kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power. Nuclear powers ni kama ifuatavyo:- 1. RUSSIA 2. USA 3. CHINA 4. UK 4. FRANCE 5. INDIA 6. NORTH KOREA 7. PAKISTAN Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
Mimi nipo tel Aviv Israel 🇮🇱, hapa kuna utaratibu kila nyumba na kila jengo kuna bomb Shelters, hivyo kabla bomu halijawa intercepted huko juu, huku chini huwa tunapata alarm katika mifumo iliyofungwa lakini pia kwenye simu, inaitwa red alarm, hivyo kuna dakika kadhaa za kukuandaa kwenda kwenye chamber na baada ya kusikia kishindo tunatakiwa kusalia hapo kwa dakika tano zaidi ambapo Kama kuna masalia yanakua yamesha anguka chini, pia hata hospital karibu zote wards za kulaza wagonjwa zipo chini ya ardhi na pia kila mahali kuna hizi bomb shelters
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran
Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi
Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..
Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya RUclipsr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.
Huyu jamaa Ali ni kweli anajua mambo ya kijeshi sana hongera
Kuwa Mchambuzi inahitaji skills na uelewa wa hali ya juu pia ufatiliaji, nakupa hongera Sana Mchambuzi... 🙏🙏✔️
Sasa mbona umekimbilia kucomment kabla hujamaliza video na kuelewa?
Huyu jamaa nimemsikiliza interview nyingi, namuelewa.... Anachambua hapendelei anaelezea hali halisi.
Uyo jamaa yupo vizur
Huyu jamaa Mr ally bado sanA KWENYE uchambuz ukiulizwa unajibu totaut na ulivyo ulizwa HATA mie naweza kukuzid KWENYE kuchambua
@@HabibuHobohobo-py2mqwew ndomana ya mbogo mavi wew
Mchambuzi uko vizuri sana
Wa kwanza like zangu nyingiiiiiiii
Uyumchambuzi tumemkubali wana sns tuponae💯💯 from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi
Wew kilakitu unakikubali😂😂
HHHH HHHHH
WEW PIA PINGA KILA KITU
@@bajosdamour2347 sinaakilitimam achananamimi kengeenini aunawaswa🇧🇮🤣
@@allahisone6386 haujuwi🇧🇮
Mchambuzi yuko vizuri sana
Big up sana ila naona mchambuzi bado hajazoea mazingira naomba haya maswali yewe kwa mara kadhaa baadae tunaenjoy kama DJ smaa 255
Kaz nzur sky ✌️
Jamaa yupo vizur sana
Bwana Alyl anashindwa kujibu swali
jibu halijitosheleza suala la inteligencia analysis linahitaji evalutions za kina
Big up!
Israle alijibu kitu gan ..
UK wanazo nyuklia Kwa miaka mingi sana
Bado anamuda wa kujifunza, keep it up
kaka sky mtafute jamaa anaitwa @suleimani chanzi anajua haya mambo mpaka anakera hutojuta kumialika
kwa kuwa ni mwanzo wake kuchambua anafanya vyema, japo kuna makosa madogo mfano ameitaja KGB kama shirika la sasa la Ujasusi la Urusi, sahihi ni kuwa Shirika la sasa linaitwa FSB , hiyo KGB ilikiwa zamani enzi za Sovieti ya Urusi kabla ya kusambaratika...nampongeza anajitahidi na namshauri ajikite kwenye tafiti zaidi..
🫡
Najua kuteleza tu.ila Nw ni FSB maana KGB ilisambaratika pamoja na ussr hongera sana mzee.
Nimeipenda sana hii
Nafikili Iran huijui vizuri ndiyo maana unakwepa maswali
Mwamba kama swali la kwanza kama ame kick around the bush iv
Congratulations ❤
AM THE FIRST ONE TO WATCH
Good
Iran ata akinunua ila haend kununua nyingi ye anaend kuchukua sample watengenez zao ima ziwe kama hiz za Russia au waziongezee ubora...Nuklia zipo san ktj nchi nchi sema wengi ni sir...Iran ananyuklia zakutosha na hakun nchi inapend san kuexpose silaha zake...Mf; Tanzania unawez ona vifaru vya hovy ila cku vita ikitokea ukashangaa ipo hivy
Mosad walijua lakini waliruhusu hamas ili kupata sababu ya kuanzisha vita na washirika wake iran ambapo iran 🇮🇷 aliifahamu ujanja wa Israel kaamua kuchezea ngoma pembeni...si moja kwa moja....
Uk is a millitary nueclea power
Mchqmbuzi mzuri sana
Good story
Sio kweli mchambuzi hajui kitu kabisa
Hiyo alio ongea hapo ni knownlegde ya Google,website na taarifa za habari. hakuna kitu chochocte special hapo. ila ukiwa hujui chochocte(maamuma) utahisi jamaa yuko Nondo na ametema madini. anaweza kuwa nondo ila hajaongea content zozote za maana ambazo me ningeshindwa kuzipata within a one night. awangalie watu kama jamal april. hayo mambo unahitaji kuyachimba kwa undani kabis kadri ya utakavyo weza(Mambo ya jeshi ni yana usiri mkubwa) kama kwenye anataka kuwa nguli
Mchambuzi uko vizuri sana Bro ila ujue ni janja janja ina tumika ila Marekani na Esrael ni Nchimoja
❤❤
Good I'm 3
Ali, UK miaka mingi ni Nuclear Power.
Nuclear powers ni kama ifuatavyo:-
1. RUSSIA
2. USA
3. CHINA
4. UK
4. FRANCE
5. INDIA
6. NORTH KOREA
7. PAKISTAN
Hizo ni rasmi zinaniliki silaha za Nuclear na nchi zingine zinazodhaniwa kumiliki Nuclear ni Israel na Iran
Mchambuzi anahitaji kua deep sana kwenye world politics pia hajajibu swali
Kwel kabisa tuliona makombora lakin yakiingia isiraiel lakin isiraile hawajalipot
Mimi nipo tel Aviv Israel 🇮🇱, hapa kuna utaratibu kila nyumba na kila jengo kuna bomb Shelters, hivyo kabla bomu halijawa intercepted huko juu, huku chini huwa tunapata alarm katika mifumo iliyofungwa lakini pia kwenye simu, inaitwa red alarm, hivyo kuna dakika kadhaa za kukuandaa kwenda kwenye chamber na baada ya kusikia kishindo tunatakiwa kusalia hapo kwa dakika tano zaidi ambapo Kama kuna masalia yanakua yamesha anguka chini, pia hata hospital karibu zote wards za kulaza wagonjwa zipo chini ya ardhi na pia kila mahali kuna hizi bomb shelters
Bom shelter ndo wanaangaika nazo, wawaachie nchi ya watu
Mulizaji kauliza kuhusu gaza na sio iran
😮❤❤❤❤
Huyo mchambuzi alivyojibu swali la kwanza sivyo kabisa! Umejibu sivyo
Yes uingereza anamiliki nyukilia na nimoja ya nchi zilizokuwa za kwanza kumiliki nyukilia akiwemo marekan na rusia
Mm nauliza ama nashauri tujifunzeni na sisi watanzania jinsi ya kutengeneza makombora mbona huyo ali anaonekana anaweza sana
Ijulikane kuwa Hamasi ilianzishwa na Israel, nyumba za walowezi walizojenga Israel ni wamewaweka wapalestina wa Gaza wanaowaunga mkono ambao ndio puppets wao. Vita vyao ni very complicated sanaa
MASHAMBULIZI YA IRAN YALIFANIKIWA VIZURI NA HABARI ZINASEMA KAMBI MBILI ZA KIJESHI ZA ISRAEL ZILIANGAMIZWA
Naitwa Ali salim makame nauliza swali hivi kunamikakati gani kwa palestina kupewa taifa lao
SKY naomba utengeneze Documentary inayohusu Vyombo vya intelligence by Combined
✌️👊👍.
Israel hawaongei Kiebrania, wanaongea Aramaic, kiebrania ni lugha iliyokufa.
Makombara 300 si kajalibu apo alipania
Nimewakubali sana wakubwa
Swali langu halikupata nafasi kwenye sections answered ilipita ila nadhani naweza kupata majibu ya lile lile Swali langu la awali kwenye another sections answered,, niliuliza hivii,, kuna uwezekano wa hizi ndege za kimarekani za kivita za chapa ya F-16 na F-35 kutunguliwaa?
mnajua kuchambua habari wanasns
Kwanini islael ilishambulia Iran haikulaumiwa ,ila Iran ilijibu na kuwekewa vikwazo na mataifa ya maghalibi?
SIAMINI KAMA IRANI HANA NYUCLIA HATTAKIDOGO.
Naomba nijue izo ela anazotoa katal araf islaer anamperekea Hamas inakuwaje na Hawa maadui?
Naitwa dick son nauliza mbona wanasema kuwa izilael ndio kuna wataalamu sana na ambao wengi wao wapo marekani wanafanya kazi jeshini na ndio wataalau wake mmarekani.
Tuonyeshe hayo magari yaliokuwa yakibeba hela kutoka Qatar munaichikiya Qatar kisa ni waislamtu
Je hakuna uwezekano wa kuzuia nyuklia bom kwa kutumia ulinzi wa anga km huo wa iron Dom?
Omba msaada tukusaidie
Huyo hamna k2
Mbona anaongea sana jibu bado kwanini hawakujua?
Dj Smaa Mungu Amjalie arudi tu maana huyu jamaa namsikiliza sna ila simuelewi kbsa sorry Guys
Japokuwa wengi wamempongeza lkn kwa mtazamo wangu ni mchambuzi wa kiasi tu
Chambua wewe kama unaona rahis kenge wewe
@@salimali-rf9er there are so many negative and positive comments about him.
So mim nimesema ninavyojiskia
@@FastpayMauzo I'm sorry to offend you bro🙏
Bila shaka
Na hii America iko na nguvu yakupigana na Russia ikashinda vita?????
Me ninauliza swali kati ya Russia na American nani alioanza kumiliki nuclear mwanzo 🤷
Ndugu zangu, nipo Moçambique, iran ilipiga vituo 2 vya kijesh vya Israel.
Mossad ilijuwa kabsa,na israel ilipata sababu yakwanza iyi vita
Mataifa makubwa yanatengeneza hdi satalait ili kufanyiana uchunguzi wsilaha kwenye nchi nyengine hio inamanisha kwmb silaha nikitu chasiri sana kwenye nchi kubwa zilizoendelea lkn wchambuzi km nyinyi munaleta hbr zkijujuu tu ukweli hmuezi kuujua kuhusu ulinzi nasilaha kamili zinazomilikiw musitupeleke mbio
Brother contact me, nikupe michanganuo ya vita.
Sky.. huyo jamaa mpe pending kwanza manake sahivi aeleweki
Iko hivi waizraeli hutumia ndege za kivita kupiga masafa mafupi kilometers 20 hanas hurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya kilometers 50 na kuendelea na hutumia gorola war mtu moja abaweza leta kizaa kundi kubwa la kijeshi la lzrael kutumia missile hiyo lmewapelekea ldf jeshi la lzrael kuwa ktk wakati mgumu sababu za kitekenolojia za silaa za lran
Cruise ni makombora yanayo yurushwa kutoka bahari kwenye meli za kivita
Sawa Ally mchambuzi mzuri
Oyaa ISRAEL bado nmoto mstiane moyo wakuu
Yanadunguliwa ya kawaida
Je? Tanzania ikiungana na nchi zingine za africa mashariki hatuwezi kununua hizo dron kwawingi?
Wale sio mayahud ni ma sheknaz
Urusi kawezaje kukwepa vikwazo zaidi ya 1000?
Na bado uchumi wake unakuwa badala ya kushuka?
Nikweli tunaweza kuwekeza kwenye eilim lakini tusitoboe kwenye hizo technology maana hazisomeshwi ovyo chuo, bali wanachaguwa wanafunzi na kwa malengo ya nchi, mfno Iran na Urusi wanashare technoloy nyetti km hiz, na kwenye vyuo vyao kwenye kusoma hizo techology akienda mtz ataishia kusoma vitabu namatheory kibao, miaka minne tano inaisha anaambiw umemaliza nenda kwenu, hili ni jambo kweli lakielimu lakin lakimkakati na kisiasa pia, kuwa km nchi mko nanani kisiasa? Km kenya tunawaona wako wazi kua nikambi ya america so wanaeza kupenya ila Tz msimamo wakutokua upande wwte utatutafuna sanaaaaa, tuqche uoga siasa ya dunia ina kambi tuchagur kambi
Ukitaka kujua unajua kitu ni lazima kwanza unaemuelezea kitu hicho akifaham ama akuelewe vzuri ndo utajua kwamba unajua hicho kitu ama umepata uelewa wake vzuri ..
Mimi nauliza kwann mashambuliz walifanya usiku hats urusi mara nyingi kufanya kurusha makombora usiku sababu nini
Mm naitwa Saleh nipo znz nauliza hivi iran haina mifumo ya ulinzi?
Kwanini hajawekea vikwazo...mu Russi
Huyu jamaa simwelewi
Kivip
iran ni taifa kubwa sana na ushindi unakuja very soon
Mwana anakula tuki
Mchambuzi badobado aendelee kjifua atakua mzuri mno
Kama Russia ananunua ma Boom kwa Iran jee Russia anaweza kushinda vita kwa mu Israel
Mwenye kujibu ajitambui
mchambuzi anakuja vizuri ila ajifunze kwangu apate madin ya kutosha kuhusu hao ,MOSSAD,FSB,M16, CIA
Kombola 300 afu uyu ally anadai Iran alikuwa tu anaonjesha , mi naona alikuwa anaifuta israel
Huyo jamaa hajui kitu 😢
Munazungumza kizungu kingi sana hadi kelo
Soma kijana haitakua kero kwako tena
Hapo wayahudi sio hao wayahudi wapo Africa wote, hao sio
Nchi gani?
Jibu maswali siokutoa maelezo
Mchambuzi badooo sana sana hana ujuzi na weledi wa siasa za kimataifa amtafute yeriko nyerere kwanza kablaa hajajaa kwenye kipindi apoo
Uyu jamaa kwenye maswala ya kijeshi nampa mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉
Kwann Kwann mashambuliz ya anga wanafanya Misa ya usiku
Kupunguza vifo.mchana wary wako.kwenye pilika
Ni kweli kabisa teknolojia ya ulinzi ya Israeli iko vizuri sana. Makombora hayaleti madhara ndani ya Israeli. Waisraeli hizi vita na Gaza na Irani wanaziona kwenye TV na social media kama sisi wengine. Mcheki dada mmoja Mkenya RUclipsr anaishi Israel anaitwa 'CoolKenyan Inisrael', yaani ndani ya Israeli hakuna kilichobalika, watoto wanaenda shule, watu makazini, shughuli za maisha ziko kama kawaida.
muongo wewe
@@nizarrama225 nenda kwa Cool Kenyan in Israel hapa kwenye RUclips ukajionee. Ndio utajua kama muongo au mkweli. 😁
Huyu anae jibu mashwali Hana uwezo Huo aende shule kwanza
Mbona unajibu maswali kihuni huelezei fact 🚮
Unajuwa natamani kufahamu Hilo kombora la Nuclear, Liko uchambuzi wake