USICHOKIJUA: Kuhusu Ndege Kubwa Duniani Iliyotua Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2018
  • USICHOKIJUA: Kuhusu Ndege Kubwa Duniani Iliyotua Tanzania
    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari, amezungumzia kuhusu ndege kubwa duniani aina ya Airbus 380, EK 701, ya shirika la ndege la Emirates, iliyotua nchini kwa dharura.
    lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM:

Комментарии • 44

  • @bwirechrispus3092
    @bwirechrispus3092 3 года назад +1

    U are a good leader. May God guide n grant you good health to serve your people.

  • @osiasmgina9909
    @osiasmgina9909 2 года назад +1

    Hongereni Kwa kuiongoza

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад +1

    Maa shaa Allah mungu ibariki inchi yetu TANZANIA ni inchi yenye amani

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 6 лет назад

    Good!

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад

    Very nice

  • @wowwwow5863
    @wowwwow5863 5 лет назад +3

    Cogrants tanzania keep it up take another step2

  • @razackimrope1625
    @razackimrope1625 6 лет назад

    safi sana mkuu

  • @weshibmabula9430
    @weshibmabula9430 6 лет назад +1

    Safi sana tz

    • @majutojackson5718
      @majutojackson5718 6 лет назад

      lazima tujisifu!kwanini wasitue Kenya?lakini kwa vile kuna wanaopinga hata hili!!

  • @salmamatola4255
    @salmamatola4255 3 года назад +3

    Sasa hivi Julius Nyerere airport ni kitu kingine,nilienda last week nilishangaa sana,ni moja ya airport nzuri na kubwa Africa now tunamshukuru daddy Magu soon airport yetu itakua kama ya AdisAbaba maana ndio airport inayostua kwa uzuri na ukubwa..Hizo zengine ni za East Africa ni nzr ila uzuri
    wa kawaida tuu,hazishtui....Daddy Magu we love yu,❤

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 6 лет назад +1

    Ooh

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Год назад

    Jamaa anaitwa Hamza johar

  • @nkumbimnyamwezi2728
    @nkumbimnyamwezi2728 3 года назад

    Tumeziosha sana (dxb) Dubai airport

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 года назад

    J PM yuko vizuri

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 6 лет назад +6

    Japo tulifaidikaa ila kwa Wenzetu ni Bonge la Hasara walipataa..

  • @ummuhafswah9451
    @ummuhafswah9451 6 лет назад

    Aalaa #KUMBENDIOMAANA√√

  • @khamisinyandikila7342
    @khamisinyandikila7342 6 лет назад +1

    Hasara kwao faida kwetu Tanzania

  • @nkumbimnyamwezi2728
    @nkumbimnyamwezi2728 3 года назад

    Fly Emirates 380

  • @emmanuelmarko8442
    @emmanuelmarko8442 3 года назад

    Mm sijaelewa hii ni mini?

  • @edwinernest2012
    @edwinernest2012 6 лет назад +4

    Hiyo Ndege ilitua kwa Bahati mbaya,haikuwa imetarajiwa. Sisi tunataka juhudi zifanyike ili ndege kubwa za aina kama hiyo zitue humu nchini iwe kawaida.

    • @albanbros7210
      @albanbros7210 5 лет назад +1

      Ili EK A380 ije huku kwetu lazima tuwe na abiria wasiopungua 500 wa kuipanda kwa safari moja yaani Dar-Dubai.
      Gharama yake ya uendeshaji ikiwa angani ni $29000 kwa saa moja.
      Kwa huku kwetu EK wanatumia B777-300ER inayobeba abiria 300+ hivi.

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 6 лет назад +2

    Heko kwenu mamlaka.

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 6 лет назад

    sasa hizo chngamoto mlizozitanabahisha mna mpango gan kuzitatua kwa hiyo terminal 3???

    • @faridahhamza8704
      @faridahhamza8704 6 лет назад

      Mnzava Chris ndio nashaangaa kaka yani hiyo pia wanaitoa kwenye midia khaaaaa hawsjatembea au

  • @dinocentmgulunde716
    @dinocentmgulunde716 4 года назад +4

    Walikimbia gharama ndiomaana wakaja bongo

  • @sammymwash5405
    @sammymwash5405 3 года назад +1

    Hizo tumeziona Sana ndege hapq Kenya, hii ni vitu gani. Ita wanahabari wakenya uwape hii habari matusi utatusiwa ile baya huu ni upumbavu hahahaha

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 3 года назад

    Mungu Amlinde Rais Magufuli na Viongozi wake wote

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 4 года назад

    Sasahivi mambo swafi

  • @albanbros7210
    @albanbros7210 5 лет назад +3

    Dah huyo jamaa aliyepata tenda ya mafuta alipiga pesa sana.

  • @barubinakenyatta4503
    @barubinakenyatta4503 6 лет назад

    A

  • @kimongearusha247
    @kimongearusha247 6 лет назад +3

    Heeee cha ajabu nini. Ndenge inatua mpaka Mauritius.! Hebu fanyeni kazi achani uzumbukuku

  • @faithamour2154
    @faithamour2154 4 года назад +3

    Tanzania jamani tuko vizuri tumpe hongera rais wetu Magufuli jamani.

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 Год назад

      wefalakweli umpehongera mgfl ndokafanyaje sasa wefla

  • @amaryahmedkusaka3841
    @amaryahmedkusaka3841 6 лет назад

    mnatupa imani angalau mana wangeshuka then wakukuta nothing mmmmh aibu ingekuwa

  • @jaafaryothman8442
    @jaafaryothman8442 6 лет назад +1

    Acheni ushambaa ivyo sivitu vya kustajabisha au amkutembea

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 3 года назад

      ushamba upi sasa, hii ni moja ya kuitngaza nchi, ni moja ya kutujuza kuwa kumbe viwanja vyetu vinaweza kupokea ndege kubwa

  • @smithjones4099
    @smithjones4099 4 года назад

    wacheni ushamba ndege ikituwa pia mwaonesha

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 3 года назад

      huo ndio mwanzo, kama imeweza kutua ujue tunaweza kupokea ndege kubwa kwenye viwanja vyetu

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Год назад

    Kubwa gani jamani hii si ni Emerites (yaani United Arab Emirates sasa inaukubwa gani ? )

  • @beatusmushi2686
    @beatusmushi2686 6 лет назад +1

    Hii ndege haikuwa na business youote na Tanzania. Tumetumika halafu tunaona ni fahari. Ni kama vile usikie mtu maarufu anasafiri halafu kwa bahati mbaya au nzuri akaomba atumie choo cha hoteli au mgahawa halafu wewe unazifanya ni habari. USHAMBA HUU!! Amkeni na mfanye nao business ili ziteremshe na kupakia abiria kama nchi nyingine sio hizi habari za kipuuzi kutufanya majuha!

    • @omarymajiwa3714
      @omarymajiwa3714 5 лет назад

      Lazima taifa liwe limepata chochote kitu hawawezi kuwekewa mpaka mafuta free

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 3 года назад

      ushamba upi sasa, hii ni moja ya kuitngaza nchi, ni moja ya kutujuza kuwa kumbe viwanja vyetu vinaweza kupokea ndege kubwa

    • @beatusmushi2686
      @beatusmushi2686 3 года назад

      Omary Majiwa Ni kweli, ila sio kwamba ilikuwa imeratibiwa itue hapo. Ni bahati tu. Halafu tunasema ni juhudi..... mbona hazijibtena?

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Год назад

    dahh watanzania washamba niwengisana.eti wanashangandege kutywa APA hahaha