SILINDE AMSHUKIA MBOWE TUKIO LA KUSHAMBULIWA NA WASIOJULIKANA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mbunge wa Momba, David Silinde akizungumza bungeni kuhusu tukio la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kudai kushambuliwa na watu wasiojulikana jijini Dodoma usiku wa kuakia leo
Duu hotuba nzuri sana briliant,excellent karibuni kundini.kidumu kabisa chama cha mapinduzi.mbowe endelea na sinema zako.sisi tunasonga mbele.
Well spoken David Silinde you are a real citizen of Tanzania God bless you. I can smell Leadership in you.
Nice
Haha silinde umetisha sana kunywa Pepsi max nitakuja kulipa Magufuli for change
Safi sana d silinde umefanya uamzi mzito kukihama hicho kichaka cha wasanii wapiga dili .
Silinde kule momba ubunge ni wakwako na unayasema yaliyoyakweli mungu akubariki sana magufuli mbele kwa mbele haturudi nyuma
Nampenda bure Silinde anafaa Sana 🔥🔥🔥🔥♥️♥️🙏🙏🙏🙏
David Silinde ni bright sana and very genius in class and politics.
True
Jaman achen raisi wetu afanye kazi mungu atamtangulia tu
Upo vizurii.ccm oyee
Sema Silinde, nchi yetu haipaswi kuongozwa na kikundi cha watu wanaotumiwa na mabeperu, hatutaki ujinga kwenye nchi hii
Magufuli siyo mchezo
Hongera mh umeongea saana kitu kizuriiii
Ila kwa ukweli kuna drama sana ktk tukio la Mbowe
Uko vizuri muheshimiwa silinde
Wote Bungeni wangekuwa kama Silinde Tanzania ingekuwa mbali zaidi ya hapa tulipo. Bro unatukosha sana roho Watanzania.
Silinde umesema kweli na kweli itakuweka huru siku zote
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Kwa mtanzania yoyote Kupinga jitihada za JPM ni sawa na kukata Tawi ULILOLIKALIA kitu ambacho ni UTAAHIRA mkubwa sana, watanzania wapo makini hakuna uzembe wala LELEMAMA kwenye jitihada za kukomboa maendeleo yaliyoporwa na MAFISADI Hhima Hh🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿imaaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
...uambie CCM wananchi wanataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. wish you (Silinde) the best kiroha safi.
Uko vzr sana mh. Kimsingi ukweli unabaki kuwa ukweli, Hata Kama ukipingwa. Umenena vyema Mungu akutunze.
Karibu sana Mh Silinde CCM OYEEEEEEE
Mh, Silinde UNAJITAMBUA! HONGERA SANA KWA KUKEMEA UOVU WA CHADEMA.
Kweli
Mbowe ni mwongo wa karne amejivalisha muhogo halaf anatuzuga shubaaakenge zake
Nimefurahi sana kuona siasa ya Tanzania imekua...Mheshimiwa Silinde wewe ni mwanasiasa uliyekomaa, Mungu na azidi kukuinua! Siasa sio ubishi ni namna ya kujenga hoja na kuwawakilisha wananchi ipaswavyo. Proud to be Tanzanian!
Silinde uko safi sana
wajanja wote wako CCM 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa Silinde nimekukubali sana Mkuu umeongea pwenti
Silinde baba SEMA unanifulaisha sana
Fantastic
Taifa hili haliwezi kuongozwa na dhana ya uongo. "
Hilo picha la kihindi wamelicheza vibaya mwaka wa aibu ndo huu sasa
Silindeee mngu anakuonaa
Anayejiuza hachagui bei. Pole sana bwana Silinde
Sina cha kukupa SILINDE - "Ninamuomba CCM na RAIS WETU KIPENZI MAGUFURI AKUFIKIRIE". Umesema ukweli wa Mungu !
CCM Safii 👍👍👍👍👍👍🦚🦚🦚🦚🦚
Yes silinde
Safi sana Silinde
Jeshi la polisi lifanye uchunguzi dhidi ya Mbowe ikionekana ni uongo sheria ichukue mkondo wake
Kweli pombe mbaya yani aliokua nao kwenye Pombe, ni watu 3 na waliomshambulia ni watu 3 hiyo kweli ni akili ya pombe.Polisi waanze nao aliokua nao.
Tuachieni Raisi wetu aendelee kupiga kazi
Ety msigwa for president!!!kwel chadema mefeli sana
Ccm ccm ccm ccm silindeeeeeeeeeee oyeeeeeeee
SILINDE KICHWA BALAA,
UNATISHA MZEE, HAYA MADINI.
Natamani sana raisi Wetu magufuli aendelee tuu hakuna haja ya kupoteza hela za kampeni ziende kwenye maendeleo magufuli oyeeeeee
Nashindwa Niseme nini kwako Mh silinde hakika umesema ukweli Mungu aendelee kukulinda
Said Arfi na Abdala safari Mungu awabariki huko mlipo
Mmmhhh naona Uwaziri kamili unanukia, wenzio wameambulia unaibu waziri
Big up
Kweli CCM roho inayo waongoza ni kiboko 😷😷😷
JAMANI MWESH RAIS MAGUFULI MUNGU AMLINDE
Hii machine imetuzidi hatuna pakutokea''"hapana chezea magu weweeee
Point nzrii
Baass pombe noomaa kwaiyo viongzy wetu waleviiii
Silinde nimekuelewaaa
Safi sana
Hakika uko sahihi
Inaelekea dawa imeingia maana leo hata naomba MUONGOZO hakuna
Kwakweli uongo na ukweli hauchangamani Mbowe atazame amekwama wapi lamsingi arudi nyumbani kumenoga sana Raisi wetu mzee wetu Magufuli tutakuombea daima naunga mkono awe Raisi wakudumu kweli tumepata mtetezi Mungu ibariki Tanzania Mungu mmbariki Raisi wetu John Joseph Pombe Magufuli CCM hoyeeeee wamesarenda hawana jipya Magufuli hoyeeeee
Dah big up zakee anko magu....2020... Kira yako magufuli....mwezi..huu
Yajao yanafurahisha binafsi majibu kutoka chadema
Duuuu mh.silinde hawatukanagi nyumbani wew umefunzwa siasa na chadema ccm watakugeuka .
Tuulizeni sisi wananchi..msiulizeni viongozi
Mungu amekuongoza umemkana xhetan , mungu akuongoze chadema ni mabeberu weus wanaokexha wakiomba nchi ipate matatizo wafurah na waume zao wakizungu
dah silinde kwa hiyo miaka 10 yote hakuna mazuri kwenye chama kweli!
Njaaaaaa mbayaaaaa silindeeeee wewweeeeeeeee
Shida ni kiu ya uongozi sio upinzani wa kweli, maana mmeyapinga mliyoyahubiri miaka mingi, JPM ndio alikuwa akiotwa siku zote
Safi wabunge kwakuelewa ilo
Very touching, VIVA magufuli
Nimwongezee Mheshimiwa Spika. Hii inaitwa 'crossing the rubicon!'
Nmekuelewa silinde
MTU WA NAMNA HIYO UNAACHAJE KUMUUNGA MKONO????
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mbowe apata aibumchana kweupe wamekodi na ndege kumuhamisha kwajili ya ulevi chezea nyagi wewe alaaa nyagi sio chai
Safi kabisa
Tujitokeze kwa wingi wakati wa uchaguzi tumpe Magufuli kura za ndiyo,wabunge wote wa ccm na madiwani wote tuwachague kutoka ccm
Hao jamaa ni wazoefu wa kutunga uongo
Karibu CCM
CHANGING MINDSET POWER
Daaah kwakweli akil ya kuambiw chngny na yako
Eti msigwa for president 😂😂
Heeeehhhheeee....
Hivi kweli, hii inshu ya Mbowe iliishia wapi😂
Silinde inatosha utaua wenzio maana unavyo ongea hadi nabaki kucheka kwakua unaongea ukweli wako
Mbunge wangu Silinde nakufuatilia hakika mimi mwananchi wako, sioni kosa la Rais Maghufuli
Pigenj kura aongezewe magufuri muda
Ukweli uongewe jamani SILINDE Kaongea ukweli sasa
R.I.P CHADEMA
R.i.p chadema
🐿️🐿️
Tena chali kifo cha mende
Uko sahihi kiongozi
Mmh hapo sisemi ila ajila ni tatzo.
Pia nashaur posho za wabunge kupunguzwa japo 10% ili kujenga nchi
Huyu jamaa anaongea points lakini shida ni majunguu ya kumponda mtu, lakini cdhani Kama hiyo ndo kazi ya mbunge
Dah!! Jamani watu wanataka kura za kuhurumiwa......
Sehemu moja kubwa niliyoinukuu. Upinzani unaoshirikiana na watu wa nje kubomoa nchi hii. Wananchi tumeshawapiga chini. Twahitaji upinzani utakaoshirikiana na serikali kuijenga nchi.
Ndio raha ya kupata Exposure
Kitendo Cha kwenda nje ya nchi kuwakilisha nchi umejifunza mengi juu ya Pombe Joseph Magufuli.
Fact
Hayo ungeyasema ukiwa upinzani ningekukubali ila wanasiasa wambea sana Leo hupo chadema unajisafisha ili upate ubunge nyoooo magu piga kazi achana na manafiki hayo ya upinzani
Ndo anayasema kwa sababu chadema wanapenda drama
Kwan yuko wapi
Silinde uko poa sana nitakupa kula
Hii njaa noma atakama huwezi joboa kiasi hicho kwa watu waliokufikisha hapo
Wanasema pombe so chai aaaaaaah. !!
Imeisha iyo
Huyu jamaa Leo hii anamkandia Mbowe na alikuw Hana hela ndo katok chuon Mbowe kamuwezesha leo hii anapayuk na kuropokropoka na minywele yakee
Kuhusu corona usiseme sana usije kuaibika kesho.
😂😂😂 facts in a funny language
Yuko sawa
Hawa ndyo watu wanajua siasa
Kweli bunge dhaifu
Tunatamani watu km nyie mgombee maana wakati wanamtukana Rais waziwazi mbona mlikua kimya
Wewe usiye dhaifu nenda kawe mbunge!!!
Silinde wewe ni genious
huyu jamaa Lazima apewe uwazil mwakani
Na iwe hivyo kaka kwa mbunge wangu
Yeaaah jamaaa ni kichwa aisee.
Anafaa
Huyu hata ubunge hakupata ,na misufa yote na mikejeri ya kijinga ilipita kwa upepo
Walimtukana na kumdhalilisha silinde, sasa amewageukia mzima mzima.. Wamelianza walimalize kudadeki zao. Wao hawataki kusemwa ila waseme wao.
Akina Membe walikuwa wazuri ccm kwa mda mrefu rakini sasa ivi unaona yuko nje ya ccm .Leo unakaribiswa kwa jocks unafrai wait for your round. Mwenzako akipata shida usijaradie ndomaana Rais kaenda kumpa pole ili afarijike ,mgonjwa afarijiki kwa vijembe.kuwa na utu atakama umetoka Chadema.
wewe sirinde rewo unaata ayibu. nafisi inakusuta
Kilichowaumiza watu ni pale kwa shutuma za kumsema Rais yani hata afanye nn kikitokea kitu watu wanamtukana Rais ndo hicho
Ila Lowasa walimfanyaje whats goes around comes around
Hakuna nafsi hamsutiii nafsi inawasuta waigizajiii wameratibu vibaya sanaaaa yenuuu