Kimaandiko ya uislamu: wayahudi hawawezi kushinda hiv vita wala kuuchukuwa masjid al-aqsa kwa kutengenez third temple isipokuwa atashuka dajjal kwa wayahudi na Allah atamleta imam Mahdi kwa waislamu akija kufuatiwa na nabii Issa ( a.s) ambae ni yesu kwa wakristo na hiy shughuli itakuwa kwa miaka 7 ambay Allah atamruhus dajjal kuitawala dunia kwa dhuluma, mauwaji, rushwa, na majanga mengin mpak pale dunia itapoisha mwisho wake kwa kuelekea maish ya milele huko akhera. Note: That is written.
Kilakwenye kitabukimeandakwa watapigwa mpaka watajificha kwenye mapango hukohuko watafwatwa mwenye west mpalestina Gaza yote nimali ya mpalestina waache wapoteze muda kitawakuta chakuwakuta mungu ndiokila kitu
Kuna jambo muhimu hapa tunafaa tujifunze hapa... 1. Inteligence ya israel inasaidiwa sana na wasaliti na vibaraka katika serikali nyingi hili linawapatia wepesi wa israel kupata information za mipango ya maadui zao. Ama hapo kwa Hamas imekua ngumu sana kwao kupata information za operation zao na harakati zao za ndani mapoja na kua wamebanwa katika kisehemu kidogo sana. 2.israel haiwezi kukubali hamas watawale kwa sababu ni vigumu kuwacontrol hamas na pia kuwaspy. 3. Normalization haitazuwia misimamo ya hamas. Kwani hamas ni movement na kila mpalastina na hamas na hamas ni palestina hili lipondani ya damu za wapelistina. 4. Mauwaji ya halaiki yaliyofanywa na waisrarl ni ushahidi tosha kuwa wameshauwa future ya nchi na hivyo ni wazi israel haina future ndefu soon watapoteza kila kitu.
Yah good conversation hongereni Sana sky sma na Ally,ila kw ujumla wake hali ni mbaya kw hatma ya viongozi wa israel,ijapokua hata kw kuachia madaraka lkn hata km wakiendekea kutimiza lengo lao la kuimaliza hamas me sioni km wanawapiga hamas ila ni kuharibu miji na kuuwa watu wasio na hatia tofauti na hamas ambao wanafanya vizuri sana ktk medani ya kuwashambulia IDF,lkn pia ktk uchambuzi wenu mzuri mliongea ya kuwa marekani inapendelea liundwe taifa huru la palestina ni uwongo wanayosema sio ktk mioyo yao,lkn kw ujumla wake niseme huu mgogoro ni wakihistoria,ila lengo la israel linaonekana kufeli,na hapo kuna njia 2 kw uongozi wa israel wakijiuzulu tu basi wameshindwa lkn wakiendelea ndio maangamizi kwao ni km dama wakiweka kete kulia ni bao lkn wakiweka Kushoto bao.
Inasemekana Congo kumetokea majaribio ya mapinduzi mchana wa leo, izi habari zina uhakika ?? Tunaomba maelezo na uchambuzi zaidi kuhusu kinacho endelea Congo, apa SNS ndio sehemu tunayo tarajia kupata taarifa zaidi 🙌🏼
Wameshaanza kuingilia regime ya Netanyau .. plan yake sio kupata hao Mateka wakati hao hamas kawatengeneza mwenyewe, hiyo ni political plan ya Netanyau vita kutokuisha .. Two week ni nyingi kwake uchaguzi ukimalizika, Tena na shaka anaweza akawa ameshtukiwa kua Mateka kawahold mwenyewe .. it's complicated hatupaswi ku'understand rather than ku'overstand,
Wachambuzi wanachambua vita ya Israel kama hawana elim kwasababu vita. Inaleta mpasuko owe kwa taifa lolote ila vita inataka moyo tu Ili ufikie malengo
Mimi siamini kama Israel atafanikiwa hii vita anapoteza muda ataua raia pasipo sababu na anatengeneza uhasama mkubwa zaidi na mataifa makubwa ambayo yataifanya vita hiyo isiishe leo wala kesho
Uyu haly uyojama nimsomi naanajua nn mahana yahabari nauchambuz siyokulopoka lopokatu naushabiki wamismamo mikali kamauyo dj sm yeye urusi nachina ndokwake wajuaj wakraktu rakin uyohaly anajua sana
@@benardmakori4012 Nyinyi ndio washabiki ambao mmebeba element za udini ndani yenu, Chambuzi zinafanyika kufuatana na kila aina ya ushahidi. Hivyo hawezi kuwa chini ya matakwa yenu.
Israel swala kushinda vita ishinde mara ngapi huo ni uchochozi watu wasio na hatia hao ni binagamu kama cc wamekufa na amas yupo ktk mapango wspalestina chakula hakuna israel kazuia chakula kisingie kinachotakiwa hao magaidi wakubali kushindwa warudishe mateka mapema
Gaza amas wamefanya uchokozi mkubws whabidhibiwe sana maana wamewaponza wapelestina maana bila wao kufanya hayo palestina isingefanyika vita amas inajua kuwa haina nguvu zozote chokozi la nn?
Nan kawagusa ni Hamas au watoto na wanawake hizi ni falsafa za kike au kishoga mwanake ukimpiga yy Ata kukutafuna poa tu hawa waesrael hawajielew hamas nawakula hata pele hawakunwi
Anamuonea mpalesten maana hana jeshi Wala silaha yaani ameiteka ameishika kiganjani na kuhusu kugusa amewaua wa Palestine zaidi ya miaka 75 hamasi ni wapigania uhuru wao ni walichoka na Yale maisha ya kukabwa yakuuliwa Kila siku na hamasi ni mtu wa ki Palestine waleo ambae amepoteza Kila kitu amebaki yeye tu
Huyu mchambuzi wako Dj huwa ni shabiki tu hanaga fact's ila ndo anajikuta mjuaji kweli kweli na yupo kidini always kwenye kila uchambuzi wake 😂 Bora ulimuongeza jamaa Ally maana niliacha kabisa kusikiliza Habari yoyote inayomhusisha dj
@@hassanbinsalman1437 Hamasi ndio wanaokwamisha Uhuru wa Wapalestina wasio na hatia...alafu unasema nin chuki ! Kwa hiyo ulitaka nitetee magaidi!?? Shame on you!
Wa Israel karibu wote wanatamani Ile Gaza ipotee ili waichukue wao na ndiomana hata mwanzo wa vita walisema siku 7 tu Gaza itakua jivu na ndiomana wanatumia silaha Kali sana
Sisi hatuna taifa teule kama kwenu uko mataifa yote ya Mungu, ila sisi tuna mji mtukufu kwa ajili ya ibada, sio kupewa mamlaka ya kufanya chochote kua na kuiba😂😂😂
Tunaikubal SNS mpk mwisho usiku mchana gonga like 👍 hpa mpk mwisho wana SNS
Kimaandiko ya uislamu: wayahudi hawawezi kushinda hiv vita wala kuuchukuwa masjid al-aqsa kwa kutengenez third temple isipokuwa atashuka dajjal kwa wayahudi na Allah atamleta imam Mahdi kwa waislamu akija kufuatiwa na nabii Issa ( a.s) ambae ni yesu kwa wakristo na hiy shughuli itakuwa kwa miaka 7 ambay Allah atamruhus dajjal kuitawala dunia kwa dhuluma, mauwaji, rushwa, na majanga mengin mpak pale dunia itapoisha mwisho wake kwa kuelekea maish ya milele huko akhera.
Note: That is written.
Shikran
Wachambuzi mko vizury ni professional❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kilakwenye kitabukimeandakwa watapigwa mpaka watajificha kwenye mapango hukohuko watafwatwa mwenye west mpalestina Gaza yote nimali ya mpalestina waache wapoteze muda kitawakuta chakuwakuta mungu ndiokila kitu
😢😢😢mungu awapige hao wameuwa watoto
Haswaa 👌
Hasbiallah allah awaangamize maangamizo mazito kuliko ya firaun yaarab ijaalie GAZA nusra yako na ushindi na amani biidhinillah
Amin
Ameen in sha ALLAH biidhnillah, 🎉🎉🎉🎉
Hongera sana sana Sns kwa kutuletea djSmaa na Ally tunafurahi sana kupata machambuzi wa nyumbani.
Saud ya niwanafiki
Sanaaa
Naelewa sana wa chambuz wetu asante kutupa mambo yadunia dmaaa vs masud
Saudia Arabia wanafiki tu
Sanaa
Sudia ni ndugu na Israel
Napenda mnavyojadiliana Kwa uwazi na kuvumiliana ndomana ninawafuatilia mno...Mungu awape Afya njema
Namkubali sana 🎉🎉Dj smaa
Mngemwita na Jimmy alikuwa anabishana na ❤ djsma atoe maoni
😂😂😂😂Nilimuona ga chizi sana😅
Vita humaliza silaha kwenye gala, waeza ona Jeshi liko pamoja lakini kwenye uwanja wa vita kila mtu na mawazo na nia yake, vikiumana huwa wanatafutana
Wao kwa wao washaanza kugeukana
Nabado watageukana sana
Kuna jambo muhimu hapa tunafaa tujifunze hapa...
1. Inteligence ya israel inasaidiwa sana na wasaliti na vibaraka katika serikali nyingi hili linawapatia wepesi wa israel kupata information za mipango ya maadui zao. Ama hapo kwa Hamas imekua ngumu sana kwao kupata information za operation zao na harakati zao za ndani mapoja na kua wamebanwa katika kisehemu kidogo sana.
2.israel haiwezi kukubali hamas watawale kwa sababu ni vigumu kuwacontrol hamas na pia kuwaspy.
3. Normalization haitazuwia misimamo ya hamas. Kwani hamas ni movement na kila mpalastina na hamas na hamas ni palestina hili lipondani ya damu za wapelistina.
4. Mauwaji ya halaiki yaliyofanywa na waisrarl ni ushahidi tosha kuwa wameshauwa future ya nchi na hivyo ni wazi israel haina future ndefu soon watapoteza kila kitu.
Umeanza vizuri umemalizia na pumba
Inshaallah israel wapotee kabisaa kwa qudura za Allah
@@Soon815ukweli unauma iwapo dhuluma ipo
@@Soon815
Kakosea kipengele gani?
sasa hao wasaliti ndo kazi ya intelijensia,hio ndo kazi ya MOSSAD ni kupata taarifa kwa njia yoyote ile so wanatumia pesa kuwapata hao wasaliti
Pamoja from Oman
Saudia wazungu wale
Waislamu soote pamoja na mashekhe tusije kubali kuondolewa pale pale pale kwenye nchi yao
Nenda kawasadie nyistawafia din mnakufa kjnga mmbwa sjuiakriyenu ikoje nyimnawaza mismamo mikalitu
Kwanza jifunze kuandika😂
Mtu hajui kuandika ila anatoa hoja
Naomba mtuletee kuhusu hebullah kushambulia israel
Sns💪
Sky mimi nakukubali ila huyo DJ Sma uchambuzi wake m’bovu sn
Washindwe kabisa hao wauwaji jmn
Tupo 😅
dj sma nakubali kazi yako lakini punguza kiswa kinge
Yah good conversation hongereni Sana sky sma na Ally,ila kw ujumla wake hali ni mbaya kw hatma ya viongozi wa israel,ijapokua hata kw kuachia madaraka lkn hata km wakiendekea kutimiza lengo lao la kuimaliza hamas me sioni km wanawapiga hamas ila ni kuharibu miji na kuuwa watu wasio na hatia tofauti na hamas ambao wanafanya vizuri sana ktk medani ya kuwashambulia IDF,lkn pia ktk uchambuzi wenu mzuri mliongea ya kuwa marekani inapendelea liundwe taifa huru la palestina ni uwongo wanayosema sio ktk mioyo yao,lkn kw ujumla wake niseme huu mgogoro ni wakihistoria,ila lengo la israel linaonekana kufeli,na hapo kuna njia 2 kw uongozi wa israel wakijiuzulu tu basi wameshindwa lkn wakiendelea ndio maangamizi kwao ni km dama wakiweka kete kulia ni bao lkn wakiweka Kushoto bao.
Ebu tupambane na matatizo yetu Afrika kama Sudan, Congo nk.. Mambo ya Israel na Gaza tumezaliwa tumeyakuta na tutayaacha
Ukweli ndugu yangu
Hawajui wanacho kifanya
Nendeni mkawafundishe 😂😂
Mungu walinde sana wanao Israel ,uwape ushind dhabit
Dunia ni sehemu ndogo
✌️👊👍.
Huyu smaa kichwa sana
Haya tena Rais wa Iran apata ajali ya Helikopta na bado ajapatikana, je si washemtugua?.
Northern zaid y mayahudi 6,000 wamehama makaazi
MAYAHUDI WA KISAUDIA 😂😂😂
Kila kitu facts
dj sma ukovizuli najua unamapenzi la kini huchambua vizuli
Sky mimi nakukubali ila huyo DJ Sma uchambuzi wake m’bovu sn 8:48
Dj smaa ngoma mwezi wa 8 huu sio wa sita
Doh mda unakimbiaaaa
Waisraeli hawana nguvu
Wanamlipa mu marekani ili awapiganie
Naomba uchambuzi wa hii case ya ICJ na impact yake mpka sasa ?
Inasemekana Congo kumetokea majaribio ya mapinduzi mchana wa leo, izi habari zina uhakika ?? Tunaomba maelezo na uchambuzi zaidi kuhusu kinacho endelea Congo, apa SNS ndio sehemu tunayo tarajia kupata taarifa zaidi 🙌🏼
Mashoga hawajawahi kushinda hapa duniani na akhera
Sasaa huyu hapa ali masubi...
Acha wapigwe tu,,,israel ya leo ilishamuasi mungu🏳🌈🏳🌈🏳🌈
Wameshaanza kuingilia regime ya Netanyau .. plan yake sio kupata hao Mateka wakati hao hamas kawatengeneza mwenyewe, hiyo ni political plan ya Netanyau vita kutokuisha .. Two week ni nyingi kwake uchaguzi ukimalizika, Tena na shaka anaweza akawa ameshtukiwa kua Mateka kawahold mwenyewe .. it's complicated hatupaswi ku'understand rather than ku'overstand,
Wachambuzi wanachambua vita ya Israel kama hawana elim kwasababu vita. Inaleta mpasuko owe kwa taifa lolote ila vita inataka moyo tu Ili ufikie malengo
Tungefurahi kukuona wewe mwenye elimu tukisomo uchambuzi wako humu
Mwamb ukiingoe ongea habar ya kusem b4 na unarudia bora ukae kimya
Naskia Marekani wanataka kumkamata kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar, tunaomba uchambuzi please!!
Hata wakimkata viongozi wapo wengi mbona 😂😂😂😂
Sky mimi nakukubali but huyo DJ Sma uchambuzi wake ni m’bovu sn
Mavi acha nongwa Sasa unachokubar nn unachokataa nn mtoto wa kiume mbona unakua na majibu mawili
Kuna mmoja anafanya kuitaji kukubalika zaidi na wananchi wake na kunammoja anafanya kwaajili ya kumsaidia Biden kwenye kampen za uchaguzi kukubalika😂😂
Gorilla warfair wayahudi hawawezi
Haijawahi kutokea wapalestina kufa wengi kiasi hiki
Wapalestina wamekufa wengi sanaaaa jamani hawa hamasi watasababisha wapalestna waishe
Tuchambulieni kuhusu Hezbollah tunaona wanashambulia sana lakin hatujui malengo yao wala wamefikia wapi
Bibi nyau, hatopata ushindi,na mwaka huu ndio mwisho wake madarakani
Huyu waziri mkuu hajielewi yaani unawezaje kumaliza hamas na anajua wapalestina wengi wapo nje zaidi ya million 6
Kuleni maharage mlale
Mnadhani vita ni maneno kama yenu.
Kundi la hamasi wako wengi
Houthis na washirik wengine wamehack mfumo wao wa Israel wa ulinzi wa makombora kiukweli yanafik sehem husik saiv wanapolenga
israeli jeshi la kitatu hamas jeshi elfu selasini hivi hamuoni israeli mpaka apewesilaha na usa
Kubaliana na HAMAS, wasiruhusu jeshi la inch yeyote eti kuwasaudia kwa sababu wanafiki na majasusi wanakuwepo kwenye hayo majeshi ya kutoka nje.
Anateua wengine wako kibao
SNS tupe story ya IBRAHIM TRAORE Rais wa Bukinafaso alie amua kuwanunulia wananchi wake mitambo ya kilimo
Hakuna taifa linaloendesha kitu bila wazee lakini wazee siyo wanaweza kupiga chochote
Mimi siamini kama Israel atafanikiwa hii vita anapoteza muda ataua raia pasipo sababu na anatengeneza uhasama mkubwa zaidi na mataifa makubwa ambayo yataifanya vita hiyo isiishe leo wala kesho
Hawezi kufanikiwa a nazidikuoandikiza chuki ambayohaitaisha milele kwavizazi vyao
Mashambulizi yote aliyofanya israel wewe unasema israel wamefili!? Wew I zaidi ya magaidi wa hamas
Uyu haly uyojama nimsomi naanajua nn mahana yahabari nauchambuz siyokulopoka lopokatu naushabiki wamismamo mikali kamauyo dj sm yeye urusi nachina ndokwake wajuaj wakraktu rakin uyohaly anajua sana
Ni ukweli ndugu yangu pia wewe umeona hiyo,DJ sma ni shabiki Tu eti ni mchambuzi bora sns wanamutegemea kiukweli ni upuzi tu
@@benardmakori4012 Nyinyi ndio washabiki ambao mmebeba element za udini ndani yenu, Chambuzi zinafanyika kufuatana na kila aina ya ushahidi. Hivyo hawezi kuwa chini ya matakwa yenu.
Dogo rudi darasani ukasome, unaonyesha bado wa chekechea!!!😂
@@dhali6828 iyoshule ww inakupa nn
Watu leo wamelala hakuna kuomba like wapuuzi nyie😂😂
Sijui wanapata faida na izo like
😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅
Sky, huyo Smah usiwe na mleta bana
Hamtaki kukubali ukweli
Jean mchawi wewe yani wewe umemuondoa mama yako unataka na mwezio andolewe
Unataka amlete baba ako
@@wadantz123 aaaa daahako
@@wadantz123 keep my dad's name out of your fuking mouth
Israel swala kushinda vita ishinde mara ngapi huo ni uchochozi watu wasio na hatia hao ni binagamu kama cc wamekufa na amas yupo ktk mapango wspalestina chakula hakuna israel kazuia chakula kisingie kinachotakiwa hao magaidi wakubali kushindwa warudishe mateka mapema
Gaza amas wamefanya uchokozi mkubws whabidhibiwe sana maana wamewaponza wapelestina maana bila wao kufanya hayo palestina isingefanyika vita amas inajua kuwa haina nguvu zozote chokozi la nn?
Umezaliwa mwaka gani na ulipo fikia umri wa kujifahamu ulikua mkoa gani tuanzie hapo kwanza
Kuandika kwenyewe ujui fisi maji ww
Wewe wachambuzi wako na haohao tu???
UNATAKA UONGEZEKE NA WEWE
Afu ni waongo waongo tu. Muda si mrefu Hamas itabaki kuwa historia.
Israel wana shelia moja gusa nikuguse hawa angalii wanapigana nanani lakini ukigusa namimi nakugusa llo mimi nalikubali %100
Nan kawagusa ni Hamas au watoto na wanawake hizi ni falsafa za kike au kishoga mwanake ukimpiga yy Ata kukutafuna poa tu hawa waesrael hawajielew hamas nawakula hata pele hawakunwi
KWA IRAN ILIKUWAJE
Asa nani anae anza kumgusa mwenzake kam sio huyo huyo muisrael
@@niffonlinetz7214swali zuri sana
Anamuonea mpalesten maana hana jeshi Wala silaha yaani ameiteka ameishika kiganjani na kuhusu kugusa amewaua wa Palestine zaidi ya miaka 75 hamasi ni wapigania uhuru wao ni walichoka na Yale maisha ya kukabwa yakuuliwa Kila siku na hamasi ni mtu wa ki Palestine waleo ambae amepoteza Kila kitu amebaki yeye tu
Uyo ben gans nawashlika wake mbonakama malayatu Netanyahu hanapambana na magaidi wakiislamu yy hanaleta ujngaujnga
Hebu nenda Shule kwanza
@@MohamedAhmada-ie7ke ww shule imekusaidia nn au kujua din
Kosoma na kuandika na kufuta ujinga kichwani
@@user-tq4lx9si1nwe huon kama kukosa kwako elim ndo inakufanya uje ku comment ujinga
Naamini muungu amesema israili atauwaa laiki baadae mauti yatamrudiya yeye mwenyewe
Huyu mchambuzi wako Dj huwa ni shabiki tu hanaga fact's ila ndo anajikuta mjuaji kweli kweli na yupo kidini always kwenye kila uchambuzi wake 😂 Bora ulimuongeza jamaa Ally maana niliacha kabisa kusikiliza Habari yoyote inayomhusisha dj
Kakojoe ulale kilaza ww
Hutaki ukweli 😂😂
Jinga ilooo
Chapa Hamasi mpaka kieleweke.
Umell ww hhhhh..hamasi sio watt. .muizrail anaua watt tu .sio hamas .muislam hajawahi .kushindwa vita marekani kakimbia Iraq kakimbia afhanistan.
Rawmarsh Hamas inakuhusu nini wewe chuki yako itakutia ulemavu tu na uchizi.
Hamas wapo na watakuwepo daima milele
@@hassanbinsalman1437 Hamasi ndio wanaokwamisha Uhuru wa Wapalestina wasio na hatia...alafu unasema nin chuki ! Kwa hiyo ulitaka nitetee magaidi!?? Shame on you!
@@JamalKanani na wataendelea kuchapwa daima
Sky mimi nakukubali ila huyo DJ Sma uchambuzi wake m’bovu sn
Ina maana huyo gans anataka anaiona natanyau anawachelewesha kuwa maliza hao hamas
Wa Israel karibu wote wanatamani Ile Gaza ipotee ili waichukue wao na ndiomana hata mwanzo wa vita walisema siku 7 tu Gaza itakua jivu na ndiomana wanatumia silaha Kali sana
Saidia ndio taifa teule kwawaislam lakini waislamu Tena wanalitaja taifa Hilo kamawanafiki waislamu wanakuwa kuju
Sisi hatuna taifa teule kama kwenu uko mataifa yote ya Mungu, ila sisi tuna mji mtukufu kwa ajili ya ibada, sio kupewa mamlaka ya kufanya chochote kua na kuiba😂😂😂
Sky mimi nakukubali ila huyo DJ Sma uchambuzi wake m’bovu sn