkaliofficial9108 Taifa teule kwa vipi , unahitaji kuuliza maswali magumu , ili uwe Taifa teule MUNGU anahitaji wewe ufanye nini ?, hii Israel ya Netanyahu inafanya hivyo ?
Umeongea sahihi sana sana.Ni kweli kabisa hata kama walimkataa yesu au bado wana mkataa yesu lakini bado hili litabali kuwa Taifa teule la Mungu.Wao wamewekeana ahadi na Mungu.Hili bado ni Taifa la Mungu.
@@MathewNathan-yb2bz wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto. Mat 3:9
Kwanza pole kwa kuumwa Sisi hatusemi Israel taifa Teule bali Tourati ambayo Musa alipewa na mungu ndio inasema pia hapo Kwenye Taifa Teule huwezi kuelewa io kauli usipo Soma Biblia lakini Wa Christian walio wengi wanaelewa wale wanao Soma Biblia ndio inasema hayo hatuwezi kupingana na maandiko Taifa la Israeli lilianza kwa ahadi…Yaani mtu mmoja aliyeitwa Ibrahimu alimpendeza Mungu, Hivyo Mungu akamwahidi kuwa atakuwa Taifa kubwa.
Pole sana, gwiji wa uchambuzi Mungu atakusaidia.
Huyu jamaa Ni gwiji kabisa
MUUMBA
AMPONYEE
Usihofu but ukweli wa kaz yako nikuse.
Ma ambao hautakiwi truth very expensive than true,nn hatma ya lowasa ukweli wake alitolewa kafara na almekufa kama mbwaa aliegomgwa na gari ukweli unaumiza sana but ishi nao coz ulinzi wako uko na mungu
Ndugu nilazima wamkatae YESU ilisisi tumpokee, ndio maana Yesu alisema nimekuja kwa walio wangu,ila wamenikataa, ayo yalishaandikwa na yalishatabiriwa, wew unazani wangemkubali sisi tungepataje uwokovu, sisi wa mataifa, na ilikuwa lazma ili asulubiwe, ateswe, kajifunze maandiko, ndio uje useme unayo yasema
We siku ukijitambua utaacha
Israel haijaanza kutengwa leo miaka hii na yote hayo walivishinda,wajaa Mungu kawapendelea sana,na wameshika uchumi wa dunia,.rejea kwenye issue na Anti semitism.
Mungu Hajawachoka watuwake Atawarinda usiku mchana
From burundii bujumburaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 pole sana simba wa sautii nzuri na ucambuziii wa akiiliii salut
Ndugu yangu kunakitu unamiss na hii nikuwa shabiki wa Irani moja kwa moja
Smaa nenda mazese kunakituo kinaitwa bakhesa kunasoko pale kanunue kunadawa ukifika wambie unataka dawa yakulendemka itakusaidia sana
Asante
Poleh sana brother.
Napendekeza walau wadau 500 tujitokeze tuchangie Tsh 10,000 for DJ Sma manake amekuwa na mambo mengi na hamasa kubwa kwetu sote.
Naomba kusisitiza kuwa ni wengi tumekuwa tunamwangalia na kumfuatilia hivyo vyema tumjali kama ambavyo amekuwa anatujali.
Mie nishachangia ya kwangu ww je!?
Na ikumbukwe kuwa Udhaifu wa Israel siku zote unapatikana tu pale wanapomsahau Mungu wetu, Ila Israel katika uwepo wa Mungu ni taifa la kuogopwa duniani.
Hakika kaka
Acha ushamba Mungu ndo alisema wawe wagonvi
Hapana kaka kumbuka vita hii iko katika Biblia, pia kumbuka mto flat ulishakauka maji tangu 2021,ili kupitisha majeshi ya kaskazini na kusini, kupigana vita, na hii vita inakuwa na mpango wa shetani kupunguza idadi ya watu kwa hiyo vita itaanza taratibu kisha watu wote dunian wataungana kupigana na Israeli, na hii ndio ile vita ya HARMAGEDON katika Biblia, na mwisho Israeli itashinda hii vita kwa kuwa wanapenda nguvu yq ki MUNGU kisha msikitini utabomolewa hekalu la MUNGU litajengwa hii nadhani hata waislam wanajua kwamba lazima msikiti ubolewe hiyo iko wazi,
Wafiranaji tu israel
Pole sana ndugu.
MUNGU akuponye
Pole sana DJ Smaa Allah akupe shufaaa ili uendelee kutusanua sisi wa dunia ya 3😅
❤❤❤
Unasema kama ulikuwepo. Mwongo sana
Dj Smaa pole sana kaka ,Allah atakuwekea wepesi Dj wetu
Mimi niko omani nakufatilia sana. Allah atakupa shifaa ameen
Alafu broo jaribu kutafsili, wengine hatujuilugha
Pole sana Dj smaa Allah atakufajaalia quick Shifaa Yaa Rabbi🤲🏼And asante sana kwa hii nilikuwa naisubiria lwa hamu logic and facts zako Allah walinde All Muslims countries and Allah amshinde myahudi Ameeen 🤲🏼🤍much love from Uk 🇬🇧😍
Yesu akuponye.KWA UPANDE WAKO MM NIPO KINYUME NA WEWE MAREKANI HAWEZI KUMTUMA IRAN AISHAMBULIE ISRAEL HAIWEZEKAN KUTOKANA NA MIZOZO ILIYOPO DUNIANI
Hujamuelewa, elewa kwnz ndugu acha mihemko
Mungu akuponye , Israel inajiweza Sana ,Apa aliye adhibiwa ni Irani ,magenel walioo kufa wa Irani + jumlisha na gharama za mashambuliz ,
Ulikuwa wapi tulikuwa tumemiss tarifa zako.
Tuko Lubumbashi endelea kufunua ubongo wa watu ❤
Pole sana but hilo tatizo nililipata nikalitibu kwa pusharp na badilisha godoro
Pole sana dj ila kunasehem kidogo tuwekesawa siokwamba marekani ameruhusu irani hapa ilichofanya irani nikufuwata utarabu wakisheria zavita katka umoja wkimataifa kwahiyo iran katoa taarifa katka umoja wakimaifa hukondiko marekan alikoipata taarifa ndiomaana Iran imetangaza tena kwamba izraeli ikijibu itajibiwa tena sasa ndio utakuwa mwanzo wavita kamili
Acha uongo kama marekani ndie aliepanga shambulizi kwa nn aingie khasara kubwa kiasi hiko bila shaka haingii akilini hata kwa mtu wa darasa la 5 anae jitambua hawezi kuamini unachosema
Yaani huyu huwq anajifanya anajua kuchambua kumbe uongo ana uongezea bila hata kutumia common sense. Je anajua uhusiano na makubaliano ya Israel na Marekani tangu 1948? Mimi huwq simsikilizi Kabisaaaaa, bali wengine hapo SNS
Sasa Kama humsikilizi ..humu umefata nn!!?
### DJ sma pole ,ila kuna daktari anae weza kusaidia na matibabu ya uhakika ## ikiwa utaitaj nikuunganishe tafadhali ni check ,
izlael Wanam Tegemea Mungu Marekani Waonani
Dj Sma pole sana Allah akufanyie wepesi Pendelea kuogolea bahirini au swimming pool hiyo ni diski nitakupa mchango wangu
kwanza pole sana bro Allah akufanyie wepesi Allah akuafu lakini kwa hakika yako we ni bingwa wa kuchambua yani pongezi juu yako tena mie nahisi unafaa hata kua spy maana ulivyochambua na jinsi tukio lilivyokua yani mulemule oya we ni hatari sana nakupa namba moja leo hapa tz kwa uchambuzi wako mzuri zaidi tena umenyooka hasa kimaelezo halafu hata koment nlizo zisoma kwa klip hii sijaona mpinzani hata mmoja japo sijasoma zote kila la kheri kaka
Pole sana Allah atakujalia SHIFAA inshallah,
Ur the best Dj smaa uchqmbuzi wako hauegemei upende wowote,sio yule Ibrah rabby wa azam hajui chochote zaid ya mihemko
😮😮
Pole DJ smaa..na Mungu akufungulie zaidi wewe mchambuzi genenious Sana ubongo wako una hatari.sasa kuhusu hili la Iran na israil ndo nimekaa sawa Sasa.
Allah will heal you inshaallah Dj SMA
Pole kaka. Pole Sana mchambuzi nguli, mchambuzi mbobezi
Daa huu ulimwengu tulioko kwa sasa hauta sema uongo kila kitu kipo wazi, wewe ukidanganya hivi wengine wanaleta ukweli, asanate sana DJ Uwe na afya njema 😢
Mungu akusaidie upone uwe sawa 🙏
Laa basa twahuru In sha Allaah
Pole sana dj sma kuna watu hawaelewi kuwa wakristo wlioko jerusalem ni waarabu ambao ni wapelistina sio wayahudi wayahudi hawataki kusikia kuhusu yesu ila wanawatukana waarabu hawajui kanis za jerusalem inasaliwa kiarabu nasiyo kiyahudi utawasikiya tuko na israel kuna wasiria wakristo wairak wakristo walebanees wajordan lakini hakuna myahudi mkristo dj sma ebu wajulishe siku moja
Wapi simulizi yako haifai
Pole sana kwa kuugua.
Lakini kunajambo ningependa ulijue pia.Ni kweli Israel inapata support kutoka Marekani na uingereza kwa sababu ndo wengi wao wanashikilia uslchumi wa nchi hizo.wakati mwingine huwezi kuwatenganisha nao abadani.
Pili hata wao hezbollah,Hamas na Iran wanapata support kutoka kwenye nchi zingine kama Urusi na Uchina.
Kwahiyo kukufungua zaidi ni lazima uchambuzi wako uwe real na ubalance.
Israel kutomwami Yesu hakufuti hali ya Israel kuwa taifa teule.
Sasa siilewi hii vita
Samahani yesu aja shushiwa bibria yes u are Pewaukee injili na sio bibria
Okey kaka mungu akufanyie wepesi upate afya na hayo maradhi yakuondokee.
DAA pole quick recover,sisi wakenya tutachanga vpii ,naezatuma katika njia y M-pesa?
Pole sana Dj Smaa Mwenyezi Mungu akupe afya njema
Angalao huwa unapenda kuongezewa mambo.
Waisraeli walikataliwa na Mungu toka mwa 607 kabla ya kuwepo kw Christo wakati ambapo wanavamiwa na kutekwa na Babiloni(Irac ya sasa).
Sababu ya pili toka wamevamiwa na Nebkadneza Israel hawakuongozwa tena na mfalme aliechaguliwa na Mungu.
Bilia inasiri hizo, (2Nyakati sura ya 36) kitabu hicho kitaonyesha jinsi walivyofikia mwisho wao wa kuitwa taifa teule.
Na kutoka hapo siasa ilitawala
Hiyooo ni uongoo mtupuuuu..acha kupotosha
Pole sna Tanzania one IT man makofi kwko jembe tupo pamoja kichwa chenye upara hakikosi busara
Dj smaa utabaki kuwa mchambuzi mkuu ninae mkubali
Allah akufanyie wepes. Ameen
Weniproofesa unastaili gd Allaah akuondolee marathi yanayo kusumbua
Pole sana dj sma
Mayahudi sio Taifa la Mungu baili ni Taifaa la waasii mashetan malana watalipwa kwa ubaya wao
Pole sana DJ smaa.. Mungu hatakusahidia.. From🇰🇪.
Jamaa ni mshabiki wa warabu
Allah akupe shufaa ndugu yangu
Quick recovery broo, utakua sawa InshaAllah
From in Mozambique 🇲🇿 pole sana dj allah akuponye
DJ SMA na Kwa faida ya wengine
Unachoumwa through spinal cord kupress nerves husababisha maumivu makali.
Sasa kama ni mtu unaekaa Kwa muda mrefu sana unatakiwa kuchagua aina ya mkao,usiweke waleti mfukoni.Mwisho chagua poise ya kukaa Kwa style ya mwanamke akaavyo kwenye kiti.Nenda mazoezi yanayotumia kifaa cha umeme Kwa physiotherapy.Hospital Hight tech Upanga watakusaidia
Huo mtego is memba w iran ili kujua member w Israel warada zenye kiwng gan iran anatu member wake wanadukua. Elim yng dr4 ila najifunz meng kwok kwn unapangilia w sentes zisizo n ????
Acha kuadanganya watu kwa hiyo hata vita ya urusi na ukrine imepangwa
Mwe jamani pole sana kaka yangu mungu akuponye ni changamoto za dunia
Pole ndugu yangu dj sm mungu atakupa wepesi utapona kazi
Nikirudi TZ dj SMA ntakuletea dawa mm niliumwa nikikaa kwenye kiti kuinuka dk tano maumivu makali kuanzia kiunoni mpaka mgongoni.hata laki moja humalizi hiyo dawa.na ilibaki nikaigawa. Usikonde Mr dj
🙏
Mungu atakusaidia mwanagu
ALLAH akupe shifaa kaka
Kk Vita Haina Macho
Pole sana dj smaa ALLAH atkusaidiaa
Pole sana kaka
Dj sma pole sana. Tafadhali hii analysis ya DAJAL tunaomba uiongelee brotha
Pole Sana kaka MUNGU akuponeshe
hivi wachambuzi plain wasiokuwa na upande wowote bongo wapo kweli????
Allah akupe shifaa kaka
Allah akupe uponyefu Akhy
Allah akufanyie wepesi inshallah
Hypo kaka unatudanganya hivi unaijua ramani yamashariki ya Kati achakutudanganya
Tupe riporti Yako wewe ya kweli basi chaap tunakusubir hapa
Hakuna kombora hata moja lililo haribiwa na Israel wala USA walicho kifanya ni kudungua drone chache tu.Hypersonic zote zimepiga target.
Mungu Akufanyie wepesi upone haraka djsma
Dua alafu mtumie ata mia utakua umetisha
Pole sana kaka au freemason nini wameanza kukutafuta
Nimekuelewa kaka sma
Mzeee nimekuelewaaaàaaàaaaaaa
Hata kama wanamkataa Yesu Bado ni taifa teule la Mungu.
sidhani , ongelea "spiritual" Israel sio hii ya Kina Netanyahu
Unajua Wewe taifa teule ila wayahudi wahawataki ata kuona bibilia au kanisa ndani mwake ndo maana pale Israel ata wakristo WA kweli wanishi Kwa shida
@@sbboymkaliofficial9108 Taifa teule kwa vipi , unahitaji kuuliza maswali magumu , ili uwe Taifa teule MUNGU anahitaji wewe ufanye nini ?, hii Israel ya Netanyahu inafanya hivyo ?
Umeongea sahihi sana sana.Ni kweli kabisa hata kama walimkataa yesu au bado wana mkataa yesu lakini bado hili litabali kuwa Taifa teule la Mungu.Wao wamewekeana ahadi na Mungu.Hili bado ni Taifa la Mungu.
@@MathewNathan-yb2bz wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto. Mat 3:9
Pole sana
Pole Sana upone insha, llah Ila kwenye uchambuzi ume bugi
Duh tunakumis bro pole sana aisee tunakuombea sana
Pole San mungu akupe afya na akundolee maumiv
Pole sana kkangu Allah Atakupa Shiffa ya haraka in shaa Allah
Wewe tuma sms tu wao wanayo
Mtangaji uko vizur sana chanzo ni nn
Dj sma tupe mavitu
Kwanza pole kwa kuumwa Sisi hatusemi Israel taifa Teule bali Tourati ambayo Musa alipewa na mungu ndio inasema pia hapo Kwenye Taifa Teule huwezi kuelewa io kauli usipo Soma Biblia lakini Wa Christian walio wengi wanaelewa wale wanao Soma Biblia ndio inasema hayo hatuwezi kupingana na maandiko Taifa la Israeli lilianza kwa ahadi…Yaani mtu mmoja aliyeitwa Ibrahimu alimpendeza Mungu, Hivyo Mungu akamwahidi kuwa atakuwa Taifa kubwa.
Pole sana dj sma Mungu akufanyie wepesi ukae sawa
Pole sana dj smaa
Acha uwongo dj waisraeli ndo mana unaumwa mgongo, ila utakapoacha kuisema israeli vibaya ndipo utapona
Pole sana mpendwa.
Pole bro namwomba Mungu akuponye inshaallah
Pole sana Google wetu
Allah yuko na wewe brother
Utakua sawa In Shaa Allah
And shukran for all.. may God grant u for what u do for us🙏🙏🙏 from 🇧🇮🇧🇮
Nice mkuu wa wachambuzi🎉 get well soon
Pole Sana kaka Allah Aendelee kukufanyia Wepesi
Allaah Akuafu Akupe Afya njema
😢Tumeni hela acheni kusema pole