MBOWE ALIKUWA AMELEWA CHAKARI-SPIKA AMPA TAARIFA MSUKUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июн 2020
  • Mbunge wa Momba, David Silinde akizungumza bungeni kuhusu tukio la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kudai kushambuliwa na watu wasiojulikana jijini Dodoma usiku wa kuakia leo.

Комментарии • 132

  • @boscojamesayoub3610
    @boscojamesayoub3610 4 года назад +1

    Safi sana Mheshimiwa Msukuma hakika umeongea kitu kizuri sana ni kweli mtu unatakiwa kuwa muwazi na sio unaona umeshindwa kitu basi unakimbilia kusingizia vitu Mungu akubariki sana Mh.

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 4 года назад +8

    Safi sana mh msukuma mbunge

  • @salummtosa3885
    @salummtosa3885 4 года назад +12

    kiongozi mkuu wa chama kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bunge saa 7 usiku upo bar unalewa wakati unajua unamajukumu ya taifa alafu una report umevamiwa kweli hii aijakaa sawa kabisa ni kuichafua nchi alafu mnyika anapayuka wakati anajua kiongozi wake alikua wapi viongozi wa chadema muwe makini na matamshi yenu ili ni taifa mtu anaumia kwa uzembe waka kavamiwa

    • @gracesakila4395
      @gracesakila4395 4 года назад

      Hivi na wewe unasikiliza hizo propaganda z mccm unategemea watasema nini

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 года назад

      Uzushi huo bro.

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      MAANDIKO.YANASEMA TUMIENI.AKILI KAMA IPASAVYO !! WAZA KAMA MSOMI

  • @josephjila957
    @josephjila957 4 года назад +7

    Yajao yanafurahisha binafsi majibu kutoka upande wa chadema

  • @ramadhansylvestakichele8915
    @ramadhansylvestakichele8915 4 года назад +16

    Kumbe alikua kalewa chakali!!! Alafu huyu si anawalinzi sasa wkt anashambuliwa walinzi wake walikua wapi?

    • @gracesakila4395
      @gracesakila4395 4 года назад +1

      Walinzi wake wameondolewa na kumbuka sheria ishatungwa ya kutokuwa na walinzi

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 года назад

      Kwani mtu akilewa chakali hawezi kuvamiwa. Nadhani hapa tunapigwa changa la macho. Walishindwa kuvover lile tukio la lissu kwa aibu wanazusha sasa.

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад

      @@ahz6907 kuvamiwa kwenye ngazi au sio? Alafu wakutengue kisigino au sio?? Tuliipo dodoma na maeneo aliyotibiwa mbowe tulishangaa maigizo ya kubebwa na ndege et mgonjwa...waliomuudumia na kumpokea tunaishi nao..nimejifunza kuwa lisu anakurupika, chadema ni wahuni, mitandao hupotisha uma.

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 года назад

      @@ototek8037 wapotoshaji ktk mitandao ni kama wewe. Kwanini chadema waigize unadhani? Ile washinde urais? Au?

    • @ramadhansylvestakichele8915
      @ramadhansylvestakichele8915 4 года назад

      @@gracesakila4395 acha uongo hyo sheria imetungwa mwaka gani? Wkt hakina diamond mpaka leo wanalinzi kalibu 20, tambua haki ya Mtu kujilinda ipo ndani ya katiba na ndomaana mpaka leo wapo watu mashughuli wengi wanawalinzi

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 3 года назад

    Mhe Musukuma nitaendelea kukukubali mno. Kongole sana

  • @ernestdaud2206
    @ernestdaud2206 4 года назад +4

    Msukuma nakukubali sana maneno mazuri sana

  • @langatouch4677
    @langatouch4677 3 года назад +1

    Spika muongo kabisa namsukuma mlevi mfutabangi msukuma sisi watz tunajua yambowe na.lissu msukuma bangi hiyoo

  • @vivanishlodin2868
    @vivanishlodin2868 4 года назад

    Akika mungu anatembea nasisi wa tanzania mungu i linde Tanzania mungu tunaomba umulinde mweshimiwa magufuri

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 4 года назад +3

    Spika anasimama kutoa taarifa du....alafu huyo jamaa mwingine ni std seven c unajuwa ukizungukwa na madigrii utataka kuwa zaidi...but...

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 года назад

    ❤❤❤❤❤ msukuma motooo mzurii

  • @alikarisa
    @alikarisa 4 года назад +1

    Faru John ndie mwizi aliye mtegua mguu🤣🤣🤣🤣

  • @johnisrael1968
    @johnisrael1968 4 года назад +7

    Kweli msukuma unaonesha kuwa watanzania tunapendana au mnataka kuchochea chuki.acheni ujinga

    • @EdmundMipawa
      @EdmundMipawa 4 года назад +1

      Kupendana na ulevi wapi na wapi

    • @wizshine1904
      @wizshine1904 4 года назад

      Usibishe ndugu...uyo unaemtetea ni mlevi

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 4 года назад +4

    🤣🤣🤣akipona uyo utasikia serikali aikuwa pamoja na wawo

  • @geoffreyluhwago1120
    @geoffreyluhwago1120 4 года назад +1

    Safi Sana msukuma nataman uwe mbunge wetu kilolo maana sio kwa spich hizo

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 4 года назад +5

    Mpumbavu kama wewe tena mzurumaji mkubwa wewe kasome tena we ndo karevi kakubwa

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад +2

    Hii Tanzania sasa ni ya ukabila,hatari sasa.

  • @alhamudesser758
    @alhamudesser758 3 года назад

    Noma

  • @mlocozdaud5341
    @mlocozdaud5341 4 года назад

    mungu Anakuona

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 4 года назад +6

    Hivi hata km ukiwa umelewa,does that means huwezi kutambua kama UMEVAMIWA??
    Issue ya abdul nondo kutekwa na watu wasiojulikana, baadaye story yote ilibadilishwa ikasemekana "ALIJITEKA"..
    Issue ya Mohammed Dewji pia,Script yote ilibadilishwa mpk tukaletewa footage za Cctv camera ambazo ziko COLOURED ili kutuaminisha vitu ambavyo kimsingi havikua na MASHIKO.
    Azory gwanda,Roma,na kuna matukio mengi sanaa ya viongozi wa kisiasa wa CDM kufanyiwa matukio similar kama hayo au zaidi ya hayo.Mawazo mathias n.k
    Plus mbunge km msukuma to be honestly si reliable source kwa taarifa km hizi based on his background.

    • @henlysselemani8834
      @henlysselemani8834 4 года назад +1

      Uwe na mawaz kwaiyo unaez ukavamiw kisiasa kam wanavyosema afu wakupapase mguu tu wakuache

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 4 года назад

      Kavamiwa na mtu akavunjwa jicho la mguu? Hana jiraha longine lolote tofauti na jicho la mguu. Acheni pombe na nyie.

  • @amanismithk
    @amanismithk 4 года назад

    Mungu ni mhukumu wa haki

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 4 года назад +1

    u are talking beyound of humanity

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 4 года назад +4

    Huyu jamaa mkabila kumbe?

  • @salehemakange4691
    @salehemakange4691 4 года назад

    Kwan wew hz saa Saba ulikuwa wap

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 4 года назад +5

    Bulaya ameisikia hiii

  • @giftmush5297
    @giftmush5297 4 года назад +3

    Cha msingi hapa ni kwamba msukuma ni mpiga debe kama walivyo wapiga debe wengine kulee kariakooo na kwingineko piga debe baba piiga debe watu wakuone but remember what goes around comes around,,,,

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 4 года назад +2

      Wale ccm ninaowajua Mimi sijui walipotelea wapi? Hawa kina msukuma kina kujua Kali sirinde waitara. Hadabu na misingi ya chama hawajui lolote bora kumekucha

    • @giftmush5297
      @giftmush5297 4 года назад

      @@azizawadh5973 wee acha2

  • @thabitally9216
    @thabitally9216 4 года назад +4

    Msukuma utasukumiwa ndani itokee mdomoni payuka tu

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi9321 4 года назад

    Aisee

  • @eliamsafiri8775
    @eliamsafiri8775 4 года назад +1

    Siasa tu hizo let us wait what gonna happen

  • @salehemakange4691
    @salehemakange4691 4 года назад

    Mmmmh we msukuma

  • @patrickmkude9985
    @patrickmkude9985 4 года назад

    Duh yetu macho

  • @martindaud1156
    @martindaud1156 4 года назад +1

    Piga debe siku yakikukuta utajuta kuzaliwa huna akili we msukuma

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 4 года назад

    WANDUGU BOMBADIA HAIJAYENEZWA NA NDEGE IMETENGENEXWA NA WAKEMIA UKIIENDEA PUPA KAMA MBOWE INAKUCHOMOA VISIGINO . WABUNGE TUACHE ULEVI NA KUISINGIZIA SERIKALI KUWA MMETEKWA WAKATI MMEJITEKA NA FARU JOHN ##### PIPOOOOZI🤘✌✌✌🤞🤞🤞🤞🤞

  • @lwitikophilipopelela1891
    @lwitikophilipopelela1891 4 года назад +1

    Siku hizi Tanzania tunazungumza makabila!!!?

  • @paulosarakikya4851
    @paulosarakikya4851 4 года назад

    We ni mbungee au mhuniii hivi ujinga wa wasukuma kumbe hata elimu haisaidii kitu na ubunge wao

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 4 года назад

    Wew kiboko

  • @jamhurigeorge7730
    @jamhurigeorge7730 4 года назад

    Kwani mtasemaje, hata msibani alieuwa analia sana kuliko wote hili asijulikane kama ameuwa

  • @asimwetheonest5280
    @asimwetheonest5280 4 года назад

    Uko saws sana

  • @collinsmakanta6898
    @collinsmakanta6898 4 года назад

    Dah Kweli CCM mnakandamiza Wenzenu

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 4 года назад

    Anakolipeleka Taifa huyu jiwe ni kubaya sikio la kufa....na hawa wabunge utadhani ni chekechea

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 4 года назад

    Kumbe faru John noma eeeh 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan7108 4 года назад +2

    Kweli huyu mbulula ngoja yamkute mbwa huyu.

  • @mhayaboy9646
    @mhayaboy9646 4 года назад

    Hiya ndosiasa yatazania

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 года назад

    Jamani ukabila ni dhambi mbaya sana msukuma ipo siku utakuja jutia maneno yako ya kuleta ukabila
    Dhambi hii ndo aloiondosha mwalim nyerere ww unaifufua

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Месяц назад

    DUNIA HII YA OVYO

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +3

    Kwani MTU akilewa ndio avamiwe apigwe

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад

      Upati point!ulevi wake na kuumia kwake,asisingizie serikali.simple

    • @lisakishosha2235
      @lisakishosha2235 4 года назад

      Anaweza kuwa aligombana na watu

  • @agustinojohn6307
    @agustinojohn6307 4 года назад

    Kumbe alikuwa anamuwinda mbowe huyu jamaaa akatoe maelezo vema huko police yeye SAA saba Usk alikuwa anafanyaje ent huyu msukuma

  • @johnsonchristina5271
    @johnsonchristina5271 4 года назад

    Unajua ww msukuma unapotoka hicho kielimu chako Cha stnd seven hakisaidii kazidisha utani na cfa

  • @abdallahesika8407
    @abdallahesika8407 4 года назад +3

    Wagogo wanatokea wapi haya Mambo yataleta ukabila nchini

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 4 года назад +1

    Mimi nilidhani wabunge wasiojielew ni kutoka Zanzibar pekee kumbe hata bara

    • @salummtosa3885
      @salummtosa3885 4 года назад

      kusema ukweli nayo sio kujielewa au wewe ndio ujielewi

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 4 года назад

      @@salummtosa3885 ukweli UPI?

  • @josephjila957
    @josephjila957 4 года назад

    Mmmmmmh kalewa chakari?

  • @marwamaisa659
    @marwamaisa659 4 года назад

    Kumbe wabunge hawalali usku yan msukuma nae yumo

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 4 года назад

    Acha usenge msukuma.

  • @aloycesambuta9937
    @aloycesambuta9937 4 года назад

    Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho!

  • @thomasmakoe5958
    @thomasmakoe5958 4 года назад

    Kumekuchaa bungeni kama watoto

  • @chachagenya5080
    @chachagenya5080 4 года назад

    Musukuma hauna hoja ujipendekeza tu

  • @hemedomary2281
    @hemedomary2281 4 года назад

    Kwanini msijadili masuala ya msingi juu ya maendeleo ya Taifa? Hili suala la mbowe viachieni vyombo vya usalama vifanye kazi yake kisha vituletee matokeo ya uchunguzi.Hapo ndo kila mtu atakuwa na la kujadili.

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 4 года назад

    Tz inaelekea kwny ukabila kamili

  • @zakariambughi3493
    @zakariambughi3493 4 года назад

    kweli siasa mchezo mchafu
    Unawe za kufa kisa siasa
    DAAAAAAAAAA

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 4 года назад

    Hawa ndio viongozi watakaotupeleka kwenye uchumi wa viwanda kweli .tanzania tumelogwa

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Inasikitisha sana.. Ila.kwa jina la Yesu Kristo wataanguka na tutasonga mbele

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +1

    Domokaya

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +2

    Huyu mpumbavu alishasemaga lowasa kajinyea kwenye kampeni. Simshangai Leo akisema mbowe mlevi.

  • @kenethjuma1432
    @kenethjuma1432 4 года назад

    Mkar

  • @lucaslabarani4200
    @lucaslabarani4200 4 года назад +1

    Si tatizo lako....it's a school matter.

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 4 года назад

      Wewe una elimu gani? It’s a school matter! Ulimaanisha it’s a matter of education?

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 4 года назад

    Amellewa halafu wanasema umevamiwa

  • @anuaryally6204
    @anuaryally6204 4 года назад

    Safi msukuma hii ni kweli jamaa Levi halafu linaamsha taharuki eti limevamiwa punguani

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Ole wenu msemao wema ni uovu na uovu ni wema ! Mungu atahukumu kwa haki

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 4 года назад

    Kalewa hivyo (hence) kateleza....very cheap conclusion....I wish tupate wawakilish wenye upeo zaidi. Ukiachilia mbali mtoa hoja inasikitisha zaidi kuona waliomstar wa mbele kusapot hoja

  • @masichotz2223
    @masichotz2223 4 года назад

    Mmbunge mchangamshaji unaleta shida xn akili finyu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 года назад

    acha kutafuta kiki?

  • @mhomboedward7200
    @mhomboedward7200 4 года назад

    Ishu ya ulevi na kutekwa ni Vitu viwili tofauti jmn acha tusubir polis wafanye uchunguzi wao

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Utasubiri sana ndugu . We huelewi tu??

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 4 года назад +5

    Msukuma wewe ni zeroo

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад

      Huyo mlevi he??

    • @andreakundo4241
      @andreakundo4241 4 года назад

      Nadhani wewe ndo zero

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      @@andreakundo4241 Hivi unajua kuwa kuna hukumu siku ya mwisho na baada ya kifo?? wewe ni mkristo kweli??? Au ndo wale wakristo jina wa Italy ??? Ole wao wasemao wema ni uovu na uovu ni wema ! Iko siku utakumbuka maneno yangu

  • @charlesjacob1273
    @charlesjacob1273 4 года назад +4

    Ulaaniwe

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara3502 4 года назад

    mwenyekiti wa saccos kalewa chama cha wahuni icho mwenyekiti kalewa

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Maandiko yanasema Ole wenu mnaosema wema ni uovu na uovu ndio wema

  • @giftmandar582
    @giftmandar582 4 года назад

    Utopolo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 года назад

    Tupewe kura ya maoni Watanzania,JPM tumpe miaka 10 au more!TZ itakua Toronto

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Umesoma hadi darasa la ngapi ????

  • @stiveerasto1683
    @stiveerasto1683 4 года назад

    kama mbowe alikuwa amelewa alifikaje nyumbani kwake?

  • @stevensamwel4023
    @stevensamwel4023 4 года назад

    Msukuma kashamaliza araah

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Tumia akili aisee!! Halaf kiswahili chako jifunze matumizi ya L na R . Araah ni nini????? Halaf acha chuki . Watanzania tunapaswa kuwa na upendo si chuki za kikabila au chuki za kisisa.

  • @giftmush5297
    @giftmush5297 4 года назад +1

    Msukuma wewe ni MTU MJINGA SANA tena sana huna shule huna hekima huna hela we we ni masikini sana yaani kwani hizo pombe ni za wanainchi sio na wabunge wewe unaongoza mbulula sio MTU kama Mimi mh waziri mkuu ni MTU safi ni kiongozi bora kama alivyo raid wetu we are human being we also make mistakes stupid arrogant

    • @umarechossah2596
      @umarechossah2596 4 года назад +1

      Gift mush wewe unamkuta kwa hela?

    • @giftmush5297
      @giftmush5297 4 года назад +1

      Ninazo za kunitosha sina pesa za kulangua madini tena ninazo za kutosha sio za huyo mchunga ngombe mpiga makelele

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 3 года назад

    Katika wabunge wanafiki Msukuma yumo. Watanzania tusikubali kuburuzwa hawa CCM wana njama gani wanataka kuifanya ndani na nje ya bunge hawataki viongozi wa upinzani tunaowapenda. Hata kama CCM hawataki Lissu awe Rais iweje hata Madiwani na Wabunge wa upinzani hawatakiwi na vipenzi vya watu kwenye maeneo yao. Kama Watanzania wa vyama vyote tunalipa kodi za Serekali kwa nini maendeleo yatolewe kwa upendeleo. Kuna jambo gani limejificha wanataka kutufanyia Watanzania. Tusikubali kuchaguliwa viongozi kabisa. Wanataka Tanzania liwe koloni lao alafu mbaya kabisa Magufuli anatukosanisha na Majirani makusudi wasijue tunachofanyiwa ndani ya Tanzania. (ruclips.net/video/u5pLZk3C4ws/видео.html). Rais wa kwanza Tanzania kuwa na ubaguzi tumuogope kama UKOMA.

  • @suleimanmakongoro6513
    @suleimanmakongoro6513 4 года назад +1

    Watu wajinga kama hawa wanaendaje bungeni?

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 года назад

      Nashindwa hata kuelewa !!

    • @hemedmtunguja9788
      @hemedmtunguja9788 3 года назад

      Hata Mimi nimeanza kumchoka huyu jamaa ni mpumbavu

  • @ramadhansylvestakichele8915
    @ramadhansylvestakichele8915 4 года назад +2

    Alafu mtu kashambuliwa mtu maarufu kama yeye anapelekwa kituo cha afya wkt hospital kubwa zipo

    • @bahatiherman339
      @bahatiherman339 4 года назад +1

      Acheni dhihaka ndg zangu ,nae ni binadam kaumia fikiria Kama ni ndg yako .weken siasa pembeni tuwe moyo wa upendo na huruma achilia mbali siasa zao. Kwa wakristo someni mithali 17:5

    • @ramadhansylvestakichele8915
      @ramadhansylvestakichele8915 4 года назад +2

      @@bahatiherman339 tatizo anataka kuchafua taswila ya nchi wkt alikua kwenye starehe zake, sasa tusipolikemea hili suala litatuletea athari ktk diplomasia ya kimataifa, angesema ukweli tungemuhulumia

    • @johnmkyui6777
      @johnmkyui6777 4 года назад

      Msukuma kuwa Kama kiongozi maneno yako si ya kujenga et! Wagogo wanachafuliwa na wewe unawachafua wabunge wenzako watu wanaenda kusalimia unawaambia mafail yameisha? si vizur hata Kama kadanganya haipendezi kuongea maneno Kama hayo

    • @magaumniko7609
      @magaumniko7609 4 года назад

      @@ramadhansylvestakichele8915 acha ushaabiki wa kishamba

    • @ramadhansylvestakichele8915
      @ramadhansylvestakichele8915 4 года назад

      @@magaumniko7609 we ndo mshamba usie taka kukubaliana na ukweli

  • @khajyhamady5800
    @khajyhamady5800 4 года назад

    Alikuwa amelewa chakar

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад +1

    Domokaya