WAITARA Afichua SIRI NZITO za MABILIONI ya MICHANGO CHADEMA - "Chama Kimepararaizi"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • WAITARA Afichua SIRI NZITO za MABILIONI ya MICHANGO CHADEMA - "Chama Kimepararaizi"
    Naibu waziri wa Tamisemi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, amezungumza na wanahabari leo Mei 22, kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa hapa nchini..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 672

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 4 года назад +14

    Asante Waitara kwa kujitoa kuwaeleza watanzania ukweli Mungu atakulipa kwa hilo. Najua kuna baadhi ya watu wataendelea kukaza vichwa lakini umesaidia vijana wengi wanaotaka siasa kuchagua vyama kwa makini. Walau wachache wenye hekima watapona

  • @deonatusyokta4338
    @deonatusyokta4338 4 года назад +38

    Waitara umetisha

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 4 года назад +18

    Duuu mwenyezi mungu mkubwa nchi inge likuwa mbaya zaidi kushinda awamu zilopita lazima tumshukuru mwenyezi mungu

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 года назад +54

    Chadema you started the war with the big guns 💪 now it’s show time , In October no chadema will be in the parliament, Waitara jembe 💯💯💯🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏

    • @butogwaladislaus2087
      @butogwaladislaus2087 4 года назад +4

      Hahahaaa aaaaaaaah Silver The maaan.. Watajua maana ya slogan yao ya People's Power..

    • @silverman6930
      @silverman6930 4 года назад

      BUTOGWA LADISLAUS absolutely mkuu this is just the beginning, don’t bite the hand that feed you 😂😂😂😂

    • @edwardmassawe5116
      @edwardmassawe5116 4 года назад

      @@silverman6930 mazuzu hamjielewi

    • @jacksonjoseph8618
      @jacksonjoseph8618 4 года назад

      mbona ukuyasema kipidi ukiwa chadema umesaau kuwa bila chadema usingeonekana

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 года назад

      Hatari na yule Morrell alisemea bungeni walivyompiga lissu risasi 🤣🤣naona lissu kichwa kina mzunguka

  • @ABAK2509
    @ABAK2509 4 года назад +64

    Mungu mķubwa kam chadema ingechukua nchi ,
    Tungepata tabu sana
    Mung Ibariki Tanzania
    Mungu mbariki Raisi wetu Magufuli
    Tupige kazi

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 года назад

      Kwani hvsasa unaona 2napata raha au?? !! kama umeyapatiya ww bac ALLAH akuongezee ila ucwasemee na wngn ila kumbuka hawa ni wanasiasa wapo wao kwa maslah yao a famly zao..wanasiasa ndo wanowatiya wa2 ujinga na kuwapotezea muda wao kwa maneno yao matamu haswa hawa wa kiafrka ndo wamezd tena wa vyama vyote sasa ucpokuwa makini wata2fanya cc kama wa2mwa waooooo...

    • @papayatnzania1005
      @papayatnzania1005 4 года назад +5

      😂😂😂😂kabisaa dada yangu tungechubuliwa mpaka makwapa yarabi MUNGU mkubwa shikamooo @drSlaa hakika umetuokoa sana mzee wetu

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 4 года назад +9

      @@allykutenga2862 ndugu usitafute laana za bure, kweli hauoni mambo anayoyafanya Raisi Magufuli ?! Au wewe sio Mtanzania?
      Fanya kazi,acha kutega, ukitaka kufanyikiwa, hakuna mtu atakaye kuwekea fedha mfukoni!

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад +2

      @@allykutenga2862 comment inaonyesha namna ulivyokwama kiakili, hakuna namna ya kukusaidia zaini ya kukupa pole..POLE!!.

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 4 года назад +1

      @@allykutenga2862 Ina onekana jinsi gani akili yako ilivydhaifa hata unamkufuru Mungu

  • @gongothemp8894
    @gongothemp8894 4 года назад +229

    Kama unaamini CHADEMA ni TAKATAKA🚮 gonga LIKE apo chini.

    • @chorogamo1023
      @chorogamo1023 4 года назад +3

      Yohana Gongo mnamdanganya nani, shida ni kukubalika, mh waitara anatafta hisani ili ateuliwe kugombea ubunge. Lakini tarime tuko vizr atakula jeuri yake.

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 4 года назад +3

      @@chorogamo1023 anayo yaongea sio ya kweli? Unayakanusha je?

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 4 года назад

      @@chorogamo1023 tokeno *hadharani myakanushe*

    • @gongothemp8894
      @gongothemp8894 4 года назад

      @@chorogamo1023 🤣🤣🤣

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад +1

      Ni propaganda za kisiasa tu kama ni kweli wangeshamfikisha mahakamani siku nyingi.

  • @danielkidona4214
    @danielkidona4214 4 года назад +20

    duuu kweli mh amekisambaratisha chama kwa mikono yake mwenyewe , huku akijaribu kupimana ubavu na JPM Mpendwa wa WTZ we love so much our president JPM

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад +28

    Viva jpm viva aruta continue

  • @samhadas8009
    @samhadas8009 4 года назад +49

    Aibuuuu mabeberuuuuu
    Tanzania ina Mungu Huyu angekuwa Rais angeuza wananchi wakiwa hai

    • @aronmashuve9119
      @aronmashuve9119 4 года назад

      Wewe si waziri shugulikia matatizo ya wananchi,achana na chadema

    • @aronmashuve9119
      @aronmashuve9119 4 года назад

      Kumbe kelele zote ni kujitetea na kujisafisha

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад +20

    R. I. P CHADEMA

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Chadema ni chombo imara hakiwezi kufa

    • @dimittivee7519
      @dimittivee7519 4 года назад

      @@hamisimuhunzi7916 mwenye akili anasoma vitu hujaona lipumba ametulia anatunga Sera nyie mnakurupuka tuu

    • @marryjoseph8705
      @marryjoseph8705 4 года назад

      R. I. P CCM

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +11

    Hatar sana kwa chama kama hicho ndio maana hatak kuachia nafas ya mwwnyekit anajua uozo mwing utakua live

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 4 года назад +18

    Like zoote hapa kwa aliyesikia"Ole wako Mbowe aone unacheka na Spika,Waziri..au Unamsifu Jemedali Mkuu wa Nchi"

  • @augustinodede7245
    @augustinodede7245 4 года назад +19

    Duuu vita ni vitaa muraaaaaaaaaa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад +11

    Duh naipenda chadema ila kwa haya yanayo ongelewa kama ni ukweli inabidi nijifikirie mara mbili tena. Vichaa tu ndio wanaweza fanya hayo

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 4 года назад +26

    Duuuu aisee hii noma sasa, hii ngumu itabidi chadema wajibu

    • @edwardmassawe5116
      @edwardmassawe5116 4 года назад

      Wamjibu pombe ama huyu mwehu

    • @MWAMALUMBILI
      @MWAMALUMBILI 4 года назад

      @Edward Massawe; vipi! mbona unahamaki mapema mno? kama hoja hujailewa usiijibu, waachie wahusika. Walengwa wameshaupata ujumbe.

    • @christinamonyi5541
      @christinamonyi5541 4 года назад

      @@edwardmassawe5116 lazima utetee mchaga mwenzio hata wewe ni kibaka tuu..wachaga always ni wezii

  • @mytimeonce1479
    @mytimeonce1479 4 года назад +27

    Hiyo inatisha..dah!

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад +13

    Safi sana

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад +2

    Mwisho wa Mbowe umewadia. Mungu amlaani kwa dhuluma alizofanya.

  • @salimamri9488
    @salimamri9488 4 года назад +22

    Chadema meanzisha ugomvi wakati mnaishi kwenye nyumba za vio 😀😀 subilini ssa

    • @ligaz5039
      @ligaz5039 4 года назад

      Wanatishia kujamba wakati wanaharisha!

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад +39

    Najua unacho kiongea una kijua maana ulikua part yao Aiseee nacheka lakn naogopa

  • @bernardmpakasi4758
    @bernardmpakasi4758 4 года назад +26

    Kwani chadema hawajui km chama ni Mali ya Mbowe. Muwe wapole

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад

    mtahangaika sana CHADEMA inapendwa, ccm wanatumia nguvu kubwa kuizima CHADEMA

  • @jf-jb3lx
    @jf-jb3lx 4 года назад +12

    Dùuuuuu hapa kaz ipo asee ila atupaye uhai ndo anaejua na atalipa amin

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 4 года назад +44

    Kwaza ona macho yake yalivyo utajua tu mbowe ni mwizi tu

  • @bernardmpakasi4758
    @bernardmpakasi4758 4 года назад +42

    Kumbe Mbowe ni mwizi. Duuh! Hii ni balaa

    • @mtemelashabani2746
      @mtemelashabani2746 4 года назад

      Hahaha we jamaa et kumbe ni mwizi 😁😂😁😂😁😂😁

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Kwanini serikali inayosema kaiba isimshtaki !!?? Propaganda za kisiasa

  • @timemajestically
    @timemajestically 4 года назад +1

    Dah..!, hadi nataka nifumbe macho na masikio yangu kabsaaaaa....!,
    Ee MUNGU turehemu sisi waja wako...Amen...

  • @ancomagutanzania7068
    @ancomagutanzania7068 4 года назад +6

    KAMA UNAAMINI MWISHO WA CHADEMA NI 2020 MWEZI WA 10 ETI LIKE APO CHINI

  • @nurdinmzuzuri1279
    @nurdinmzuzuri1279 4 года назад +13

    Duh hii kali aise

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +12

    duuuu kweli CHADEMA kuna ukurutu wakutishaa acha wabunge wasepe zao wanahaki 😂

  • @tintz3157
    @tintz3157 4 года назад +6

    Duuhh kumbe ni jambazi asie na siraha mbowe Mungu anakuona na malipo ni hapahapa duniani

  • @magellasaid28
    @magellasaid28 4 года назад +46

    CHADEMA NI WAPUMBAVU SANA WANATOKA MITANDAONI KUDANGANYA UMMA WAMESAHAU KUWA KINA WAASIRA WANAKIJUA CHAMA VIZUUUURI SASA NI WAKATI WA MPUUZI MBOWE KUVULIWA NGUO

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 4 года назад +16

    Yamwageeeeee yooote 😅😅😅😅

  • @mathayodundo5433
    @mathayodundo5433 4 года назад +31

    Makao makuu yachadema hata guest niliyokuwa naenda zamani nikubwa jamani

  • @mevakyavaleri6264
    @mevakyavaleri6264 4 года назад +1

    Tupe Nondo Baba ukweli uliosimamia ukucha yan Ningekutunuku ata Kaela kidogo Uko vizuri ,

  • @hamisramadhani3114
    @hamisramadhani3114 4 года назад +16

    Mpeleke mahakaman

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 4 года назад

    Mtakodishwa sana juakali amerudi ccm si mnyamaze tusubiri sanduku la kula unarudia yaleyale

  • @ishengomabinomukama731
    @ishengomabinomukama731 4 года назад +5

    Daaaa hii ni shidaaa

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад +2

    Duh!!! Upigaji huu wa Mbowe unauma sana.

  • @jubethraphael9909
    @jubethraphael9909 4 года назад +28

    Hii penarti sidhani kama kuna kipa wa kuipangua ngoja tuwasubili makipa watakujaje

    • @timotheojumal894
      @timotheojumal894 4 года назад +2

      😄😄😄 dah hio ni ya moto sana hao makipa sidhan wa kuizuia atakuwa katka hali gani

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад

      Hasa michango ya lisu! Sjui watatuambiaje? Milion 400 alafu bodo michango ya wananchi..daah!!!

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 4 года назад +12

    Chadema chaliiii

  • @lucky9285
    @lucky9285 4 года назад +1

    Waitara Chadema ndio iliyokutambulisha kwa wananchi

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 4 года назад

    Sema kweli mheshimiwa

  • @danielmoses2244
    @danielmoses2244 4 года назад +60

    *MNYIKA, MBOWE, BULAYA* NA YULE MWINGINE ANAITWA NANI VILE ... *LISSU* NK NJOONI HUKU *MPANGUE HAYA "MAWE MAZITO" TANI 10 YALORUSHWA NA WAITARA* ... HAKIKA *YAJAYO YANAFURAHISHA TENA SANA*

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 года назад

      Wapo njiani,wataweka sawa kitu alafu watokee

    • @papayatnzania1005
      @papayatnzania1005 4 года назад +8

      Hizo ni zaidi tani kumi mimi naona tani 200

    • @butogwaladislaus2087
      @butogwaladislaus2087 4 года назад +9

      Hahahaaa.. Daniel tena waje kupangua kwa hoja na vielelezo vya kila tuhuma na sio waje na kelele

    • @butogwaladislaus2087
      @butogwaladislaus2087 4 года назад +10

      Halafu naona kama kina Mbowe hawakusoma alama za nyakati.. Kwa nafasi aliyokuwa nayo Waitara ni lazima ajue maovu yao mengi.. Na kichwa cha Waitara ni sawa na cha Marehemu Chacha Wangwe hawa jamaa si wa mchezo

    • @ignasyluena9197
      @ignasyluena9197 4 года назад +1

      daniel moses mlevi huyu anatuchanganya tu kwanini asifungue kesi mahakamani

  • @peter.b.michael3841
    @peter.b.michael3841 4 года назад +1

    Hii movie ni kali sana,,

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 4 года назад +6

    Duuh !! Nasubilia Wajibu izi Oja maana duuh kunamadudu mengi sana

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 4 года назад

    WAITARA KAMA NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI 😍

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 4 года назад +6

    Duh mbowe kumbe dikteta, mwizi,
    Akamatwe ,utapike fedha zote alizoiba, kisha atupwe jela maisha!

  • @edwinotieno8464
    @edwinotieno8464 4 года назад +3

    Hiyo ya form six sijaskia vizuri matokeo ya mbowe

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 4 года назад +26

    chadema chama kishakufa xaiv mwakani mzee mwenyewe ubunge shida jimboni mwakani.

    • @reubenmsuya6967
      @reubenmsuya6967 4 года назад +1

      Mkae mkijua Raisi imara ametokana na chama cha upinzani imara na hatakama MTU huna shukurani fazila uwe nazo waitara umejengwa na chadema na misimamo yako ukiwa chadema ndio imesababisha magu akuone kuongea ruksa ila uwe nakiasi , maana kama ulikuwa huko na ukayajua hayo kwa nn? Hukuongea au Leo umekula nn?

    • @mbwanaseif404
      @mbwanaseif404 4 года назад +2

      @@reubenmsuya6967 Hapa isho iliyopo mezani ni kujibu hoja kwa hoja sio kulipana fadhila hapa. maana hata hao walioanzisha upinzani walitokea ccm. vijana wakosoeni chadema wanapokosea ili wajirekebishe sio kua mshabiki anaewaza mwisho nyuma ya nyumba

    • @pascalkavishe1478
      @pascalkavishe1478 3 года назад

      Mnamsikiliza huyo mlevi hana lolote njaa na tamaa zimemkimbiza upinzani kama mbowe ni mwizi kwanini asichukuliwe hatua kama nyie siyo wanafiki

  • @anithashembilu7732
    @anithashembilu7732 4 года назад +1

    Asante kwa kutujuza.

  • @wilsonmwesiga5469
    @wilsonmwesiga5469 4 года назад

    Mh. Waitara tunaomba upeleke hiyo taarifa takukuru akachunguzwe...hatuwezi kuwa na viongozi wa namna hii katika nchi yetu.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад +3

    Duuu jamani kumbe chadema kuna siri nzito hivi Mungu wangu siri zimefichuka!

  • @motingijh2101
    @motingijh2101 4 года назад +1

    Ccm master mind, Huyu jamaa alipangwa

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 4 года назад +38

    Mbowe hatukusilizi tena mana nimpuuzi ungejiondoa tuu hapo kwenye uenyekiti haya yasingekuwepo

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 4 года назад

      Hahahaaaa

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 года назад

      Mbowe hawezi kujiondoa Uenyekiti , ile ni Kampuni yake .

    • @deusimtewele2301
      @deusimtewele2301 4 года назад

      We waitara inaonekana unauchungu Sana na nimchunguzi Sana ebu tusaidie Nani alimpiga Lisu na Beni Sanane Yuko wapi na nini kilitokea maiti zilizo okotwa ufukweni na kadhalika

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад +27

    Ivi Takukuru kazi yenu nini kwa tuhuma hizi

    • @gloriamichael3698
      @gloriamichael3698 4 года назад

      Watadai wametumwa na serikali

    • @evancemapunda9512
      @evancemapunda9512 4 года назад +2

      Wizi mwingine wa akili. Huwezi jua hadi watu wa ndani wenyewe waufichue kama hivi.

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 4 года назад +5

    Kama hii nchi wangepewa hawa wapuuzi tungeuzwa tukiwa hai na watoto wetu

  • @mytimeonce1479
    @mytimeonce1479 4 года назад +18

    Hiyo ndiyo nilikuwa nazungumza..MALOFA ndio wanajifanya kujia

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 года назад +2

    Kweli Corona imefichua mambo mengi ya chadema mkee tulia tu bungeni yasinge wafika sasa tumejua eti wanajita makamanda kumbe wezi tu mungu mkubwa hongera Waitara we jembe

  • @gongothemp8894
    @gongothemp8894 4 года назад +9

    Watanzania tujifunze kupitia hawa waliotoka CHADEMA baada ya kuona uozo ulikithiri na ubahatishaji unaotokana na utovu wa nidhamu

  • @paulsamwel380
    @paulsamwel380 4 года назад +3

    😀😀😀😀😀 Zitto aliwashwa, Chacha wangwe akawashwa, Kitila mkumbo akawashwa, Dr mashinji akawashwa, Komu aliwashwaaa😀😀😀

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +10

    Haya majamaa majiz kitambo

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 года назад +2

    Nasikitika sana, vijana acheni kushabikia vyama mtakufa muache familia zenu.Madudu haya na watu waliokufa mnawajua mpaka huyo diwani katajwa hapa.

  • @cadeyvassir1132
    @cadeyvassir1132 4 года назад +34

    Maybe hata ile nyama yangu ilio ibiwa labda ni mbowe kaiba 🤦‍♂️

  • @emmanuelbuyamba853
    @emmanuelbuyamba853 4 года назад +1

    Duh!
    Hii kali sana!!

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 4 года назад +11

    Hawa nivigogo WAnao jua sir za vyama vyote je nahuyu watasema kapewa rushwa chadema mjipnge mbowe Na vikaragos wako Alf kingine mm ninacho jiuliza vijembe vyote hvo kwann mbowe hajbu

  • @paulinemlacha8672
    @paulinemlacha8672 4 года назад +16

    Eeee kumekucha

  • @eliudkamwela2617
    @eliudkamwela2617 4 года назад

    Njaa mbaya sana

  • @joycembalakele8512
    @joycembalakele8512 4 года назад

    Mbowe anaakili sana he is genius

  • @laurentjohn4331
    @laurentjohn4331 4 года назад +8

    Waitara hapo nimekusoma Mkuu nondo unazo na unastaili kupewa jimbo

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 4 года назад +27

    Mbowe ni Billionear mwizi, Kumbe Esther Bulaya ni mtoto was Mbowe

    • @fidelisiboniphacekatole1139
      @fidelisiboniphacekatole1139 4 года назад +1

      We do inaonekana una mtindio wa ubongo , anakuwaje mtoto wa Mbowe halafu anaitwa Ester Bulaya

    • @sundayandrew1787
      @sundayandrew1787 4 года назад +2

      Fidelisi boniphace mimi nina watoto wawili wote wanatumia majina ya baba wengine

    • @fidelisiboniphacekatole1139
      @fidelisiboniphacekatole1139 4 года назад

      @@sundayandrew1787 pole sana ndugu yangu inaonekana unatatizo la utasa , unazalishiwa make haiwezekani uzae wewe ubini wa mtoto atumie jina la mwanaume mwenzako hadi la ukoo

    • @sundayandrew1787
      @sundayandrew1787 4 года назад

      @@fidelisiboniphacekatole1139 Wana bambikiziwa usishangae hata wewe unalea mtoto asie wako ni wa kamchepuko hawa akina mama waone tu

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 4 года назад +1

      @@fidelisiboniphacekatole1139 jina sio umilikiwa, siri ya mtoto anaijua mama.

  • @kuruthumyahaya5871
    @kuruthumyahaya5871 4 года назад

    Kama umesikia anazurula tu gonga like

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 4 года назад +18

    Jama anamwaga ubwabwa, sikia vile simu zina ingia asionge.

  • @thomaschengena6116
    @thomaschengena6116 4 года назад

    Mzee mbowe pumzika tu, ustaafu kwa heshima

  • @athumanomar8518
    @athumanomar8518 4 года назад

    Hicho ndio chama makini tunawasubili 2020

  • @jacksonjackson8607
    @jacksonjackson8607 4 года назад

    Profesa J mungu akutunze mzee bab hunaga shida kbsaa

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 года назад +1

    Hapo sasa.....

  • @patiencekelvin4453
    @patiencekelvin4453 4 года назад +1

    Willing to listen!

    • @franciscoivo1591
      @franciscoivo1591 4 года назад

      Vyema lakin Sasa anaongea Kama aliyejihudhuru chadema,mbona anaongea au anaiwakilisha ccm sijaelewa

  • @ngolompologomi1301
    @ngolompologomi1301 4 года назад

    Du atari sana mwesho wa chadema umefika

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 4 года назад

    Nawasikitikia sana wafuasi wa CHADEMA, Ni zaidi ya mandondocha.

  • @mussabuma8829
    @mussabuma8829 4 года назад +1

    Siasa ni atari sana,mwita ebu ona aibu kwa ayo unayosena

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 года назад +1

    Mboe chali.mwisho wake huooooo .😇😇😇

  • @ommyomary1863
    @ommyomary1863 4 года назад +2

    Too heavy hii

  • @ancomagutanzania7068
    @ancomagutanzania7068 4 года назад

    GLOBAL TV TUNAITAJI MWENDELEZO ETI

  • @marianuswilla4814
    @marianuswilla4814 4 года назад

    Daaaa!! Kumbeeeee!!!!!!!!

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад +6

    Oooooh..kumbe nae Gwajima aliomba wadhili Japan Kwa ajili ya Chadema.
    Lkn Leo anajua kuwa Magufuli ndio Baba lao.Wengineo rudini kwa muheshimiwa Raisi

  • @suzanamusukuma3396
    @suzanamusukuma3396 4 года назад +4

    Makbwa haya ee Mungu tunusuru kwa hili

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 4 года назад +3

    Chadema ni genge la biashara la mbowe

  • @khatibumwalimu591
    @khatibumwalimu591 4 года назад +27

    Mjomba mbowe ulimjibu rais ndani ya masaa 2 hotuba yake, sasa mjibu waitara tuone hawa ndio saizi yako na nyinyi makuwadi na wapambe mmesikia mjibuni waitara mnapelekwa mbio kama matela

    • @edwardmassawe5116
      @edwardmassawe5116 4 года назад

      Huyu chapombe ajibiwe na mateja huko mtaani mbowe sio saizi yake

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Hana hadhi ya kujibiwa na Mbowe

    • @butogwaladislaus2087
      @butogwaladislaus2087 4 года назад

      Hahahaaa @Mwalimuu.. Thubutuuu.. maisha yake nakwambia kwa hoja za Waitara huwezi kumuona Mbowe na Ngloves zake ati akijibu hizo tuhuma, hawezi jibu.. Na kuhusu Matrekta aliyosema Waitara Lijualikali kumalizia mpaka na picha na kwamba moja liko police ifakara lakini si Mbowe wala Bulaya aliyejibu

    • @lamecktheonest225
      @lamecktheonest225 4 года назад

      Khatibu Mwalimu 😁😁😁😁ujanja hana

    • @gabrieladam1065
      @gabrieladam1065 3 года назад

      Mbowe lazima amute

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe8514 4 года назад +15

    Mbunge kibajaji aliwahi kusema. Kwenye CHADEMA wajinga ndio waliwao.Mbowe Sawa hivi hujaumbuka tu.Umeuwa chama baba.Achia ngazi uwape wengine watengeneze chama.wewe nimwizi.

  • @januarymbunda8472
    @januarymbunda8472 4 года назад +1

    Proper-ganda Mbaya sana Kama hujui unataka nini na wewe ni nan?
    Amua mwenyewe

  • @didasmfoi9458
    @didasmfoi9458 4 года назад

    Dj mbowe kakipeleka chama disco 1RP chadema

  • @sundayharris8549
    @sundayharris8549 4 года назад

    nacheka sana...

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 года назад +1

    Mungu atakulipa mueshimiwa ☝️ dah!huyu sio mwanadamu wa kawaida!ni mini!

    • @michaelmakori7324
      @michaelmakori7324 4 года назад

      Mbowe mungu anakuona utajibu haya sikumoja mbele za mungu silent killer

  • @ramadhanrashid8536
    @ramadhanrashid8536 4 года назад +3

    Waitara kazi mlishamaliza Leo Wala usiongee Sana usiumize kichwa ,

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 4 года назад +10

    Kwa mwenye akili halazimishwi aelewe ila atumie tu akili na kuyapima haya kama ni uongo waje wajibu tuhuma hzi na wakikaa kimya ni kweli

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 4 года назад +8

    Vipi mkuu kuhusu zile pesa zilizochangwa ili kuweza kuwatoa gerezani ziliishia wapi maana tulituma kwenye simu za mkononi

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 года назад +1

    Chama gani kisichokubali kushindwa kwenye uchaguzi, mnatumia jeshi kupora ushindi wa aliyechaguliwa na Wananchi.

  • @leonardmwacha1177
    @leonardmwacha1177 4 года назад +13

    Chama cha manyumbu hicho akiwez shindana na ccm walikuwa wanasema rais wetu ni dikteta sasa ona dj mboye umeaibika

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 года назад +3

    Heeeee mbowe chama ushakiuwa kwa kupenda madaraka

  • @benmushi6335
    @benmushi6335 4 года назад +2

    Rafik wa Leo ndio adui mkubwa kesho mond kaimba sio maneno yangu