GHARAMA ya DRONES na Mabomu ya IRAN/URUSI si Mchezo! Mchambuzi Ally ajibu Maswali ya Wana SnS

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 268

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 27 дней назад +5

    Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 27 дней назад +17

    Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 27 дней назад +2

      Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?

    • @emmanuelmmbaga5209
      @emmanuelmmbaga5209 27 дней назад +1

      Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 27 дней назад +1

      Uyo jamaa yupo vizur

    • @HabibuHobohobo-py2mq
      @HabibuHobohobo-py2mq 27 дней назад +4

      Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 27 дней назад +2

      ​@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew

  • @MchAlsenPaulo-dn5uz
    @MchAlsenPaulo-dn5uz 27 дней назад +4

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @jumamasele5793
    @jumamasele5793 27 дней назад +10

    Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 27 дней назад +10

    Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi

  • @Kagineemmanuel
    @Kagineemmanuel 27 дней назад +3

    Mchambuzi yuko vizuri sana

  • @user-vl8ks7ps6l
    @user-vl8ks7ps6l 26 дней назад +2

    Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 27 дней назад +3

    Kaz nzur sky ✌️

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 27 дней назад +2

    Jamaa yupo vizur sana

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 27 дней назад +2

    Bwana Alyl anashindwa kujibu swali

  • @renatusbahatimasuguliko892
    @renatusbahatimasuguliko892 26 дней назад +1

    jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 27 дней назад +1

    Big up!

  • @karimmunis8302
    @karimmunis8302 4 дня назад

    Israle alijibu kitu gan ..

  • @gharibjamma7740
    @gharibjamma7740 12 дней назад

    UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana

  • @ALLYKAINE
    @ALLYKAINE 17 дней назад

    Bado anamuda wa kujifunza, keep it up

  • @Hakunamatata_shop
    @Hakunamatata_shop 27 дней назад +3

    kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika

  • @kijazi6506
    @kijazi6506 27 дней назад +3

    kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..

    • @joshylucas1593
      @joshylucas1593 27 дней назад

      🫡

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 27 дней назад

      Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.

  • @SaidiMohammed-ge5ot
    @SaidiMohammed-ge5ot 26 дней назад

    Nimeipenda sana hii

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 18 дней назад

    Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g 26 дней назад +1

    Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv

  • @lifeuptv6353
    @lifeuptv6353 25 дней назад

    Congratulations ❤

  • @ibadaliveog
    @ibadaliveog 27 дней назад

    AM THE FIRST ONE TO WATCH

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw 27 дней назад

    Good

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 27 дней назад +1

    Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 27 дней назад +1

    Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 27 дней назад

    Uk is a millitary nueclea power

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 27 дней назад

    Mchqmbuzi mzuri sana

  • @MusaMungia
    @MusaMungia 12 дней назад

    Good story

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa 27 дней назад +1

    Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 26 дней назад

      Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 27 дней назад

    Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 27 дней назад

    ❤❤

  • @ShafiiIsmail-zk9lq
    @ShafiiIsmail-zk9lq 27 дней назад

    Good I'm 3

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 27 дней назад +1

    Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
    Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
    1. RUSSIA
    2. USA
    3. CHINA
    4. UK
    4. FRANCE
    5. INDIA
    6. NORTH KOREA
    7. PAKISTAN
    Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran

  • @al-qudrashabani237
    @al-qudrashabani237 26 дней назад

    Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali

  • @KurusumuMatola
    @KurusumuMatola 25 дней назад

    Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 26 дней назад +1

    Mimi nipo tel Aviv Israel 🇮🇱, hapa kuna utaratibu kila nyumba na kila jengo kuna bomb Shelters, hivyo kabla bomu halijawa intercepted huko juu, huku chini huwa tunapata alarm katika mifumo iliyofungwa lakini pia kwenye simu, inaitwa red alarm, hivyo kuna dakika kadhaa za kukuandaa kwenda kwenye chamber na baada ya kusikia kishindo tunatakiwa kusalia hapo kwa dakika tano zaidi ambapo Kama kuna masalia yanakua yamesha anguka chini, pia hata hospital karibu zote wards za kulaza wagonjwa zipo chini ya ardhi na pia kila mahali kuna hizi bomb shelters

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 20 дней назад

    Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran

  • @JonasFrancis-mf1rk
    @JonasFrancis-mf1rk 27 дней назад

    😮❤❤❤❤

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 20 дней назад

    Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo

  • @lidyasulley2155
    @lidyasulley2155 24 дня назад

    Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia

  • @SuwediJuma-jo1hw
    @SuwediJuma-jo1hw 19 дней назад

    Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania 27 дней назад +1

    Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 23 дня назад

    MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA

  • @user-pi3vj5sn3l
    @user-pi3vj5sn3l 19 дней назад

    Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao

  • @saitotibuchali7370
    @saitotibuchali7370 24 дня назад

    SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 27 дней назад

    ✌️👊👍.

  • @noelgypsum
    @noelgypsum 27 дней назад

    Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.

  • @michaelkyando9131
    @michaelkyando9131 27 дней назад +1

    Makombara 300 si kajalibu apo alipania

  • @davidnkya3557
    @davidnkya3557 27 дней назад

    Nimewakubali sana wakubwa

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 26 дней назад

    Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?

  • @MdathiruMahamudu
    @MdathiruMahamudu 25 дней назад

    mnajua kuchambua habari wanasns

  • @MedardGombanila
    @MedardGombanila 25 дней назад

    Kwanini islael ilishambulia Iran haikulaumiwa ,ila Iran ilijibu na kuwekewa vikwazo na mataifa ya maghalibi?

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 25 дней назад

    SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.

  • @saphinamirambo8171
    @saphinamirambo8171 26 дней назад

    Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?

  • @dicksonaugustino1850
    @dicksonaugustino1850 27 дней назад +2

    Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.

  • @vistoryvistory5908
    @vistoryvistory5908 20 дней назад

    Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE 27 дней назад

    Je hakuna uwezekano wa kuzuia nyuklia bom kwa kutumia ulinzi wa anga km huo wa iron Dom?

  • @AsiliyetuKwanza099
    @AsiliyetuKwanza099 18 дней назад

    Omba msaada tukusaidie

  • @ZuberyMdemu-fx8kd
    @ZuberyMdemu-fx8kd 27 дней назад

    Huyo hamna k2

  • @IddySkenke
    @IddySkenke 27 дней назад +1

    Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 27 дней назад +1

    Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 27 дней назад +1

      Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo 27 дней назад +1

      Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 27 дней назад

      @@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
      So mim nimesema ninavyojiskia

    • @bajosdamour2347
      @bajosdamour2347 27 дней назад

      @@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 23 дня назад

      Bila shaka

  • @givenhappy__bu1
    @givenhappy__bu1 26 дней назад

    Na hii America iko na nguvu yakupigana na Russia ikashinda vita?????

  • @allymo_pro
    @allymo_pro 26 дней назад

    Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷

  • @jumadaima1833
    @jumadaima1833 27 дней назад

    Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 27 дней назад

    Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita

  • @kassim1262
    @kassim1262 22 дня назад

    Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio

  • @mostoryhub
    @mostoryhub 26 дней назад

    Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.

  • @XxhamxyyxShhams
    @XxhamxyyxShhams 27 дней назад

    Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 20 дней назад

    Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran

  • @murtazantimba4270
    @murtazantimba4270 27 дней назад

    Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 27 дней назад

    Sawa Ally mchambuzi mzuri

  • @user-tg8sp6ql6v
    @user-tg8sp6ql6v 27 дней назад

    Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 26 дней назад

    Yanadunguliwa ya kawaida

  • @MusaMungia
    @MusaMungia 12 дней назад

    Je? Tanzania ikiungana na nchi zingine za africa mashariki hatuwezi kununua hizo dron kwawingi?

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp 17 дней назад

    Wale sio mayahud ni ma sheknaz

  • @makameniga9566
    @makameniga9566 26 дней назад

    Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
    Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?

  • @shafiihussein4753
    @shafiihussein4753 25 дней назад

    Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi

  • @msovietymsoviety3646
    @msovietymsoviety3646 27 дней назад

    Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..

  • @user-xe1uq5gt2i
    @user-xe1uq5gt2i 27 дней назад

    Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini

  • @user-sf7by1cr5h
    @user-sf7by1cr5h 26 дней назад

    Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 27 дней назад

    Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 27 дней назад +1

    Huyu jamaa simwelewi

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 26 дней назад

    iran ni taifa kubwa sana na ushindi unakuja very soon

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 26 дней назад

    Mwana anakula tuki

  • @user-vf7nl5tu2p
    @user-vf7nl5tu2p 25 дней назад

    Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno

  • @givenhappy__bu1
    @givenhappy__bu1 26 дней назад

    Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u 27 дней назад

    Mwenye kujibu ajitambui

  • @shaurimtanda8285
    @shaurimtanda8285 26 дней назад

    mchambuzi anakuja vizuri ila ajifunze kwangu apate madin ya kutosha kuhusu hao ,MOSSAD,FSB,M16, CIA

  • @diamondkaigili1291
    @diamondkaigili1291 26 дней назад

    Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel

  • @MasangulaGoa
    @MasangulaGoa 27 дней назад

    Huyo jamaa hajui kitu 😢

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k 27 дней назад

    Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 27 дней назад

    Hapo wayahudi sio hao wayahudi wapo Africa wote, hao sio

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 27 дней назад

    Jibu maswali siokutoa maelezo

  • @emmanuelerasto6689
    @emmanuelerasto6689 27 дней назад

    Mchambuzi badooo sana sana hana ujuzi na weledi wa siasa za kimataifa amtafute yeriko nyerere kwanza kablaa hajajaa kwenye kipindi apoo

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 27 дней назад

    Uyu jamaa kwenye maswala ya kijeshi nampa mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-xe1uq5gt2i
    @user-xe1uq5gt2i 27 дней назад

    Kwann Kwann mashambuliz ya anga wanafanya Misa ya usiku

    • @oswaldtemba2770
      @oswaldtemba2770 27 дней назад

      Kupunguza vifo.mchana wary wako.kwenye pilika

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 27 дней назад

    Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya RUclipsr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 27 дней назад

      muongo wewe

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 27 дней назад

      @@nizarrama225 nenda kwa Cool Kenyan in Israel hapa kwenye RUclips ukajionee. Ndio utajua kama muongo au mkweli. 😁

  • @Haru-rn1xy
    @Haru-rn1xy 26 дней назад

    Huyu anae jibu mashwali Hana uwezo Huo aende shule kwanza

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 27 дней назад

    Mbona unajibu maswali kihuni huelezei fact 🚮

  • @jawadimwalim3634
    @jawadimwalim3634 27 дней назад

    Unajuwa natamani kufahamu Hilo kombora la Nuclear, Liko uchambuzi wake