Gps yenu Leo haiko sawa kwani mchango wa smaa haupo yeye anauchambuzi tofauti na ninyi,hamtoi mitazamo ya sehemu zote 2 mnataza marekani na mitazamo ya kiyahudi tu
Gaza inaweza kujengwa ndani ya miaka mitatu ikaisha ni kajisehemu kadogo sana ukilinganisha na wahisani wanaotaka kuijenga. Ni kilometa za mraba 365km^2 ambazo ni sawa 19.1km upana na 19.1km urefu. Ambapo ukubwa Gaza 365km.sq ni sawa na Wiliya ya Ilala 361km.sq. Ambayo magufuli angewza ijenga kwa miaka mitano.
Kwanza kabisa Hilo sio pendekezo la Biden Bali ni pendekezo la Netanyau mwenyewe yeye ndio alioandaa Hilo pendekezo Kisha Biden kahutubia... Wanacheza na akili za walimwengu
Umeona ee hata mimi tokea mwanzo nikiangalia huyu baiden hana hata msimamo yaa i kama wana heza na akili za watu au wanacheza gemu au ujanja wa kivita au gemu ya kivita ili kuwababaisha au kuwazungusha wapinzani wao, siamini anachokisema leo hukibadilisha kesho au hukigeuza na mara nyingi tunaona kivitendo mfano hatupeleki silaha baadae zinapaelekwa aidha kisiri au kidhahiri
Ukwel kabisa tunafurahi sana kaka sns upo juu. Tukiwa tunapata habari kwaucambuzi ivo ni raha ila jama angekuepo saizi marekani ingekua ishaipatapata 😅😅😅 cezea dj isma wew
Hamasi matokeo yote walisha yajua, walijua kua wao ndio waibuka kua washing. Watatambulika kimataifa na Israel itafifia kimataifa, watapewa hazi katika durum za kitaifa na watashinda vita kama washindavyo vita vilivyopita. Ndio maana saivi Israel inakaza ilimladi kuonyesha kua imechoka kushindwa na Hamasi. Ndio maaana mataifa mengi ya magharibi safari hiii yamesema wataisaidia Israel mpaka irate ushindi lakini hola Na ushindi ni malengo sio uharibifu....😂😂😂😂
Daaaah kaka umepata wacambuzi bora sana upewe mauwa yen na team yako , yani tunafatilia kipind hadi raha . Inatakiwa na dj wako ajifunze kupitia hao kutowa kipind bila kupengamia sehem moja.
Nawakubali Sana mada zenu hua zinanifika ni Kama somo na hua hamleti mada za primary ispokua mada zenu Ni za chuo kikuu hongereni Sana hua sikubali kupitwa na makala zenu hata waaheed
Ila hta hivo palestine lazima iwe huru na waache kuikalia kwa mabavu wapate wajitawale kinyume na hivo vita havitakwisha gaza hta kama itapita suluhu bdo israel ni wababaifu sio wakweli kweny ahadi yaani ni wanafiki
Israeli wanahitaji usalama na ulinzi wa kudumu dhidi ya Hamas.Hamas ni lazima wawahakikishie Israeli kuwa hawatarudia vitendo vilivyofanyika Oktoba 7,2023.Hii ndiyo bottom line ya mazungumzo ya Israeli na Hamas.
Wananchi wa Israel Wanachohitaji ni Ndugu zao Waliotekwa.. Hakuna chengine Wanachohitaji... Sio kwamba Eti, Vita Ili Iishe, Ili Watoto wasiendelee kufa, Wamama na Wanaume wasiendelee kufa.. Ingekuwa hakuna mateka, Basi Israel wangekuwa wameridhia ndugu zao wa karibu waendelee kufa Kwa mabomu na njaa, kama tunavyoona Kwa Sasa....😢😢😢 DUNIA HII😢😢😢😢
Hamfikiri chama cha Trump, may be kina support hamas likijua msimamo wa Israel na namna Biden atakuqa mtegoni na taswira yake kwenye uchaguzi wa mwakani?
Kama huu wote ni mpango wa netanyau, mnashangaa Nini yeye kutofikia malengo yake .. it's a plan to delay too, anajua anachokifanya tusikurupukie Mambo kiuchambuzi wa kijiweni ..
Tatizo insion a nachotaka akita tokeya eti a uwe Hamas ote bada ya hapo aingie kwenye ma kubaliano 😂😂😂😂😂😂, ili aporetu Hardh kwa sababu watakae baki watakua wa nyonge Sana, bila Hamas kuwepo
Mnajadili mbinu za kivita za watu wenye uwezo mkubwa sana yaan wakitudanya sisi na ninyi nyote tunadanganyika vizuri sana Sema ninyi mnakula kwa comments zetu na hapo Israel anashinda bila kwa mbinu zote. Vita hii kuifuatilia bila kuingia katka mambo ya kiimani ni kujilisha upepo!
Inaonekana kama mu'israel ansaidiwa na mmarecan kitu wengi wasichojua nikwamba, Myahudi ndio anadeni kubwa analomdai mmarecan kupitia Deni la Taifa .. ni moja yakitu ambayo Trump hakudumu baada yakuonekana Hana mkakati wakupunguza deni Hilo .. vitu sicyo Kama vionekanavyo au viskilizavyo jaribuni ku'overstand vitu vinginevyo tutaishia ku'understand tu vitu ..
Israel hawawezi kuwa maliza hamas, hicho kitu wasahau, kwanza wanatoa takwimu za uwongo, kuhusu hamas, wanasema wame waua hamas fighters 35%,hii taarifa sio kweli, Scott Ritter amesema America na Israel hawajui idadi ya wanajeshi wa hamas, sasa hujui idadi Yao alafu unasema umeua asilimia 35%,Israel safari hii amepata colossal humiliated.
Hii si Media tena hii ni dhahabu sns big up
Mungu yupo pamoja na wanyonge
Pamoja sana frome 🇴🇲
Asante kwa uchambuzi
Discussion nzuri sana.....i Observe a lot of Improvement. 👍
Huyu Henry nae kumbe anajua, ngoja nimfuatilie kwa jicho la umakini🧐🧐
Sky .... Siku uje na jimmy chansa itakua poa sana
Free Palestine🇵🇸
Gps yenu Leo haiko sawa kwani mchango wa smaa haupo yeye anauchambuzi tofauti na ninyi,hamtoi mitazamo ya sehemu zote 2 mnataza marekani na mitazamo ya kiyahudi tu
Gaza inaweza kujengwa ndani ya miaka mitatu ikaisha ni kajisehemu kadogo sana ukilinganisha na wahisani wanaotaka kuijenga. Ni kilometa za mraba 365km^2 ambazo ni sawa 19.1km upana na 19.1km urefu. Ambapo ukubwa Gaza 365km.sq ni sawa na Wiliya ya Ilala 361km.sq. Ambayo magufuli angewza ijenga kwa miaka mitano.
Kwa kweli nawapata vizuri
Ni vingapi katika vikundi vidogo vinayashinda makundi makubwa kwa idhini ya Allah ".
Waisrael wameshasahau kua Daudi alimshinda Goliath....
Aisee tupo pamoja sna SNS mwisho wa tarifa zenu nawaomben mwisiweke bit ya mziki yan wimbo mm natokea pwan wilaya ya rufiji
Mpango huo hata Mimi nisingelikubali, km kutoa toa wote Kwa wkt Moja, hakuna kusitisha vita huko ni kumpa Hamas ushindi
Wewe c ni shoga
Kwanza kabisa Hilo sio pendekezo la Biden Bali ni pendekezo la Netanyau mwenyewe yeye ndio alioandaa Hilo pendekezo Kisha Biden kahutubia... Wanacheza na akili za walimwengu
Umeona ee hata mimi tokea mwanzo nikiangalia huyu baiden hana hata msimamo yaa i kama wana heza na akili za watu au wanacheza gemu au ujanja wa kivita au gemu ya kivita ili kuwababaisha au kuwazungusha wapinzani wao, siamini anachokisema leo hukibadilisha kesho au hukigeuza na mara nyingi tunaona kivitendo mfano hatupeleki silaha baadae zinapaelekwa aidha kisiri au kidhahiri
@@ladooladoo1285 Biden anahaha na uchaguzi so anajaribu kujisafisha.. But keshapoteza
Dj smaa iko wapi
Ukwel kabisa tunafurahi sana kaka sns upo juu. Tukiwa tunapata habari kwaucambuzi ivo ni raha ila jama angekuepo saizi marekani ingekua ishaipatapata 😅😅😅 cezea dj isma wew
Hamas kuwamaliza so leo vyema kuweka silaha chini
Bado hajawamaliza hamas ameuwa Raiya na kuvunja majumba tu
@@Mumewangu haiwawezi hamas yaani watauwa saaana watu
Kwani hamasi waipoishambulia Israel walitegemea nini? Nauliza tu naomba kujibiwa
Hamasi matokeo yote walisha yajua, walijua kua wao ndio waibuka kua washing. Watatambulika kimataifa na Israel itafifia kimataifa, watapewa hazi katika durum za kitaifa na watashinda vita kama washindavyo vita vilivyopita. Ndio maana saivi Israel inakaza ilimladi kuonyesha kua imechoka kushindwa na Hamasi. Ndio maaana mataifa mengi ya magharibi safari hiii yamesema wataisaidia Israel mpaka irate ushindi lakini hola
Na ushindi ni malengo sio uharibifu....😂😂😂😂
Hamass kiukweli hao mateka Hana.....ila anataka kutumia janja
Pamoja sana wakuu mpo vizuri
Asanteni sana Wana sns kwa authentic n accurate update.
Umpo SAWA mnajua
Daaaah kaka umepata wacambuzi bora sana upewe mauwa yen na team yako , yani tunafatilia kipind hadi raha . Inatakiwa na dj wako ajifunze kupitia hao kutowa kipind bila kupengamia sehem moja.
Unawashwa
Dj anakosea nnnnn
Lkn hta hivyo ikiwa makubaliano yatafanyika ni fursa kwa hamas kujipanga upya je hili IDF wanalionaje ?
Nisipo sikiliza gpc nakuwa nina kiu mimi naamini mnacho tufanyia sisi wapenda politics ni maajabu vitu vigum kwa rugha rahic bless sns bless sky bless ally na wote mnao tupa mabadiriko
Nawakubali Sana mada zenu hua zinanifika ni Kama somo na hua hamleti mada za primary ispokua mada zenu Ni za chuo kikuu hongereni Sana hua sikubali kupitwa na makala zenu hata waaheed
Sauti za ndege nyingisana kwani mpowapileo maana sokwasauti hizo
Ila hta hivo palestine lazima iwe huru na waache kuikalia kwa mabavu wapate wajitawale kinyume na hivo vita havitakwisha gaza hta kama itapita suluhu bdo israel ni wababaifu sio wakweli kweny ahadi yaani ni wanafiki
Israeli wanahitaji usalama na ulinzi wa kudumu dhidi ya Hamas.Hamas ni lazima wawahakikishie Israeli kuwa hawatarudia vitendo vilivyofanyika Oktoba 7,2023.Hii ndiyo bottom line ya mazungumzo ya Israeli na Hamas.
Nyinyi nyote mpo upande Palestine tu
Israel lazima iusishwe kwenye ujenzi wa Gaza, sheria ya kivita, ukibomoa mji vita ikiisha lazima ujenge wewe ulio bomaa( Israel itajenga gaza)
Wow Ally Masubi is juicy well build I thought he was old fashion man 😍
Concentrate veroooooo
Wananchi wa Israel Wanachohitaji ni Ndugu zao Waliotekwa.. Hakuna chengine Wanachohitaji...
Sio kwamba Eti, Vita Ili Iishe, Ili Watoto wasiendelee kufa, Wamama na Wanaume wasiendelee kufa..
Ingekuwa hakuna mateka, Basi Israel wangekuwa wameridhia ndugu zao wa karibu waendelee kufa Kwa mabomu na njaa, kama tunavyoona Kwa Sasa....😢😢😢
DUNIA HII😢😢😢😢
Alli namuelewa zaidi akiwa kweny sauti pekee,,
Hamfikiri chama cha Trump, may be kina support hamas likijua msimamo wa Israel na namna Biden atakuqa mtegoni na taswira yake kwenye uchaguzi wa mwakani?
Hapa bado Smah timu ikamilike
From mombasa Kenya 🇰🇪 niko Tunned
Netanyau Firaun laana
Hamasi awaondoki ngo waondoke wao kwanza izrael mijitu yenye laana
Kama huu wote ni mpango wa netanyau, mnashangaa Nini yeye kutofikia malengo yake .. it's a plan to delay too, anajua anachokifanya tusikurupukie Mambo kiuchambuzi wa kijiweni ..
Wazeee baba hamufeli
Tatizo insion a nachotaka akita tokeya eti a uwe Hamas ote bada ya hapo aingie kwenye ma kubaliano 😂😂😂😂😂😂, ili aporetu Hardh kwa sababu watakae baki watakua wa nyonge Sana, bila Hamas kuwepo
kwa jisi ni livio ona vídeo za Hamas aki piga IDF da sio Raisi Sana ku i anga miza
Wamekufa wengi sana.
Mnajadili mbinu za kivita za watu wenye uwezo mkubwa sana yaan wakitudanya sisi na ninyi nyote tunadanganyika vizuri sana Sema ninyi mnakula kwa comments zetu na hapo Israel anashinda bila kwa mbinu zote. Vita hii kuifuatilia bila kuingia katka mambo ya kiimani ni kujilisha upepo!
MNAUPIGAA MWINGI SANAA BUNDALA NA ALLY MASUBI NAKUBALI SANA MIAMBAA TOKEA UKIWAA RFA Bwana Fredrick BUNDALAA tuko pamoja sanaaa
Putin aingilie kati
Siyo sasa mwisho kabisa na yeye ataangamizwa na group lake.
Maneno mengi lengo ni mateka tu
Inaonekana kama mu'israel ansaidiwa na mmarecan kitu wengi wasichojua nikwamba, Myahudi ndio anadeni kubwa analomdai mmarecan kupitia Deni la Taifa .. ni moja yakitu ambayo Trump hakudumu baada yakuonekana Hana mkakati wakupunguza deni Hilo .. vitu sicyo Kama vionekanavyo au viskilizavyo jaribuni ku'overstand vitu vinginevyo tutaishia ku'understand tu vitu ..
Sky umenenepa 😂
Naulusi atajenga ucrain
Hao mawaziri wote ni mashoga
Na Hao machizi wawili magaidi et mawaziri😢
Shetani Biden mtu muoga km mwarabu
Hizi habari siyo za kweli mnapiga porojo za kwenye vikao vya Alkasusi
Mbona kama hauna akili timamu mzee
Jina lako tu gamba akili zako sijui ziitwaje mtu mzima kisheti
Mateka walioachiwa mwanzo walishasema hamass wamekua wakiwalinda mateka dhidi ya makombora ya Israeli
Israel hawawezi kuwa maliza hamas, hicho kitu wasahau, kwanza wanatoa takwimu za uwongo, kuhusu hamas, wanasema wame waua hamas fighters 35%,hii taarifa sio kweli, Scott Ritter amesema America na Israel hawajui idadi ya wanajeshi wa hamas, sasa hujui idadi Yao alafu unasema umeua asilimia 35%,Israel safari hii amepata colossal humiliated.
Huo ni ushabiki. Kauai wengi sana. Zaidi ya askari 10000 wameuawa kati ya watu 40000 waliokufa
Hamass wajinga TU....wakiwaachia hao mateka
Kuwamaliza hamas Kuna hitaji Israel zaidi ya miaka 10 kutoka sasa
😂😂😂😂😂
Marekani hasemi kweli anageresha tu sio mkweli