Mbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
    Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 28

  • @AchayoOnditi
    @AchayoOnditi 7 месяцев назад

    ❤ Nguvu ya Umaa

  • @GRADISOKIMALALA
    @GRADISOKIMALALA 7 месяцев назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu endelea kuwapigania Hawa viongozi wetu kusudi lako litimie. Amina

  • @Deoathanasmbongo
    @Deoathanasmbongo 7 месяцев назад +2

    Mtu ambaye anapinga haya jamani ajitafakakari

  • @evaristcm2734
    @evaristcm2734 7 месяцев назад +1

    Tunahitaji kujiandikisha uanachama CHADEMA, tuko wengi sana. Tunaomba maelekezo ya vituo husika na pia chama kifanye wepesi kuongeza vituo karibu zaidi na wananchi.

    • @Deoathanasmbongo
      @Deoathanasmbongo 7 месяцев назад

      Kujiandisha au kujiunga chadema tafuta viongozi popote tupo tutakusajili karibu I sana

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 7 месяцев назад +1

    Yaani Hawa CCM ni watu wahuni Sana. Hawana uzalendo hata. Baadala ya kufikiria kuboresha maisha ya wananchi wa chini wanapitisha sheria za kulipa mishahara wenza wao wa ndoa!! What a shame and what kind of heartless people!! 😊

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 7 месяцев назад +1

    Se.a sema mwenyekiti

  • @CholoNassor-h8r
    @CholoNassor-h8r 7 месяцев назад +1

    Nimekusoma kamanda kitaelewekat kila hatua tunapga maombi ujumbe umdfika jee wale wa bodaboda imekula kwenu huyuu ni mboweeeeee 😂😂😂😂😂😂 god ♥💖❤

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 7 месяцев назад

    Chadema Ina m Inu za kisiasa za za kisayansi na ubunifu na ni za kisasa saidi kwanza elimu njia ya kupambana na wezi uzalendo ukweli matumaini bila ya wogo mungu ibaliki

  • @raymondtenga
    @raymondtenga 7 месяцев назад +1

    A very good strong speech. May our Lord open our mind and knowledge to understand this truth.

  • @HemediHemedimikole-ez8lc
    @HemediHemedimikole-ez8lc 7 месяцев назад

    Ifike mahara liwalo na liwe kama noma naiwe noma tusha buluzwa sana kwa maslai ya watu wachache tubadilike sio uchawa tu wakati watu tuna angamia this is to mch

  • @HenryMhabuka
    @HenryMhabuka 7 месяцев назад +1

    Mbowe kaza buti ccm wataelewa tu.

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 7 месяцев назад

    CcM ni tatizo yan,, nchi yenye walipa kodi mil 60+ inaendeshwa kwa mikopo??? Hii ni ajabu kabisa,, hivi CcM kwa nn msipishe kizalendo tuu???

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 7 месяцев назад +1

    Nchi huru ina chama cha upnzani imala nacho ni CDM

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 6 месяцев назад

      Sawa haijalishi kua ni chama gani bali tunataka utawala ulio wa haki utawala huru utawala shirikishi leo hatunafuraha katika nchi hii tunakua watuwa katika nchi jirani

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 7 месяцев назад +1

    Aika mbe mbowe pambana kama baba Aikaeli

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 7 месяцев назад +1

    Wallet boda wameishia wapi ccm

  • @bilalirizwa4665
    @bilalirizwa4665 7 месяцев назад +1

    Asnt mwamba waanga

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 7 месяцев назад +1

    Mungu awabaliki atubaliki tufike tunapopataka

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 7 месяцев назад

    Unaongea ya kutoka moyoni sio tundu lissu anaongea polojo matatizo hamuyajui tundu Liu Ni kibaraka Bora mwambukusi na mbowe

  • @Oyaresumuleklaizer
    @Oyaresumuleklaizer 7 месяцев назад +1

    Tunawategemea kwakila halii

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 7 месяцев назад

    Latra wamefanya nini tena

  • @Oyaresumuleklaizer
    @Oyaresumuleklaizer 7 месяцев назад +1

    Nyie ndio watetez wakwelii

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 7 месяцев назад +1

    Dhamira ya kupenda haki na uhuru ni kweli katika Chama hiki kwa matendo kama ilivyo katika agenda za maandamano katika majiji ya Dar,Mwanza,Mbeya na Arusha.

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 7 месяцев назад +1

    Nakuunga mkono muheshimiwa

    • @bettyinyasi1780
      @bettyinyasi1780 7 месяцев назад

      Mungu nakuomba Uwalinde hawa wat
      😊

  • @AnuariSatari
    @AnuariSatari 7 месяцев назад +1

    Kazinu kukusanýa vuvu Sela kwe mandamano Watauga watu Wende help au watu maofisini labda pombe victuals Sasa huyu nchi ataelewà bora watu mpira wa yang na simba