SILINDE AMSHUKIA MBOWE TUKIO LA KUSHAMBULIWA NA WASIOJULIKANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mbunge wa Momba, David Silinde akizungumza bungeni kuhusu tukio la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kudai kushambuliwa na watu wasiojulikana jijini Dodoma usiku wa kuakia leo

Комментарии • 337

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 4 года назад +6

    Duu hotuba nzuri sana briliant,excellent karibuni kundini.kidumu kabisa chama cha mapinduzi.mbowe endelea na sinema zako.sisi tunasonga mbele.

  • @wannawanna9126
    @wannawanna9126 4 года назад +33

    Well spoken David Silinde you are a real citizen of Tanzania God bless you. I can smell Leadership in you.

  • @mwakisukuli2124
    @mwakisukuli2124 4 года назад +46

    Haha silinde umetisha sana kunywa Pepsi max nitakuja kulipa Magufuli for change

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 4 года назад +19

    Safi sana d silinde umefanya uamzi mzito kukihama hicho kichaka cha wasanii wapiga dili .

  • @bensonashery2360
    @bensonashery2360 4 года назад +8

    Silinde kule momba ubunge ni wakwako na unayasema yaliyoyakweli mungu akubariki sana magufuli mbele kwa mbele haturudi nyuma

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +2

    Nampenda bure Silinde anafaa Sana 🔥🔥🔥🔥♥️♥️🙏🙏🙏🙏

  • @joycemalongo9050
    @joycemalongo9050 4 года назад +10

    David Silinde ni bright sana and very genius in class and politics.

  • @nicholassostenes4372
    @nicholassostenes4372 4 года назад +19

    Jaman achen raisi wetu afanye kazi mungu atamtangulia tu

  • @fadhilmwandete7239
    @fadhilmwandete7239 4 года назад +1

    Upo vizurii.ccm oyee

  • @ericyuxuf9639
    @ericyuxuf9639 4 года назад +22

    Sema Silinde, nchi yetu haipaswi kuongozwa na kikundi cha watu wanaotumiwa na mabeperu, hatutaki ujinga kwenye nchi hii

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 4 года назад +12

    Hongera mh umeongea saana kitu kizuriiii

  • @babaharunakipindula3895
    @babaharunakipindula3895 4 года назад +24

    Ila kwa ukweli kuna drama sana ktk tukio la Mbowe

  • @ngolompologomi1301
    @ngolompologomi1301 3 года назад

    Uko vizuri muheshimiwa silinde

  • @lilianlazaro4189
    @lilianlazaro4189 4 года назад +4

    Wote Bungeni wangekuwa kama Silinde Tanzania ingekuwa mbali zaidi ya hapa tulipo. Bro unatukosha sana roho Watanzania.

  • @lukasmwendo9383
    @lukasmwendo9383 4 года назад +12

    Silinde umesema kweli na kweli itakuweka huru siku zote

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 года назад +21

    Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Kwa mtanzania yoyote Kupinga jitihada za JPM ni sawa na kukata Tawi ULILOLIKALIA kitu ambacho ni UTAAHIRA mkubwa sana, watanzania wapo makini hakuna uzembe wala LELEMAMA kwenye jitihada za kukomboa maendeleo yaliyoporwa na MAFISADI Hhima Hh🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿imaaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bongoPM
    @bongoPM 4 года назад +2

    ...uambie CCM wananchi wanataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. wish you (Silinde) the best kiroha safi.

  • @safinamethuselapeter2298
    @safinamethuselapeter2298 4 года назад

    Uko vzr sana mh. Kimsingi ukweli unabaki kuwa ukweli, Hata Kama ukipingwa. Umenena vyema Mungu akutunze.

  • @abubakarabdul4657
    @abubakarabdul4657 4 года назад +5

    Karibu sana Mh Silinde CCM OYEEEEEEE

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 4 года назад +5

    Mh, Silinde UNAJITAMBUA! HONGERA SANA KWA KUKEMEA UOVU WA CHADEMA.

  • @anuaryally6204
    @anuaryally6204 4 года назад +17

    Mbowe ni mwongo wa karne amejivalisha muhogo halaf anatuzuga shubaaakenge zake

  • @benjaminf361
    @benjaminf361 4 года назад

    Nimefurahi sana kuona siasa ya Tanzania imekua...Mheshimiwa Silinde wewe ni mwanasiasa uliyekomaa, Mungu na azidi kukuinua! Siasa sio ubishi ni namna ya kujenga hoja na kuwawakilisha wananchi ipaswavyo. Proud to be Tanzanian!

  • @hassangomas3722
    @hassangomas3722 Год назад

    Silinde uko safi sana

  • @LUCKDRE
    @LUCKDRE 4 года назад +8

    wajanja wote wako CCM 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @diofumsafiri665
    @diofumsafiri665 4 года назад +1

    Daaaa Silinde nimekukubali sana Mkuu umeongea pwenti

  • @swejanegelo6924
    @swejanegelo6924 4 года назад +1

    Silinde baba SEMA unanifulaisha sana

  • @EDSONWNGABO
    @EDSONWNGABO 4 года назад +7

    Fantastic

  • @ndembwamponda7674
    @ndembwamponda7674 4 года назад +8

    Taifa hili haliwezi kuongozwa na dhana ya uongo. "

  • @alutefabian831
    @alutefabian831 4 года назад +26

    Hilo picha la kihindi wamelicheza vibaya mwaka wa aibu ndo huu sasa

  • @bennymwashiuya9074
    @bennymwashiuya9074 3 года назад

    Silindeee mngu anakuonaa

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 4 года назад

    Anayejiuza hachagui bei. Pole sana bwana Silinde

  • @mashakakalamba519
    @mashakakalamba519 4 года назад +11

    Sina cha kukupa SILINDE - "Ninamuomba CCM na RAIS WETU KIPENZI MAGUFURI AKUFIKIRIE". Umesema ukweli wa Mungu !

  • @charlesotwalo9335
    @charlesotwalo9335 4 года назад +9

    CCM Safii 👍👍👍👍👍👍🦚🦚🦚🦚🦚

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 3 года назад

    Yes silinde

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 4 года назад +1

    Safi sana Silinde

  • @bakariilulubala120
    @bakariilulubala120 4 года назад +9

    Jeshi la polisi lifanye uchunguzi dhidi ya Mbowe ikionekana ni uongo sheria ichukue mkondo wake

  • @allyngogomi6088
    @allyngogomi6088 4 года назад +11

    Kweli pombe mbaya yani aliokua nao kwenye Pombe, ni watu 3 na waliomshambulia ni watu 3 hiyo kweli ni akili ya pombe.Polisi waanze nao aliokua nao.

  • @sm5tv
    @sm5tv 4 года назад +18

    Tuachieni Raisi wetu aendelee kupiga kazi

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 4 года назад +1

    Ety msigwa for president!!!kwel chadema mefeli sana

  • @geoogeoo7731
    @geoogeoo7731 4 года назад +7

    Ccm ccm ccm ccm silindeeeeeeeeeee oyeeeeeeee

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 года назад +13

    SILINDE KICHWA BALAA,
    UNATISHA MZEE, HAYA MADINI.

    • @eziadaniel8269
      @eziadaniel8269 4 года назад +1

      Natamani sana raisi Wetu magufuli aendelee tuu hakuna haja ya kupoteza hela za kampeni ziende kwenye maendeleo magufuli oyeeeeee

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 4 года назад +2

    Nashindwa Niseme nini kwako Mh silinde hakika umesema ukweli Mungu aendelee kukulinda

  • @edmundringo7360
    @edmundringo7360 4 года назад

    Said Arfi na Abdala safari Mungu awabariki huko mlipo

  • @emilymsangi2693
    @emilymsangi2693 4 года назад +5

    Mmmhhh naona Uwaziri kamili unanukia, wenzio wameambulia unaibu waziri

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад

    Big up

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 4 года назад +5

    Kweli CCM roho inayo waongoza ni kiboko 😷😷😷

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 4 года назад +3

    JAMANI MWESH RAIS MAGUFULI MUNGU AMLINDE

  • @mswadikibabalaoooshingoma5157
    @mswadikibabalaoooshingoma5157 4 года назад +5

    Hii machine imetuzidi hatuna pakutokea''"hapana chezea magu weweeee

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад

    Point nzrii

  • @abuuabuu5482
    @abuuabuu5482 4 года назад +2

    Baass pombe noomaa kwaiyo viongzy wetu waleviiii

  • @emanuelngweta1339
    @emanuelngweta1339 4 года назад +2

    Silinde nimekuelewaaa

  • @dausonymichael9996
    @dausonymichael9996 4 года назад +1

    Safi sana

  • @emilykassiano6173
    @emilykassiano6173 4 года назад +10

    Hakika uko sahihi

    • @ahmadmasunda9892
      @ahmadmasunda9892 4 года назад +3

      Inaelekea dawa imeingia maana leo hata naomba MUONGOZO hakuna

    • @matildachami2573
      @matildachami2573 4 года назад

      Kwakweli uongo na ukweli hauchangamani Mbowe atazame amekwama wapi lamsingi arudi nyumbani kumenoga sana Raisi wetu mzee wetu Magufuli tutakuombea daima naunga mkono awe Raisi wakudumu kweli tumepata mtetezi Mungu ibariki Tanzania Mungu mmbariki Raisi wetu John Joseph Pombe Magufuli CCM hoyeeeee wamesarenda hawana jipya Magufuli hoyeeeee

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 4 года назад

    Dah big up zakee anko magu....2020... Kira yako magufuli....mwezi..huu

  • @josephjila957
    @josephjila957 4 года назад +9

    Yajao yanafurahisha binafsi majibu kutoka chadema

  • @agustinojohn6307
    @agustinojohn6307 4 года назад +1

    Duuuu mh.silinde hawatukanagi nyumbani wew umefunzwa siasa na chadema ccm watakugeuka .

  • @goodluckmgeni8366
    @goodluckmgeni8366 4 года назад +2

    Tuulizeni sisi wananchi..msiulizeni viongozi

  • @neemamsechu5368
    @neemamsechu5368 4 года назад

    Mungu amekuongoza umemkana xhetan , mungu akuongoze chadema ni mabeberu weus wanaokexha wakiomba nchi ipate matatizo wafurah na waume zao wakizungu

  • @bathlomeompogoza5508
    @bathlomeompogoza5508 4 года назад +1

    dah silinde kwa hiyo miaka 10 yote hakuna mazuri kwenye chama kweli!

  • @naimaabduel8885
    @naimaabduel8885 4 года назад +1

    Njaaaaaa mbayaaaaa silindeeeee wewweeeeeeeee

  • @lazaromwafula181
    @lazaromwafula181 4 года назад +13

    Shida ni kiu ya uongozi sio upinzani wa kweli, maana mmeyapinga mliyoyahubiri miaka mingi, JPM ndio alikuwa akiotwa siku zote

  • @tumainimwampegete8182
    @tumainimwampegete8182 4 года назад

    Safi wabunge kwakuelewa ilo

  • @careenkulwa8527
    @careenkulwa8527 4 года назад

    Very touching, VIVA magufuli

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767 4 года назад +4

    Nimwongezee Mheshimiwa Spika. Hii inaitwa 'crossing the rubicon!'

  • @nurujembe9147
    @nurujembe9147 4 года назад +2

    Nmekuelewa silinde

  • @500gts9
    @500gts9 4 года назад +20

    MTU WA NAMNA HIYO UNAACHAJE KUMUUNGA MKONO????
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @mokejohn65
      @mokejohn65 4 года назад

      Mbowe apata aibumchana kweupe wamekodi na ndege kumuhamisha kwajili ya ulevi chezea nyagi wewe alaaa nyagi sio chai

    • @abigailiwarwa6928
      @abigailiwarwa6928 4 года назад

      Safi kabisa

  • @johnmagolanga7730
    @johnmagolanga7730 4 года назад +1

    Tujitokeze kwa wingi wakati wa uchaguzi tumpe Magufuli kura za ndiyo,wabunge wote wa ccm na madiwani wote tuwachague kutoka ccm

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +7

    Hao jamaa ni wazoefu wa kutunga uongo

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone3121 4 года назад

    Karibu CCM

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 года назад +2

    CHANGING MINDSET POWER

  • @dicksonkimambo3855
    @dicksonkimambo3855 4 года назад +2

    Daaah kwakweli akil ya kuambiw chngny na yako

  • @hassanmalamla3485
    @hassanmalamla3485 4 года назад +6

    Eti msigwa for president 😂😂

  • @jamesthomas390jj
    @jamesthomas390jj 3 года назад +1

    Hivi kweli, hii inshu ya Mbowe iliishia wapi😂

  • @kosmasymahenge1322
    @kosmasymahenge1322 4 года назад +3

    Silinde inatosha utaua wenzio maana unavyo ongea hadi nabaki kucheka kwakua unaongea ukweli wako

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад +1

    Mbunge wangu Silinde nakufuatilia hakika mimi mwananchi wako, sioni kosa la Rais Maghufuli

  • @raymondthomas3960
    @raymondthomas3960 4 года назад +7

    Pigenj kura aongezewe magufuri muda

  • @abubakarabdul4657
    @abubakarabdul4657 4 года назад +1

    Ukweli uongewe jamani SILINDE Kaongea ukweli sasa

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад +5

    R.I.P CHADEMA

  • @sylivesteranthony4685
    @sylivesteranthony4685 4 года назад

    Uko sahihi kiongozi

  • @raibethnicholaus1493
    @raibethnicholaus1493 4 года назад +2

    Mmh hapo sisemi ila ajila ni tatzo.
    Pia nashaur posho za wabunge kupunguzwa japo 10% ili kujenga nchi

  • @labanbishirabandi3740
    @labanbishirabandi3740 4 года назад +1

    Huyu jamaa anaongea points lakini shida ni majunguu ya kumponda mtu, lakini cdhani Kama hiyo ndo kazi ya mbunge

  • @joaquimmasengwa1283
    @joaquimmasengwa1283 4 года назад +1

    Dah!! Jamani watu wanataka kura za kuhurumiwa......

  • @mosesedwardmagembe9657
    @mosesedwardmagembe9657 3 года назад

    Sehemu moja kubwa niliyoinukuu. Upinzani unaoshirikiana na watu wa nje kubomoa nchi hii. Wananchi tumeshawapiga chini. Twahitaji upinzani utakaoshirikiana na serikali kuijenga nchi.

  • @arthurisacksuka5369
    @arthurisacksuka5369 3 года назад

    Ndio raha ya kupata Exposure
    Kitendo Cha kwenda nje ya nchi kuwakilisha nchi umejifunza mengi juu ya Pombe Joseph Magufuli.

  • @pejakathedonone9174
    @pejakathedonone9174 4 года назад +1

    Fact

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 4 года назад +5

    Hayo ungeyasema ukiwa upinzani ningekukubali ila wanasiasa wambea sana Leo hupo chadema unajisafisha ili upate ubunge nyoooo magu piga kazi achana na manafiki hayo ya upinzani

  • @octavianmsomba3538
    @octavianmsomba3538 4 года назад +1

    Silinde uko poa sana nitakupa kula

  • @mpewashiyawi7913
    @mpewashiyawi7913 4 года назад

    Hii njaa noma atakama huwezi joboa kiasi hicho kwa watu waliokufikisha hapo

  • @nasolojonathani2158
    @nasolojonathani2158 4 года назад +1

    Wanasema pombe so chai aaaaaaah. !!

  • @tumainimwampegete8182
    @tumainimwampegete8182 4 года назад

    Imeisha iyo

  • @josephmalaki5054
    @josephmalaki5054 4 года назад

    Huyu jamaa Leo hii anamkandia Mbowe na alikuw Hana hela ndo katok chuon Mbowe kamuwezesha leo hii anapayuk na kuropokropoka na minywele yakee

  • @mosescheketela9505
    @mosescheketela9505 4 года назад +3

    Kuhusu corona usiseme sana usije kuaibika kesho.

  • @rickythobby
    @rickythobby 4 года назад +2

    😂😂😂 facts in a funny language

  • @alifahamis485
    @alifahamis485 4 года назад

    Yuko sawa

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Месяц назад

    Hawa ndyo watu wanajua siasa

  • @salumbarkey4100
    @salumbarkey4100 4 года назад +6

    Kweli bunge dhaifu

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад +1

      Tunatamani watu km nyie mgombee maana wakati wanamtukana Rais waziwazi mbona mlikua kimya

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад

      Wewe usiye dhaifu nenda kawe mbunge!!!

  • @husseinsika7344
    @husseinsika7344 4 года назад

    Silinde wewe ni genious

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 4 года назад +11

    huyu jamaa Lazima apewe uwazil mwakani

  • @nestrykipetha3761
    @nestrykipetha3761 4 года назад

    Walimtukana na kumdhalilisha silinde, sasa amewageukia mzima mzima.. Wamelianza walimalize kudadeki zao. Wao hawataki kusemwa ila waseme wao.

  • @beatusgration5100
    @beatusgration5100 4 года назад +10

    Akina Membe walikuwa wazuri ccm kwa mda mrefu rakini sasa ivi unaona yuko nje ya ccm .Leo unakaribiswa kwa jocks unafrai wait for your round. Mwenzako akipata shida usijaradie ndomaana Rais kaenda kumpa pole ili afarijike ,mgonjwa afarijiki kwa vijembe.kuwa na utu atakama umetoka Chadema.

    • @bonifacesamson4247
      @bonifacesamson4247 4 года назад

      wewe sirinde rewo unaata ayibu. nafisi inakusuta

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Kilichowaumiza watu ni pale kwa shutuma za kumsema Rais yani hata afanye nn kikitokea kitu watu wanamtukana Rais ndo hicho

    • @bone102
      @bone102 4 года назад

      Ila Lowasa walimfanyaje whats goes around comes around

    • @aidarousshaban9580
      @aidarousshaban9580 4 года назад

      Hakuna nafsi hamsutiii nafsi inawasuta waigizajiii wameratibu vibaya sanaaaa yenuuu