Mbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
❤ Nguvu ya Umaa
Ee Mwenyezi Mungu endelea kuwapigania Hawa viongozi wetu kusudi lako litimie. Amina
Mtu ambaye anapinga haya jamani ajitafakakari
Tunahitaji kujiandikisha uanachama CHADEMA, tuko wengi sana. Tunaomba maelekezo ya vituo husika na pia chama kifanye wepesi kuongeza vituo karibu zaidi na wananchi.
Kujiandisha au kujiunga chadema tafuta viongozi popote tupo tutakusajili karibu I sana
Yaani Hawa CCM ni watu wahuni Sana. Hawana uzalendo hata. Baadala ya kufikiria kuboresha maisha ya wananchi wa chini wanapitisha sheria za kulipa mishahara wenza wao wa ndoa!! What a shame and what kind of heartless people!! 😊
Se.a sema mwenyekiti
Nimekusoma kamanda kitaelewekat kila hatua tunapga maombi ujumbe umdfika jee wale wa bodaboda imekula kwenu huyuu ni mboweeeeee 😂😂😂😂😂😂 god ♥💖❤
Chadema Ina m Inu za kisiasa za za kisayansi na ubunifu na ni za kisasa saidi kwanza elimu njia ya kupambana na wezi uzalendo ukweli matumaini bila ya wogo mungu ibaliki
A very good strong speech. May our Lord open our mind and knowledge to understand this truth.
Ifike mahara liwalo na liwe kama noma naiwe noma tusha buluzwa sana kwa maslai ya watu wachache tubadilike sio uchawa tu wakati watu tuna angamia this is to mch
Mbowe kaza buti ccm wataelewa tu.
CcM ni tatizo yan,, nchi yenye walipa kodi mil 60+ inaendeshwa kwa mikopo??? Hii ni ajabu kabisa,, hivi CcM kwa nn msipishe kizalendo tuu???
Nchi huru ina chama cha upnzani imala nacho ni CDM
Sawa haijalishi kua ni chama gani bali tunataka utawala ulio wa haki utawala huru utawala shirikishi leo hatunafuraha katika nchi hii tunakua watuwa katika nchi jirani
Aika mbe mbowe pambana kama baba Aikaeli
Wallet boda wameishia wapi ccm
Asnt mwamba waanga
Mungu awabaliki atubaliki tufike tunapopataka
Unaongea ya kutoka moyoni sio tundu lissu anaongea polojo matatizo hamuyajui tundu Liu Ni kibaraka Bora mwambukusi na mbowe
Tunawategemea kwakila halii
Latra wamefanya nini tena
Nyie ndio watetez wakwelii
Dhamira ya kupenda haki na uhuru ni kweli katika Chama hiki kwa matendo kama ilivyo katika agenda za maandamano katika majiji ya Dar,Mwanza,Mbeya na Arusha.
Nakuunga mkono muheshimiwa
Mungu nakuomba Uwalinde hawa wat
😊
Kazinu kukusanýa vuvu Sela kwe mandamano Watauga watu Wende help au watu maofisini labda pombe victuals Sasa huyu nchi ataelewà bora watu mpira wa yang na simba