WAITARA Afichua SIRI NZITO za MABILIONI ya MICHANGO CHADEMA - "Chama Kimepararaizi"
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- WAITARA Afichua SIRI NZITO za MABILIONI ya MICHANGO CHADEMA - "Chama Kimepararaizi"
Naibu waziri wa Tamisemi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, amezungumza na wanahabari leo Mei 22, kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa hapa nchini..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Asante Waitara kwa kujitoa kuwaeleza watanzania ukweli Mungu atakulipa kwa hilo. Najua kuna baadhi ya watu wataendelea kukaza vichwa lakini umesaidia vijana wengi wanaotaka siasa kuchagua vyama kwa makini. Walau wachache wenye hekima watapona
Nimepona wa kwanza😭😭
Hakuna ukweli wowote ni propanda za kisiasa tu
Waitara umetisha
Duuu mwenyezi mungu mkubwa nchi inge likuwa mbaya zaidi kushinda awamu zilopita lazima tumshukuru mwenyezi mungu
Chadema you started the war with the big guns 💪 now it’s show time , In October no chadema will be in the parliament, Waitara jembe 💯💯💯🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏
Hahahaaa aaaaaaaah Silver The maaan.. Watajua maana ya slogan yao ya People's Power..
BUTOGWA LADISLAUS absolutely mkuu this is just the beginning, don’t bite the hand that feed you 😂😂😂😂
@@silverman6930 mazuzu hamjielewi
mbona ukuyasema kipidi ukiwa chadema umesaau kuwa bila chadema usingeonekana
Hatari na yule Morrell alisemea bungeni walivyompiga lissu risasi 🤣🤣naona lissu kichwa kina mzunguka
Mungu mķubwa kam chadema ingechukua nchi ,
Tungepata tabu sana
Mung Ibariki Tanzania
Mungu mbariki Raisi wetu Magufuli
Tupige kazi
Kwani hvsasa unaona 2napata raha au?? !! kama umeyapatiya ww bac ALLAH akuongezee ila ucwasemee na wngn ila kumbuka hawa ni wanasiasa wapo wao kwa maslah yao a famly zao..wanasiasa ndo wanowatiya wa2 ujinga na kuwapotezea muda wao kwa maneno yao matamu haswa hawa wa kiafrka ndo wamezd tena wa vyama vyote sasa ucpokuwa makini wata2fanya cc kama wa2mwa waooooo...
😂😂😂😂kabisaa dada yangu tungechubuliwa mpaka makwapa yarabi MUNGU mkubwa shikamooo @drSlaa hakika umetuokoa sana mzee wetu
@@allykutenga2862 ndugu usitafute laana za bure, kweli hauoni mambo anayoyafanya Raisi Magufuli ?! Au wewe sio Mtanzania?
Fanya kazi,acha kutega, ukitaka kufanyikiwa, hakuna mtu atakaye kuwekea fedha mfukoni!
@@allykutenga2862 comment inaonyesha namna ulivyokwama kiakili, hakuna namna ya kukusaidia zaini ya kukupa pole..POLE!!.
@@allykutenga2862 Ina onekana jinsi gani akili yako ilivydhaifa hata unamkufuru Mungu
Kama unaamini CHADEMA ni TAKATAKA🚮 gonga LIKE apo chini.
Yohana Gongo mnamdanganya nani, shida ni kukubalika, mh waitara anatafta hisani ili ateuliwe kugombea ubunge. Lakini tarime tuko vizr atakula jeuri yake.
@@chorogamo1023 anayo yaongea sio ya kweli? Unayakanusha je?
@@chorogamo1023 tokeno *hadharani myakanushe*
@@chorogamo1023 🤣🤣🤣
Ni propaganda za kisiasa tu kama ni kweli wangeshamfikisha mahakamani siku nyingi.
duuu kweli mh amekisambaratisha chama kwa mikono yake mwenyewe , huku akijaribu kupimana ubavu na JPM Mpendwa wa WTZ we love so much our president JPM
Viva jpm viva aruta continue
Wachaga hoyeeee pesa kwanza
Aibuuuu mabeberuuuuu
Tanzania ina Mungu Huyu angekuwa Rais angeuza wananchi wakiwa hai
Wewe si waziri shugulikia matatizo ya wananchi,achana na chadema
Kumbe kelele zote ni kujitetea na kujisafisha
R. I. P CHADEMA
Chadema ni chombo imara hakiwezi kufa
@@hamisimuhunzi7916 mwenye akili anasoma vitu hujaona lipumba ametulia anatunga Sera nyie mnakurupuka tuu
R. I. P CCM
Hatar sana kwa chama kama hicho ndio maana hatak kuachia nafas ya mwwnyekit anajua uozo mwing utakua live
Like zoote hapa kwa aliyesikia"Ole wako Mbowe aone unacheka na Spika,Waziri..au Unamsifu Jemedali Mkuu wa Nchi"
Duuu vita ni vitaa muraaaaaaaaaa
Augustino Dede atar sana muraaaa
Duh naipenda chadema ila kwa haya yanayo ongelewa kama ni ukweli inabidi nijifikirie mara mbili tena. Vichaa tu ndio wanaweza fanya hayo
Duuuu aisee hii noma sasa, hii ngumu itabidi chadema wajibu
Wamjibu pombe ama huyu mwehu
@Edward Massawe; vipi! mbona unahamaki mapema mno? kama hoja hujailewa usiijibu, waachie wahusika. Walengwa wameshaupata ujumbe.
@@edwardmassawe5116 lazima utetee mchaga mwenzio hata wewe ni kibaka tuu..wachaga always ni wezii
Hiyo inatisha..dah!
Safi sana
Mwisho wa Mbowe umewadia. Mungu amlaani kwa dhuluma alizofanya.
Chadema meanzisha ugomvi wakati mnaishi kwenye nyumba za vio 😀😀 subilini ssa
Wanatishia kujamba wakati wanaharisha!
Najua unacho kiongea una kijua maana ulikua part yao Aiseee nacheka lakn naogopa
Aliyajuaje 😂😂😂😂
Yaani
Kwani chadema hawajui km chama ni Mali ya Mbowe. Muwe wapole
mtahangaika sana CHADEMA inapendwa, ccm wanatumia nguvu kubwa kuizima CHADEMA
Dùuuuuu hapa kaz ipo asee ila atupaye uhai ndo anaejua na atalipa amin
We mafumbo mengi funguka kama huna la kufunguka tulia dawa iku ingie
Kwaza ona macho yake yalivyo utajua tu mbowe ni mwizi tu
Ila hamzidi babako
Kumbe Mbowe ni mwizi. Duuh! Hii ni balaa
Hahaha we jamaa et kumbe ni mwizi 😁😂😁😂😁😂😁
Kwanini serikali inayosema kaiba isimshtaki !!?? Propaganda za kisiasa
Dah..!, hadi nataka nifumbe macho na masikio yangu kabsaaaaa....!,
Ee MUNGU turehemu sisi waja wako...Amen...
KAMA UNAAMINI MWISHO WA CHADEMA NI 2020 MWEZI WA 10 ETI LIKE APO CHINI
Duh hii kali aise
duuuu kweli CHADEMA kuna ukurutu wakutishaa acha wabunge wasepe zao wanahaki 😂
Duuhh kumbe ni jambazi asie na siraha mbowe Mungu anakuona na malipo ni hapahapa duniani
CHADEMA NI WAPUMBAVU SANA WANATOKA MITANDAONI KUDANGANYA UMMA WAMESAHAU KUWA KINA WAASIRA WANAKIJUA CHAMA VIZUUUURI SASA NI WAKATI WA MPUUZI MBOWE KUVULIWA NGUO
Kama ulivyo wewe
Magela wewe ndo mpanbavu tena hauna hakili mjinga sana wewe
Yamwageeeeee yooote 😅😅😅😅
Makao makuu yachadema hata guest niliyokuwa naenda zamani nikubwa jamani
Mathayo Dundo 😁😁😁
Haaaah
Tupe Nondo Baba ukweli uliosimamia ukucha yan Ningekutunuku ata Kaela kidogo Uko vizuri ,
Mpeleke mahakaman
Mtakodishwa sana juakali amerudi ccm si mnyamaze tusubiri sanduku la kula unarudia yaleyale
Daaaa hii ni shidaaa
Duh!!! Upigaji huu wa Mbowe unauma sana.
Hii penarti sidhani kama kuna kipa wa kuipangua ngoja tuwasubili makipa watakujaje
😄😄😄 dah hio ni ya moto sana hao makipa sidhan wa kuizuia atakuwa katka hali gani
Hasa michango ya lisu! Sjui watatuambiaje? Milion 400 alafu bodo michango ya wananchi..daah!!!
Chadema chaliiii
Waitara Chadema ndio iliyokutambulisha kwa wananchi
Sema kweli mheshimiwa
*MNYIKA, MBOWE, BULAYA* NA YULE MWINGINE ANAITWA NANI VILE ... *LISSU* NK NJOONI HUKU *MPANGUE HAYA "MAWE MAZITO" TANI 10 YALORUSHWA NA WAITARA* ... HAKIKA *YAJAYO YANAFURAHISHA TENA SANA*
Wapo njiani,wataweka sawa kitu alafu watokee
Hizo ni zaidi tani kumi mimi naona tani 200
Hahahaaa.. Daniel tena waje kupangua kwa hoja na vielelezo vya kila tuhuma na sio waje na kelele
Halafu naona kama kina Mbowe hawakusoma alama za nyakati.. Kwa nafasi aliyokuwa nayo Waitara ni lazima ajue maovu yao mengi.. Na kichwa cha Waitara ni sawa na cha Marehemu Chacha Wangwe hawa jamaa si wa mchezo
daniel moses mlevi huyu anatuchanganya tu kwanini asifungue kesi mahakamani
Hii movie ni kali sana,,
Duuh !! Nasubilia Wajibu izi Oja maana duuh kunamadudu mengi sana
WAITARA KAMA NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI 😍
Duh mbowe kumbe dikteta, mwizi,
Akamatwe ,utapike fedha zote alizoiba, kisha atupwe jela maisha!
Hiyo ya form six sijaskia vizuri matokeo ya mbowe
chadema chama kishakufa xaiv mwakani mzee mwenyewe ubunge shida jimboni mwakani.
Mkae mkijua Raisi imara ametokana na chama cha upinzani imara na hatakama MTU huna shukurani fazila uwe nazo waitara umejengwa na chadema na misimamo yako ukiwa chadema ndio imesababisha magu akuone kuongea ruksa ila uwe nakiasi , maana kama ulikuwa huko na ukayajua hayo kwa nn? Hukuongea au Leo umekula nn?
@@reubenmsuya6967 Hapa isho iliyopo mezani ni kujibu hoja kwa hoja sio kulipana fadhila hapa. maana hata hao walioanzisha upinzani walitokea ccm. vijana wakosoeni chadema wanapokosea ili wajirekebishe sio kua mshabiki anaewaza mwisho nyuma ya nyumba
Mnamsikiliza huyo mlevi hana lolote njaa na tamaa zimemkimbiza upinzani kama mbowe ni mwizi kwanini asichukuliwe hatua kama nyie siyo wanafiki
Asante kwa kutujuza.
Mh. Waitara tunaomba upeleke hiyo taarifa takukuru akachunguzwe...hatuwezi kuwa na viongozi wa namna hii katika nchi yetu.
Duuu jamani kumbe chadema kuna siri nzito hivi Mungu wangu siri zimefichuka!
Ccm master mind, Huyu jamaa alipangwa
Mbowe hatukusilizi tena mana nimpuuzi ungejiondoa tuu hapo kwenye uenyekiti haya yasingekuwepo
Hahahaaaa
Mbowe hawezi kujiondoa Uenyekiti , ile ni Kampuni yake .
We waitara inaonekana unauchungu Sana na nimchunguzi Sana ebu tusaidie Nani alimpiga Lisu na Beni Sanane Yuko wapi na nini kilitokea maiti zilizo okotwa ufukweni na kadhalika
Ivi Takukuru kazi yenu nini kwa tuhuma hizi
Watadai wametumwa na serikali
Wizi mwingine wa akili. Huwezi jua hadi watu wa ndani wenyewe waufichue kama hivi.
Kama hii nchi wangepewa hawa wapuuzi tungeuzwa tukiwa hai na watoto wetu
Hiyo ndiyo nilikuwa nazungumza..MALOFA ndio wanajifanya kujia
Kweli Corona imefichua mambo mengi ya chadema mkee tulia tu bungeni yasinge wafika sasa tumejua eti wanajita makamanda kumbe wezi tu mungu mkubwa hongera Waitara we jembe
Watanzania tujifunze kupitia hawa waliotoka CHADEMA baada ya kuona uozo ulikithiri na ubahatishaji unaotokana na utovu wa nidhamu
😀😀😀😀😀 Zitto aliwashwa, Chacha wangwe akawashwa, Kitila mkumbo akawashwa, Dr mashinji akawashwa, Komu aliwashwaaa😀😀😀
Haya majamaa majiz kitambo
Nasikitika sana, vijana acheni kushabikia vyama mtakufa muache familia zenu.Madudu haya na watu waliokufa mnawajua mpaka huyo diwani katajwa hapa.
Maybe hata ile nyama yangu ilio ibiwa labda ni mbowe kaiba 🤦♂️
Hahahaaa Golden Mwenyekiti alipita na nyama yako??
Did u fly to kia kwani?
Hahahahahahaaaa
Jamani Wtz mna maneno kweli kweli
😁😁😁😁😁😁
Duh!
Hii kali sana!!
Hawa nivigogo WAnao jua sir za vyama vyote je nahuyu watasema kapewa rushwa chadema mjipnge mbowe Na vikaragos wako Alf kingine mm ninacho jiuliza vijembe vyote hvo kwann mbowe hajbu
Eeee kumekucha
Njaa mbaya sana
Mbowe anaakili sana he is genius
Waitara hapo nimekusoma Mkuu nondo unazo na unastaili kupewa jimbo
Mbowe ni Billionear mwizi, Kumbe Esther Bulaya ni mtoto was Mbowe
We do inaonekana una mtindio wa ubongo , anakuwaje mtoto wa Mbowe halafu anaitwa Ester Bulaya
Fidelisi boniphace mimi nina watoto wawili wote wanatumia majina ya baba wengine
@@sundayandrew1787 pole sana ndugu yangu inaonekana unatatizo la utasa , unazalishiwa make haiwezekani uzae wewe ubini wa mtoto atumie jina la mwanaume mwenzako hadi la ukoo
@@fidelisiboniphacekatole1139 Wana bambikiziwa usishangae hata wewe unalea mtoto asie wako ni wa kamchepuko hawa akina mama waone tu
@@fidelisiboniphacekatole1139 jina sio umilikiwa, siri ya mtoto anaijua mama.
Kama umesikia anazurula tu gonga like
Jama anamwaga ubwabwa, sikia vile simu zina ingia asionge.
Hahahahaha
Mzee mbowe pumzika tu, ustaafu kwa heshima
Hicho ndio chama makini tunawasubili 2020
Profesa J mungu akutunze mzee bab hunaga shida kbsaa
Hapo sasa.....
Willing to listen!
Vyema lakin Sasa anaongea Kama aliyejihudhuru chadema,mbona anaongea au anaiwakilisha ccm sijaelewa
Du atari sana mwesho wa chadema umefika
Nawasikitikia sana wafuasi wa CHADEMA, Ni zaidi ya mandondocha.
Siasa ni atari sana,mwita ebu ona aibu kwa ayo unayosena
Mboe chali.mwisho wake huooooo .😇😇😇
Too heavy hii
GLOBAL TV TUNAITAJI MWENDELEZO ETI
Daaaa!! Kumbeeeee!!!!!!!!
Oooooh..kumbe nae Gwajima aliomba wadhili Japan Kwa ajili ya Chadema.
Lkn Leo anajua kuwa Magufuli ndio Baba lao.Wengineo rudini kwa muheshimiwa Raisi
Makbwa haya ee Mungu tunusuru kwa hili
Chadema ni genge la biashara la mbowe
Mjomba mbowe ulimjibu rais ndani ya masaa 2 hotuba yake, sasa mjibu waitara tuone hawa ndio saizi yako na nyinyi makuwadi na wapambe mmesikia mjibuni waitara mnapelekwa mbio kama matela
Huyu chapombe ajibiwe na mateja huko mtaani mbowe sio saizi yake
Hana hadhi ya kujibiwa na Mbowe
Hahahaaa @Mwalimuu.. Thubutuuu.. maisha yake nakwambia kwa hoja za Waitara huwezi kumuona Mbowe na Ngloves zake ati akijibu hizo tuhuma, hawezi jibu.. Na kuhusu Matrekta aliyosema Waitara Lijualikali kumalizia mpaka na picha na kwamba moja liko police ifakara lakini si Mbowe wala Bulaya aliyejibu
Khatibu Mwalimu 😁😁😁😁ujanja hana
Mbowe lazima amute
Mbunge kibajaji aliwahi kusema. Kwenye CHADEMA wajinga ndio waliwao.Mbowe Sawa hivi hujaumbuka tu.Umeuwa chama baba.Achia ngazi uwape wengine watengeneze chama.wewe nimwizi.
Proper-ganda Mbaya sana Kama hujui unataka nini na wewe ni nan?
Amua mwenyewe
Dj mbowe kakipeleka chama disco 1RP chadema
nacheka sana...
Mungu atakulipa mueshimiwa ☝️ dah!huyu sio mwanadamu wa kawaida!ni mini!
Mbowe mungu anakuona utajibu haya sikumoja mbele za mungu silent killer
Waitara kazi mlishamaliza Leo Wala usiongee Sana usiumize kichwa ,
Kwa mwenye akili halazimishwi aelewe ila atumie tu akili na kuyapima haya kama ni uongo waje wajibu tuhuma hzi na wakikaa kimya ni kweli
Vipi mkuu kuhusu zile pesa zilizochangwa ili kuweza kuwatoa gerezani ziliishia wapi maana tulituma kwenye simu za mkononi
Wajinga ndio waliwao
Chama gani kisichokubali kushindwa kwenye uchaguzi, mnatumia jeshi kupora ushindi wa aliyechaguliwa na Wananchi.
Chama cha manyumbu hicho akiwez shindana na ccm walikuwa wanasema rais wetu ni dikteta sasa ona dj mboye umeaibika
Heeeee mbowe chama ushakiuwa kwa kupenda madaraka
Rafik wa Leo ndio adui mkubwa kesho mond kaimba sio maneno yangu