MBUNGE MUSUKUMA "WAMRUDISHE MBOWE NIMTIBU HAPA KIENYEJI ASIPOPONA SIKU TATU MNIVUE UBUNGE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 296

  • @econ.josephfidelis676
    @econ.josephfidelis676 4 года назад +46

    hahahahah,,kama umesikia eti wenye akili wapo wengi wanafunikwa na vilaza,,gonga like.

  • @eustancezachariah4047
    @eustancezachariah4047 4 года назад +38

    Msukuma nakuelewa sanaaa
    Makofi kwake jmn

  • @ayoubsuleiman3675
    @ayoubsuleiman3675 4 года назад +6

    Hahahaaaa msukuma bwana hahahaaaa et tunarudi kukuita na kienyeji hahahaaaa

  • @agustinojoseph4157
    @agustinojoseph4157 4 года назад +3

    Sema kaka msukuma nakuelewa sana

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +10

    apewe piopii ya kienyeji 😂😂😂 msukuma hatari sn yani nachompendea huwa ana amini sahari zote mbile zakienyeji na zaki hospital na yuko free💪🔥

  • @emmymhagama6859
    @emmymhagama6859 4 года назад +25

    msukuma oyeee

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 4 года назад +20

    Mbowe kazi unayo kwa siasa izi

  • @enotv3913
    @enotv3913 4 года назад +2

    Hongera sana msukuma brazaaaaa

  • @masouddaud1696
    @masouddaud1696 4 года назад +8

    msukuma ebu tuchati 😂😂

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 4 года назад +7

    piga pingu leta hapa saa nane usiku kiongozi huyo tena kalewa ndo mnasema aiongoze nchi😂😂😂

  • @zaharawawa7243
    @zaharawawa7243 4 года назад +5

    Kweli bunge leo limevamiwa haa haaa haaaa faru john

  • @annomdekwa1878
    @annomdekwa1878 4 года назад +16

    Faru John on fleek😅😅

    • @geopolitics94
      @geopolitics94 4 года назад +2

      I don’t skip nowadays i laugh till it ends

    • @djmeza411a58
      @djmeza411a58 4 года назад +1

      Duh mbavu sina 🤔🤔🤣🤣

    • @venelandageorge9780
      @venelandageorge9780 4 года назад +2

      Nimewapenda wabunge wooote uliofichua siri ya hao wasanii jamani BONGE LA AIBU HAWAONE HAYA (WATAKE WASITAKE JPM ATABAKI TUU KILEKENI)

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 года назад +2

      @@venelandageorge9780
      Saa 4 asubuhi tu tutashangilia ushindi wa JPM , kwa wapinzani hawa KIDUME Magu hana mpinzani .

    • @paschalmahonajulius3530
      @paschalmahonajulius3530 4 года назад

      😂😂😂😂

  • @shijanchungwa9679
    @shijanchungwa9679 4 года назад +2

    Msukuma uko sawa, hotuba zako zinavutia sana wewe ni professor kwa maoni yako.

  • @subiransasi8029
    @subiransasi8029 4 года назад +16

    Mbowe Kiki imefeli Pole sana

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 4 года назад +32

    Sema msukuma sema kaka

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 4 года назад +9

    Msukuma 🤣🤣🤣🤣🤣👌👍👍

  • @rahelgika3870
    @rahelgika3870 4 года назад +4

    Duuh!! Aibu sana hii, kama kweli mbowe alikuwa amelewa, bora ungekaa kimya tu.

    • @subiransasi8029
      @subiransasi8029 4 года назад +1

      Alilewa kweli sema tuu wanafeli sana Na Kiki zao

  • @mussamakungu7209
    @mussamakungu7209 4 года назад

    nakumbuka kama sijasahau musukuma alkuwa miongon mwa wabunge waliohamasisha watendaji wa vjiji lasaba warudishwe kazn! walposimamishwa! anasemaga la 7 lkn jamaa anakuja sana👍tukiacha unafiki!

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 4 года назад +1

    Daaaa! Msukuma unanifurahisha kweli ....

  • @saidwilsonnyabikwi.8242
    @saidwilsonnyabikwi.8242 4 года назад +6

    😂😂😂😂😂hii ni season 2 episode ya 5!
    Itaendelea baadae😆😆😆

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 4 года назад +5

    Siasa ipo siku.Mungu anajibu sawa namaombi

  • @1THEBRAIN
    @1THEBRAIN 4 года назад +5

    Hii inchi yenu ni noma sana bunge lenu hatari🤣🤣🤣

  • @egbertrupert2630
    @egbertrupert2630 4 года назад +1

    MSUKUMA PhD wa ukweli. Hujawahi kuniangusha hata cku moja

  • @michaelmdoe9368
    @michaelmdoe9368 4 года назад +14

    Nacheka ila naogopa hahahaaaaa! nacheka ila naogopa ha! naogopa

  • @sarahout-fitchannel1011
    @sarahout-fitchannel1011 3 года назад

    😂😂😂Nyie me namkubar Sana musukuma

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya7688 4 года назад +2

    Safi sana Mheshimiwa Msukuma.

  • @phiniasoyugi4850
    @phiniasoyugi4850 4 года назад +5

    Mungu kwanza jamani msijisahau

  • @raymsigwa8640
    @raymsigwa8640 4 года назад +3

    Ukiwa unanjaa lazima usifie tu upate kuendelea kula na bossmaana usiposifia utaumbuka 😂🤣🤣🤣😂🇹🇿

  • @khalfaniahmedymdosse94
    @khalfaniahmedymdosse94 4 года назад +6

    Safi sana msukuma wape salaam hao wasitake kuichafua selikari kwa siasa gani alio kuwa nayo mpaka serikari ya ccm imuogope imtumie watu wasio jurikana

    • @visentimatiasi3473
      @visentimatiasi3473 4 года назад

      Isitoshe badala wamvamia na kumkanyaga si wange mmwaga ubongo yani unawaza huerewe kweli

    • @anchilaabdallah4625
      @anchilaabdallah4625 4 года назад +1

      Msukuma unatfta vita na mbowe😁😁😁😁😂😂😂utamweleza km farujon inategua mguu, mtu anajiweka ndani kwakuogopa corona, mnamwambia kapombeka Mara PAaa kateguka Mara kavamiwa, unajua ukiwa umelewa huwez tambua wavamiv, lkn ana Ela,alizochangisha wabunge 62 m. Alafu hazionekan acha alewe 😂😂

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 Год назад

      Faru kweli ananyoosha

  • @shijermajebela7038
    @shijermajebela7038 4 года назад +7

    Sure kabisa

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 4 года назад +3

    Msukuma oyeeeeeeeee

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 4 года назад +6

    Hahahaha wapeni hao washenzi wakubwa tulishawambia kwamba watanzania tumestuka wagufuli ndojembeletu tuko teyari damu imwagike lakini mjomba magufuri ndo rais wetu napia mjomba magufuri asipokuwa akini pia tutabadili katiba agonge tena miaka 10 hata milele

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 4 года назад +5

    Mzee mbowe kavuliwa nguo mtaa wa CONGO KARIAKOO ha ha ha ha , Kiki imekuja imekataa .

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 4 года назад +2

    Pombe zinaingiza kipato selikarin ko huyo ni mwongezaj Pato la taifa, pia Mbowe mbn mmemtinga Sana jmn kwel mbunge unapewa nafas ya kuchangia unaishia kumsema mwenzako tyu, na matatizo ni kwakila mtu Bill kujal yamekujaje kwel tena msukuma tema mate chini omba yasikukut

    • @mariambablia9126
      @mariambablia9126 4 года назад

      Aseme ukweli..sio kusingiziwa kupigwa wakati alilewa

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад

      Hoja iliyopo hapo kwa wakati huo ni kishambuliwa kwa mbunge, ww ulitaka ajadili nini?

  • @irenemkoka7369
    @irenemkoka7369 4 года назад +1

    Msukuma unapatikana wapi na kuhitaji nikupe Kero zangu nipe no yk

  • @MegaPhage
    @MegaPhage 4 года назад +3

    Mb msukuma faru john ni mdudu sio pombe😄😄😄

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul1134 4 года назад +5

    Sema kaka

  • @bushirijohn4153
    @bushirijohn4153 4 года назад +12

    Msukuma binafsi uwa na muelewa Sana tuna taka wabunge kama hawa

    • @enotv3913
      @enotv3913 4 года назад

      Huyo n noma sana mkuu

  • @nubiasahil2752
    @nubiasahil2752 4 года назад

    Hili jambo limepangwa liwe hivi kwamba watampiga mbowe halafu wabunge wachache watakuja kuzungumza bungeni. Haya maigizo ya kitoto yana mwisho, mme mpiga lissu risasi mmemuuwa Mawazo, mmewapoteza wakina Azory gwanda, Ben Saanane na mmewapa watu kesi za uongo wakiwepo Mashekh wetu halafu mna leta ngonjera zenu. Naapa kwa ALLAH Kila tone la damu mlilo mwaga lita lipwa. الله أكبر

    • @danielmasolwa3931
      @danielmasolwa3931 4 года назад

      nubia sahil brother una uhakika na unachokisema au ni imagination tu umeamua kuiandikia script

    • @nubiasahil2752
      @nubiasahil2752 4 года назад

      @@danielmasolwa3931 si wajibu wako kujibu kila unacho kisoma. Unasema imagination wakati familia zimepoteza wapendwa wao. unadhani hao ni mbuzi wamepotezwa?? Imagination itakuja soon.

  • @captaincloud7youngpol692
    @captaincloud7youngpol692 4 года назад +4

    Tena ving'ora vyao vimenizingua kweli kwaajili ya chapo mboweeee.

  • @khalfanyassin2022
    @khalfanyassin2022 4 года назад +1

    Kweli kabisa elimu ya mjinga ni majungu. Eti huyu nae Ni mbunge arafu tunaitaji nchi ipate maendeleo kwa mawazo ya mtu kama huyu tutaa kaa sana

  • @sultanisaidi7305
    @sultanisaidi7305 4 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣 dah nimechka

  • @getrudedamson997
    @getrudedamson997 4 года назад +7

    Wanachafua Dodoma yetu

  • @edwinfweni
    @edwinfweni 4 года назад +16

    mboe anaeza perekwa soba.... kwa hizi stress...!!!

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 года назад +13

    Sasa unaweza kujiuliza hapo ni bungeni au kijiwe nongwa,kwani hukumu ya mlevi tz ni kuvamiwa na kupigwa

    • @collincarlos7433
      @collincarlos7433 4 года назад +4

      Sharif Abdul wee ndio hujaelewa,NI KUWA ALKUWA KALEWA AKAANGUKA ,NA SIO KUVAMIWA NA MAJAMBAZ

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 года назад +5

      Mwambie maana bado haelewi kama jamaa alikuwa chakali pombe

    • @faustinsirili3480
      @faustinsirili3480 4 года назад +8

      Kweli mbowe kachemsha tripu hii, hao ni wavamizi gani wapige mguu peke yake??!

    • @faustinsirili3480
      @faustinsirili3480 4 года назад +5

      mvamizi Cha kwanza lazima akupige usoni

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 года назад +4

      Hivi ana majeraha sehemu zote za mwili au ni mguu tu??
      Kama ni mguu tu ni jambaz gani tena watatu wanakupiga sehemu moja na pia jambaz gan anaekupiga huku anakuambia nimetumwa na furan is that true
      Mimi hainingii akilini kama kweli alivamiwa

  • @zainabyaseen5270
    @zainabyaseen5270 4 года назад +6

    Nimecheka kwel eti faru john

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 4 года назад +15

    kama n kweli chadema n movement for chengaaaaa(M4C)

  • @eliabumagwata1841
    @eliabumagwata1841 4 года назад +3

    Ahaaaaaaaaaaah....kuuumbe yawezekana hata Yule jamaaa Yao aliekule ubelgj walitengeneza Ka mchezo haka

  • @neemaswai8384
    @neemaswai8384 4 года назад +17

    Kweli faru John ni shida

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +8

    pamoja sana

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 4 года назад +5

    We SAA saba ulikuwa wapi

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 4 года назад

    Kazi ipo,tuweni wakweli tu. Kuna maisha baada ya siasa za kipuuzi hizi. Siyo mwanachadema lkn kauli hiz zinapotoka kwa sababu aliyekunywa pombe ni mwanachadema tuwe makini sana. Wote ni watanzania,tujadili bila kupotosha au kukiuka maadili ya kitanzania

  • @amanisima9357
    @amanisima9357 4 года назад +3

    Munguwee

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад +5

    Njia ya mwongo ni fupi sana .huyu Mungu anaweka kila kitu peupe

  • @fekechempare7510
    @fekechempare7510 4 года назад +29

    asee mbowe stress zishamshika.

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад

    Msukuma kweli makanyagio ya tembo wallah khaaa!!🤣🤣🤣🤣

  • @1THEBRAIN
    @1THEBRAIN 4 года назад +15

    Mnaonaje muondoke mfumo wa vyama vingi na muache ccm itawale inchi badi kiama kisimame

    • @zurfashafii9531
      @zurfashafii9531 4 года назад

      Nibola iwe ivyo ili tuwe na amani maana awa wanataka vyama vingi naona sapota zawo ziko nchi ya nje

    • @worldtechnology492
      @worldtechnology492 4 года назад +2

      Hapana ccm ikianza kubweteka tena tunapata wapi wapinzani haiwezikan io sa hiz sawa wapinzan wanahaha lakn jpm akiondoka akaja fisad bila upinzani itakua hatare

    • @alexthobias3755
      @alexthobias3755 4 года назад +1

      Sasa kiongoza mlevi anasema jambazi jamani hz movie mbna chadema haziishi

  • @mathayodundo5433
    @mathayodundo5433 4 года назад +1

    Lisu jana kaichafu sana serikali huko DW tafali akiludi ahojiwe vikali

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 4 года назад +3

    BUNGE linashangilia maovu BADALA ya kukemea maovu..

  • @thomasmaila3834
    @thomasmaila3834 4 года назад

    Musukumaaaaa oyeeeeee

  • @hamidajuma3909
    @hamidajuma3909 4 года назад

    Msukumaaaaa oyeeeeeeeeee mbowe kafeli na kiki zake za kitotooooooo

  • @bananatz4216
    @bananatz4216 4 года назад +7

    Nacheka sana leo #Bungeni hatari sana

  • @thelifehub6768
    @thelifehub6768 4 года назад +1

    hatari sana... angalia hapa ruclips.net/video/qnTWmFY-umQ/видео.html

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад +1

    mmh! wabunge wa upinzani wanaonekana km mbwa!! hii nchi ni taabu kweli

  • @shijermajebela7038
    @shijermajebela7038 4 года назад +4

    Daah mlevi sana

  • @doljaston7807
    @doljaston7807 4 года назад +1

    Hapo chacha

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 4 года назад +1

    Nashukuru ila nasubir maelezo ya mbowe ili niamin kama kweli alikunywa ama laa

    • @saidhamis7631
      @saidhamis7631 4 года назад

      Sas kwa akl yko unafkr Mbowe atasema alkua kalewa kwel??

  • @consolathmamuku2414
    @consolathmamuku2414 4 года назад +2

    Hili bunge jmn lina mambo

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 года назад +3

    Ungekua ww msukuma???

  • @richiehenry6714
    @richiehenry6714 4 года назад

    Kwani MTU kunywa pombe ni kosa!!? Acheni usenge nyie wabunge yani mmechaguliwa na wananchi kwenda kumjadili mbowe

  • @user-wo8go6wc3d
    @user-wo8go6wc3d 3 года назад

    Huyu msukuma kiboko napenda kuskiliza akiwa anazungumza

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 4 года назад

    Kweli wavuta bangi hawa tunaopeleka bungeni watanzania hatutaenda mahali popote, alikuwa amelewa chakari kwani kulewa nikosa, ulipomuona Mboe saa Saba usiku wewe ulikuwa wapi

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna405 4 года назад

    Unaweza kuvua ubunge kweli au

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 4 года назад

    Ningependa kuona Bunge lililo jikita katika hoja za msingi zenye manufaa mapana kwa Taifa. Kwa mfano: Akichangia Mbunge mmoja kuwa swala la Mbowe lichunguzwe, Mbunge mwingine achangie issue nyingine na si marudio. Tutaokoa muda na kujikita katika hoja za msingi. Kipekee namshukuru Mungu kwa ajili ya Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli. He is the great president in the world.

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 4 года назад

      Hamna issues, si nikama wamemaliza kipindi Chao ? Ila Leo wangerudisha ruzuku 🤔

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 4 года назад

    Hizo fedha anagawa Lusinde ni zile wanazidishiwa kwenye malipo ya wabunge. Wabunge wa CCM wanalipwa mishahara tofauti na wabunge wengine na ndio maana wanapata fedha za kutoa tips kwa wenzao. Kuhusu Corona Tanzania watu wamekufa sana na kuzikwa usiku. Mimi siwezi kumsifia Magufuli hata siku moja kuhusu Corona kwa sababu watu wamekufa sana mpaka maiti kulazwa chini kwa kuwa mortuary zilijaa. Hadi leo hii watu wanakufa kwa Corona lakini thubutu Madakitari waseme wanachinjwa mchana kweupe. Anaebisha amtafute Dakitari kwa siri awaulize yanayotokea mahosipitalini. Siwezi kumsifia Magufuli hata siku moja kwa kuwa aliwatishia Madaktari kuwa atawafukuza kazi na pengine kuwafunga endapo watatoa siri za vifo vya watu wa Corona. Sitamsifia hata siku moja kwa sababu anafanya kazi za maendeleo kwa kodi za Watanzania wote bila kujali huyu ni CCM na huyu ni ACT lakini arudi kuisifia CCM kuwa imefanya. Ndege alizonunua aliwafilisi Wafanya biashara na kujigamba ni makusanyo ya kodi za ndani. Reli amejenga kwa kuwafilisi watu wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni. Nani hajui kuwa alikamata fedha za watu kwa nguvu. Sitamsifia hata siku moja kwa kuwa anafanya mambo mengi ya maendeleo kwa upendeleo wa wazi wazi. Huwezi jenga uwanja wa Bilioni 44 kijijini chato ukaacha kujenga uwanja wa ndege Dodoma. Siwezi kumsifia hata siku moja kujenga reli ya kisasa kanda ya kati ukaacha kujenga sehemu yenye abiria wengi na utalii kanda ya kaskazini. Huwezi nunua ndege za kwenda nje ya nchi wakati huna sehemu za kuzipeleka na huna hata viwanja vya ndani na ndege za mzunguko wa nchi jirani. Kwa ujumla simsifii kwa kuwa ni mbinafsi sana na anapenda sifa. Mbunge anayehamia CCM anajua sababu zake kwa kuwa anaona wenzake wanapata wanavyolipwa mishahara ya kawaida na bahasha za ziada. Mbunge wa CCM na Rais wao watashinda tu uchaguzi wa 2020 kwa kuwa wanaiba kura. CCM haijawahi kushinda uchaguzi bara wala Zanzibar. Chama cha CCM kilichowafukuza kazi watu 15,000 bila kuwalipa mafao yao kitashindaje uchaguzi. Chama cha CCM kilichowafilisi Matajiri nchini kitashindaje uchaguzi. Chama cha CCM kilichiteka kwa nguvu fedha za maduka ya kubadilisha fedha za kigeni kitashindaje uchaguzi. Chama cha CCM kilichowaibia Wakulima fedha zao za Korosho kitashindaje uchaguzi. Magufuli anajiona anapendwa lakini watu wana kinyongo sana na huyu mtu hajijui tu na sidhani akimaliza mda wake ataweza kutembea mitaani kama wenzake wanavyoingia Misikitini na Makanisani bila walinzi. Watamtafuna nyama kweupe na anajua ndio maana anao ulinzi mkubwa kuliko Marais waliomtangulia. Watanzania imarisheni vyama vya upinzani kwani Serekali yoyote Duniani haiendeshwi bila kuwepo upinzani. Wanasiasa wakishaingia madarakani wanajisahau hivyo lazima wawepo wapinzani wa kuwaamsha. Mwisho CHADEMA chagueni mwenyekiti mwingine wa chama huyu Mbowe amekuwa nuksi kwa chama maana CCM wameshamuona atawatoa madarakani. Muachieni nafasi ya uhamamasishaji. CHADEMA ndio chama pekee kilichojiimarisha mpaka vijijini na ndio chama tishio kwa CCM. Chagueni mwenyekiti mwingine Mbowe akili imechoshwa na hawa CCM kwa kumfungulia makesi mbali mbali. Nani ajuaye labda walivyomfunga walimdunda sindano za kumpumbaza. Sio akili yake. Vijana CHADEMA jitokezeni kugombea ubunge 2020.

  • @doctorzero-dj5xg
    @doctorzero-dj5xg 4 года назад

    Hata Mimi nashangaa sana ! Mtu anawalinzi alianzeje kukanyagwa ??

  • @josphathmpalanzi7755
    @josphathmpalanzi7755 4 года назад +3

    Wote walewi we ulikuwa watafuta mini?? Usiku huu

    • @jestinakatobe8286
      @jestinakatobe8286 4 года назад

      hata kama walevi wote ni sawa tu ila kiki imebuma ya chapombowee

  • @mbasabillz7715
    @mbasabillz7715 4 года назад

    Tunawaweka hawa kwenye records muda haudanganyi

  • @anejaamani9830
    @anejaamani9830 4 года назад

    Utakua mpererezi

  • @paschalmahonajulius3530
    @paschalmahonajulius3530 4 года назад

    Faru John on fire😂😂😂😂😂😂😂sihami Tanzania

  • @brownyjayden3312
    @brownyjayden3312 2 года назад

    🤲

  • @agnessmsacky6657
    @agnessmsacky6657 4 года назад

    Kwani akinywa pombe hawezi kushambuliwa ? Tuwe na utu jamani

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад

    Hivi sura ya mlevi nayo ni ngumu kuitambua ??mbona hata kwa macho tuu inajulikana harufu mbona mbali.

  • @andrewjulius3951
    @andrewjulius3951 4 года назад +2

    Haka na kenyewe ni kalevi vile vile tu,,,,kwani KUNYWA NI DHAMBI......Huu ni kukosa maarifa na utu,,,,,salut mlioenda hospital kwa niaba ubinadamu.👍🙏🙏🏃🏃🚶

    • @asiliyakechuma4319
      @asiliyakechuma4319 4 года назад

      Mm siwezi kwenda kumuona mlevi mwana kulitafuta mwanakulipata

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 4 года назад +1

      Dhambi ni kuteguliwa na ulevi na kusingizia umevamiwa! Labda angeweka kauli yake vizuri kuwa "ulevi umemvamia na kumtegua mguu" tungemwelewa

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 4 года назад

      @@bcozhenry2698 🤣🤣🤣 naogopa

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад

      Kunywa si dhambi, dhambi ni kusingizia kuwa kashambuliwa na serikali.

  • @ndamayapejr7725
    @ndamayapejr7725 4 года назад +1

    Kama matan vle ila ndio ukwel huo ushasema msema kwel wangu

  • @allyngogomi6088
    @allyngogomi6088 4 года назад

    Du kweli siasa ni mchezo mchafu, huyo mbowe inabidi apelekwe Ubeligiji nae akatibiwe, mana ndio Fasheni mhh kazi ipo.

  • @ericyuxuf9639
    @ericyuxuf9639 4 года назад

    Mbowe anaanguka na B.P hana pakushika, pole sana

  • @asengasefu2767
    @asengasefu2767 4 года назад +2

    Tumuachie mungu

  • @justinemodestus3445
    @justinemodestus3445 Год назад

    Jenga mwanza mkuu wambie kilimo na dar wapi na wapi

  • @MrCosmas15
    @MrCosmas15 4 года назад

    Mnapuliza ving'ora kwenda kuangalia mlevi kateguka mguu, hii ni kali

  • @geoogeoo7731
    @geoogeoo7731 4 года назад +1

    Like back msukuma bando langu chukua

  • @alfredmatonange1970
    @alfredmatonange1970 4 года назад +2

    Agayaaa

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 года назад

    Tuwe na rugha za staa kama ww ni kiongozi chunga kauli kumbuka Giza likisha ingia tegemea mapambazuko mtu kaumizwa na ni kiongozi ata kama ni mpinzani sio adui ila kumbuka mungu aziakiwi..........!!!!!!!

  • @cinyoritha8168
    @cinyoritha8168 Год назад

    Sijawaho kujutia mb zangu Kwa huyu. Baba

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад +1

    Mboe alikunywa Faru John?

  • @leinamwilongo6890
    @leinamwilongo6890 4 года назад +2

    Hatakama alilewa lazima ahudumiwe

    • @suzanfelix8857
      @suzanfelix8857 4 года назад

      Wanapinga kusema amevamiwa na watu wasiojulikana ,Ila huduma anapata Kama kwaida

  • @ayubumagumu4386
    @ayubumagumu4386 4 года назад

    Kweli mbowe ni mwamba yan bunge lote ni kumshambulia mbowe dah

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema9107 4 года назад +1

    Kijicho kiki imebuma ..

  • @henryjohn2898
    @henryjohn2898 4 года назад +1

    Uchaguzi ujao dalasa la 7 napendekeza wachujwe

  • @ejntv
    @ejntv 4 года назад +2

    Balaaaa